Dodoma FM
13 July 2026, 15:52

Hii hapa tarifa yake kitana Hamisi kutoka wilayani Kiteto Mkoani Manyara.
Na Kitana Hamis.
Mvutano wa umiliki wa ghala lililopo Kijiji cha Matui, Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, umeendelea kushika kasi huku wananchi na Chama cha Ushirika cha Matui (Matui AMCOS) wakitofautiana kuhusu mmiliki halali wa ghala hilo.
Wananchi pamoja na chama cha ushirika wameendelea kutaka kumfahamu mmiliki halali wa ghala hilo.
Kitana Hamis alizungumza na wananchi pamoja na wanachama wa Matui AMCOS na hapa wamezungumza zaidi.