Dodoma FM

Umiliki halali wa ghala Matui wazua mgogoro

13 July 2026, 15:52

Wananchi wameendelea kudai ufafanuzi zaidi juu ya umiliki wa ghala hilo.Picha na Mtandao.

Hii hapa tarifa yake  kitana Hamisi kutoka wilayani Kiteto  Mkoani Manyara.

Na Kitana Hamis.

Mvutano wa umiliki wa ghala lililopo Kijiji cha Matui, Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, umeendelea kushika kasi huku wananchi na Chama cha Ushirika cha Matui (Matui AMCOS) wakitofautiana kuhusu mmiliki halali wa ghala hilo.

Wananchi pamoja na chama cha ushirika wameendelea kutaka kumfahamu mmiliki halali wa ghala hilo.

Kitana Hamis alizungumza na wananchi pamoja na wanachama wa Matui AMCOS na hapa wamezungumza zaidi.

Sauti ya kina Kitana Hamis.