Recent posts
26 June 2026, 16:21
Serikali yaendelea kuchukua hatua kuimarisha huduma za ustawi wa jamii
Watu wenye ulemavu waliofikiwa wakiwa 3,266 lengo ni kuwajengea uwezo wazazi na walezi ili kuhakikisha watoto wanapata malezi bora. Na Mariam Matundu.Serikali imeendelea kuchukua hatua za kuimarisha ustawi wa watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi kwa kuratibu vikao shirikishi vya kijamii…
26 June 2026, 15:51
Maadhimisho Siku ya Ushirika kufanyika Julai 3-4 Dodoma
Siku ya Ushirika Duniani huadhimishwa kila mwaka Jumamosi ya kwanza ya mwezi Julai. Mwaka huu, maadhimisho hayo yatafanyika Jijini Dodoma katika Ukumbi wa Jakaya Mrisho Kikwete kuanzia Julai 3 hadi 4. Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya…
26 June 2026, 15:41
Michezo ni sehemu muhimu katika ukuaji wa mtoto
Hata hivyo, baadhi yao wameonya kuwa michezo inaweza kuwa na hatari iwapo watoto watacheza bila uangalizi wa watu wazima. Na Daniel Njau.Michezo imeendelea kutajwa kuwa sehemu muhimu katika ukuaji wa watoto, huku wananchi wakisema huwasaidia kuwa wachangamfu, kujifunza kushirikiana na…
26 June 2026, 15:01
Changamoto ya ajira chanzo cha vijana kukata tamaa
Vijana wengi wakiwa wamehitimu vyuo na shule za ufundi bado wanakaa nyumbani bila kazi yoyote. Na Steven Noel. Ajira ni haki na fursa muhimu kwa kila raia, hasa vijana ambao ndio nguvu kazi ya taifa na ndio kundi kubwa lenye…
26 June 2026, 14:52
Ifahamu ngoma ya Landaa inayochezwa wakati wa mavuno
Mwanafahari karibu uweze kufahamu mengi kupitia simulizi na tamaduni za makabila mbalimbali kupitia fahari ya Dodoma. Na Yussuph Hassan. Ngoma hii inafahamika kwa jina la Landaa mchezo wa ngoma hii ulichezwa kwenye matukio na sherehe yoyote lakini ngoma hii huchezwa…
26 June 2026, 13:01
Taasisi na mashirika yasiyo ya kiserikali yatakiwa kuzingatia sheria
Muongozo huo unatarajiwa kuimarisha utawala bora, uwajibikaji na ufanisi katika uendeshaji wa mashirika yasiyo ya kiserikali nchini, sambamba na kuongeza mchango wao katika kuharakisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Na Anwary Shaban. Serikali imezitaka Taasisi na Mashirika yasiyo ya kiserikali…
26 June 2026, 12:48
Waziri Kapinga aipongeza Mainland kwa uwekezaji mkubwa
Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo maboresho ya sera, sheria na mifumo ya kodi ili kuvutia uwekezaji zaidi katika viwanda vya mafuta ya kula na kuongeza uzalishaji wa ndani. Na Mariam Kasawa.Serikali imeahidi kuendelea kuweka mazingira bora kwa wawekezaji katika…
25 June 2026, 17:56
Fahamu ngoma ya kabila la wasandawe wakati wa jando
Wanasema kwasasa elimu na sheria imesaidia kwa kiasi kikubwa kukomesha mila ya ukeketaji haipo tena hivyo ngoma hii huchezwa kabla na baada ya watoto wa kiume kwenda jando. Na Yussuph Hassan.licha ya kabila hili kuwa na aimba mbalimbali za ngoma…
25 June 2026, 17:26
Wachimbaji walalamika kukosa vifaa kinga
Kemikali migodini hutumika katika kuchuja, kutenganisha, na kuyeyusha madini kama dhahabu na shabakutoka kwenye miamba, pamoja na kutibu maji machafuKemikali kuu inayotumika ni Zebaki kwa wachimbaji wadogo. Na Victor Chigwada. Baadhi ya wachimbaji wadogo wadogo wa madini ya dhahabu katika…
25 June 2026, 17:06
Wananchi watakiwa kuzingatia lishe kwa afya
Maadhimisho ya Siku ya Afya na Lishe katika Kijiji cha Gawaye yamekuwa jukwaa muhimu la kuwajengea wananchi uelewa kuhusu umuhimu wa lishe bora, kinga dhidi ya magonjwa na matumizi sahihi ya huduma za afya, hatua inayotarajiwa kuimarisha ustawi wa jamii…