Radio Tadio

Kilimo

21 May 2026, 15:08

Askofu ataka wazazi kupeleka watoto shule

Elimu huwasaidia watoto kupata maarifa, maadili na stadi za maisha zinazowawezesha kujitegemea na kuwa na maisha bora ya sasa na ya baadaye na watoto wanaopata elimu huwa na nafasi kubwa ya kupata ajira, kupunguza umaskini na kuchangia maendeleo ya familia,…

30 April 2026, 1:34 pm

Wananchi Babati watakiwa kuzingatia mlo kamili

Wananchi wametakiwa wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kuzingati mlo kamili kwa kula vyakula vyenye lishe na sio kula kwa mazoea huku waisisitizwa kufanya mazoezi ili kujikinga na magonjwa mbalimbali na kuweka Afya zao vizuri. Na Mzidalfa Zaid Hayo yamesemwa na…

30 April 2026, 10:23

Wahitimu kidato cha sita waaswa kuwa na maadili mema Kasulu

Maadili mema ni mwongozo muhimu katika maisha ya kila siku ya mwanafunzi kwani huakisi tabia njema kama nidhamu, uaminifu, heshima, na bidii kwa mwanafunzi mwenye ndoto ya kufanikiwa maishani, maadili haya huwa nguzo kuu inayomsaidia kufikia malengo yake. Na Hagai…

21 April 2026, 09:32

Wahitimu kidato cha sita waaswa kuendeleza nidhamu Kasulu

Wanafunzi wa Kidato cha sita, katika shule ya sekondari Kigoma Grand, halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma, wametakiwa kuendeleza nidhamu waliyopata shuleni hapo ili wawe mfano wa kuigwa katika jamii inayowazunguka. Na mwandishi wetu Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mtendaji…

20 April 2026, 13:57

DED Kasulu achangia tofali 5000 ujenzi uzio wa shule

Wazazi na walezi wametakiwa kuona umuhimu wa ushirikiano kati ya wadau wa elimu katika kutatua changamoto zinazoikabili shule ya Sekondari Kigoma Grand. Na Hagai Ruyagila Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kasulu, mkoani Kigoma Mwalimu Vumilia Simbeye ameahidi kuchangia tofali 5000…

20 April 2026, 09:11

Wahitimu kidato cha sita waaswa kuwa wazalendo

Wakati wanafunzi wa kidato cha sita wakiwa wanajianda na mitihani ya kuhitimu elimu ya kidato cha sita wameaswa kusaoma kwa bidii ili waweze kufanya vizuri katika mitihani yao. Na Sadiki Kibwana Wanafunzi wanaohitimu kidato cha sita Wilaya ya Kigoma wametakiwa…