Dodoma FM

Recent posts

28 March 2024, 7:07 pm

Rais Samia kuhudhuria kumbukizi ya miaka 40 ya hayati Sokoine

Hayati Sokoine alikuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika vipindi viwili wakati wa uongozi wa awamu ya kwanza. Na Selemani Kodima. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika…

28 March 2024, 6:52 pm

CAG awasilisha ripoti kwa Rais Dkt. Samia Suluhu

Deni hilo linajumuisha deni la ndani Shilingi Trilioni 28.92 deni la nje Shilingi Trilioni 53.32. Na Seleman Kodima.Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa serikali (CAG) Charles E. Kichere, amesema kuwa deni la Serikali hadi kufikia Juni 30, 2023 lilikuwa Shilingi Trilioni…

27 March 2024, 6:14 pm

Jamii yaaswa kuzingatia matumizi sahihi ya mitandao

Ulimwengu kwa sasa umeshuhudia ukuaji mkubwa wa matumizi ya teknolojia na pia intaneti Lakini watumiaji wengi wa teknolojia hizi wamekua katika hatari ya kuingia katika matumizi mabaya ya teknolojia hii kutoka na wizi na vitendo vya udhalilishaji vinavyoweza kutokea kupitia…

27 March 2024, 5:38 pm

Elimu ya utunzaji Mazingira yawanufaisha wanafunzi

Wadau wa mazingira wanasema vijana wanapaswa kutambua kwamba jukumu la utunzaji wa mazingira ni la kila mmoja katika jamii hivyo ni vema washiriki katika shughuli za utunzaji wa mazingira. Na Mariam Kasawa. Elimu ya utunzaji mazingira na kilimo inatajwa kuwanufaisha…

27 March 2024, 5:10 pm

Uzalishaji wa maji Nzuguni waongeza asilimia 11.7 ya maji

Mradi wa Maji Nzuguni umegharimu bilion 4.3 lengo likiwa ni kuboresha huduma ya usambazaji maji katika kata na jiji la Dodoma kwa ujumla. Na Mindi Joseph.Kukamilika kwa Mradi wa awamu ya kwanza wa Visima 5 vya maji Eneo la nzuguni…

27 March 2024, 3:51 pm

Wanawake Mnadani wazungumzia miaka mitatu ya Rais Samia

Itakumbukwa kuwa Rais dkt Samia Suluhu Hassan ndie Rais wa kwanza mwanamke hapa nchini Tanzania na Afrika Mashariki ambapo aliapishwa rasmi march 19 mwaka 2021. Na Mariam Matundu.Ikiwa ni miaka mitatu tangu Rais Samia aingie madarakani maendeleo katika sekta mbalimbali…

26 March 2024, 8:11 pm

Wasomi watakiwa kuwa mfano upandaji wa miti

Hapa nchini kampeni nyingi za upandaji miti zimekuwa zikianzishwa na kutekezwa na wadau mbalimbali pamoja na wadau wa mazingira ili kuunga mkono juhudu za raisi wa Tanzania mama Samia Suluhu za kutaka mazingira Bora kwa wananchi. Na Mariam Kasawa.Wasomi na…

26 March 2024, 7:42 pm

Wanchi Ndachi wakumbwa na sintofahamu Mgogoro wa Ardhi

Mtaa wa Ndachi umekuwa ukiandamwa na migogoro ya ardhi kwa muda mrefu sasa ambapo kwa mujibu wa mwenyekiti wa Mtaa huo migogoro hiyo bado ina sintofahamu. Na Mindi Joseph.Wananchi wa Mtaa wa Ndachi kata ya Mnadani wamesema hawajui hatima yao…

26 March 2024, 6:42 pm

Waandishi wa habari watakiwa kutoa taarifa sahihi

Mlipuko wa magonjwa unapotokea waandishi wa habari ni nyenzo muhimu ya kutoa taarifa sahihi. Na Mariam Matundu.Waandishi wa habari wametakiwa kuhakikisha usahihi wa Taarifa ili kuepusha taharuki kwa jamii wakati wa magonjwa ya Mlipuko. Hayo yamebainisha Richard Msittu Mkuu wa…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger