Dodoma FM

Recent posts

13 April 2026, 17:16

Shule Shikizi Segu Chini kujengwa chumba kimoja cha darasa

Shule shikizi hiyo itasaidia watoto hasa wa madarasa ya chini wanaoishi maeneo ya mbali kupata elimu karibu, ambapo wanatembea umbali wa km 7 kufika Shule ya Msingi Nala kusoma na wengine kutembea umbali wa km 8 kufika Shule ya Msingi…

13 April 2026, 16:28

Migogoro ya ndoa chanzo watoto wa mitaani

Kwa mwaka 2026 Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni  malezi  na ulinzi wa mtoto ni WAJIBU wetu sote. Na Steven Noel Jamii imeshauriwa kuchukua hatua dhidi  ongezeko  la watoto wanaotumikishwa mitaani pamoja na ongezeko la watoto wa mitaani   linalozidi kuongezeka…

13 April 2026, 11:46

Mikopo ya kausha damu yawatesa Ngh’ambaku

Mikopo umiza imekuwa ikisababisha athari nyingi kwa jamii ikiwemo familia zinazo jiingiza kwenye mikopo hiyo kukumbwa na madeni yasiyo kwisha. Na Victor Chigwada Wakazi wa Kata ya Ngh’ambaku Wilayani Chamwino wametakiwa kuachana na mikopo umiza maarufu kama kausha damu kwani…

13 April 2026, 10:53

Mwanaume anaweza kuzungumzia ukatili wa kijinsia anaofanyiwa?

Matendo ya ngono yatakayosababishwa kwa maneno au matendo na mtu aliye na madaraka katika sehemu ya kazi au sehemu nyingine yoyote, atakuwa ametenda kosa la udhalilishaji wa kijinsia. Na Mariam KasawaUmoja wa Mataifa unafafanua kuwa ukatili wa kijinsia ni kitendo…

9 April 2026, 17:25

Sigara/shisha huchangia magonjwa ya moyo kwa vijana

Unywaji wa pombe  pamoja na uvutaji wa sigara umetajwa kuwa miongoni mwa sababu kuu zinazo sababisha ongezeko la magonjwa ya moyo, hususani kwa wanaume. Na Bennard Filbert. Hayo yameelezwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Jakaya Kikwete Cardiac Institute, Dkt. Peter…

9 April 2026, 17:06

Viongozi wa umma watakiwa kuendelea kuzingatia maadili

Sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma ni taasisi iliyo chini ya ofisi ya rais kwa kusimamia maadili ya viongozi wa umma katika uwajibikaji wa shughuli mbalibali. Na Jerome John. Viongozi wa umma nchini wamekumbushwa kuendelea kuzingatia suala la maadili…

9 April 2026, 13:08

Jamii yatakiwa kujenga ushirikiano na tume ya haki za binadamu

Tume ya Haki za Binadamu kwa mujibu wa Katiba ya nchi ibara ya 129 mpaka ibaraya 131 imeainisha majukumu kwa ujumla na namna ambavyo utekelezwaji wake ulivyo na kupitia utekelezwaji huo jamii hupata maendeleo kwa kushirikiana na viongozi pasipo kuvunja…

8 April 2026, 12:26

Upungufu wa dawa zahanati ya Manchali kilio kwa wananchi

Wameiomba serikali kupitia wizara ya Afya kuwasaidia dawa za kutosha katika zahanati hiyo ili wananchi waepukane na adha kwenda kununua dawa nje ya hospitali. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji Cha Manchali A wameiomba Serikali kuboresha upatikaji wa huduma ya…

8 April 2026, 11:56

Mtindo wa maisha unaathiri vipi afya ya akili?

Katika majadiliano haya, tutaangazia jinsi mtindo wa maisha unavyoweza kuathiri afya ya akili . Afya ya akili ni sehemu muhimu ya ustawi wa jumla wa mwanadamu. Ni hali ya akili kuwa na uwezo wa kukabiliana na changamoto za maisha, kufikia…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger