Recent posts
18 March 2024, 12:05 pm
Wanaume Dodoma waonywa kuacha ukatili wa kiuchumi kwa wake zao
Mkutano huo ulikuwa na lengo la kutoa hamasa kwa wananchi hususani wanawake kujiunga na vyama vya ushirika. Na Fred Cheti. Wanaume wametakiwa kuacha kufanya ukatili wa kiuchumi kwa wake zao hasa kwenye kilimo ambapo inaelezwa kuwa baadhi ya wanaume wamekua…
15 March 2024, 7:40 pm
Bodaboda wasabisha kelele walalamikiwa Nzuguni B
Pikipiki zimekuwa zikichangia uchafuzi wa mazingira kutokana na kelele. Na Mindi Joseph.Wananchi wa Mtaa wa Nzunguni B kata ya Nzunguni Jijini Dodoma wamelalamikia waendesha pikipiki wenye tabia ya kutoboa exsoze za pikipiki na kusababisha vyombo hivyo kutoa sauti zinazo leta…
15 March 2024, 7:03 pm
Mgogoro wa vitongoji viwili wakwamisha ujenzi wa Zahanati Songolo
Vitongoji hivi vilipinga ujenzi wa zahanati hiyo na kususa kushiriki hali iliyochangia Wananchi wa kijiji cha Madaha kutembea zaidi ya kilomita 20 kufuata huduma za afya katika Kituo cha afya Hamai. Na Mindi Joseph.Uwepo wa Mgogoro baina ya vitogoji vya…
15 March 2024, 6:40 pm
Soko kuu Majengo lafanikiwa ukusanyaji taka.
Wananchi wanahimizwa kuendelea kuweka mazingira katika hali ya usafi huku wakitakiwa kufahamu kuwa kuweka takataka chini ni kosa kisheria. Na Mariam Kasawa.Soko Kuu la majengo jijini Dodoma limefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika zoezi la ukusanyaji yaka hali inayopelekea mazingira kuwa…
15 March 2024, 6:16 pm
NEMC na Halmashauri ya jiji la Dodoma zaagizwa kufanya tathhmini katika milima
kwa mujibu wa sheria ya mazingira ibara ya 58 ibara ndogo ya 2 kifungu kidogo cha D Kinatoa maelekezo ya kulinda vilima vyote vya jiji la Dodoma. Na Mariam Kasawa.Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), pamoja…
9 March 2024, 5:35 pm
Sera ya Jinsia kukuza usawa wa kijinsia
Waziri Dkt. Gwajima amewasisitiza wanawake kujiunga na vikundi vya maendeleo ili kutumia fursa za kiuchumi zinazotolewa na Serikali pamoja na wadau na kuwahimza kujitokeza kugombea nafasi mbalimnali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu. Na Mariam Matundu.…
6 March 2024, 6:54 pm
Malipo yakwamisha urasimishaji wa ardhi Ihumwa
Zoezi hilo la urasimishaji linahusisha zaidi ya viwanja 2500 kwa upande wa mtaa wa ihumwa A ambapo inaelezwa kwa ni viwanja visivyozidi 100 ndivyo vimelipiwa. Na Victor Chigwada.Kusuasua kwa Malipo ya zoezi la Urasimishaji wa ardhi katika kata ya Ihumwa…
5 March 2024, 6:48 pm
Chihoni waomba serikali kuwasaidia ukarabati wa madarasa
Endapo Ukarabati wa madarasa hayo utafanyika utaweka miundombinu ya shule hiyo katika hali ya usalama kwa wanafunzi katika ujifunzaji. Na Mindi Joseph. Wanachi katika Mtaa wa Chihoni kata ya Nala wameiomba serikali kuwasaidia ukarabati wa madarasa 4 ya shule ya…
5 March 2024, 6:32 pm
Wafanyabiashara Mnada Mpya walia ugumu wa biashara
5 March 2024, 5:00 pm
Ummy: Asilimia 9.8 ya watu nchini hawana vyoo
Waziri Ummy amezielekeza mamlaka kuhakikisha zinasimamia vyema matumizi ya vyoo kwa wasafiri wawapo safarini kwa kuhakikisha mabasi yanasimama kwenye maeneo rasmi ikiwemo stendi za mabasi . Na Mariam Kasawa. Takwimu zinaonesha kuwa asilimia 9.8 ya watu nchini hawana vyoo kabisa…