Dodoma FM
Dodoma FM
20 February 2026, 17:41
Kiwanja hicho kinajengwa katika ‘Package 2’ ambapo ‘Package 1’ inatekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 165.627 bila VAT na ‘Package 2’ inatekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 194.403 bila VAT. Wakandarasi wanaotekeleza mradi wa ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha…
20 February 2026, 17:29
Wananchi hao wanadai kuwa ahadi ya kutekeleza ujenzi wa barabara hiyo zimekuwa hazitekelezeki. Na Stephen Noel Wananchi wilaya ya Mpwapwa mkoa wa Dodoma wameiomba serikali kukamikisha mpango wa ujenzi wa barabara ya Rami kutoka njia panda ya Kongwa Hadi Mpwapwa…
19 February 2026, 17:25
Shirika la water mission tayari limeanza kusambaza mabomba ya maji katika vitongoji vya kijiji hicho. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kijiji cha Mjelo kata ya Handali Jijini Dodoma wamepata tumaini la kuondokana na adha ya maji baada ya shirika la…
19 February 2026, 16:54
Mhe Ringo amewaonya wananchi ambao wanajenga uzio na kuziba mitaro ya maji kuwa hatua za kisheria zitachukuliwa kwani. Jerome John. Wananchi wa kata ya Miyuji halmashauri ya jiji la Dodoma wametakiwa kuwa wavumilivu katika kipindi hiki cha mvua baada ya…
19 February 2026, 16:24
Viongozi wa eneo hilo wamelalamikiwa kushindwa kuwachukulia hatua wahusika wa uharibifu wa mazingira hayo. Na Steven Noel. WAKAZI WA Kitongoji cha Mcheula Kijiji cha Idilo kata ya Mazae wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma wamelalamikia matokeo ya uharibifu wa mazingira katika…
18 February 2026, 16:55
Changamoto na mapendekezo yao kwa haraka zaidi, huku mifumo ya kidijitali ya ufuatiliaji ikihakikisha mawasiliano yanakuwa ya wakati na yenye tija. Na Yussuph Hassan.Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeimarisha Dawati la Huduma kwa Wateja pamoja na mifumo ya ufuatiliaji wa…
18 February 2026, 16:31
Afisahuyo amesisitiza juu ya suala la kuzingatia sheria zote zinazo husu ufanyaji wa biashara ili kuwapa uwanja mpana wakufanya biashara zao kwa uhuru. Jerome John. WafanyabiasharaMkoani Dodoma watakiwakuzingatia suala la leseni za biashara zao kabla ya kuchukuliwa hatua za kisheria.…
18 February 2026, 16:02
Kwa mujibu wa takwimu za kikao hicho, mkoa wa Dodoma umeendelea kuimarisha utekelezaji wa afua za lishe, huku juhudi zaidi zikielekezwa katika kuongeza uelewa wa jamii na kuboresha huduma kwa watoto wa shule za msingi na sekondari. Na Anwary Shaban.…
17 February 2026, 17:12
Mwananchi yeyote anao wajibu wa kutoa taarifa inayo muhusu kiongozi wa umma ambaye ameonesha mwenendo usio faa katika jamii na kiongozi huyo kuchukuliwa hatua za kinidhamu pindi atakapo gundulika kuwa ni kweli ametenda kosa la kimaadili. Na Jerome John. Wananchi…
17 February 2026, 16:47
Kuanza kutangazwa kwa zao la zabibu nchini Burundi kumefurahisha baadhi ya wachakataji na wazalishaji wa mvinyo, na kusema kuwa watajitahidi kuzalisha bidhaa zenye ubora na viwango vya kimataifa . Na Mariam Kasawa. Balozi wa Tanzania nchini Burundi Mhe. Gelasius G.…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-