Recent posts
29 April 2026, 16:46
Mashamba ya bangi yateketezwa kwa moto Kiteto
Hatua hiyo imechukuliwa ikiwa ni sehemu ya juhudi za kupambana na matumizi na usambazaji wa madawa ya kulevya aina ya bangi. Na Kitana Hamis.Mashamba makubwa ya bangi yaliyokuwa yakilimwa kwa siri katikati ya mashamba ya mahindi katika Kijiji cha Mbigiri,…
29 April 2026, 16:25
Wahitimu ualimu waomba uboreshaji mitaala uendane na vifaa
Aidha wamedai kuwa endapo serikali ikizipatia shule vifaa hivyo vya kufundishia na kujifunzia kutaleta usawa wa Kielimu Kwa makundi yote. Na Steven Noel.Wahitimu wa Taalauma ya ualimu Katika chuo cha ualimu Mpwapwa wameiomba serikali kuwa uboreshaji wa mitaala uendane na…
28 April 2026, 15:33
Vijana watakiwa kuchangamkia fursa kujiingizia kipato
Serikali imeendelea kuboresha mazingira ya kilimo kwa kuweka mindombinu ya kisasa hususani katika kilimo cha umwagililiaji. Na Victor Chigwada. Vijana wametakiwa kujikita kwenye fursa mbalimbali ili kujiingizia kipato na kuacha kisingizio cha kukosa ajira . Wakiongea na taswira ya habari…
28 April 2026, 14:20
Elimu dhidi ya ukatili wa kijinsia itolewe shuleni
Utoaji wa elimu hiyo ni sehemu ya mkakati wa Jiji la Dodoma kuhakikisha shule zinabaki kuwa maeneo salama kwa watoto ili waweze kutimiza ndoto zao bila hofu. Na Mariam Kasawa. Katika mwendelezo wa kampeni ya kulinda haki na usalama wa…
28 April 2026, 14:03
Vijana waomba huduma rafiki elimu ya afya ya uzazi
Hali ya mazoea na fikra za kuamini kuwa kliniki ni sehemu ya watoto na akina mama kunapelekea wao kuwa na aibu ya kufika na kukaa eneo hilo kusubiri huduma. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa licha ya elimu na kampeni mbalimbali…
27 April 2026, 15:17
Marufuku kuingiza, kusafirisha nguruwe Mpwapwa
Amesema wamefikia hatua hiyo kutokana na ugonjwa wa nguruwe unaosababishwa na virusi na hauna tiba wala kinga . Na Steven Noel. Kaimu Afisa Mifugo Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma Dkt. Emanuel Lyimo amesema kufuatia kuwepo wa ugonjwa wa nguruwe kwa baadhi ya…
27 April 2026, 13:23
Wanufaika wa TASAF Msamalo waishukuru serikali
Muhuri amewataka Wananchi kutumia fedha hizo Kwa manufaa ili waweze kubadilisa maisha yao na kuanza kuishi Kwa kujitegemea. Na Victor Chigwada. Wanufaika na walengwa wa mfuko wa kusaidia kaya masikini TASSAF katika kijiji cha Msamalo wameishukuru serikali kupitia mfuko huo…
27 April 2026, 12:59
Chinugulu walalamika kukosa mikopo ya asilimia 10
Juhudi za kumtafuta Afisa maendeleo kata ya Chinugulu kuzungumzia ishu ya wananchi kushindwa kupata mikopo licha ya vikundi walivyo anzisha bado zinaendelea . Na Victor Chigwada. Vijana wa kitongoji cha Kilimoni Siasa katika Kijiji cha Chinugulu Wilayani Chamwino wamehoji kama…
27 April 2026, 11:53
Watu wa karibu wanamlindaje msichana dhidi ya ukatili wa kijinsia?
Mabadiliko ya tabianchi yanachochea aina zote za ukatili dhidi ya wanawake na wasichana na tayari kuna mwenendo ulio dhahiri ambao pasi na shaka unazidi kupanuka kadri janga la tabianchi nchi linavyozidi kuwa baya. Na Mariam Kasawa. Ukatili dhidi ya wanawake…
17 April 2026, 17:35
Serikali yaombwa kupunguza gharama ya urasimishaji ardhi
Pamoja na changamoto hizo ndogondogo lakini wananchi baada ya elimu wamekuwa na mwitikio mzuri wa kurasimisha ardhi zao. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Chinangali ii Kata ya Majeleko wameiomba Serikali kupunguza gharama za urasimishaji ardhi. Wananchi hao wamesema…