Recent posts
22 June 2026, 16:18
Vijana miaka 13 hadi 35 wahanga matumizi dawa za kulevya
Siku ya Kimataifa ya Kupiga Vita Dawa za Kulevya Duniani huadhimishwa kila mwaka tarehe 26 Juni. Na Elizabeth Tanzania Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA) imeeleza kuwa matumizi ya dawa za kulevya ni changamoto kubwa…
19 June 2026, 18:33
Serikali yahimiza uwekezaji katika Tafiti na ubunifu nchini
Prof. Mkenda ametoa wito kwa watafiti, wahadhiri na wadau wa elimu kutumia fursa hiyo kuwasilisha tafiti zenye tija kwa jamii, akisisitiza kuwa maendeleo ya Tanzania yanategemea kwa kiasi kikubwa matumizi ya sayansi, teknolojia na ubunifu katika kutatua changamoto za wananchi.…
19 June 2026, 18:26
Mradi wa maendeleo jumuishi ya kijani wazinduliwa Dodoma
Agridiversity Tanzania ni shirika lisilo la kiserikali (NGO) la Tanzania linalojihusisha na kuendeleza kilimo endelevu kwa wakulima wadogo. Na Elizabeth Tanzania. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amezindua Mradi wa Maendeleo Jumuishi ya Kijani (Inclusive Green Transformation – IGRET),…
19 June 2026, 18:12
Wasio julikana waiba milango ya vyoo vya shule
Halmashauri ilitenga fedha na kukamilisha ujenzi wa vyoo vya wanafunzi katika Shule ya Msingi Ubembeni. Na Kitana Hamis. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Kondoa, Mhe. Saidi Majaliwa, amesema Halmashauri ilitenga fedha na kukamilisha ujenzi wa vyoo vya wanafunzi katika…
18 June 2026, 18:07
Wakulima wasisitizwa umuhimu wa mfumo wa stakabadhi ghalani
Katika hatua nyingine, Mhe. Senyamule amewaahidi wakulima kuwa serikali itaendelea kuweka mazingira wezeshi yatakayowasaidia kukuza na kuimarisha sekta ya kilimo. Na Mariam Kasawa. Wakulima wa kata ya Dabalo jijini Dodoma waamesisitizwa umuhimu wa matumizi ya mfumo wa stakabadhi ghalani kwa…
18 June 2026, 17:56
Serikali kuendelea kuimarisha tahadhari dhidi ya Ebola
Wananchi wametakiwa kuendelea kufuata maelekezo yanayotolewa na wataalamu wa afya na kutoa taarifa mapema wanapobaini mtu mwenye dalili zinazofanana na Ebola ili kusaidia juhudi za Serikali za kulinda afya za Watanzania. Na Anwary Shaban. Serikali imeendelea kuimarisha hatua za tahadhari…
18 June 2026, 17:43
Wafanyabiashara watakiwa kutoa ushirikiano kwa Zimamoto
Kwa mujibu wa Sheria ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji lina jukumu la kufanya ukaguzi wa kinga na tahadhari za moto katika maeneo mbalimbali ili kuzuia majanga na kulinda maisha pamoja na mali za wananchi.…
16 June 2026, 17:38
Umuhimu wa kuweka akiba ili kufikia malengo
Ni muhimu kutenga sehemu ya mapato mara tu yanapopatikana, kuandaa bajeti na kuepuka matumizi yasiyo ya lazima ili kuongeza uwezo wa kutimiza malengo yaliyowekwa. Wananchi wametakiwa kujenga utamaduni wa kuweka akiba kama njia muhimu ya kufanikisha malengo yao ya maendeleo…
16 June 2026, 17:27
Wananchi Handali watakiwa kuhifadhi chakula
Wananchi wanashauriwa kudhibiti upotevu wa mazao baada ya mavuno na kuhifadhi chakula kwa uangalifu ikiwa ni pamoja na matumizi sahihi katika ngazi ya familia na kuepuka uharibifu ili kulinda usalama wa chakula . Na Victor Chigwada. Wito umetolewa Kwa wakazi…
16 June 2026, 17:17
Malezi huchangia watoto wa kiume kushindwa kuripoti ukatili
Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Sheria ya Mtoto ya mwaka 2009, kila mtoto ana haki ya kulindwa dhidi ya aina zote za ukatili, unyanyasaji na ubaguzi, huku jamii ikihimizwa kushiriki kikamilifu katika kuhakikisha…