Recent posts
21 July 2026, 17:09
Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya majanga ya moto
Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya majanga ya moto kwa kufuata kanuni za usalama na kutoa taarifa mapema kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji pindi moto unapotokea, ili kuokoa maisha na mali. Na Daniel Njau. Akitoa elimu kuhusu majanga ya…
21 July 2026, 16:42
Wananchi walalamika kuchangia vyanzo vya maji na mifugo
Sera ya maji ya taifa inasema maji ni muhimu kwa viumbe vyote duniani, bila maji hakuna uhai aidha maji ni muhimu kwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii, kiwango cha maendeleo ya jamii yoyote kina tegemea kuwepo kwa maji ya kutosha…
21 July 2026, 16:03
Wazazi wa kiume waomba kushirikishwa huduma hedhi salama
Shirika la Marafiki Elimu limetoa wito kwa wazazi na walezi wa kike kuacha kuwaficha wazazi na walezi wa kiume katika suala la Hedhi Salama kwa watoto wa kike ili kushirikiana katika upatikanaji wa malezi shirikishi na vifaa saidizi pindi binti…
20 July 2026, 18:00
Mabadiliko ya tabianchi yanaathirije upatikanaji wa chakula?
Wanasayansi wanabashiri kwamba ongezeko la joto na mabadiliko ya mienendo ya mvua huenda yakaathiri uzalishaji hasa katika maeneo yenye matatizo. Na Mariam Matundu.Uhakika wa upatikanaji chakula huathiriwa na mabadiliko ya tabia ya nchi kwani ukame, mabadiliko ya vizio vya joto,…
20 July 2026, 17:47
Mbaroni kwa kumbaka mwanafunzi wa kidato cha 3 Pwaga
Hadi sasa uchunguzi wa tukio hilo unaendelea chini ya uongozi wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Mpwapwa. Na Stephen Noel. Watu watatu wakazi wa Kijiji cha Pwaga, Kata ya Pwaga Wilaya ya Mpwapwa wanashikiliwa na jeshi la Polisi wilayani humo…
20 July 2026, 17:34
Wananchi Ilangali B walia uharibifu wa mto Kizogo
Licha ya wadau wa mazingira kufika eneo la uchimbaji kufanya tathmini na kutoa maelekezo lakini kumekuwa hakuna utekelezaji wowote. Na Anwary Shaban. Wakazi wa kitongoji cha Ilangali “B” Kata ya Manda Wilaya ya Chamwino wameendelea kulia na uharibifu wa chanzo…
20 July 2026, 17:25
Wananchi Chiwoni wafanya harambee ujenzi wa shule shikizi
Juhudi hizi za wananchi zinaonesha namna ushirikiano kati ya jamii, viongozi na wadau unavyoweza kuwa chachu ya maendeleo ya elimu. Kukamilika kwa shule hiyo kunatarajiwa kupunguza adha ya wanafunzi kutembea umbali mrefu na kuongeza fursa ya watoto wengi kupata elimu…
17 July 2026, 16:53
Mitazamo hasi kwa wenye ualbino inavyowaathiri kisaijolojia
Watu hao wamekuwa wakibaguliwa na hata kuitwa majina yasiostahili. Na Lilian Leopold.Mitazamo hasi inayoendelea kuwepo katika baadhi ya jamii kuhusu watu wenye ualbino, ikiwemo kuwaita majina yasiyofaa, imetajwa kuendelea kuwaathiri kisaikolojia na kuathiri ustawi wao. Jamii ya albino imekumbwa na…
17 July 2026, 16:32
Wanaume watakiwa kusimama katika nafasi zao katika malezi
Wananchi wanaamini kuwa nafasi ya mwanamume katika malezi ni kubwa kwa sababu watoto hujifunza zaidi kupitia matendo kuliko maneno. Na Daniel Njau.Wanaume wametakiwa kusimama katika nafasi zao ili kujenga jamii yenye maaadili na kujituma. Baba anayewajibika kwa familia yake, anayeheshimu…
17 July 2026, 15:32
Vikundi vya kijamii, polisi kushirikiana kufichua ukatili
Washiriki wa kikundi hicho wameahidi kuendelea kufanya kazi na Polisi na viongozi wa jamii ili kuhakikisha Mpwapwa inakuwa salama kwa wanawake na watoto. Na Stephen Noel. Vikundi mbalimbali vya kijinsia vinavyoanzishwa kwenye jamii kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi vimetakiwa…