Recent posts
15 June 2026, 16:41
Mwendelezo wa simulizi ya vilindoni na vihenge vya jadi
Ni historia inayostahili kuhifadhiwa na kusimuliwa ili vizazi vya sasa na vijavyo viweze kufahamu chimbuko na urithi wa mahali wanapoishi. Na Yussuph Hassan. Historia ya Vilindoni inaonesha kuwa eneo hili limekuwepo kwa muda mrefu kama makazi ya watu waliotegemea kilimo…
15 June 2026, 16:29
Shekimweri aongoza mbio za pole kuuenzi mwenge wa uhuru
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Waandamizi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Wilaya ya Dodoma, Shadaiya Hassan, alisema kuwa mbio hizo zimeandaliwa kwa lengo la kuendelea kuuenzi Mwenge wa Uhuru na kuhamasisha wananchi kuishi falsafa zake hata baada ya mbio…
15 June 2026, 16:16
Zimamoto yaitaka jamii kutumia kwa usahihi namba ya dharura na uokoaji
Kwa mujibu wa majukumu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji yaliyoainishwa chini ya Sheria ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Sura ya 427, wananchi wanapaswa kushirikiana na jeshi hilo kwa kutoa taarifa sahihi na kwa wakati ili kuongeza ufanisi wa…
12 June 2026, 17:31
Serikali kuweka mikakati ya kuimarisha ustawi wa wafanyakazi
Mradi wa Empowered II unatarajiwa kuongeza uelewa wa haki za wafanyakazi wa majumbani, kuimarisha ulinzi wao kazini pamoja na kukuza ushirikishwaji wao katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Na Anwary Shaban. Serikali, wadau wa kazi na mashirika ya maendeleo wameendelea…
12 June 2026, 13:24
Unajilindaje dhidi ya magonjwa ya zinaa?
Aina fulani za magonjwa ya zinaa yanaweza kuambukizwa kutoka kwa mama hadi kwa mtoto. Na Mariam Kasawa.Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), zaidi ya watu milioni moja duniani kote wanaambukizwa magonjwa ya zinaa kila siku. Magonjwa kutosikia matibabu…
12 June 2026, 13:06
Vilindoni jina lililobeba historia ya vihenge vya jadi Dodoma
Licha ya ukuaji wa Jiji la Dodoma na mabadiliko ya kiuchumi yanayoendelea kushuhudiwa, Vilindoni bado imehifadhi sehemu ya utambulisho wake wa kihistoria. Na Yussuph Hassan. Pembezoni mwa Jiji la Dodoma, ndani ya Kata ya Mbabala, kuna mtaa unaobeba simulizi ya…
12 June 2026, 12:33
Je masomo ya ziada yana mchango gani wakati wa likizo
Wanasema msisitizo mkubwa wa masomo bila mapumziko unaweza kuleta uchovu wa kiakili kwa wanafunzi, hivyo ni muhimu kupanga vipindi visivyowalemaza watoto. Na Daniel Njau. Wakati wanafunzi wakiwa kwenye likizo za shule, baadhi ya wazazi na wataalamu wa elimu wanaona kuwa…
12 June 2026, 12:12
Ufahamu ugonjwa wa ngozi wa Melasma na visababishi vyake
Ugonjwa huo wa Merasma hauambukizi au kusababisha kansa yoyote ila ni vema kuchukua tahadhari kwa kuzingatia ushauri wa wataalamu na kujipaka mafuta ya kutosha katika kipindi cha jua kali na kutoacha ngozi kukauka. Na Jerome John. Jamii mkoani Dodoma…
9 June 2026, 18:14
Jamii yatakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya dawa
Benedict Rashi kutoka mamlaka ya dawa na vifaa tiba TMD ameshauri kutotumia dawa holela bila kupima au kutumia dawa za mtu mwingine ambazo ameacha kuzitumia kwani zinaweza kuwa zimepoteza ubora na kuzingatia maelezo yaliyowekwa kwenye dawa kufahamu zimetengenezwa lini na…
9 June 2026, 18:06
Wanaume Dodoma wahimizwa kuvunja ukimya dhidi ya ukatili
Afisa kutoka Dawati la Jinsia na Watoto Mkoa wa Dodoma, Michael Mkinda, amebainisha kuwa bado mwitikio haujafikia kiwango kinachotarajiwa, hivyo kuna haja ya kuendelea kutoa elimu na kuhamasisha wanaume kuvunja ukimya ili kupata msaada na haki zao kwa wakati. Na…