Kilimo
21 May 2026, 15:08
Askofu ataka wazazi kupeleka watoto shule
Elimu huwasaidia watoto kupata maarifa, maadili na stadi za maisha zinazowawezesha kujitegemea na kuwa na maisha bora ya sasa na ya baadaye na watoto wanaopata elimu huwa na nafasi kubwa ya kupata ajira, kupunguza umaskini na kuchangia maendeleo ya familia,…
14 May 2026, 13:11
Walimu wakuu wapatiwa zana za ufundishaji na ujifunzaji Kasulu
Serikali pamoja na wadau wa elimu wameendelea kuchukua juhudi mbalimbali za kuboresha sekta ya elimu nchini Tanzania na miongoni mwa juhudi hizo ni utoaji wa zana za ufundishaji na ujifunzaji Na Tresipholi Odace Walimu wakuu katika Halmashauri ya Wilaya ya…
7 May 2026, 10:53
Baraza la kata Kibondo lapongeza serikali ujenzi shule ya kisasa Nyabwai
Serikali wilayani Kibondo mkoani Kigoma kupitia Wizara ya Elimu imepongezwa kwa kukamilisha ujenzi wa shule mpya ya kisasa wilayani mbayo itasaidia wanafunzi kusoma kwa bidii. Na Mwandishi wetu Baraza la Kata katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo, Mkoani Kigoma, limetoa…
30 April 2026, 1:34 pm
Wananchi Babati watakiwa kuzingatia mlo kamili
Wananchi wametakiwa wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kuzingati mlo kamili kwa kula vyakula vyenye lishe na sio kula kwa mazoea huku waisisitizwa kufanya mazoezi ili kujikinga na magonjwa mbalimbali na kuweka Afya zao vizuri. Na Mzidalfa Zaid Hayo yamesemwa na…
30 April 2026, 10:23
Wahitimu kidato cha sita waaswa kuwa na maadili mema Kasulu
Maadili mema ni mwongozo muhimu katika maisha ya kila siku ya mwanafunzi kwani huakisi tabia njema kama nidhamu, uaminifu, heshima, na bidii kwa mwanafunzi mwenye ndoto ya kufanikiwa maishani, maadili haya huwa nguzo kuu inayomsaidia kufikia malengo yake. Na Hagai…
21 April 2026, 09:32
Wahitimu kidato cha sita waaswa kuendeleza nidhamu Kasulu
Wanafunzi wa Kidato cha sita, katika shule ya sekondari Kigoma Grand, halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma, wametakiwa kuendeleza nidhamu waliyopata shuleni hapo ili wawe mfano wa kuigwa katika jamii inayowazunguka. Na mwandishi wetu Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mtendaji…
20 April 2026, 13:57
DED Kasulu achangia tofali 5000 ujenzi uzio wa shule
Wazazi na walezi wametakiwa kuona umuhimu wa ushirikiano kati ya wadau wa elimu katika kutatua changamoto zinazoikabili shule ya Sekondari Kigoma Grand. Na Hagai Ruyagila Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kasulu, mkoani Kigoma Mwalimu Vumilia Simbeye ameahidi kuchangia tofali 5000…
20 April 2026, 09:11
Wahitimu kidato cha sita waaswa kuwa wazalendo
Wakati wanafunzi wa kidato cha sita wakiwa wanajianda na mitihani ya kuhitimu elimu ya kidato cha sita wameaswa kusaoma kwa bidii ili waweze kufanya vizuri katika mitihani yao. Na Sadiki Kibwana Wanafunzi wanaohitimu kidato cha sita Wilaya ya Kigoma wametakiwa…
20 April 2026, 08:23
DED Uvinza apongeza serikali ujenzi shule ya wasichana Kigoma
Watoto wa kike wanapo pata elimu wanakuwa na nafasi kubwa ya kuboresha maisha yao na kuchangia maendeleo ya jamii na wataalamu wa elimu wanasema kuwa elimu kwa wasichana ni msingi muhimu wa maendeleo endelevu katika jamii nyingi duniani. Na Mwandishi…
13 March 2026, 19:47
Polisi wanawake Moro wachangia matibabu mtoto mwenye ulemavu
Polisi wanawake mkoa wa Morogoro wamefanya harambee ya kupata kiasi cha fedha Tsh.630,000 kusaidia matibabu baada ya kuona uhitaji kwa mtoto Zuhaira mara baada ya kumtembelea Machi 6, 2026 wakiadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Na Katalina Liombechi Mtandao wa Polisi…