Kilimo
30 Aprili 2026, 1:34 um
Wananchi Babati watakiwa kuzingatia mlo kamili
Wananchi wametakiwa wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kuzingati mlo kamili kwa kula vyakula vyenye lishe na sio kula kwa mazoea huku waisisitizwa kufanya mazoezi ili kujikinga na magonjwa mbalimbali na kuweka Afya zao vizuri. Na Mzidalfa Zaid Hayo yamesemwa na…
30 Aprili 2026, 10:23
Wahitimu kidato cha sita waaswa kuwa na maadili mema Kasulu
Maadili mema ni mwongozo muhimu katika maisha ya kila siku ya mwanafunzi kwani huakisi tabia njema kama nidhamu, uaminifu, heshima, na bidii kwa mwanafunzi mwenye ndoto ya kufanikiwa maishani, maadili haya huwa nguzo kuu inayomsaidia kufikia malengo yake. Na Hagai…
21 Aprili 2026, 09:32
Wahitimu kidato cha sita waaswa kuendeleza nidhamu Kasulu
Wanafunzi wa Kidato cha sita, katika shule ya sekondari Kigoma Grand, halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma, wametakiwa kuendeleza nidhamu waliyopata shuleni hapo ili wawe mfano wa kuigwa katika jamii inayowazunguka. Na mwandishi wetu Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mtendaji…
20 Aprili 2026, 13:57
DED Kasulu achangia tofali 5000 ujenzi uzio wa shule
Wazazi na walezi wametakiwa kuona umuhimu wa ushirikiano kati ya wadau wa elimu katika kutatua changamoto zinazoikabili shule ya Sekondari Kigoma Grand. Na Hagai Ruyagila Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kasulu, mkoani Kigoma Mwalimu Vumilia Simbeye ameahidi kuchangia tofali 5000…
20 Aprili 2026, 09:11
Wahitimu kidato cha sita waaswa kuwa wazalendo
Wakati wanafunzi wa kidato cha sita wakiwa wanajianda na mitihani ya kuhitimu elimu ya kidato cha sita wameaswa kusaoma kwa bidii ili waweze kufanya vizuri katika mitihani yao. Na Sadiki Kibwana Wanafunzi wanaohitimu kidato cha sita Wilaya ya Kigoma wametakiwa…
20 Aprili 2026, 08:23
DED Uvinza apongeza serikali ujenzi shule ya wasichana Kigoma
Watoto wa kike wanapo pata elimu wanakuwa na nafasi kubwa ya kuboresha maisha yao na kuchangia maendeleo ya jamii na wataalamu wa elimu wanasema kuwa elimu kwa wasichana ni msingi muhimu wa maendeleo endelevu katika jamii nyingi duniani. Na Mwandishi…
13 Machi 2026, 19:47
Polisi wanawake Moro wachangia matibabu mtoto mwenye ulemavu
Polisi wanawake mkoa wa Morogoro wamefanya harambee ya kupata kiasi cha fedha Tsh.630,000 kusaidia matibabu baada ya kuona uhitaji kwa mtoto Zuhaira mara baada ya kumtembelea Machi 6, 2026 wakiadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Na Katalina Liombechi Mtandao wa Polisi…
10 Machi 2026, 16:37
Shirika la Posta lakabidhi madawati 100 shule ya msingi Kigondo Kasulu
Shirika la Posta Tanzania limesema litaendelea kuunga mkono juhudi za serikali katika kuboresha miundombinu ya elimu kwa lengo la kuinua taaluma kwa wanafunzi kwa kuhakikisha wanafunzi wanajifunza katika mazingira rafiki. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma…
6 Machi 2026, 11:36
VETA Kigoma yaendelea kukuza ujuzi kwa vijana
Katika dunia ya leo, ujuzi wa kazi ni muhimu kwa maendeleo ya vijana na taifa kwa ujumla na wengi wanahitaji mafunzo ya vitendo ili waweze kujitegemea na kuchangia katika maendeleo ya jamii ambapo VETA imekuwa na mchango mkubwa katika kuwasaidia…
2 Machi 2026, 12:09
Mbunge achangia milioni 2 kutatua changamoto ya madawati Buhigwe
Elimu ni msingi muhimu katika maendeleo ya mtoto na taifa kwa ujumla hata hivyo katika mchakato wa kujifunza, kumekuwepo na changamoto mbalimbali zinazoathiri ufanisi wa masomo darasani ikiwemo ni tatizo la watoto kukaa chini kwa kukosa madawati. Na Mwandishi wetu…