Recent posts
9 September 2026, 17:18
Je, ni lazima kutumia mamilioni ya shilingi kununua jeneza?
Wataalamu wa masuala ya kifedha na kijamii wanashauri familia kupanga mapema gharama za mazishi na kufanya maamuzi yanayolingana na uwezo wao wa kifedha ili kuepuka kuacha mzigo wa madeni baada ya msiba. Na Mathias Mgale. Taratibu za mazishi katika jamii…
9 September 2026, 16:53
‘Kitchen party’ zaibua mjadala kuhusu maadili
Mkufunzi wa sherehe za kunfundisha binti Bi,Hawa Ramadhani amesema mafundisho yanayotolewa katika sherehe hizo yanalenga kumjenga mwanamke kuwa bora na mwenye uwezo wa kutekeleza majukumu yake katika familia, akibainisha kuwa mabadiliko ya jamii na utandawazi pia ni miongoni mwa mambo…
9 September 2026, 16:39
Uhifadhi sahihi wa mswaki watajwa kuwa muhimu kulinda afya ya kinywa
Wananchi wamehimizwa kuzingatia matumizi na uhifadhi sahihi wa mswaki kama sehemu ya utunzaji wa afya ya kinywa, pamoja na kuzingatia usafi wa meno kwa njia inayofaa ili kuepuka matatizo yanayoweza kujitokeza kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya mswaki. Na Elizabeth…
9 September 2026, 16:25
Dodoma: Mtoto wa miaka 10 afariki kwa kujinyonga
Tukio hilo limeacha simanzi kwa familia na wakazi wa Swaswa, huku likisisitiza umuhimu wa wazazi na walezi kuwa na mawasiliano ya karibu na watoto wao na kuchukua hatua mapema wanapoona mabadiliko katika mwenendo au hali zao. Na Anwary Shabani. Mtoto…
8 September 2026, 17:11
Wanawake watakiwa kutambua haki yao ya umiliki wa ardhi
Mila na mitazamo potofu haipaswi kuwa sababu ya kuwanyima wanawake haki ya kumiliki mali, akisisitiza umuhimu wa jamii kutoa elimu kuhusu haki za wanawake na kuhakikisha wanapata nyaraka halali za kuthibitisha umiliki wao. Na Daniel Njau. Wananchi, hususan wanawake, wamehimizwa…
8 September 2026, 17:02
NIDA kuanza usajili wa watoto kuanzia wanapozaliwa
Akizungumza na Taswira ya Habari, Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, James Kaji, amesema utaratibu huo utawezesha mamlaka kupata na kuhifadhi taarifa muhimu za wananchi tangu wakiwa watoto, pamoja na kurahisisha upatikanaji wa huduma mbalimbali, hususan huduma za afya. Na Peter Paul…
8 September 2026, 16:52
Vijana watakiwa kutumia kilimo kujiajiri ili kuongeza kipato
Kwa mujibu wa Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) na Benki ya Dunia, kilimo ni chanzo muhimu cha maisha kwa Watanzania wengi na kilichangia asilimia 25.9 ya Pato la Taifa mwaka 2021, huku soko la nafaka likiwa na nafasi muhimu…
8 September 2026, 16:36
TANROADS yaagiza ukaguzi wa miundombinu kukabiliana na mvua za el nino
Hatua hiyo ya TANROADS inakuja wakati mamlaka hiyo ikiweka mkazo katika maandalizi ya mapema ya miundombinu, kwa lengo la kupunguza madhara ya mvua na kuhakikisha usalama wa wasafiri pamoja na mwendelezo wa shughuli za kiuchumi katika maeneo mbalimbali nchini. Na…
7 September 2026, 17:09
Mfumo wa stakabadhi ghalani wawanufaisha wakulima Chemba
Mfumo huo umepanua masoko na kuwawezesha wakulima kupata fedha taslimu kwa haraka na kwa wakati, huku ukisaidia wilaya kupata mapato yake kwa urahisi. Wakulima wametakiwa kuendelea kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani kwa kuzingatia ubora wa mazao na taratibu zilizowekwa ili…
7 September 2026, 16:56
Wanawake watakiwa kuadhimisha ‘birthday’ kwa kupima saratani ya kiz…
Mkurugenzi na Mwanzilishi wa Mariam Mungula Foundation, Mbunge wa Viti Maalumu, Mariam Mungula, amesema taasisi hiyo inalenga kutoa elimu na kuongeza uelewa kuhusu masuala mbalimbali yanayowagusa wanawake, ikiwemo afya ya homoni, ukomo wa hedhi, afya ya akili, saratani ya mlango…