Recent posts
27 February 2026, 17:03
Chinyika waiomba serikali kutatua kero ya maji
Aidha amewahimiza wakazi wa Chinyika wajitokeze kwa wingi katika mkutano utakaofanyika kesho Na Farashuu Abdallah. Wakazi wa mtaa wa Chinyika kata ya Mkonze jijini Dodoma wameiomba serikali kutatua changamoto ya maji ambayo imekuwa ni kero ya muda mrefu. Wakizungumza na…
26 February 2026, 17:46
Serikali kuimarisha elimu ya malezi
Serikali inataka kukuza ustawi wa jamii, malezi bora ya watoto na afya ya akili, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wananchi wanapata elimu na huduma zinazowawezesha kuishi maisha yenye ustawi na tija. Na Mwandishi wetu.Serikali imesema itaendelea kuimarisha malezi ya watoto…
26 February 2026, 12:50
Sheria mpya ya manunuzi yasaidia kuboresha manunuzi pamoja na sekta ya ugavi
Ameongeza kuwa jumla ya rufaa 26 zimewasilishwa na kushughulikiwa na mamlalaka ya rufani ya zabuni za Umma. Na Bennard Komba. Imeelezwa kuwa kutungwa upya kwa sheria ya manunuzi serikalini 2024/2025 imesaidia kuboresha manunuzi Pamoja na sekta ya ugavi Pamoja na…
26 February 2026, 12:10
Mradi wa CIC ulivyo saidia kuboresha miundombinu ya watoto kujifunza
Mkutano huo umeelezwa kuwa sehemu ya juhudi za pamoja za serikali na wadau kuhakikisha watoto wote wanapata fursa ya elimu bora ya awali na kuandaliwa kuwa wananchi wenye tija kwa maendeleo ya Taifa. Na Farashuu Abdallah. Katika juhudi za uboreshaji…
26 February 2026, 11:57
Ujenzi wa sekondari Mapinduzi wapunguza adha ya wanafunzi kutembea umbali mrefu
Wananchi wa eneo hilo wameishukuru serikali kwa kutoa fedha kwaajili ya ujenzi wa sekondari hiyo. Na Victor Chigwada. Ujenzi wa shule ya sekondari Mapinduzi A umekuwa mkombozi Kwa wanafunzi wa mtaa huo ambao hapo awali walilazimika kutembea umbali mrefu hadi…
23 February 2026, 17:37
Wananchi walalamika kuvamiwa kwa eneo lao la kimila
Hata hivyo tayari wamekwisha peleka ombi Halmashauri Ili waweze Kufanya zoezi la utambuzi kabla ya kulipima upya eneo hilo na kulikabidhi kwa kijiji. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Mapinduzi A kata ya Ngh’ongh’ona wameiomba serikali kuingilia kati suala la watu…
23 February 2026, 17:08
Bandari kavu Dodoma suluhisho msongamano wa bandari Dar
Inatarajiwa kupokea zaidi ya kontena 1500, jambo litakalorahisisha biashara na kuongeza kasi ya usafirishaji wa bidhaa ndani na nje ya nchi. Na Mariam Kasawa. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amefanya ziara ya kukagua mradi wa Bandari Kavu…
23 February 2026, 15:47
Wananchi Bwawani waombwa kuwa watulivu sakata la bomoabomoa
Mwenyekiti wa mtaa wa Bwawani ameeleza hatua ambazo zinaendelea hadi sasa kuhusu ubomoaji huo. Na Farashuu Abdallah. Ikiwa miezi kadhaa imepita tangu wananchi wa Mtaa wa Bwawani kata ya Mkonze jijini Dodoma kutoa malalamiko yao kuhusu uamuzi uliochukuliwa na ofisi…
20 February 2026, 17:58
Ulinzi waendelea kuimarishwa Mtumba na viunga vyake
Aidha ameongeza kuwa Hali hiyo inaweza kuchangia na kusahaulika Kwa majukumu ya kiulinzi na usalama na kupelekea kurejea Kwa matukio hayo. Na Victor Chigwada. Mkuu wa kituo Cha polisi Wilaya ya Mtumba kamanda OCD Issa Chau ameeleza Hali ya ulinzi…
20 February 2026, 17:41
Shekimweri aagiza mradi wa Kiwanja cha Ndege Msalato kukamilika kwa wakati
Kiwanja hicho kinajengwa katika ‘Package 2’ ambapo ‘Package 1’ inatekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 165.627 bila VAT na ‘Package 2’ inatekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 194.403 bila VAT. Wakandarasi wanaotekeleza mradi wa ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha…