![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Radio Tadio
17 August 2023, 2:02 pm
Na Mindi Joseph. Jumla ya mazao 13 nchini yametajwa kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani ikiwa ni hatua kubwa kutoka mazao machache ndani ya miaka 3 iliyopita. Hii ni kufuatia uhamasishaji wa matumizi ya mfumo huu kwa wananchi. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji…