Recent posts
10 August 2026, 16:54
Vijana Dodoma walalamikia kipato kisichokidhi mahitaji
Ukosefu wa ajira ni moja ya changamoto kubwa zinazowakabili vijana kote duniani, hasa katika nchi zinazoendelea. Nchi nyingi zinakosa nafasi za ajira za kutosha kutokana na ongezeko kubwa la vijana wanaomaliza masomo kila mwaka Hali hii husababisha vijana wengi kubaki…
10 August 2026, 16:43
Wananchi mwatano walalamikia kero ya taka
Wananchi hao wametakiwa kutambua kuwa elimu ni nyenzo muhimu katika kukabiliana na changamoto ya utunzaji wa mazingira, huku wakisisitizwa kujenga utamaduni wa kutupa taka katika maeneo maalumu na kuhakikisha mazingira yanakuwa safi na salama. Na Ramla Kimu. Wananchi wa Mtaa…
10 August 2026, 16:24
Wananchi watakiwa kuacha matumizi ya dawa bila ushauri wa wataalamu
Wananchi wametakiwa kufuata taratibu sahihi za matibabu, ikiwemo kupata ushauri wa wataalamu kabla ya kutumia dawa na kuzingatia maelekezo waliyopewa. Na Daniel Njau. Wananchi wametakiwa kuacha kutumia dawa, hususan antibiotiki, bila ushauri wa daktari na kufuata maelekezo ya wataalamu wa…
10 August 2026, 16:11
Akili unde inavyoweza kuleta ufanisi katika shughuli mbalimbali
Wakati matumizi ya akili unde yakizidi kuenea duniani, wataalamu wanaendelea kusisitiza umuhimu wa matumizi yenye uwajibikaji ili teknolojia hiyo iwe chachu ya maendeleo, ubunifu na fursa mpya za ajira badala ya kuwa chanzo cha changamoto kwa jamii. Na Kang’wa Mangala.…
10 August 2026, 15:55
Wananchi watakiwa kuwa makini na fursa za mitandaoni
Wananchi wametakiwa kutokubali tamaa za fursa zinazoonekana kuvutia mitandao bila kuzichunguza huku wakihimizwa kutoa taarifa mapema wanapobaini viashiria vya utapeli au usafirishaji haramu wa binadamu. Na Anwary Shaban. Katika kipindi ambacho mitandao ya kijamii imekuwa sehemu ya maisha ya kila…
7 August 2026, 20:17
Wakulima wanaweza kupokea malipo ya mazao kupitia Mixx by Yas
Hii ni hatua inayolenga kuboresha ukusanyaji wa mapato ya wakulima, kuongeza upatikanaji wa mikopo ya kilimo na kulinda afya ya mifugo kupitia bima, yote kwa njia yenye usalama na ufanisi kupitia simu zao za mkononi. Na Anwary Shabani. Wakulima mkoani…
7 August 2026, 16:41
Ulinzi waimarishwa katika viwanja vya maonesho ya nanenane Dodoma
Katika hatua nyingine, ACP Hyera amewataka wataalamu wa tiba asili kuacha kujihusisha na vitendo vya ramli chonganishi vinavyoweza kusababisha migogoro na kuvuruga amani katika jamii, akisisitiza kuwa Jeshi la Polisi litaendelea kuchukua hatua dhidi ya vitendo vyovyote vinavyohatarisha usalama na…
7 August 2026, 12:52
Wanaume wanawezaje kuripoti matukio ya ukatili wa kijinsia?
Ni muhimu kufahamu kuwa ukatili umegawanyika katika makundi manne makuu: ambayo ni ukatili wa kimwili, ukatili wa kingono, ukatili wa kihisia na ukatili mwingine. Na Mariam Kasawa.Ukatili wa kijinsia ni kitendo chochote cha unyanyasaji ambacho husababisha, au kinaweza kusababisha madhara…
7 August 2026, 11:37
Wananchi walalamikia upimaji wa ardhi unaoleta migogoro katika jamii
Kutokana na maelekezo ya mkuu wa wilaya wenyekiti wa mtaa wa Mbulu Mission Solomon Ruta amekiri kupokea maelekezo ya mkuu wa wilaya huku akiahidi kuyafanyia kazi haraka iwezekanavyo. Na Leokadia Andrew. Baadhi ya wananchi wa mtaa wa Mbulu wilayani Kahama…
7 August 2026, 11:03
Serikali yaombwa kushughulikia chanzo cha changamoto za vijana Mpwapwa
Na Stephen Noel. Vijana wa vyuo vya kati wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuweka mkazo katika kushughulikia vyanzo vya changamoto zinazowakabili vijana badala ya kujikita katika kushughulikia matokeo yake pekee.Ombi hilo limetolewa na baadhi ya vijana hao walipozungumza na…