Recent posts
15 February 2024, 5:34 pm
BMH yafanya matibabu ya moyo kwa kutumia mishipa ya mkono kwa mara ya kwanza
Njia ya mshipa wa mguuni ilihitaji mgonjwa kukaa si chini ya saa sita baada ya huduma pasipo kuinuka kitandani au kukunja mguu tofauti na hii ambapo anainuka kutembea mwenyewe na baada ya saa chache anaweza kuruhusiwa kwenda nyumbani siku hiyo…
15 February 2024, 5:01 pm
Tabia bwete yatajwa chanzo cha ugonjwa wa kisukari
Ili kuepuka magonjwa yanayosababishwa na mtindo mbovu wa maisha ni muhimu kufanya mazoezi ya wastani ya dakika 35 hadi 45 mara kwa mara. Na Mindi Joseph. Imeelezwa kuwa tabia Bwete ikiwemo kutofanya mazoezi unene uliopitiliza,kula vyakula vya wanga na mafuta…
15 February 2024, 4:27 pm
Wajawazito Handali walazimika kwenda leba na maji
Pamoja na hatua hizo za kwenda na maji kituo cha afya lakini bado wanakutana na shuruba nyingine namna ya kupata maji hayo bombani. Na Victor Chigwada.Pamoja na umuhimu wa matumizi ya maji katika sehemu za kutolea huduma za afya imekuwa…
15 February 2024, 4:01 pm
Wananchi Majeleko walalamika kucheleweshewa fedha za fidia
Mradi BBT umebeba program ya ajira kwa vijana kupitia sekta ya kilimo ambapo ilizinduliwa mnano Agosti 3-2022 na kuanza majaribio katika mikoa ya miwili ya Dodoma na Mbeya . Na Victor Chigwada.Wakazi wa kata ya Majeleko wilayani Chamwino wamelalamika kucheleweshewa…
12 February 2024, 3:24 pm
BRELA, FCC zatajwa kuchochea maendeleo sekta ya viwanda na biashara
Wakala wa usajili wa biashara na leseni Tanzania (BRELA) na Tume ya ushindani Tanzania (FCC)zimekutana na kamati ya kudumu ya Bunge ya viwanda ,Biashara ,kilimo na Mifugo kutoa semina ya nana taasisi hizo zinatekeleza majukumu yao na kuleta mchango katika…
9 February 2024, 6:01 pm
Vitambulisho vya kidijitali ni muhimu kwa wafanyabiashara wadogowadogo
Maafisa tehama, biashara na maendeleo ya jamii kutoka mikoa yote nchini wamekutana jijini Dodoma katika mafunzo ya ya mfumo wa usajili wa machinga . Na Mariam Matundu.Imeelezwa kuwa vitambulisho vya kidigitali kwa wafanyabiashara wadogowadogo vitawezesha kuwaunganisha wafanyabiashara hao na mifumo…
9 February 2024, 5:18 pm
Yafahamu madhara ya utupaji taka za plastiki katika vyanzo vya maji
Hata hivyo Umoja wa mataifa mara kadhaa umekuwa ukionya kuwa iwapo mataifa hayatochukua hatua za mapema kudhibiti taka zitokanazo na plastiki, huenda ulimwengu ukashuhudia idadi kubwa ya plastiki katika maziwa na bahari ukilinganisha na Samaki ifikapo mwaka 2050. Na Mariam…
7 February 2024, 5:54 pm
Yafahamu madhara yatokanayo na saratani ya mlango wa kizazi
Na Yussuph Hassan. Kwa mujibu wa Wizara ya Afya, saratani inayoongoza nchini ni ya mlango wa kizazi kwa asilimia 25, matiti asilimia 10, tezi dume asilimia 9, mfumo wa chakula asilimia 6.5 na saratani nyinginezo. Wanawake wenye umri kuanzia miaka…
7 February 2024, 5:29 pm
Shule ya msingi Iboni yawezeshwa ujenzi wa mabweni
Shule ya msingi Iboni ni shule pekee mkoani dodoma inayotoa elimu ya kawaida na elimu ya vitengo maalumu wakiwemo wanafunzi wasiiona, viziwi, usonji na ulemavu wa akili na viungo huku baadhi yao wakitembea umbali mrefu kufika shuleni. Na Nizar Mafita.Shule…
5 February 2024, 6:47 pm
Jamii yatakiwa kujitokeza kusaidia malezi
Kuna watoto wengi kwenye wanapitia changamoto ya kupata malezi inayotokana na ugumu wa maisha pamoja na wengine kukosa wazazi. Na Fred Cheti.Wito umetolewa kwa jamii kujitokeza kusaidia katika malezi kwa watoto wenye uhitaji wa huduma hiyo kwa kuwachukua na kuwapatia…