Recent posts
9 June 2026, 17:33
Watakiwa kuwa waaminifu michango ya shule shikizi
Wananchi wapo tayari kuanza zoezi la kuchangia na kujenga shule kwa kuliwekea utaratibu mzuri wa ukusanyaji wa michango. Na Victor Chigwada. Kuelekea zoezi la kuchangia ujenzi wa shule shikizi katika kitongoji cha Ilolo mtaa wa Ihumwa A wito umetolewa kwa…
8 June 2026, 18:07
Wazazi Mapinduzi watakiwa kushiriki maendeleo ya shule
Serikali imekuwa ikisisitiza kuwa hakuna mwanafunzi anayepaswa kufukuzwa, kuzuiwa kufanya mtihani au kunyimwa huduma za msingi kwa sababu ya kutotoa mchango wa hiyari. Na Elizabeth Tanzania. Wazazi na walezi katika Kijiji cha Mapinduzi A Jijini Dodoma wametakiwa kuendelea kushiriki katika…
8 June 2026, 17:53
Wananchi watakiwa kufanya mazoezi ili kuimarisha afya zao
Suma Jkt Marathon imeendelea kuwa moja ya matukio makubwa ya kijamii na kuhusisha washiriki mbali mbali kwa kulenga kuhamasisha afya bora na kuchangia ustawi wa jamii ambapo zaidi ya sh.million 100 zimepatikana katika mbio hizo na kuelekezwa kusaidia katika hospital.…
8 June 2026, 17:35
Chaula asifu uboreshaji wa miundombinu kata ya Uhuru
Mradi huo wa ujenzi wa barabara unatekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 1.9 na unatarajiwa kukamilika ndani ya kipindi cha miezi sita. Na Anwary Shaban. Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Mheshimiwa Alimwoni Chaula, amesifu utekelezaji wa miradi ya miundombinu…
5 June 2026, 17:20
Viongozi serikali za mitaa jiji la Dodoma wapewa mafunzo maadili ya uongozi
Usimamizi thabiti wa maadili na matumizi ya mawasiliano ya uwazi, viongozi hao sasa wanatarajiwa kuacha alama chanya na kuimarisha utawala bora, hatua itakayochochea maendeleo ya haraka na endelevu kuanzia ngazi ya mitaa hadi taifa kwa ujumla. Na. Anwary ShabanVIONGOZI wa…
5 June 2026, 17:04
Vijana Kiteto waaswa kutotegemea urithi wa wazazi
Viongozi wa dini wana wajibu wa kuendelea kuwahimiza vijana kuzingatia maadili mema. Na Kitana Hamis. Vijana wilayani Kiteto mkoani Manyara wameaswa kuacha kutegemea urithi kutoka kwa wazazi wao na badala yake kujikita katika kufanya kazi kwa bidii, kujiajiri pamoja na…
5 June 2026, 16:54
Mlebe waipongeza serikali kwa kuwasogezea huduma ya maji
kwa sasa wananchi wa eneo hilo wanapata maji kwa urahisi tofauti na awali. Victor Chigwada. Wakazi wa kitongoji cha Nyerere kijiji cha Mlebe wameipongeza Serikali Kwa kushirikiana na shirika la innovation of Africa Kwa kuwasogezea karibu huduma ya maji safi…
5 June 2026, 16:35
Washiriki 100 wa uchumi challenge 2026 watangazwa
Wakati huohuo, Serikali imeongeza zawadi za shindano hilo ambapo mshindi wa kwanza atapata shilingi milioni 50, wa pili milioni 30 na watatu milioni 20, huku washiriki wote 100 bora wakipata vyeti vya utambuzi na fursa za maendeleo ya kitaalamu. Na…
4 June 2026, 18:42
Jamii yatakiwa kuzingatia matumizi ya chakula salama
Wiki ya chakula salama uadhimishwa kuanzia tarehe 1 June hadi tarehe 7 June kila mwaka,na mwaka huu imeambatana na kauli mbiu inayosema kuwa,kutoka katika changamoto kuelekea suruhisho chakula salama kila mahali. Na Jerome John. Kuelekea kilele cha wiki ya chakula…
4 June 2026, 18:26
Tanzania kunufaika na mpango wa Grand Challenges
Akiongea katika hafla ya uzinduzi huo katibu mkuu ofisi yapili ya makamu wa Rais Zanzibar Dkt. Islam Seif amesema mpango huu wa Grand Challenges Tanzania utaleta maarifa ya kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo changamoto za afya, kijamii, mazingira, ukosefu wa chakula…