Dodoma FM

Recent posts

2 March 2026, 16:52

Wawezeshaji sekondari watakiwa kuwa na nidhamu na uwajibikaji shuleni

Mafunzo hayo yanatarajiwa kuwajengea wanafunzi maarifa, ujuzi na mitazamo chanya itakayowawezesha kujitambua, kujiamini na kufanya maamuzi sahihi. Na Mariam Kasawa. Wawezeshaji wa Stadi za Maisha katika Shule za Sekondari watakiwa kuwa na nidhamu ya hali ya juu katika taaluma yao…

27 February 2026, 17:03

Chinyika waiomba serikali kutatua kero ya maji

Aidha amewahimiza wakazi wa Chinyika wajitokeze kwa wingi katika mkutano utakaofanyika kesho Na Farashuu Abdallah. Wakazi wa mtaa wa Chinyika kata ya Mkonze jijini Dodoma wameiomba serikali kutatua changamoto ya maji ambayo imekuwa ni kero ya muda mrefu. Wakizungumza na…

26 February 2026, 17:46

Serikali kuimarisha elimu ya malezi

Serikali inataka kukuza ustawi wa jamii, malezi bora ya watoto na afya ya akili, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wananchi wanapata elimu na huduma zinazowawezesha kuishi maisha yenye ustawi na tija. Na Mwandishi wetu.Serikali imesema itaendelea kuimarisha malezi ya watoto…

26 February 2026, 12:10

Mradi wa CIC ulivyo saidia kuboresha miundombinu ya watoto kujifunza

Mkutano huo umeelezwa kuwa sehemu ya juhudi za pamoja za serikali na wadau kuhakikisha watoto wote wanapata fursa ya elimu bora ya awali na kuandaliwa kuwa wananchi wenye tija kwa maendeleo ya Taifa. Na Farashuu Abdallah. Katika juhudi za uboreshaji…

23 February 2026, 17:37

Wananchi walalamika kuvamiwa kwa eneo lao la kimila

Hata hivyo tayari wamekwisha peleka ombi Halmashauri Ili waweze Kufanya zoezi la utambuzi kabla ya kulipima upya eneo hilo na kulikabidhi kwa kijiji. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Mapinduzi A kata ya Ngh’ongh’ona wameiomba serikali kuingilia kati suala la watu…

23 February 2026, 17:08

Bandari kavu Dodoma suluhisho msongamano wa bandari Dar

Inatarajiwa kupokea zaidi ya kontena 1500, jambo litakalorahisisha biashara na kuongeza kasi ya usafirishaji wa bidhaa ndani na nje ya nchi. Na Mariam Kasawa. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amefanya ziara ya kukagua mradi wa Bandari Kavu…

23 February 2026, 15:47

Wananchi Bwawani waombwa kuwa watulivu sakata la bomoabomoa

Mwenyekiti wa mtaa wa Bwawani ameeleza hatua ambazo zinaendelea hadi sasa kuhusu ubomoaji huo. Na Farashuu Abdallah. Ikiwa miezi kadhaa imepita tangu  wananchi wa Mtaa wa Bwawani kata ya Mkonze jijini Dodoma kutoa malalamiko yao kuhusu uamuzi uliochukuliwa na ofisi…

20 February 2026, 17:58

Ulinzi waendelea kuimarishwa Mtumba na viunga vyake

Aidha ameongeza kuwa Hali hiyo inaweza kuchangia na kusahaulika Kwa majukumu ya kiulinzi na usalama na kupelekea kurejea Kwa matukio hayo. Na Victor Chigwada. Mkuu wa kituo Cha polisi Wilaya ya Mtumba kamanda OCD Issa Chau ameeleza  Hali ya ulinzi…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger