Dodoma FM

Recent posts

30 July 2026, 17:06

TADB yaongeza kiwango utoaji wa mikopo sekta ya kilimo

Serikali inaendelea kushirikiana na taasisi za kifedha kuhakikisha sekta ya kilimo inapata mtaji wa kutosha ili kuongeza uzalishaji, kuimarisha usalama wa chakula na kuchochea ukuaji wa uchumi wa taifa. Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imesema imeongeza kwa kiwango…

29 July 2026, 17:05

Sekta za umma na binafsi zimetakiwa kushirikiana kuharakisha maendeleo

Mhe. Senyamule amesema usimamizi madhubuti wa miradi ya maendeleo, kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi pamoja na kuzingatia misingi ya utawala bora ni nguzo muhimu zitakazochochea maendeleo ya Mkoa wa Dodoma na kuchangia kufikiwa kwa malengo ya Dira ya Taifa ya…

28 July 2026, 16:57

Elimu ya malezi yatajwa kuwa msingi wa familia imara

Malezi bora ni wajibu wa jamii nzima, wakisisitiza ushirikiano kati ya wazazi, walezi, shule na jamii kwa ujumla Na Daniel Njau. Wazazi na walezi wametakiwa kuimarisha ushiriki wao katika malezi ya watoto kwa kuhudhuria na kufuatilia vipindi vya malezi, hatua…

28 July 2026, 16:36

Homa ya ini inaweza kuingia mwilini bila kuonesha dalili

Ugonjwa huu unapoingia mwilini huendelea kuharibu ini taratibu hadi kulisababisha kusinyaa na baadaye kupelekea saratani. Na Jerome John Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Homa ya Ini leo Jumanne, Julai 28, wataalamu wa afya wameonya kuwa ugonjwa huo unaweza kuingia mwilini…

28 July 2026, 16:07

Wananchi Chang’ombe waiomba serikali kuboresha eneo la stendi

Utekelezaji wa ujenzi wa mradi wa kituo cha mabasi utaondoa changamoto za msongamano, kuongeza usalama wa watumiaji wa kituo hicho na kuboresha huduma za usafiri, sambamba na kukuza shughuli za kiuchumi katika eneo la Chang’ombe na Jiji la Dodoma kwa…

27 July 2026, 16:59

Wanaume wahimizwa kufanya vipimo saratani ya tezi dume

Wananchi wameitaka serikali pamoja na wadau wa sekta ya afya kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu saratani ya tezi dume, wakiamini kuwa uhamasishaji wa mara kwa mara utasaidia kuongeza uelewa, kuondoa hofu ya kupima na kuwezesha wagonjwa wengi kugundulika mapema…

27 July 2026, 16:40

Polisi waomba ushirikiano wa viongozi wa dini kufichua ukatili

Mrakibu Mnyanyi amebainisha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi hivyo utekelezaji wake unahitaji ushirikiano wa kila mmoja.zilizosaini mikataba ya kikanda na kimataifa ya kupinga ukatili wa kijinsia, Na Stephen Noel. Jeshi la Polisi Tanzania limewaomba viongozi wa dini pamoja na…

27 July 2026, 16:32

Wananchi watakiwa kuungana vita dhidi ya ukatili wa kijinsi

Kwa kuendelea kutoa elimu na kushirikisha wananchi kupitia majukwaa mbalimbali ya kijamii, Jeshi la Polisi linaamini kuwa vitendo vya ukatili wa kijinsia vinaweza kupungua na jamii ikaendelea kuwa salama kwa kila mtu. Na Anwary Shaban. Jeshi la Polisi kupitia Dawati…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger