Recent posts
16 March 2026, 18:11
Mvua yasomba mashamba kwa Mshango Mpwapwa
Amesema taarifa hiyo tayari imeandaliwa na itawasilishwa katika ofisi za ngazi ya wilaya kwa hatua zaidi. Na Stephen Noel, Mpwapwa Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini zimeendelea kusababisha madhara kwa wananchi, ikiwemo kusombwa kwa mashamba ya wakulima katika Kitongoji…
16 March 2026, 17:58
Ukarabati waendelea barabara ya Handeni–Kibrashi–Kibaya
Barabara hiyo ambayo inaunganisha Mkoa wa tanga na Manyara inaendelea kufanyiwa ukarabati. Na Kitana Hamis. MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha Wilayani Kiteto, Mkoani Manyara zimesababisha kukatika kwa mawasiliano ya barabara ya na kupelekea adha kubwa kwa watumiaji wa barabara hiyo. Wakiongea…
16 March 2026, 17:47
Vijiji 8 Mpwapwa kunufaika na mpango wa matumizi bora ya ardhi
VIJIJI vitakavyo nufaika na mpango huo ni Kijiji cha Mzase,Godegode,Mgoma Kisisi na Kitati.vijiji vingine Lukole, Kingiti na Kidenge . Na Steven Noel.Jumla ya vijiji nane vya halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa mkoa wa Dodoma vinatarajia kunufaika mpango wa matumizi bora…
16 March 2026, 17:19
Korongo lahatarisha usalama wa wananchi Kaloleni
Wananchi wameiomba serikali kuharakisha kuchukua hatua za kudumu ili kuhakikisha usalama wa watoto na wakazi wa Kaloleni. Na Kitana Hamis.Wananchi wa Kata ya Kaloleni wilayani Kiteto mkoani Manyara wamelalamikia uwepo wa korongo kubwa linalokatiza eneo lao, wakisema linahatarisha usalama wa…
16 March 2026, 13:43
DUWASA yaendelea na ukarabati bomba kubwa la maji taka
Meneja wa Kitengo cha Majitaka na Usafi wa Mazingira DUWASA, Mhandisi Ores John, amesema kuwa mamlaka hiyo inashirikiana na wataalamu kutoka Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuhakikisha matengenezo yanafanyika haraka. Na Anwary Shaban Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira…
9 March 2026, 20:56
Wanawake watakiwa kutomuacha nyuma mtoto wa kiume kimalezi
Kila mwaka mwezi Machi huadhimishwa kama mwezi wa wanawake, ambapo wanawake hupata nafasi ya kutafakari mafanikio yao pamoja na changamoto wanazokutana nazo katika nyanja za kiimani, kiuchumi na kisiasa. Na Steven Noel.Mbunge wa Jimbo la Mpwapwa mkoani Dodoma, Nathan Malima,…
9 March 2026, 20:17
Jamii yaaswa kuachana na matumizi ya dawa za kulevya
Na Jerome John. Jamii mkoani Dodoma imeshauriwa kutojiusisha na utumiaji wa dawa za kulevya au uuzaji kutokana na madhara makubwa yanayoweza kujitokeza endapo ukibainika. Akizungumza na Taswira ya habari Afisa elimu kutoka mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za…
6 March 2026, 17:16
Teknolojia ya kisasa ziwa Victoria yasaidia usimamizi wa rasilimali za maji
Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria ni taasisi ya serikali inayosimamia rasilimali za maji katika bonde la Ziwa Victoria upande wa Tanzania,Taasisi hii inahakikisha matumizi ya maji yanafanyika kwa njia endelevu. Na Bernard Komba. Bodi ya maji bonde la…
6 March 2026, 16:25
Kata zatakiwa kutenga bajeti kwaajili ya kujenga masoko
Kliniki hiyo ya kutatua kero kwa wananchi itachukua takribani siku tatu na Moja ya dhamira kuu ya serikali nikuhakikisha mwananchi hatembei umbali mrefu kwenda kupata huduma badala yake wamezisogeza taasis zote za kiserikali katika eneo moja ili kutatua kero kwa…
6 March 2026, 12:26
Wanawake MPUWSA watoa msaada kwa watoto wenye mahitaji maalum
Ni lazima wanawake kujikita katika malezi ya watoto bila kujali changamoto zao . Na Steven Noel. Kuelekea Siku ya kilele cha wanawake Duniani wanawake wa mamlaka ya maji Katika Mji wa Mpwapwa Watoa msaada wa vifaa vya shule Katika kituo…