Recent posts
6 May 2026, 16:35
Vijana washauriwa kujikita Katika kilimo Biashara na kuachana na mikeka
Tafiti zinaonyesha upotevu wa mazao baada ya kuvuna ni tatizo kubwa hasa katika nchi zinazoendelea ambapo Kwa mazao ya nafaka (kama mahindi, mpunga, ngano): hupotea takribani asilimia 10% hadi 20% wakati kwa mavuno na mazao ya mbogamboga upotevu unaweza kufikia…
5 May 2026, 16:40
Unamsaidiaje kijana mwenye tatizo la afya ya akili?
Hii inafanya uwekezaji katika huduma na programu za afya ya vijana kuwa si tu jambo la kimaadili bali pia ni jambo lenye maana kiuchumi. Kwa mujibu wa Ripoti mpya iliyotolewa na Shirika la Afya Duniani (WHO) uwekezaji wa haraka unahitajika ili kukabiliana…
5 May 2026, 16:15
Mpango kazi dhidi ya ukatili kwa wanawake, watoto 2026-2030
Aidha, Mkoa umeanzisha namba maalum ya kuripoti matukio ya ukatili, pamoja na kuweka kamera 106 za ulinzi (CCTV) katika barabara kuu za Jiji la Dodoma ili kuongeza ufuatiliaji na usalama wa jamii. Na Mariam Kasawa. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa…
5 May 2026, 15:56
Watakiwa kujitokeza kupata msaada wa kisheria
Amesisitiza wananchi kuwa wa kweli,wawazi na wenye uhakika na kile watakacho kwenda nacho kupata msaada wa kisheria . Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Iyumbu na Ihumwa wametakiwa kutumia vyema fursa ya msaada wa kisheria za Mama Samia kampeni…
5 May 2026, 15:32
Jiji la Dodoma kufunga kamera za ulinzi katikati ya jiji
Katika hatua ya mwisho ya ukaguzi huo, Kamati ya TAMISEMI ilitoa mapendekezo mbalimbali ya kuboresha utekelezaji wa mradi huo wa usalama wa kidijitali. Na Anwary Shaban. Katika muendelezo wa ziara ya kamati ya kudumu ya Bunge TAMISEMI, 2026 , imetembelea…
4 May 2026, 16:01
Wananchi Mpwapwa wachoshwa na ahadi hewa za barabara
Barabara hiyo imekuwa ikizungumziwa bungeni mara kwa mara lakini hakuna utekelezaji wowote ulio fanyika. Na Steven Noel. Wananchi wilayani Mpwapwa wasema wamechoshwa na Ahadi za serikali juu ya ukarabati wa barabara . Kufuatia swali la mbunge wa Jimbo la Mpwapwa…
4 May 2026, 15:52
Halmashauri ya Jiji Dodoma yafafanua sakata soko la Nchimbi
Halmashauri ya Jiji la Dodoma imetekeleza wajibu wake wa kuandaa eneo kwa kushirikiana na kamati, na kuweka miundombinu rafiki kwa ajili ya wafanyabiashara. Halmashauri ya Jiji la Dodoma imetoa ufafanuzi kuhusu sakata la wafanyabiashara wa soko la Rehema Nchimbi baada…
30 April 2026, 17:50
Dodoma kunufaika na kipimo cha akili unde kwa wajawazito
Ameongeza kuwa kwa mujibu wa muongozo, kila mwanamke mjamzito anapaswa kupata huduma hiyo ya utrasound kabla ya wiki 24 ya ujauzito, hivyo kwa uwepo wa huduma hiyo ya Utrasound watawezesha upatikanaji mzuri, na kwa wakati kama inavyoelekezwa kwenye miongozo. Na…
30 April 2026, 17:41
Dodoma kuanza awamu yapili ya msaada wa kisheria
Halmashauri ya Jiji la Dodoma, kituo kitakuwa Uwanja wa Mtekelezo, mkabala na Msikiti wa Gadaf ,Halmashauri ya Wilaya Chamwino vituo vitakuwa katika Ofisi ya Kijiji Buigiri, Kata ya Chinangali na Ofisi ya Kata Mlowa Barabarani ,Halmashauri ya Wilaya Kongwa vituo…
30 April 2026, 13:31
Watu wa karibu wanawezaje kumlinda mwanamke dhidi ya unyanyasaji wa kiuchumi
Wanawake na wasichana wanapaswa kulindwa, na jamii nzima inapaswa kushirikiana kuhakikisha vitendo vya ukatili vinadhibitiwa. Na Mariam Kasawa.Tatizo la ukatili wa kijinsia linatokana na sababu mbalimbali. Miongoni mwa sababu hizo ni desturi potofu na mitazamo ya kijamii inayodhani kuwa mwanamke…