Recent posts
13 April 2026, 17:16
Shule Shikizi Segu Chini kujengwa chumba kimoja cha darasa
Shule shikizi hiyo itasaidia watoto hasa wa madarasa ya chini wanaoishi maeneo ya mbali kupata elimu karibu, ambapo wanatembea umbali wa km 7 kufika Shule ya Msingi Nala kusoma na wengine kutembea umbali wa km 8 kufika Shule ya Msingi…
13 April 2026, 16:28
Migogoro ya ndoa chanzo watoto wa mitaani
Kwa mwaka 2026 Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni malezi na ulinzi wa mtoto ni WAJIBU wetu sote. Na Steven Noel Jamii imeshauriwa kuchukua hatua dhidi ongezeko la watoto wanaotumikishwa mitaani pamoja na ongezeko la watoto wa mitaani linalozidi kuongezeka…
13 April 2026, 11:46
Mikopo ya kausha damu yawatesa Ngh’ambaku
Mikopo umiza imekuwa ikisababisha athari nyingi kwa jamii ikiwemo familia zinazo jiingiza kwenye mikopo hiyo kukumbwa na madeni yasiyo kwisha. Na Victor Chigwada Wakazi wa Kata ya Ngh’ambaku Wilayani Chamwino wametakiwa kuachana na mikopo umiza maarufu kama kausha damu kwani…
13 April 2026, 10:53
Mwanaume anaweza kuzungumzia ukatili wa kijinsia anaofanyiwa?
Matendo ya ngono yatakayosababishwa kwa maneno au matendo na mtu aliye na madaraka katika sehemu ya kazi au sehemu nyingine yoyote, atakuwa ametenda kosa la udhalilishaji wa kijinsia. Na Mariam KasawaUmoja wa Mataifa unafafanua kuwa ukatili wa kijinsia ni kitendo…
9 April 2026, 17:25
Sigara/shisha huchangia magonjwa ya moyo kwa vijana
Unywaji wa pombe pamoja na uvutaji wa sigara umetajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu zinazo sababisha ongezeko la magonjwa ya moyo, hususani kwa wanaume. Na Bennard Filbert. Hayo yameelezwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Jakaya Kikwete Cardiac Institute, Dkt. Peter…
9 April 2026, 17:06
Viongozi wa umma watakiwa kuendelea kuzingatia maadili
Sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma ni taasisi iliyo chini ya ofisi ya rais kwa kusimamia maadili ya viongozi wa umma katika uwajibikaji wa shughuli mbalibali. Na Jerome John. Viongozi wa umma nchini wamekumbushwa kuendelea kuzingatia suala la maadili…
9 April 2026, 14:02
Tunawezaje kukomesha ukatili wa kijinsia unao tokana na athari za mabadiliko ya…
Na Mariam Kasawa. Umoja wa Mataifa, ambao umebaini kuwa mabadiliko ya tabianchi yanazidisha msongo wa kijamii na kiuchumi unaochochea kuongezeka kwa viwango vya vurugu dhidi ya wanawake na wasichana. Ripoti hiyo inaonesha kuwa hali mbaya ya tabianchi, kuhama makazi, ukosefu…
9 April 2026, 13:08
Jamii yatakiwa kujenga ushirikiano na tume ya haki za binadamu
Tume ya Haki za Binadamu kwa mujibu wa Katiba ya nchi ibara ya 129 mpaka ibaraya 131 imeainisha majukumu kwa ujumla na namna ambavyo utekelezwaji wake ulivyo na kupitia utekelezwaji huo jamii hupata maendeleo kwa kushirikiana na viongozi pasipo kuvunja…
8 April 2026, 12:26
Upungufu wa dawa zahanati ya Manchali kilio kwa wananchi
Wameiomba serikali kupitia wizara ya Afya kuwasaidia dawa za kutosha katika zahanati hiyo ili wananchi waepukane na adha kwenda kununua dawa nje ya hospitali. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji Cha Manchali A wameiomba Serikali kuboresha upatikaji wa huduma ya…
8 April 2026, 11:56
Mtindo wa maisha unaathiri vipi afya ya akili?
Katika majadiliano haya, tutaangazia jinsi mtindo wa maisha unavyoweza kuathiri afya ya akili . Afya ya akili ni sehemu muhimu ya ustawi wa jumla wa mwanadamu. Ni hali ya akili kuwa na uwezo wa kukabiliana na changamoto za maisha, kufikia…