Recent posts
28 May 2026, 18:02
Elimu ya afya ya uzazi inawasaidiaje mabinti kuepuka mimba za utotoni?
Pia, unalenga kushughulikia vikwazo vya kijamii na kisheria vinavyowazuia wasichana kupata huduma za afya ya uzazi. Na Mariam Kasawa. Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni WHO limetoa mwongozo mpya wa kimataifa unaolenga kuzuia mimba za utotoni na kuboresha…
28 May 2026, 17:50
Jamii ya kabila la wasandawe na tamaduni zao
Karibu katika fahari ya Dodoma ambapo leo tunaangazia asili ya kabila la wasandawe katika Kijiji cha Farkwa wilayani Chemba. Na Yussuph Hassan. Jamil hizi ambazo ni za kale zaidi na zinachukuliwa kuwa wakazi wa mwanzo kabisa wa jamil za asili…
28 May 2026, 17:30
Wahitimu kidato cha sita waitwa JKT
Jeshi la Kujenga Taifa limetoa rai kwa vijana wote waliochaguliwa kuhakikisha wanafanya maandalizi mapema na kuripoti katika vituo walivyopangiwa ndani ya tarehe husikaa ambayo ni kuanzia tarehe 1-7 Juni. Na Mariam Kasawa. Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa nchini, Meja…
27 May 2026, 16:16
Utawala bora kuchochea utatuzi bora wa migogoro
Naye mmoja wa wakufunzi, Nickson Maleko, ameeleza baadhi ya maoni na mrejesho uliotolewa na washiriki wakati wa mafunzo hayo. Na Mariam Kasawa. Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Sophia Kizigo, amesema wilaya hiyo ni miongoni mwa maeneo yanayokabiliwa na…
27 May 2026, 14:53
Baraza la madiwani jiji la Dodoma lawafukuza kazi watumishi watatu
Na. Mwandishi Wetu. BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dodoma limewafukuza kazi watumishi watatu na mtumishi mmoja kushushwa cheo na mshahara kufuatia kukiuka misingi na taratibu za Utumishi wa Umma. Maamuzi hayo yalifanyika katika Mkutano maalum wa Mashauri…
26 May 2026, 17:41
Kifahamu chakula kikuu cha kabila la Wasandawe
Leo tupo katika eneo la Farkwa linalo patikana wilayani Chemba Jijini Dodoma ambapo wenyeji wa eneo hili ni wasandawe. Na Yussuph Hassan.Leo katika fahari ya Dodoma tunaangazia kabila la wasandawe asili ya chakula chao kabila hili limejikita katika shughuli za…
26 May 2026, 17:15
Wananchi Muungano wapongeza uboreshaji wa miundombinu chakavu ya maji
Awali mabomba hayo yalikuwa yakipasuka na kupelekea maji kukosekana kijijini hapo hali iliyo walazimu wakazi wa eneo hilo kuchota maji katika visima. Na Victor Chigwada. Kuimarishwa kwa huduma ya miundombinu ya maji katika kijiji cha Muungano wilayani chamwino kumeleta ahueni…
26 May 2026, 16:58
Mradi wa AHADI kuwasaidia vijana kupata ujuzi
Mradi huo wa AHADI kwani utawasaidia vijana kupata ujuzi na kujiajiri ili kujiingizia kipato. Na Victor Chigwada. Vijana wa mtaa wa Ihumwa A jijini Dodoma wametakiwa kuchangamkia fursa zinazo telewa na mradi wa AHADI mtaani hapo ikiwemo mafunzo ya ufundi…
26 May 2026, 16:32
Unafanyaje kuhakikisha mtoto hakatishi masomo?
Watoto wafundishwe kutambua hali hatarishi na kuripoti vitisho, ili kuepuka kujiingiza kwenye mazingira yanayoweza kuathiri masomo yao. Ili kuhakikisha mtoto hakatishi masomo yake, mzazi au mlezi anapaswa kumlinda dhidi ya hatari kama mimba za utotoni, ajira ya watoto, na ukatili;…
25 May 2026, 17:01
Vijana watakiwa kujiunga mfumo wa ununuzi wa kielektroniki
Mfumo wa Ununuzi wa Kielektroniki (NeST) ni fursa mahususi inayowawezesha vijana kupata zabuni za serikali kwa urahisi kwani Kupitia mfumo huu, serikali imetenga asilimia ya tenda maalum kwa ajili ya vijana, wanawake, wazee, na watu wenye ulemavu bila kushindana na…