Dodoma FM

Recent posts

20 February 2026, 17:41

Shekimweri aagiza mradi wa Kiwanja cha Ndege Msalato kukamilika kwa wakati

Kiwanja hicho kinajengwa katika ‘Package 2’ ambapo ‘Package 1’ inatekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 165.627 bila VAT na ‘Package 2’ inatekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 194.403 bila VAT. Wakandarasi wanaotekeleza mradi wa ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha…

20 February 2026, 17:29

Wananchi Mpwapwa waiomba serikali kukamilisha ujenzi wa barabara

Wananchi hao wanadai kuwa ahadi ya kutekeleza ujenzi wa barabara hiyo zimekuwa hazitekelezeki. Na Stephen Noel Wananchi wilaya ya Mpwapwa mkoa wa Dodoma wameiomba serikali kukamikisha mpango wa ujenzi wa barabara ya Rami kutoka njia panda ya Kongwa Hadi Mpwapwa…

19 February 2026, 17:25

Wananchi Mjelo kunufaika na mradi mpya wa maji

Shirika la water mission tayari limeanza kusambaza mabomba ya maji katika vitongoji vya kijiji hicho. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kijiji cha Mjelo kata ya Handali Jijini Dodoma wamepata tumaini la kuondokana na adha ya maji baada ya shirika la…

19 February 2026, 16:54

Wakazi walalamikia ubovu wa barabara za mitaani

Mhe Ringo amewaonya wananchi ambao wanajenga uzio na kuziba mitaro ya maji kuwa hatua za kisheria zitachukuliwa kwani. Jerome John. Wananchi wa kata ya Miyuji halmashauri ya jiji la Dodoma wametakiwa kuwa wavumilivu katika kipindi hiki cha mvua baada ya…

19 February 2026, 16:24

Wakazi walia na uharibifu wa mazingira

Viongozi wa eneo hilo wamelalamikiwa kushindwa kuwachukulia hatua wahusika wa uharibifu wa mazingira hayo. Na Steven Noel. WAKAZI WA Kitongoji cha Mcheula Kijiji cha Idilo kata ya Mazae wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma wamelalamikia matokeo ya uharibifu wa mazingira  katika…

18 February 2026, 16:55

TCRA yaimarisha dawati la huduma kwa wateja

Changamoto na mapendekezo yao kwa haraka zaidi, huku mifumo ya kidijitali ya ufuatiliaji ikihakikisha mawasiliano yanakuwa ya wakati na yenye tija. Na Yussuph Hassan.Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeimarisha Dawati la Huduma kwa Wateja pamoja na mifumo ya ufuatiliaji wa…

18 February 2026, 16:31

Wafanyabiashara watakiwa kuzingatia sheria matumizi ya leseni

Afisahuyo amesisitiza juu ya suala  la kuzingatia sheria zote zinazo husu ufanyaji wa biashara ili kuwapa uwanja mpana wakufanya biashara zao kwa uhuru. Jerome John. WafanyabiasharaMkoani Dodoma watakiwakuzingatia suala la leseni za biashara zao kabla ya kuchukuliwa hatua za kisheria.…

18 February 2026, 16:02

Senyamule asisitiza umuhimu wa lishe kwa watoto

Kwa mujibu wa takwimu za kikao hicho, mkoa wa Dodoma umeendelea kuimarisha utekelezaji wa afua za lishe, huku juhudi zaidi zikielekezwa katika kuongeza uelewa wa jamii na kuboresha huduma kwa watoto wa shule za msingi na sekondari. Na Anwary Shaban.…

17 February 2026, 17:12

Wananchi watakiwa kuwaripoti viongozi wanaokiuka maadili

Mwananchi yeyote anao wajibu wa kutoa taarifa inayo muhusu kiongozi wa umma ambaye ameonesha mwenendo usio faa katika jamii na kiongozi huyo kuchukuliwa hatua za kinidhamu pindi atakapo gundulika kuwa ni kweli ametenda kosa la kimaadili. Na Jerome John. Wananchi…

17 February 2026, 16:47

Zao la zabibu kuanza kutangazwa nchini Burundi

Kuanza kutangazwa kwa zao la zabibu nchini Burundi kumefurahisha baadhi ya wachakataji na wazalishaji wa mvinyo, na kusema kuwa watajitahidi kuzalisha bidhaa zenye ubora na viwango vya kimataifa . Na Mariam Kasawa. Balozi wa Tanzania nchini Burundi Mhe. Gelasius G.…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger