Recent posts
27 July 2026, 16:40
Polisi waomba ushirikiano wa viongozi wa dini kufichua ukatili
Mrakibu Mnyanyi amebainisha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi hivyo utekelezaji wake unahitaji ushirikiano wa kila mmoja.zilizosaini mikataba ya kikanda na kimataifa ya kupinga ukatili wa kijinsia, Na Stephen Noel. Jeshi la Polisi Tanzania limewaomba viongozi wa dini pamoja na…
27 July 2026, 16:32
Wananchi watakiwa kuungana vita dhidi ya ukatili wa kijinsi
Kwa kuendelea kutoa elimu na kushirikisha wananchi kupitia majukwaa mbalimbali ya kijamii, Jeshi la Polisi linaamini kuwa vitendo vya ukatili wa kijinsia vinaweza kupungua na jamii ikaendelea kuwa salama kwa kila mtu. Na Anwary Shaban. Jeshi la Polisi kupitia Dawati…
24 July 2026, 16:44
Bei mpya ya kodi ya vibanda vya biashara Kongwa yatajwa
Sambamba na hayo wafanyabiashara wamekubaliana na Serikali kusaini mikataba mipya na kulipa kodi mpya iliyoongezwa kwa maendeleo ya Wilaya ya Kongwa. Na Mariam Kasawa. Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka s Mayeka amekutana na wamiliki wa vibanda pamoja na…
24 July 2026, 16:34
Jamii yaaswa kuwapatia elimu watoto wenye mahitaji maalum
Wazazi na wadau wasema unyanyapaa umepungua, mwamko wa kuwapeleka shule umeongezeka. Na Stephen Noel Jamii imeshauriwa kuendelea kuwasaidia watoto wenye mahitaji maalum ikiwemo kuwapatia haki ya kupata elimu. Wakiongea na Dodoma FM baadhi ya wazazi wa watoto wenye mahitaji maalum…
24 July 2026, 15:53
Serikali yaendelea kuboresha mazingira ya tehama katika elimu
Ndani ya kipindi cha miaka mitano serikali imefanikiwa kujenga shule 12 zenye thamani ya takribani shilingi bilioni 15.1 katika Wilaya ya Mpwapwa. Na Anwary Shaban. Serikali imeendelea kuboresha mazingira ya Tehama katika elimu kwa kuongeza vifaa vya ufundishaji na ujifunzaji…
23 July 2026, 17:24
Maendeleo ya teknolojia ya matibabu nchini yaongezeka
Kwa ujumla, uwekezaji huo katika teknolojia ya matibabu, miundombinu ya afya na rasilimali watu unaonesha dhamira ya Serikali ya kuimarisha sekta ya afya nchini, ili wananchi wapate huduma bora, za haraka na zinazokidhi viwango vya kimataifa. Na Anwary Shaban. Serikali…
23 July 2026, 17:12
Kairuki awaagiza TTCL Mpwpwa kuongeza kasi ya mkongo wa Taifa
Mhe. Kairuki ametoa rai hiyo Wilaya ya Mpwapwa alipokuwa akitembelea Ofisi za TTCL Wilaya hiyo na Ofisi za Posta. Amesema Dodoma nzima watu 65 tu ndio wameunganishwa. “Tunataka Watanzania wote wanufaike na uchumi wa kidigitali” Na Stephen Noel Waziri wa…
23 July 2026, 16:36
Wadau wa mpira wa miguu Mpwapwa wamuita waziri wa michezo
Wameiambia Dodoma FM kuwa kwa muda mrefu wilaya hiyo imekosa mashindano ya mpira wa miguu, Na Steven Noel. Wananchi na wadau wa mpira wa miguu wilayani Mpwapwa wamemuomba Waziri mwenye dhamana ya Michezo kutembelea wilaya hiyo ili kukutana nao na…
22 July 2026, 16:51
Athari za kiuchumi zinavyopelekea changamoto ya afya ya akili
Kwa upande wake msaikolojia mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma Christopher Abuto ameshauri kuwa jamii nzima ichukue hatua ya kuyaona masuala ya maisha kuwa ni mambo ya kawaida kwa kutoweka malengo makubwa zaidi ya namna wanavyoishi na wanapokutana na magumu…
22 July 2026, 16:29
Wananchi watakiwa kuwa makini na matumizi ya pilipili kupita kawaida
Hivyo, pamoja na kuleta ladha kwenye chakula, matumizi sahihi ya pilipili yanaweza kuwa na manufaa kiafya, huku ukizingatia kiasi kinachofaa kulingana na hali ya mwili. Na Husna Munis. Wananchi wametakiwa kuwa makini na matumizi ya pilipili, hususan watu wenye matatizo…