Recent posts
28 August 2026, 16:22
Serikali yaendele kuhimiza chanjo ya polio kwa watoto
Na Anwary Shabani. Zoezi la utoaji chanjo ya Polio linatarajiwa kuendelea hadi Agosti 30, 2026, likihusisha jamii kwa ujumla, hususani wazazi na walezi, kwa lengo la kuhakikisha kila mtoto aliyelengwa anapata chanjo. Serikali imeendelea kuimarisha juhudi za kuilinda Tanzania dhidi…
28 August 2026, 16:10
TACAIDS kujumuisha watu wenye ulemavu mapambano dhidi ya UKIMWI
Kampeni hiyo inalenga kuwafikia watu wenye ulemavu wengi zaidi na kuwahamasisha kushiriki kikamilifu katika mapambano dhidi ya UKIMWI, huku akisisitiza kuwa mafanikio ya Tanzania katika kudhibiti ugonjwa huo yanahitaji ushiriki wa kila mwananchi. Ameongeza kuwa juhudi za kupambana na UKIMWI…
27 August 2026, 17:20
Changamoto ya afya ya akili yatajwa sababu ya mtu kijitoa uhai
Wananchi wameomba elimu ya afya ya akili na msaada wa kisaikolojia iendelee kutolewa vijijini na mijini ili kuongeza uelewa, kuimarisha ushirikiano wa jamii na kuwasaidia watu wenye changamoto kupata msaada mapema. Na Daniel Njau Hali ya baadhi ya watu kukata…
27 August 2026, 17:03
Matumizi huduma ya maji kielektroniki suluhisho kwa wananchi Miyuji
Huduma hiyo inaendelea kuwa sehemu ya juhudi za kuboresha upatikanaji wa maji safi na salama kwa jamii, huku matumizi ya teknolojia yakitoa fursa ya kufanya huduma hiyo kuwa rahisi na yenye ufanisi zaidi. Na Elizabeth Mwinuka. Katika kuhakikisha jamii inapata…
27 August 2026, 16:45
Tanzania kuwa na utoshelevu wa chakula 130% kufikia 2025/2026
TPHPA itaendelea kushirikiana na Serikali, wakulima, vijana, wanawake, wafanyabiashara, watafiti pamoja na taasisi mbalimbali za umma na binafsi, ikiwemo zisizo za Serikali, kuhakikisha udhibiti wa visumbufu unaimarishwa na Tanzania inakuwa na kilimo chenye tija na uzalishaji endelevu. Anwar Shabani, Tanzania…
27 August 2026, 16:36
Kicheko, siri ya afya bora na kukabiliana na changamoto za maisha
Licha ya ugumu wa maisha, wataalamu na wanasaikolojia wameendelea kusisitiza umuhimu wa kuwa na mahusiano mazuri, kupata muda wa kupumzika, kufanya mambo tunayoyapenda na kutafuta sababu za kucheka na kufurahia maisha. Na Grace Budodi. Kicheko ni sehemu ya maisha ya…
26 August 2026, 17:20
Adhabu kali humfanya mtoto kuwa na hofu
Amewashauri wazazi kuwa karibu na watoto wao na kuzungumza nao kwa upendo ili kujenga uaminifu, jambo litakalo wawezesha watoto kueleza changamoto zao na kusaidiwa mapema. Na Rahel Joseph. Imeelezwa kuwa adhabu kali kwa mtoto humjengea hofu na kumfanya ashindwe kujiamini…
26 August 2026, 17:13
Wazazi watakiwa kuendelea kuimarisha malezi ya watoto
Wananchi,wazazi, walezi na jamii kwa ujumla wametakiwa kutambua wajibu wao wa malezi, kuwaongoza watoto kwa nidhamu na kushirikiana na viongozi wa dini pamoja na jamii katika kujenga kizazi chenye maadili mema. Na Daniel Njau. Wananchi wameeleza kuwa mabadiliko ya maadili…
26 August 2026, 17:06
Tabia uzofanya uamkapo zinaweza kuchangia umakini wa siku nzima
Ameongeza kuwa ni muhimu mtu kuwa na uwezo wa kuendelea na majukumu yake hata pale ambapo hajafanya jambo alilozoea kufanya mara baada ya kuamka. Je unafahamu kuwa tabia anazofanya mtu mara tu baada ya kuamka zinaweza kuwa na mchango katika…
26 August 2026, 17:03
Polisi Dodoma waendelea kuimarisha uhusiano na jamii
Maadhimisho ya miaka 20 ya Polisi Jamii nchini yanaendelea chini ya kaulimbiu inayohimiza ushirikiano kati ya jamii na Jeshi la Polisi katika kudumisha amani, usalama na umoja wa kitaifa. Kupitia maadhimisho hayo, elimu kwa wananchi inaendelea kusisitizwa kuwa ni nyenzo…