Recent posts
1 September 2026, 16:28
MOI yatumia akili unde kurahisisha huduma za matibabu
Amesema hatua hiyo ni sehemu ya jitihada za MOI kuhakikisha wananchi wanapata huduma za tiba za kisasa, salama na zenye ufanisi, huku matumizi ya teknolojia yakiendelea kuchukua nafasi muhimu katika sekta ya afya. Na Anwary Shaban. Taasisi ya tiba ya…
1 September 2026, 16:25
Vijana wahimizwa kutumia vipaji na talanta kujikwamua kiuchumi
Vijana wameshauriwa kujitangaza kupitia vipaji na talanta zao, kufanya kazi kwa bidii na kujiwekea malengo yanayotekelezeka, huku wakitumia maarifa na uzoefu wa waliofanikiwa kama njia ya kujenga fursa za kiuchumi na kupunguza utegemezi wa ajira. Na Daniel Njau. Vijana wametakiwa…
31 August 2026, 17:51
Vijana wenye ulemavu wahakikishiwa mazingira jumuishi na ajira zenye staha
Dkt. Seif amesema hayo, Agosti 31, 2026, Bungeni jijini Dodoma, wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Yumna Omari, aliyetaka kujua mkakati mahususi wa Serikali katika kukuza ujuzi na vipaji vya vijana wenye ulemavu ili kuongeza ushiriki wao katika…
31 August 2026, 17:51
Ihumwa wasisitizwa kuzingatia usafi kuepuka magonjwa
Baadhi ya wananchi wamekiri uwepo wa maji tiririka ambayo kuhatarisha maisha ya watoto huku ikiwa ni wajibu wa Kila mtu kulinda usalama wa mazingira sambamba na Serikali kuweka miundombinu mizuri ya maji taka. Na Victor Chigwada. Wananchi wa mitaa ya…
31 August 2026, 17:42
Wanafunzi, watenda kazi wahimizwa kushirikiana kudumisha usafi shuleni
Mwalimu Michael anasisitiza kuwa jukumu la kutunza mazingira jukumu la wahudumu wa usafi pekee. Bali wanafunzi, walimu na uongozi wa shule au chuo wanapaswa kushirikiana kuhakikisha taka zinatupwa sehemu husika, vyoo vinatunzwa na maeneo ya kujifunzia yanabaki safi kila siku.…
31 August 2026, 17:29
Kilimo cha nyanya chatajwa fursa ya ajira kwa vijana
Ili vijana waweze kufaidika kikamilifu na fursa hii, jamii inapaswa kuwapa ushirikiano na kuwatia moyo, huku serikali na wadau wengine wakiendelea kuboresha mazingira ya miundombinu ya kilimo na masoko. Na Derick Mazemba. Kilimo cha nyanya kimekuwa kikitajwa kama moja ya…
31 August 2026, 17:20
SUA yaibua teknolojia ya panya kubaini mabomu
Hatua hiyo inaendelea kuonyesha namna tafiti na ubunifu wa kisayansi vinavyoweza kutumika kutatua changamoto zinazowakabili wananchi, hususani katika maeneo yaliyoathiriwa na migogoro na mabomu ya ardhini. Anwar Shabani. Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo – SUA, kwa kushirikiana na taasisi…
28 August 2026, 17:09
Usomaji wa vitabu wazidi kusahaulika katika jamii
Baadhi ya watu wanasema maendeleo ya teknolojia yamerahisisha upatikanaji wa taarifa na maarifa mtandaoni, hivyo hawaoni umuhimu wa kutumia muda mwingi kusoma vitabu. Na Daniel Njau. Usomaji wa vitabu unaonekana kupungua katika jamii kutokana na kasi ya matumizi ya intaneti…
28 August 2026, 16:53
Pombe, sigara zatajwa kuharibu maadili ya vijana Mpwayungu
Na Victor Chigwada. Mwenyekiti wa Kijiji Cha Mpwayungu Ndg.Festo Manjechi amekiri uwepo wa makundi ya vijana kuharibikiwa na starehe za unywaji wa pombe, Lakini tayari ameanza kuitisha vikao vya kundi hilo na kutoa elimu ya umuhimu wao katika jamii pamoja…
28 August 2026, 16:38
TANESCO yawapatia majaji elimu ulinzi wa miundombinu ya umeme
Kiobya amewaomba watumishi hao kutumia uelewa walioupata kusaidia kukomesha hujuma na uharibifu wa miundombinu ya umeme, huku akihimiza matumizi ya nishati safi, ikiwemo kupikia kwa kutumia umeme na matumizi ya vyombo vinavyotumia umeme katika shughuli mbalimbali. Watumishi wa Idara ya…