Radio Tadio

Kilimo

3 July 2026, 12:56

Wananchi wataka elimu zaidi ya kutambua rushwa Kasulu

Rushwa ni moja ya changamoto kubwa zinazokwamisha maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla kwani huathiri utoaji wa huduma za umma, hupunguza uwajibikaji na kudhoofisha imani ya wananchi kwa taasisi za serikali Na Sadick Kibwana Baadhi ya wakazi wa Wilaya…

24 June 2026, 17:51

NMB yakabidhi madawati 150 Kakonko

Walimu walipokea madawati hayo wametakiwa kutatunza ili yaweze kudumu na kutumika kwa muda mrefu Na Mwandishi wetu Benki ya NMB imekabidhi madawati 150 kwa shule mbalimbali za Wilaya ya Kakonko katika hafla iliyofanyika leo, Juni 24, katika Shule ya Msingi…

23 June 2026, 16:19

Walimu wapewa mbinu za kidijitali kuimarisha ufundishaji Kigoma

Teknolojia imeendelea kukua kwa kasi duniani na kuleta mabadiliko makubwa katika sekta mbalimbali, ikiwemo sekta ya elimu kutokana na maendeleo hayo, walimu wanapaswa kuendana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia ili waweze kutoa elimu bora inayokidhi mahitaji ya wakati. Na…

21 May 2026, 15:08

Askofu ataka wazazi kupeleka watoto shule

Elimu huwasaidia watoto kupata maarifa, maadili na stadi za maisha zinazowawezesha kujitegemea na kuwa na maisha bora ya sasa na ya baadaye na watoto wanaopata elimu huwa na nafasi kubwa ya kupata ajira, kupunguza umaskini na kuchangia maendeleo ya familia,…

30 April 2026, 1:34 pm

Wananchi Babati watakiwa kuzingatia mlo kamili

Wananchi wametakiwa wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kuzingati mlo kamili kwa kula vyakula vyenye lishe na sio kula kwa mazoea huku waisisitizwa kufanya mazoezi ili kujikinga na magonjwa mbalimbali na kuweka Afya zao vizuri. Na Mzidalfa Zaid Hayo yamesemwa na…

30 April 2026, 10:23

Wahitimu kidato cha sita waaswa kuwa na maadili mema Kasulu

Maadili mema ni mwongozo muhimu katika maisha ya kila siku ya mwanafunzi kwani huakisi tabia njema kama nidhamu, uaminifu, heshima, na bidii kwa mwanafunzi mwenye ndoto ya kufanikiwa maishani, maadili haya huwa nguzo kuu inayomsaidia kufikia malengo yake. Na Hagai…