Dodoma FM

Recent posts

19 March 2026, 16:53

Baadhi ya vijana Ndogowe watelekeza mashamba yao

Hayo yanajiri baada ya vijana wa mradi wa Jenga kesho iliyo bora (BBT)Kijiji Cha Ndogowe kuonekana kushindwa kuendelea na palizi katika mashamba Yao yaliyopo katika mpango huo . Na Victor Chigwada. Wanufaika wa mradi wa Jenga kesho iliyo bora BBT…

19 March 2026, 16:35

Washikiri zoezi la upandaji miti Shule ya Mzingi Mchemwa

Umuhimu wa kupanda miti na kutunza mazingira ya shule una faida nyingi kama vile kupata miti ya kivuli, kuchangia katika kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi na kukuza elimu ya uhifadhi wa mazingira kwa wanafunzi na jamii. Na Mariam Kasawa.…

19 March 2026, 16:24

Watendaji wa mitaa kuimarisha ufuatiliaji wa ujenzi na biashara

Ufuatiliaji wa biashara unalenga kuhakikisha kila mfanyabiashara anafanya shughuli zake kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu . Na Mariam Kasawa. Watendaji wa Mitaa na Kata kutoka Kanda Namba Mbili aktika Manisipaa ya Dodoma wamekumbushwa kuimarisha ufuatiliaji wa shughuli za ujenzi…

19 March 2026, 16:02

Tume ya utumishi kutumia wiki mbili kuamua rufaa za watumishi

Tume ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora itawalisha taarifa mbalimbali za utekelezaji wa majukumu ya tume, kujadili na kutolea maelekezo kwenye mkutano wake. Na Anwary Shaban. Tume ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imepanga kujadili  malalamiko mbalimbali yaliyowasilishwa…

18 March 2026, 18:16

Wanawake KKKT Mpwapwa wawashika mkono wanawake wanaopitia changato

Wamesema lengo la kutoa msaada huo pia ni kuadhimisha siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka machi 8 hivyo wametumia maadhimisho hayo kutoa msaada huo. Na Steven Noel.Umoja wa wananawake wa kanisa la kiinjili la kirutheli Tanzania dayosisi ya…

18 March 2026, 17:38

Wamiliki wa viwanja watakiwa kuendeleza viwanja vyao

Hata hivyo, Halmashauri ya Jiji la Dodoma imewataka wananchi na taasisi zote kuhakikisha wanafuata taratibu za mipango miji na kupata vibali stahiki kabla ya kuanza ujenzi, ili kuepusha hasara na migogoro ya kisheria. Na Anwary Shaban. Halmashauri ya Jiji la…

18 March 2026, 17:19

Wananchi Chanh’umba walalamika baadhi ya mabomba kutotoa maji

Mwenyekiti wa vitongoji hivyo Bw Amosi Lusiji amekiri zoezi la usambazaji miundombinu ya maji umekamilika Kwa asilimia kubwa katika vitongoji. Na Victor Chigwada. Wakazi wa vitongoji vya Arusha, Ilolo na kawawa Kijiji Cha Chanh’umba Wilayani Chamwino wameomba kufanyiwa ukarabati wa…

17 March 2026, 18:20

Mwekezaji  Muungano ashindwa kutekeleza ahadi zake kwa wananchi

Wananchi wa kijiji cha Muungano wilayani Chamiwno wanasema Ndg.Baraka Baradiga wa GG Mining Company ambaye ndiyo mmiliki wa kampuni ya kusaga kokoto katika mgodi huo emeshindwa kutekelezaji ahadi zake. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kijiji Cha Muungano Wilaya ya Chamwino…

17 March 2026, 17:58

Teknolojia yatajwa kuongeza ajira kwa vijana

Kutokana na kukua kwa teknolojia nchini serikali imekuwa ikishauri vijana kuhakikisha wanatumia nafasi hiyo kujikwamua kiuchumi ikiwemo kujitangaza pamoja na kutengeneza maudhui yanayo endana na mila na tamaduni za kitanzania. Na Mwanahamis Badi. Ukuaji  wa teknolojia umetajwa  kutengeneza fursa mpya…

17 March 2026, 17:22

Ubovu wa miundombinu ya Barabara Miyuji Waathiri usafirishaji

Kuharibika kwa miundombinu ya Barabara katika kipindi hiki cha masika ni suala ambalo limekuwa likiripotiwa katika maeneo mbalimbali nchini ambapo serikali inaendelea na juhudi za kuboresha miundombinu ili kukabiliana na hali hiyo. Na Amina Juma. Ubovu wa miundombinu ya Barabara…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger