Kilimo
16 July 2026, 15:37
Vijana Kasulu wapata ujuzi ufugaji wa samaki na uchakataji
Vijana ni nguvu kazi muhimu katika maendeleo ya taifa na ili waweze kushiriki kikamilifu katika kukuza uchumi, wanahitaji elimu na ujuzi unaowawezesha kujiajiri na kuanzisha shughuli za uzalishaji Na Hagai Ruyagila Jumla ya vijana 43 kutoka wilaya tatu za Mkoa…
15 July 2026, 09:02
Enabel yakabidhi madarasa yanayohamishika Kasulu
Elimu ni msingi muhimu wa maendeleo ya mtu binafsi na taifa kwa ujumla na kupitia elimu, jamii hupata maarifa, ujuzi na maadili yanayochangia maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa, utekelezaji wa miradi ya elimu unahitaji rasilimali nyingi, utaalamu na ushirikiano…
9 July 2026, 13:33
UNHCR yakabidhi rasmi majengo ya chuo cha ufundi Maloregwa Kibondo
Kupokelewa kwa majengo ya Chuo cha Ufundi Maloregwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) kunatajwa kuwa hatua muhimu itakayochochea maendeleo ya elimu na uchumi wa wananchi wa wilaya hiyo. Na…
3 July 2026, 12:56
Wananchi wataka elimu zaidi ya kutambua rushwa Kasulu
Rushwa ni moja ya changamoto kubwa zinazokwamisha maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla kwani huathiri utoaji wa huduma za umma, hupunguza uwajibikaji na kudhoofisha imani ya wananchi kwa taasisi za serikali Na Sadick Kibwana Baadhi ya wakazi wa Wilaya…
24 June 2026, 17:51
NMB yakabidhi madawati 150 Kakonko
Walimu walipokea madawati hayo wametakiwa kutatunza ili yaweze kudumu na kutumika kwa muda mrefu Na Mwandishi wetu Benki ya NMB imekabidhi madawati 150 kwa shule mbalimbali za Wilaya ya Kakonko katika hafla iliyofanyika leo, Juni 24, katika Shule ya Msingi…
23 June 2026, 16:19
Walimu wapewa mbinu za kidijitali kuimarisha ufundishaji Kigoma
Teknolojia imeendelea kukua kwa kasi duniani na kuleta mabadiliko makubwa katika sekta mbalimbali, ikiwemo sekta ya elimu kutokana na maendeleo hayo, walimu wanapaswa kuendana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia ili waweze kutoa elimu bora inayokidhi mahitaji ya wakati. Na…
20 June 2026, 13:15
Tamasha la urithi wa Ujiji kuhimiza madili kwa vijana Kigoma
Tamasha la Urithi wa Kihistoria na Utamaduni la Mji Mkongwe wa Ujiji lina umuhimu mkubwa katika kuhifadhi na kuendeleza historia, tamaduni na maadili ya jamii Na Lucas Hoha Tamasha la urithi wa kihistoria na utamaduni katika mji mkongwe wa Ujiji…
1 June 2026, 12:44
Taulo za kike, elimu ya uzazi kuinua mafanikio ya wasichana vijijini Uvinza
Hedhi ni mchakato wa kawaida wa kibaiolojia unaowapata wasichana wanapofikia umri wa balehe ingawa ni jambo la kawaida na muhimu kwa afya ya uzazi, hedhi inaweza kuwa changamoto kwa baadhi ya watoto wa kike kutokana na ukosefu wa elimu sahihi,…
21 May 2026, 15:08
Askofu ataka wazazi kupeleka watoto shule
Elimu huwasaidia watoto kupata maarifa, maadili na stadi za maisha zinazowawezesha kujitegemea na kuwa na maisha bora ya sasa na ya baadaye na watoto wanaopata elimu huwa na nafasi kubwa ya kupata ajira, kupunguza umaskini na kuchangia maendeleo ya familia,…
14 May 2026, 13:11
Walimu wakuu wapatiwa zana za ufundishaji na ujifunzaji Kasulu
Serikali pamoja na wadau wa elimu wameendelea kuchukua juhudi mbalimbali za kuboresha sekta ya elimu nchini Tanzania na miongoni mwa juhudi hizo ni utoaji wa zana za ufundishaji na ujifunzaji Na Tresipholi Odace Walimu wakuu katika Halmashauri ya Wilaya ya…