Dodoma FM

Recent posts

9 June 2026, 17:33

Watakiwa kuwa waaminifu michango ya shule shikizi

Wananchi wapo tayari kuanza zoezi la kuchangia na kujenga shule kwa kuliwekea utaratibu mzuri wa ukusanyaji wa michango. Na Victor Chigwada. Kuelekea zoezi la kuchangia ujenzi wa shule shikizi katika kitongoji cha Ilolo mtaa wa Ihumwa A wito umetolewa kwa…

8 June 2026, 18:07

Wazazi Mapinduzi watakiwa kushiriki maendeleo ya shule

Serikali imekuwa ikisisitiza kuwa hakuna mwanafunzi anayepaswa kufukuzwa, kuzuiwa kufanya mtihani au kunyimwa huduma za msingi kwa sababu ya kutotoa mchango wa hiyari. Na Elizabeth Tanzania. Wazazi na walezi katika Kijiji cha Mapinduzi A Jijini Dodoma wametakiwa kuendelea kushiriki katika…

8 June 2026, 17:53

Wananchi watakiwa kufanya mazoezi ili kuimarisha afya zao

Suma Jkt Marathon imeendelea kuwa moja ya matukio makubwa ya kijamii na kuhusisha washiriki mbali mbali kwa kulenga kuhamasisha afya bora na kuchangia ustawi wa jamii ambapo zaidi ya sh.million 100 zimepatikana katika mbio hizo na kuelekezwa kusaidia katika hospital.…

8 June 2026, 17:35

Chaula asifu uboreshaji wa miundombinu kata ya Uhuru

Mradi huo wa ujenzi wa barabara unatekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 1.9 na unatarajiwa kukamilika ndani ya kipindi cha miezi sita. Na Anwary Shaban. Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Mheshimiwa Alimwoni Chaula, amesifu utekelezaji wa miradi ya miundombinu…

5 June 2026, 17:04

Vijana Kiteto waaswa kutotegemea urithi wa wazazi

Viongozi wa dini wana wajibu wa kuendelea kuwahimiza vijana kuzingatia maadili mema. Na Kitana Hamis. Vijana wilayani Kiteto mkoani Manyara wameaswa kuacha kutegemea urithi kutoka kwa wazazi wao na badala yake kujikita katika kufanya kazi kwa bidii, kujiajiri pamoja na…

5 June 2026, 16:54

Mlebe waipongeza serikali kwa kuwasogezea huduma ya maji

kwa sasa wananchi wa eneo hilo wanapata maji kwa urahisi tofauti na awali. Victor Chigwada. Wakazi wa kitongoji cha Nyerere kijiji cha Mlebe wameipongeza Serikali Kwa kushirikiana na shirika la innovation of Africa Kwa kuwasogezea karibu huduma ya maji safi…

5 June 2026, 16:35

Washiriki 100 wa uchumi challenge 2026 watangazwa

Wakati huohuo, Serikali imeongeza zawadi za shindano hilo ambapo mshindi wa kwanza atapata shilingi milioni 50, wa pili milioni 30 na watatu milioni 20, huku washiriki wote 100 bora wakipata vyeti vya utambuzi na fursa za maendeleo ya kitaalamu. Na…

4 June 2026, 18:42

Jamii yatakiwa kuzingatia matumizi ya chakula salama

Wiki ya chakula salama  uadhimishwa kuanzia tarehe 1 June hadi tarehe 7 June kila mwaka,na mwaka huu imeambatana na kauli mbiu inayosema kuwa,kutoka katika changamoto kuelekea suruhisho chakula salama kila mahali. Na Jerome John. Kuelekea kilele cha wiki ya chakula…

4 June 2026, 18:26

Tanzania kunufaika na mpango wa Grand Challenges

Akiongea katika hafla ya uzinduzi huo katibu mkuu ofisi yapili ya makamu wa Rais Zanzibar Dkt. Islam Seif amesema mpango huu wa Grand Challenges Tanzania utaleta maarifa ya kutatua changamoto mbalimbali ikiwemo changamoto za afya, kijamii, mazingira, ukosefu wa chakula…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger