Recent posts
17 April 2026, 17:08
Wananchi Nholi waitaka serikali kukamilisha ujenzi wa zahanati
Changamoto ya kukosa zahanati imekuwa ikipelekea wakazi wa Nholi kutembea umbali mrefu kufika makao makuu ya Kata Kijiji cha Mpalanga. Na Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Nholi Kata ya Mpalanga wilayani Bahi wameiomba serikali kukamilisha zahanati inayojengwa kijijini hapo…
16 April 2026, 16:28
Ifahamu asili ya fimbo za machifu wa kabila la wagogo
Hapa chifu Lazaro Chihoma toka Himaya ya Bwibwi anaielezea fimbo hiyo. Na Yussuph Hassan. Machifu wengi husasani wa kabila la wagogo walikuwa na utaratibu wa kutembea na fimbo mikononi mwao je asili ya fimbo hiyo ninini
16 April 2026, 16:12
Mpango wa Ardhi waunda mustakabali bora Kiteto
Ripoti hiyo itasaidia kupunguza migogoro ya ardhi katika vijiji ishirini vilivyo ndani ya halmashauri ya Wilaya ya Kiteto. Na Kitana Hamis. Wilaya ya Kiteto imetangaza ripoti maalum ya mpango wa matumizi bora ya ardhi, ikiwa na lengo la kupunguza…
16 April 2026, 15:57
Wanafunzi Mpwayungu waiomba serikali kuwajengea mabweni
Wanafunzi wa vijiji hivyo hulazimika kutembea kilomita 20 kila siku hadi kufika mahali sekondari hiyo ilipo. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa mazingira ya kupanga vyumba kwa wanafunzi wa sekondari Mpwayungu kutokana na umbali wa shule si salama kwao hasa kwa…
15 April 2026, 18:08
Kitendawili cha kisima cha Nyoka kwa wakazi Chang’ombe
Baada ya eneo hilo kutengwa kwaajili ya makazi ya watu eneo hilo la kisima cha nyoka lilifukiwa kwakati wa upitishaji wa barabara katika mtaa huo. Na Yussuph Hassan.Hadithi ya uwepo wa nyoka katika kisima hicho cha nyoka ambacho kinaelezwa katika…
15 April 2026, 17:53
Kiteto sekondari yatekeleza matumizi ya nishati safi
Kamati hiyo pia ilitoa rai kwa Halmashauri kuhakikisha teknolojia hiyo ya nishati safi inasambazwa katika shule nyingine zote wilayani humo ili kuongeza ufanisi na kulinda mazingira kwa kiwango kikubwa zaidi. Na Kitana Hamis Shule ya Sekondari Kiteto imeandika historia mpya…
15 April 2026, 17:40
Kadi za klinik kwa watoto na wajawazito ni bure
Taswira ya Habari imezingumza na Mwenyekiti wa Kijiji cha Muungano Bw. Matonya Mtukamsihi ambaye amekiri kusikia Malalamiko hayo kutoka Kwa wananchi. Na Victor Chigwada. Baadhi ya wanawake katika kijiji cha Muungano wilayani Chamwino wamelalamikia kuuziwa kadi wanapo wapeleka watoto kuanza…
15 April 2026, 17:30
Wazazi watakiwa kuthamini usawa kwenye elimu ya watoto
Licha ya changamoto mbalimbali lakini kumekuwa na muamko mkubwa ndani ya jamii wa kuwapeleka watoto wa kike shuleni pasipo kukatishwa masomo hususani maeneo ya vijijini. Na Victor Chigwada. Jamii imetakiwa kutambua umuhimu wa elimu Kwa watoto wa kike ili kukuza…
14 April 2026, 18:34
Tembo wakatisha vikao vya maendele ya kijiji Chinugulu
Inaelezwa kuwa vitongoji hivyo vilivyo karibu na pori hilo la akiba havifikiwi na viongozi wake mara kwa mara. Na Victor Chigwada. Viongozi wa Kijiji cha Chinugulu wilayani Chamwino wameeleza kushindwa kuvifikia baadhi ya vitongoji wanavyo viongoza kutokana na uwepo wa…
14 April 2026, 18:09
Unakabiliana vipi na uraibu wa tabia toka kwa vijana
Lakini tabia au hobi yoyote ambayo inachukua maisha yako na kuingilia utendaji wako wa kila siku inaweza kusababisha matatizo makubwa na afya yako ya akili, kijamii, na kimwili na katika hali fulani, fedha zako pia. Na Mariam Kasawa.Uraibu wa dawa…