Dodoma FM

Recent posts

14 May 2026, 15:58

Mfumuko wa bei za bidhaa waathiri maisha ya wananchi

kupanda kwa bei ya bidhaa kunatoka na bei ya usafirishaji wa bidhaa kuwa juu pamoja na kiwango kidogo cha uzalishaji wa bidhaa kutoka viwandani. Na Firdaus Makame. Wananchi jijini Dodoma wamelalamikia kupanda kwa bei za bidhaa hususani bei ya vyakula…

13 May 2026, 17:49

Mitazamo hasi inakwamishaje vijana kujiingizia kipato?

Masuala ya Kijamii Masuala ya kijamii kama vile ukatili wa kijinsia, ndoa za utotoni, na mimba za mapema pia ni masuala muhimu kwa vijana nchini Tanzania. Kwa mfano, takribani asilimia 37 ya wasichana nchini Tanzania wanaozwa kabla ya kufikia umri…

13 May 2026, 17:15

Stanbic wakabidhi vifaa tiba RRH, BMH na Mirembe

Vifaa vilivyotolewa ni pamoja na shuka 300, glovu 150 za upasuaji, sindano 450 na paketi 90 za vifaa vya upasuaji. Na Mariam Kasawa. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma amepokea  na kukabidhi vifaa tiba kwa hospital tatu za Mkoa wa Dodoma…

13 May 2026, 16:51

Taka ngumu ni mali tumia rejea weka mji safi

Mkutano huu ukalete tija kwa maafisa mazingira wote kwa kutoa Elimu na kuelimisha Jamii kwa ujumla juu ya maswala ya Taka. Na Anwary Shaban. Wananchi wametakiwa kutambua kuwa Taka ngumu ni mali, hivyo wanaweza kuzitumia na kuzirejeleza ili kuweka mji…

13 May 2026, 16:12

Mgogoro wa miaka 20 wapata suluhu Kibaigwa

Aidha, Wakili Onyango amesema pande zote mbili zimesaini hati ya makubaliano kama uthibitisho wa kuhitimisha rasmi mgogoro huo. Na Mariam Kasawa. Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Awamu ya Pili) imefanikiwa kumaliza mgogoro wa ardhi uliodumu…

12 May 2026, 17:44

Wananchi walalamika kupanda kwa gharama za maisha

Kupanda kwa bei ya mafuta kumewaathiri kwa kiasi kikubwa kwani baadhi yao wamejikuta wakipokonywa pikipiki. Na Firdaus. Wananchi jijini Dodoma wamelalamikia kupanda kwa gharama za maisha hali inayopelekea biashara kukwama na maisha kuwa magumu. Taswira ya habari imetembelea mitaa ya…

12 May 2026, 16:59

Daraja jipya suluhisho kwa wakazi Nzali, Chilonwa

Naye, Meneja wa Wakala wa Barabara mkoa wa Dodoma mhandisi Zuhura Amani amesema kukamilika kwa daraja hilo kutamaliza changamoto ya mawasiliano ya muda mrefu katika barabara ya Chamwino- Dabalo Itiso -Chinene Km 70 ambayo inaunganisha barabara ya Morogoro na Arusha.…

12 May 2026, 16:36

Kausha damu chanzo cha migogoro ya ndoa Mpwapwa

Aidha ametoa wito Kwa Wananchi  kuzingatia taratibu za kisheria  Ili kupunguza migogoro au kuepuka kuingia Katika makosa ya jinai. Na Stephen Noel . Wananchi wa wilaya ya Mpwapwa wamejitokeza kupata msaada wa kisheria unaotolewa na timu ya  mama Samia Legal…

11 May 2026, 17:19

Huduma za maji na umeme kusogezwa karibu na wananchi

Alieleza kuwa Serikali itakaa pamoja na sekta husika kupitia tathmini ya kina ili kufikia uamuzi utakaowezesha wananchi wa maeneo hayo kupata huduma ya umeme kwa urahisi zaidi, huku akisisitiza dhamira ya Serikali ya kuhakikisha maendeleo ya huduma za kijamii yanawafikia…

11 May 2026, 16:22

Uchakavu wa majengo ya zahanati Handali waleta hofu kwa wagonjwa

Kituo hicho kukabiliwa na uchakavu wa majengo yake sanjali na nyumba za watumishi wa afya. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Handali wilayani Chamwino wameiomba serikali kupitia wizara ya afya kukarabati kituo cha afya kijijini hapo kwani majengo yake ni chakavu…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger