Kilimo
3 July 2026, 12:56
Wananchi wataka elimu zaidi ya kutambua rushwa Kasulu
Rushwa ni moja ya changamoto kubwa zinazokwamisha maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla kwani huathiri utoaji wa huduma za umma, hupunguza uwajibikaji na kudhoofisha imani ya wananchi kwa taasisi za serikali Na Sadick Kibwana Baadhi ya wakazi wa Wilaya…
24 June 2026, 17:51
NMB yakabidhi madawati 150 Kakonko
Walimu walipokea madawati hayo wametakiwa kutatunza ili yaweze kudumu na kutumika kwa muda mrefu Na Mwandishi wetu Benki ya NMB imekabidhi madawati 150 kwa shule mbalimbali za Wilaya ya Kakonko katika hafla iliyofanyika leo, Juni 24, katika Shule ya Msingi…
23 June 2026, 16:19
Walimu wapewa mbinu za kidijitali kuimarisha ufundishaji Kigoma
Teknolojia imeendelea kukua kwa kasi duniani na kuleta mabadiliko makubwa katika sekta mbalimbali, ikiwemo sekta ya elimu kutokana na maendeleo hayo, walimu wanapaswa kuendana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia ili waweze kutoa elimu bora inayokidhi mahitaji ya wakati. Na…
20 June 2026, 13:15
Tamasha la urithi wa Ujiji kuhimiza madili kwa vijana Kigoma
Tamasha la Urithi wa Kihistoria na Utamaduni la Mji Mkongwe wa Ujiji lina umuhimu mkubwa katika kuhifadhi na kuendeleza historia, tamaduni na maadili ya jamii Na Lucas Hoha Tamasha la urithi wa kihistoria na utamaduni katika mji mkongwe wa Ujiji…
1 June 2026, 12:44
Taulo za kike, elimu ya uzazi kuinua mafanikio ya wasichana vijijini Uvinza
Hedhi ni mchakato wa kawaida wa kibaiolojia unaowapata wasichana wanapofikia umri wa balehe ingawa ni jambo la kawaida na muhimu kwa afya ya uzazi, hedhi inaweza kuwa changamoto kwa baadhi ya watoto wa kike kutokana na ukosefu wa elimu sahihi,…
21 May 2026, 15:08
Askofu ataka wazazi kupeleka watoto shule
Elimu huwasaidia watoto kupata maarifa, maadili na stadi za maisha zinazowawezesha kujitegemea na kuwa na maisha bora ya sasa na ya baadaye na watoto wanaopata elimu huwa na nafasi kubwa ya kupata ajira, kupunguza umaskini na kuchangia maendeleo ya familia,…
14 May 2026, 13:11
Walimu wakuu wapatiwa zana za ufundishaji na ujifunzaji Kasulu
Serikali pamoja na wadau wa elimu wameendelea kuchukua juhudi mbalimbali za kuboresha sekta ya elimu nchini Tanzania na miongoni mwa juhudi hizo ni utoaji wa zana za ufundishaji na ujifunzaji Na Tresipholi Odace Walimu wakuu katika Halmashauri ya Wilaya ya…
7 May 2026, 10:53
Baraza la kata Kibondo lapongeza serikali ujenzi shule ya kisasa Nyabwai
Serikali wilayani Kibondo mkoani Kigoma kupitia Wizara ya Elimu imepongezwa kwa kukamilisha ujenzi wa shule mpya ya kisasa wilayani mbayo itasaidia wanafunzi kusoma kwa bidii. Na Mwandishi wetu Baraza la Kata katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo, Mkoani Kigoma, limetoa…
30 April 2026, 1:34 pm
Wananchi Babati watakiwa kuzingatia mlo kamili
Wananchi wametakiwa wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kuzingati mlo kamili kwa kula vyakula vyenye lishe na sio kula kwa mazoea huku waisisitizwa kufanya mazoezi ili kujikinga na magonjwa mbalimbali na kuweka Afya zao vizuri. Na Mzidalfa Zaid Hayo yamesemwa na…
30 April 2026, 10:23
Wahitimu kidato cha sita waaswa kuwa na maadili mema Kasulu
Maadili mema ni mwongozo muhimu katika maisha ya kila siku ya mwanafunzi kwani huakisi tabia njema kama nidhamu, uaminifu, heshima, na bidii kwa mwanafunzi mwenye ndoto ya kufanikiwa maishani, maadili haya huwa nguzo kuu inayomsaidia kufikia malengo yake. Na Hagai…