Recent posts
18 June 2026, 18:07
Wakulima wasisitizwa umuhimu wa mfumo wa stakabadhi ghalani
Katika hatua nyingine, Mhe. Senyamule amewaahidi wakulima kuwa serikali itaendelea kuweka mazingira wezeshi yatakayowasaidia kukuza na kuimarisha sekta ya kilimo. Na Mariam Kasawa. Wakulima wa kata ya Dabalo jijini Dodoma waamesisitizwa umuhimu wa matumizi ya mfumo wa stakabadhi ghalani kwa…
18 June 2026, 17:56
Serikali kuendelea kuimarisha tahadhari dhidi ya Ebola
Wananchi wametakiwa kuendelea kufuata maelekezo yanayotolewa na wataalamu wa afya na kutoa taarifa mapema wanapobaini mtu mwenye dalili zinazofanana na Ebola ili kusaidia juhudi za Serikali za kulinda afya za Watanzania. Na Anwary Shaban. Serikali imeendelea kuimarisha hatua za tahadhari…
18 June 2026, 17:43
Wafanyabiashara watakiwa kutoa ushirikiano kwa Zimamoto
Kwa mujibu wa Sheria ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji lina jukumu la kufanya ukaguzi wa kinga na tahadhari za moto katika maeneo mbalimbali ili kuzuia majanga na kulinda maisha pamoja na mali za wananchi.…
16 June 2026, 17:38
Umuhimu wa kuweka akiba ili kufikia malengo
Ni muhimu kutenga sehemu ya mapato mara tu yanapopatikana, kuandaa bajeti na kuepuka matumizi yasiyo ya lazima ili kuongeza uwezo wa kutimiza malengo yaliyowekwa. Wananchi wametakiwa kujenga utamaduni wa kuweka akiba kama njia muhimu ya kufanikisha malengo yao ya maendeleo…
16 June 2026, 17:27
Wananchi Handali watakiwa kuhifadhi chakula
Wananchi wanashauriwa kudhibiti upotevu wa mazao baada ya mavuno na kuhifadhi chakula kwa uangalifu ikiwa ni pamoja na matumizi sahihi katika ngazi ya familia na kuepuka uharibifu ili kulinda usalama wa chakula . Na Victor Chigwada. Wito umetolewa Kwa wakazi…
16 June 2026, 17:17
Malezi huchangia watoto wa kiume kushindwa kuripoti ukatili
Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Sheria ya Mtoto ya mwaka 2009, kila mtoto ana haki ya kulindwa dhidi ya aina zote za ukatili, unyanyasaji na ubaguzi, huku jamii ikihimizwa kushiriki kikamilifu katika kuhakikisha…
15 June 2026, 16:41
Mwendelezo wa simulizi ya vilindoni na vihenge vya jadi
Ni historia inayostahili kuhifadhiwa na kusimuliwa ili vizazi vya sasa na vijavyo viweze kufahamu chimbuko na urithi wa mahali wanapoishi. Na Yussuph Hassan. Historia ya Vilindoni inaonesha kuwa eneo hili limekuwepo kwa muda mrefu kama makazi ya watu waliotegemea kilimo…
15 June 2026, 16:29
Shekimweri aongoza mbio za pole kuuenzi mwenge wa uhuru
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Waandamizi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Wilaya ya Dodoma, Shadaiya Hassan, alisema kuwa mbio hizo zimeandaliwa kwa lengo la kuendelea kuuenzi Mwenge wa Uhuru na kuhamasisha wananchi kuishi falsafa zake hata baada ya mbio…
15 June 2026, 16:16
Zimamoto yaitaka jamii kutumia kwa usahihi namba ya dharura na uokoaji
Kwa mujibu wa majukumu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji yaliyoainishwa chini ya Sheria ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Sura ya 427, wananchi wanapaswa kushirikiana na jeshi hilo kwa kutoa taarifa sahihi na kwa wakati ili kuongeza ufanisi wa…
12 June 2026, 17:31
Serikali kuweka mikakati ya kuimarisha ustawi wa wafanyakazi
Mradi wa Empowered II unatarajiwa kuongeza uelewa wa haki za wafanyakazi wa majumbani, kuimarisha ulinzi wao kazini pamoja na kukuza ushirikishwaji wao katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Na Anwary Shaban. Serikali, wadau wa kazi na mashirika ya maendeleo wameendelea…