Recent posts
9 April 2026, 13:08
Jamii yatakiwa kujenga ushirikiano na tume ya haki za binadamu
Tume ya Haki za Binadamu kwa mujibu wa Katiba ya nchi ibara ya 129 mpaka ibaraya 131 imeainisha majukumu kwa ujumla na namna ambavyo utekelezwaji wake ulivyo na kupitia utekelezwaji huo jamii hupata maendeleo kwa kushirikiana na viongozi pasipo kuvunja…
8 April 2026, 12:26
Upungufu wa dawa zahanati ya Manchali kilio kwa wananchi
Wameiomba serikali kupitia wizara ya Afya kuwasaidia dawa za kutosha katika zahanati hiyo ili wananchi waepukane na adha kwenda kununua dawa nje ya hospitali. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji Cha Manchali A wameiomba Serikali kuboresha upatikaji wa huduma ya…
8 April 2026, 11:56
Mtindo wa maisha unaathiri vipi afya ya akili?
Katika majadiliano haya, tutaangazia jinsi mtindo wa maisha unavyoweza kuathiri afya ya akili . Afya ya akili ni sehemu muhimu ya ustawi wa jumla wa mwanadamu. Ni hali ya akili kuwa na uwezo wa kukabiliana na changamoto za maisha, kufikia…
8 April 2026, 11:35
Ndogowe barabara yaharibiwa na mvua
Changamoto ya miundombinu mibovu ya barabara imepelekea wagonjwa kushindwa kufika hospitali kwa wakati pamoja usafiri kuwa washida. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kijiji Cha Ndogowe wilayani Chamwino wameiomba Serikali kukarabati miundombinu ya barabara zilizo haribiwa na mvua na kupelekea adha…
2 April 2026, 17:25
Jamii gizani mpango mabinti waliojifungua kurudi shule
Mwaka 2022 serikali ilitoa waraka wa wananafunzi wa kike wanaopata ujauzito kurejea mara baada ya kujifungua . Na Steven Noel. Wadau wa Elimu Katika kata nne za wilaya ya Mpwapwa wamesema bado mkakati uliotolewa na serikali wa kuwarejesha shule wanafunzi waliopata…
2 April 2026, 17:10
Wanahabari watakiwa kuhabarisha umma majukumu ya sekretarieti ya maadili
Semina hiyo imefanyika Dodoma na kupendekezwa kwa mipango kazi baina ya waandishi na sekereterieti hiyo kuona namna bora ya kuongeza juhudi za uhabarishaji jamii katika masuala ya maadili,uwajibika ,uzalendo,uwazi na uadilifu kwa viongozi wa umma na jamii kwa ujumla. Na…
2 April 2026, 16:50
Mirembe yatakiwa kuimarisha tathmini ya watoto wenye usonji
Maadhimisho ya Siku ya Usonji Duniani yamefanyika katika Hospitali ya Mirembe, Dodoma, yakiwa na lengo la kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu hali ya usonji pamoja na kuboresha mazingira kwa watu wenye usonji. Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Weka Tumaini…
31 March 2026, 19:45
Maadhimisho ya Afya na lishe yafanyika Zuzu
Maadhimisho hayo yalihusisha utoaji elimu ya lishe kuhusu makundi ya vyakula, matunda na mbogamboga, upimaji uzito watoto na wajawazito na pia upishi wa vitendo wa uji ulifanyika ili kuonesha namna bora ya kupika uji wa lishe. Na Anwary Shaban. Wananchi…
31 March 2026, 19:27
Sera ya maji ya Taifa toleo la 2025 yazinduliwa
Wizara ya Maji kupitia Idara ya Rasilimali za Maji ina jukumu la kuhakikisha mabwawa ya maji na tope sumu (Tailing StorageFacility-TSF) yanakidhi vigezo vya usalama wa mabwawa. Na Anwary Shaban. Wizara ya Maji imezindua Sera ya Maji ya Taifa ya…
27 March 2026, 17:43
Hali tete shule ya msingi Ndogowe
Shule hiyo inakabiliwa pia na uhaba wa matundu ya vyoo hali inayo hatarisha usalama wa afya za wanafunzi na walimu. Na Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Ndogowe wameiomba serikali kukarabati majengo ya shule ya msingi Ndogowe kwani ni chakavu…