Dodoma FM
Dodoma FM
19 March 2026, 16:53
Hayo yanajiri baada ya vijana wa mradi wa Jenga kesho iliyo bora (BBT)Kijiji Cha Ndogowe kuonekana kushindwa kuendelea na palizi katika mashamba Yao yaliyopo katika mpango huo . Na Victor Chigwada. Wanufaika wa mradi wa Jenga kesho iliyo bora BBT…
19 March 2026, 16:35
Umuhimu wa kupanda miti na kutunza mazingira ya shule una faida nyingi kama vile kupata miti ya kivuli, kuchangia katika kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi na kukuza elimu ya uhifadhi wa mazingira kwa wanafunzi na jamii. Na Mariam Kasawa.…
19 March 2026, 16:24
Ufuatiliaji wa biashara unalenga kuhakikisha kila mfanyabiashara anafanya shughuli zake kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu . Na Mariam Kasawa. Watendaji wa Mitaa na Kata kutoka Kanda Namba Mbili aktika Manisipaa ya Dodoma wamekumbushwa kuimarisha ufuatiliaji wa shughuli za ujenzi…
19 March 2026, 16:02
Tume ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora itawalisha taarifa mbalimbali za utekelezaji wa majukumu ya tume, kujadili na kutolea maelekezo kwenye mkutano wake. Na Anwary Shaban. Tume ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imepanga kujadili malalamiko mbalimbali yaliyowasilishwa…
18 March 2026, 18:16
Wamesema lengo la kutoa msaada huo pia ni kuadhimisha siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka machi 8 hivyo wametumia maadhimisho hayo kutoa msaada huo. Na Steven Noel.Umoja wa wananawake wa kanisa la kiinjili la kirutheli Tanzania dayosisi ya…
18 March 2026, 17:38
Hata hivyo, Halmashauri ya Jiji la Dodoma imewataka wananchi na taasisi zote kuhakikisha wanafuata taratibu za mipango miji na kupata vibali stahiki kabla ya kuanza ujenzi, ili kuepusha hasara na migogoro ya kisheria. Na Anwary Shaban. Halmashauri ya Jiji la…
18 March 2026, 17:19
Mwenyekiti wa vitongoji hivyo Bw Amosi Lusiji amekiri zoezi la usambazaji miundombinu ya maji umekamilika Kwa asilimia kubwa katika vitongoji. Na Victor Chigwada. Wakazi wa vitongoji vya Arusha, Ilolo na kawawa Kijiji Cha Chanh’umba Wilayani Chamwino wameomba kufanyiwa ukarabati wa…
17 March 2026, 18:20
Wananchi wa kijiji cha Muungano wilayani Chamiwno wanasema Ndg.Baraka Baradiga wa GG Mining Company ambaye ndiyo mmiliki wa kampuni ya kusaga kokoto katika mgodi huo emeshindwa kutekelezaji ahadi zake. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kijiji Cha Muungano Wilaya ya Chamwino…
17 March 2026, 17:58
Kutokana na kukua kwa teknolojia nchini serikali imekuwa ikishauri vijana kuhakikisha wanatumia nafasi hiyo kujikwamua kiuchumi ikiwemo kujitangaza pamoja na kutengeneza maudhui yanayo endana na mila na tamaduni za kitanzania. Na Mwanahamis Badi. Ukuaji wa teknolojia umetajwa kutengeneza fursa mpya…
17 March 2026, 17:22
Kuharibika kwa miundombinu ya Barabara katika kipindi hiki cha masika ni suala ambalo limekuwa likiripotiwa katika maeneo mbalimbali nchini ambapo serikali inaendelea na juhudi za kuboresha miundombinu ili kukabiliana na hali hiyo. Na Amina Juma. Ubovu wa miundombinu ya Barabara…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-