Dodoma FM

Recent posts

29 February 2024, 3:48 pm

Chipogolo walazimika kufuata baadhi ya huduma za Afya Mtera

Mh. Senyamule ametembelea kituo cha afya cha Rudi ambacho kinahudumia wananchi takribani 15,440 kutoka vijiji vitano, kituo kilipokea kiasi cha shilingi Milioni 701 kwa ajili ya ujenzi wa Maabara ambayo ipo katika hatua ya umaliziaji na Shilingi Milioni 300 kwa…

26 February 2024, 5:55 pm

Waganga wafawidhi watakiwa kusimamia marufuku ya simu kwa wauguzi

Katika mahafali hayo jumla ya watahiniwa 2099 wameweza kutunukiwa vyeti ,kufanyiwa uorodheshwaji pamoja na pamoja na kupewa Leseni na baraza hilo la uuguzi na ukunga tayari kuanza kutumikia katika utoaji wa huduma za afya. Na Mariam Matundu. Waganga wafawidhi nchini…

26 February 2024, 5:38 pm

Wakulima waomba elimu ya mbegu bora mapema kabla ya msimu wa kilimo

Wakulima wanakumbushwa kuendelea kutumia mbegu bora ili waweze kupata mavuno mazuri pia wanashauriwa kukagua mbegu hiwa kabla ya kuzinunua ili kuthibitisha alama ya ubora. Na Mariam Kasawa. Wakulima wameomba kupatiwa elimu ya mbegu mapema kabla ya msimu wa kilimo kuanza …

23 February 2024, 5:58 pm

Matukio ya uhalifu tishio kwa wakazi wa Nzuguni

Jeshi la Polisi linaombwa kufanya doria za mara kwa mara hasa usiku na jitihada za kuwapata viongozi hawa zinaendelea ili kujua wamechukua hatua gani katika kulinda usalama wa wananchi na mali zao. Na Mindi Joseph. Matukio ya uhalifu, wizi na…

23 February 2024, 5:38 pm

Msiwabebeshe mzigo watoto, fuateni mtaala wa elimu

Mafunzo hayo kwa walimu wa elimu ya awali yana lengo la kuhalalisha elimu ya awali kuwa bora kwa mkoa mzima wa Dodoma. Na Mariam Kasawa. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Prof.James Mdoe amewataka walimu wa madarasa…

23 February 2024, 5:10 pm

Wananchi wakosa elimu ya kutosha utunzaji wa mbegu

Wakulima wanashauriwa kutumia mbegu bora kwa kununua mbegu katika duka lililosajiliwa na TOSCI ili kusaidia kubaini nani anayesambaza mbegu zisizo na ubora na kurahisisha namna ya kutatua changamoto itakayokuwa imejitokeza. Na Mindi Joseph. Uhifadhi sahihi wa mbegu umetajwa kuwa changamoto…

16 February 2024, 5:13 pm

Halmashauri zatakiwa kuanza ujenzi miradi ya Afya na Elimu

Katika shule ya Msingi Makulu, mkuu wa mkoa amekagua mradi wa ujenzi wa vyumba Vitano vya madarasa, ofisi 2 za walimu uliogharimu kiasi cha Shilingi Milioni 100 na ujenzi wa matundu ya vyoo 12 kwa ajili ya wanafunzi wenye ulemavu…

16 February 2024, 4:46 pm

Athari za taka za plastiki kwa viumbe wa baharini na Afya za binadamu

Inaonyesha kwamba ingawa tuna maarifa, tunahitaji kujitolea kwa hatua za dharura ili kukabiliana na changamoto hizi zinazoongezeka kila siku katika mazingira. Na Mariam Kasawa. Uchafuzi wa mazingira katika maeneo ya bahari unatajwa kuwa na athari kwa viumbe hai waishio chini…

16 February 2024, 4:33 pm

Maji safi mwarobaini wa kupambana na magonjwa ya mlipuko

Kwa mujibu wa shirika la Afya Duniani katika ripoti yake ya mwaka 2015 Asilimia  (81%) ya watu  wanaokunywa maji ambayo si salama na huishi katika maeneo ya vijijini pamoja na kwenye makazi holela. Na Mindi Joseph. Upatikanaji wa huduma ya…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger