Dodoma FM

Recent posts

18 March 2024, 12:05 pm

Wanaume Dodoma waonywa kuacha ukatili wa kiuchumi kwa wake zao

Mkutano huo ulikuwa na lengo la kutoa hamasa kwa wananchi hususani wanawake kujiunga na vyama vya ushirika. Na Fred Cheti. Wanaume wametakiwa kuacha kufanya ukatili wa kiuchumi kwa wake zao hasa kwenye kilimo ambapo inaelezwa kuwa baadhi ya wanaume wamekua…

15 March 2024, 7:40 pm

Bodaboda wasabisha kelele walalamikiwa Nzuguni B

Pikipiki zimekuwa zikichangia uchafuzi wa mazingira kutokana na kelele. Na Mindi Joseph.Wananchi wa Mtaa wa Nzunguni B kata ya Nzunguni Jijini Dodoma wamelalamikia waendesha pikipiki wenye tabia ya kutoboa exsoze za pikipiki na kusababisha vyombo hivyo kutoa sauti zinazo leta…

15 March 2024, 7:03 pm

Mgogoro wa vitongoji viwili wakwamisha ujenzi wa Zahanati Songolo

Vitongoji hivi vilipinga ujenzi wa zahanati hiyo na kususa kushiriki hali iliyochangia Wananchi wa kijiji cha Madaha kutembea zaidi ya kilomita 20 kufuata huduma za afya katika Kituo cha afya Hamai. Na Mindi Joseph.Uwepo wa Mgogoro baina ya vitogoji vya…

15 March 2024, 6:40 pm

Soko kuu Majengo lafanikiwa ukusanyaji taka.

Wananchi wanahimizwa kuendelea kuweka mazingira katika hali ya usafi huku wakitakiwa kufahamu kuwa kuweka takataka chini ni kosa kisheria. Na Mariam Kasawa.Soko Kuu la majengo jijini Dodoma limefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika zoezi la ukusanyaji yaka hali inayopelekea mazingira kuwa…

9 March 2024, 5:35 pm

Sera ya Jinsia kukuza usawa wa kijinsia

Waziri Dkt. Gwajima amewasisitiza wanawake kujiunga na vikundi vya maendeleo ili kutumia fursa za kiuchumi zinazotolewa na Serikali pamoja na wadau na kuwahimza kujitokeza kugombea nafasi mbalimnali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu. Na Mariam Matundu.…

6 March 2024, 6:54 pm

Malipo yakwamisha urasimishaji wa ardhi Ihumwa

Zoezi hilo la urasimishaji linahusisha zaidi ya viwanja 2500 kwa upande wa mtaa wa ihumwa A ambapo inaelezwa kwa ni viwanja visivyozidi 100 ndivyo vimelipiwa. Na Victor Chigwada.Kusuasua kwa Malipo ya zoezi la Urasimishaji wa ardhi katika kata ya Ihumwa…

5 March 2024, 6:48 pm

Chihoni waomba serikali kuwasaidia ukarabati wa madarasa

Endapo Ukarabati wa madarasa hayo utafanyika utaweka miundombinu ya shule hiyo katika hali ya usalama kwa wanafunzi katika ujifunzaji. Na Mindi Joseph. Wanachi katika Mtaa wa Chihoni kata ya Nala wameiomba serikali kuwasaidia ukarabati wa madarasa 4 ya shule ya…

5 March 2024, 5:00 pm

Ummy: Asilimia 9.8 ya watu nchini hawana vyoo

Waziri Ummy amezielekeza mamlaka kuhakikisha zinasimamia vyema matumizi ya vyoo kwa wasafiri wawapo safarini kwa kuhakikisha mabasi yanasimama kwenye maeneo rasmi ikiwemo stendi za mabasi . Na Mariam Kasawa. Takwimu zinaonesha kuwa asilimia 9.8 ya watu nchini hawana vyoo kabisa…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger