Recent posts
24 March 2026, 16:59
Wananchi Mpwapwa wapitisha mpango matumizi bora ya ardhi
Mpango huo umepitishwa katika vijiji vya Lukole, Mzase, Kingiti, Iyenge, Kidenge, Mgoma, Nzogole na kitati ikiwa ni mwendelezo wa serikali kuhakikisha vijiji vyote nchini vinapangwa, kupimwa na kumilikishwa. Na Steven Noel. Wananchi wa vijiji nane vya Halmashauri ya Wilaya ya…
24 March 2026, 16:31
Wananchi watakiwa kujihadhari dhidi ya kifua kikuu
Ikumbukwe kuwa kila ifikapo Machi 24 kila mwaka Dunia huazimisha siku ya kifua kikuu. Na Jerome john. Wananchi Mkoani Dodoma wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa kifua kikuu wawapo kwenye mazingira ya kufanyia kazi au nyumbani. Akizungumza na Taswira…
23 March 2026, 18:48
Unazuiaje uharibifu wa mazingira unaoathiri vyanzo vya maji?
Na Mariam Kasawa. Kuzuia uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji kunahitaji ushirikiano wa jamii, serikali, na taasisi kupanda miti, kulinda misitu, na kudhibiti taka. Hatua muhimu ni pamoja na sheria kali za mazingira (Sura 191), kutoa elimu, na kusimamia mipango kabambe…
23 March 2026, 18:22
Wananchi Muungano watakiwa kulipa bili za maji
Licha ya changamoto ya baadhi ya miundombinu ya maji kijijini hapo lakini kumeibuka tabia ya baadhi ya wananchi kushindwa kulipa bili za maji za kila mwezi hali inayo kwamisha uendeshaji wa huduma hiyo. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji Cha…
23 March 2026, 17:27
Machimbo yageuka tishio kwa wananchi Zuzu
Ameeleza kuwa suala hilo tayari liliwasilishwa kwa Mkurugenzi wa Jiji ambapo uchimbaji ulisitishwa kwa muda, lakini baadaye ukaendelea tena. Na Mariam Kasawa. Diwani wa Kata ya Zuzu, Jenesta Project Malingo, amesema anaendelea kufuatilia malalamiko ya wananchi wa Mtaa wa Sokoine…
23 March 2026, 13:37
Tulindeje afya ya uzazi kwa vijana kukabiliana na ukatili wa kijinsia?
Ushirikishwaji wa Jamii Viongozi wa dini na mila kushirikishwa ili kupunguza vikwazo vya kiutamaduni vinavyowazuia vijana kupata huduma za uzazi. Na Mariam Kasawa.Ili kulinda afya ya uzazi kwa vijana na kupunguza ukatili wa kijinsia, hatua muhimu ni kutoa elimu ya…
20 March 2026, 17:12
Vijana Ndogowe washindwa kuanzisha vikundi mikopo ya asilimia 10
Muhawi ameongeza kuwa wengi wao wamekuwa na wasiwasi wa kutokuaminiana kwenye vikundi . Na Victor Chigwada. Mwitikio mdogo wa vijana katika kuanzisha vikundi katika kijiji cha Ndogowe wilayani Chamwino umepelekea vijana kushindwa kunufaika na mikopo ya asilimia kumi inayo tolewa…
20 March 2026, 16:45
Watatu wajeruhiwa kwa ajali ya gari Mpwapwa
Gari hiyo ambayo ilikuwa ikiendeshwa kwa mwendo kasi iliacha njia ghafla na kuvamia makazi ya watu. Na Steven Noel Watu watatu wamenusurika kufa katika ajali baada ya gari aina ya lori lenye usajili namba T676DFC lililobeba kokoto kuacha njia na…
20 March 2026, 16:23
Prof. Mohamed ahimiza wanafunzi kusoma kwa bidii
Alisema wanatarajia kuendelea kuinua kiwango cha taaluma na kuhakikisha wanafunzi wanapanda daraja mwaka hadi mwaka. Na Mariam Kasawa. Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Makutupora watakiwa kuwa na nidhamu na kusoma kwa bidii ili kufikia malengo yao ya kielimu na maisha…
19 March 2026, 16:53
Baadhi ya vijana Ndogowe watelekeza mashamba yao
Hayo yanajiri baada ya vijana wa mradi wa Jenga kesho iliyo bora (BBT)Kijiji Cha Ndogowe kuonekana kushindwa kuendelea na palizi katika mashamba Yao yaliyopo katika mpango huo . Na Victor Chigwada. Wanufaika wa mradi wa Jenga kesho iliyo bora BBT…