Dodoma FM
Dodoma FM
2 March 2026, 16:52
Mafunzo hayo yanatarajiwa kuwajengea wanafunzi maarifa, ujuzi na mitazamo chanya itakayowawezesha kujitambua, kujiamini na kufanya maamuzi sahihi. Na Mariam Kasawa. Wawezeshaji wa Stadi za Maisha katika Shule za Sekondari watakiwa kuwa na nidhamu ya hali ya juu katika taaluma yao…
27 February 2026, 17:03
Aidha amewahimiza wakazi wa Chinyika wajitokeze kwa wingi katika mkutano utakaofanyika kesho Na Farashuu Abdallah. Wakazi wa mtaa wa Chinyika kata ya Mkonze jijini Dodoma wameiomba serikali kutatua changamoto ya maji ambayo imekuwa ni kero ya muda mrefu. Wakizungumza na…
26 February 2026, 17:46
Serikali inataka kukuza ustawi wa jamii, malezi bora ya watoto na afya ya akili, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wananchi wanapata elimu na huduma zinazowawezesha kuishi maisha yenye ustawi na tija. Na Mwandishi wetu.Serikali imesema itaendelea kuimarisha malezi ya watoto…
26 February 2026, 12:50
Ameongeza kuwa jumla ya rufaa 26 zimewasilishwa na kushughulikiwa na mamlalaka ya rufani ya zabuni za Umma. Na Bennard Komba. Imeelezwa kuwa kutungwa upya kwa sheria ya manunuzi serikalini 2024/2025 imesaidia kuboresha manunuzi Pamoja na sekta ya ugavi Pamoja na…
26 February 2026, 12:10
Mkutano huo umeelezwa kuwa sehemu ya juhudi za pamoja za serikali na wadau kuhakikisha watoto wote wanapata fursa ya elimu bora ya awali na kuandaliwa kuwa wananchi wenye tija kwa maendeleo ya Taifa. Na Farashuu Abdallah. Katika juhudi za uboreshaji…
26 February 2026, 11:57
Wananchi wa eneo hilo wameishukuru serikali kwa kutoa fedha kwaajili ya ujenzi wa sekondari hiyo. Na Victor Chigwada. Ujenzi wa shule ya sekondari Mapinduzi A umekuwa mkombozi Kwa wanafunzi wa mtaa huo ambao hapo awali walilazimika kutembea umbali mrefu hadi…
23 February 2026, 17:37
Hata hivyo tayari wamekwisha peleka ombi Halmashauri Ili waweze Kufanya zoezi la utambuzi kabla ya kulipima upya eneo hilo na kulikabidhi kwa kijiji. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Mapinduzi A kata ya Ngh’ongh’ona wameiomba serikali kuingilia kati suala la watu…
23 February 2026, 17:08
Inatarajiwa kupokea zaidi ya kontena 1500, jambo litakalorahisisha biashara na kuongeza kasi ya usafirishaji wa bidhaa ndani na nje ya nchi. Na Mariam Kasawa. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amefanya ziara ya kukagua mradi wa Bandari Kavu…
23 February 2026, 15:47
Mwenyekiti wa mtaa wa Bwawani ameeleza hatua ambazo zinaendelea hadi sasa kuhusu ubomoaji huo. Na Farashuu Abdallah. Ikiwa miezi kadhaa imepita tangu wananchi wa Mtaa wa Bwawani kata ya Mkonze jijini Dodoma kutoa malalamiko yao kuhusu uamuzi uliochukuliwa na ofisi…
20 February 2026, 17:58
Aidha ameongeza kuwa Hali hiyo inaweza kuchangia na kusahaulika Kwa majukumu ya kiulinzi na usalama na kupelekea kurejea Kwa matukio hayo. Na Victor Chigwada. Mkuu wa kituo Cha polisi Wilaya ya Mtumba kamanda OCD Issa Chau ameeleza Hali ya ulinzi…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-