Recent posts
15 April 2026, 17:30
Wazazi watakiwa kuthamini usawa kwenye elimu ya watoto
Licha ya changamoto mbalimbali lakini kumekuwa na muamko mkubwa ndani ya jamii wa kuwapeleka watoto wa kike shuleni pasipo kukatishwa masomo hususani maeneo ya vijijini. Na Victor Chigwada. Jamii imetakiwa kutambua umuhimu wa elimu Kwa watoto wa kike ili kukuza…
14 April 2026, 18:34
Tembo wakatisha vikao vya maendele ya kijiji Chinugulu
Inaelezwa kuwa vitongoji hivyo vilivyo karibu na pori hilo la akiba havifikiwi na viongozi wake mara kwa mara. Na Victor Chigwada. Viongozi wa Kijiji cha Chinugulu wilayani Chamwino wameeleza kushindwa kuvifikia baadhi ya vitongoji wanavyo viongoza kutokana na uwepo wa…
14 April 2026, 18:09
Unakabiliana vipi na uraibu wa tabia toka kwa vijana
Lakini tabia au hobi yoyote ambayo inachukua maisha yako na kuingilia utendaji wako wa kila siku inaweza kusababisha matatizo makubwa na afya yako ya akili, kijamii, na kimwili na katika hali fulani, fedha zako pia. Na Mariam Kasawa.Uraibu wa dawa…
13 April 2026, 17:16
Shule Shikizi Segu Chini kujengwa chumba kimoja cha darasa
Shule shikizi hiyo itasaidia watoto hasa wa madarasa ya chini wanaoishi maeneo ya mbali kupata elimu karibu, ambapo wanatembea umbali wa km 7 kufika Shule ya Msingi Nala kusoma na wengine kutembea umbali wa km 8 kufika Shule ya Msingi…
13 April 2026, 16:28
Migogoro ya ndoa chanzo watoto wa mitaani
Kwa mwaka 2026 Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni malezi na ulinzi wa mtoto ni WAJIBU wetu sote. Na Steven Noel Jamii imeshauriwa kuchukua hatua dhidi ongezeko la watoto wanaotumikishwa mitaani pamoja na ongezeko la watoto wa mitaani linalozidi kuongezeka…
13 April 2026, 11:46
Mikopo ya kausha damu yawatesa Ngh’ambaku
Mikopo umiza imekuwa ikisababisha athari nyingi kwa jamii ikiwemo familia zinazo jiingiza kwenye mikopo hiyo kukumbwa na madeni yasiyo kwisha. Na Victor Chigwada Wakazi wa Kata ya Ngh’ambaku Wilayani Chamwino wametakiwa kuachana na mikopo umiza maarufu kama kausha damu kwani…
13 April 2026, 10:53
Mwanaume anaweza kuzungumzia ukatili wa kijinsia anaofanyiwa?
Matendo ya ngono yatakayosababishwa kwa maneno au matendo na mtu aliye na madaraka katika sehemu ya kazi au sehemu nyingine yoyote, atakuwa ametenda kosa la udhalilishaji wa kijinsia. Na Mariam KasawaUmoja wa Mataifa unafafanua kuwa ukatili wa kijinsia ni kitendo…
9 April 2026, 17:25
Sigara/shisha huchangia magonjwa ya moyo kwa vijana
Unywaji wa pombe pamoja na uvutaji wa sigara umetajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu zinazo sababisha ongezeko la magonjwa ya moyo, hususani kwa wanaume. Na Bennard Filbert. Hayo yameelezwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Jakaya Kikwete Cardiac Institute, Dkt. Peter…
9 April 2026, 17:06
Viongozi wa umma watakiwa kuendelea kuzingatia maadili
Sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma ni taasisi iliyo chini ya ofisi ya rais kwa kusimamia maadili ya viongozi wa umma katika uwajibikaji wa shughuli mbalibali. Na Jerome John. Viongozi wa umma nchini wamekumbushwa kuendelea kuzingatia suala la maadili…
9 April 2026, 14:02
Tunawezaje kukomesha ukatili wa kijinsia unao tokana na athari za mabadiliko ya…
Na Mariam Kasawa. Umoja wa Mataifa, ambao umebaini kuwa mabadiliko ya tabianchi yanazidisha msongo wa kijamii na kiuchumi unaochochea kuongezeka kwa viwango vya vurugu dhidi ya wanawake na wasichana. Ripoti hiyo inaonesha kuwa hali mbaya ya tabianchi, kuhama makazi, ukosefu…