Recent posts
25 March 2026, 17:06
TNMC yaandaa mbio za marathon Dodoma
Mbio hizo za marathoni zinatarajiwa kukusanya jumla ya shilingi milioni 100. Na Mariam Kasawa. Mbio za Marathoni zilizoandaliwa na Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) linatarajiwa kufanyika katika Jiji la Dodoma 04/04/2026 huku mgeni rasmi akiwa ni Waziri wa…
25 March 2026, 16:43
Muungano wataka kukamilika jengo la mama na mtoto
Amekiri kusimama kwa ujenzi wa jengo la mama na mtoto ambalo limefikia kwenye hatua ya kupaua lakini ujenzi umekwama kwa sasa. Na Victor Chigwada. Wananchi wa vitongoji vya Ilolo na Muungano wilayani Chamwino wameiomba Serikali kuingilia kati ili ujenzi wa…
25 March 2026, 11:40
Serikali kuajiri maafisa ustawi wa jamii maeneo yenye uhitaji
Elimu na masuala ya Mifumo rasmi ya Serikali ambapo wameajiriwa katika ngazi zote za Serikali ikiwa ni pamoja na Vijiji, Kata, Wilaya, Mkoa, Zahanati, Vituo vya Afya na Hospitali. Na Mariam Kasawa.Serikali imesema itaendelea kutoa ajira kwa Maafisa Ustawi wa…
25 March 2026, 09:45
PAC: Serikali imarisha miundombinu ya mawasiliano
Wananchi wametakiwa kutumia fursa hiyo ya kiteknolojia kujikwamua kiuchumi na kulinda miundombinu hiyo dhidi ya uharibifu. Na Mariam Kasawa Serikali imetakiwa kuendelea kuimarisha usimamizi wa miundombinu ya mawasiliano nchini ili kuchochea kasi ya maendeleo ya kiuchumi kwa wananchi wa vijijini.…
24 March 2026, 17:33
Wasioripoti kidato cha kwanza Dodoma wasakwa kurejea shuleni
Pamoja na wale wote ambao kwa mujibu wa maoteo walipaswa kuandikishwa darasa la awali na darasa la kwanza, lakini hawajaandikishwa, waweze kupelekwa shule. Na Mariam Kasawa. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amewapa siku 07 Maafisa Elimu Kata…
24 March 2026, 17:12
Umbali wakwamisha vijana kufuatilia vitambulisho vya NIDA
Aidha wameongeza kuwa umbali wa kufuatilia vitambulisho vya Taifa umewakatisha tamaa wengi ambao hawana vitambulisho hivyo ikiwemo vijana na kubaki bila vitambulisho vya Taifa. Na Victor Chigwada. Vijana wa kata ya Ngh’ambaku wilayani chamwino ambao hawana vitambulisho vya Taifa NIDA…
24 March 2026, 16:59
Wananchi Mpwapwa wapitisha mpango matumizi bora ya ardhi
Mpango huo umepitishwa katika vijiji vya Lukole, Mzase, Kingiti, Iyenge, Kidenge, Mgoma, Nzogole na kitati ikiwa ni mwendelezo wa serikali kuhakikisha vijiji vyote nchini vinapangwa, kupimwa na kumilikishwa. Na Steven Noel. Wananchi wa vijiji nane vya Halmashauri ya Wilaya ya…
24 March 2026, 16:31
Wananchi watakiwa kujihadhari dhidi ya kifua kikuu
Ikumbukwe kuwa kila ifikapo Machi 24 kila mwaka Dunia huazimisha siku ya kifua kikuu. Na Jerome john. Wananchi Mkoani Dodoma wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa kifua kikuu wawapo kwenye mazingira ya kufanyia kazi au nyumbani. Akizungumza na Taswira…
23 March 2026, 18:48
Unazuiaje uharibifu wa mazingira unaoathiri vyanzo vya maji?
Na Mariam Kasawa. Kuzuia uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji kunahitaji ushirikiano wa jamii, serikali, na taasisi kupanda miti, kulinda misitu, na kudhibiti taka. Hatua muhimu ni pamoja na sheria kali za mazingira (Sura 191), kutoa elimu, na kusimamia mipango kabambe…
23 March 2026, 18:22
Wananchi Muungano watakiwa kulipa bili za maji
Licha ya changamoto ya baadhi ya miundombinu ya maji kijijini hapo lakini kumeibuka tabia ya baadhi ya wananchi kushindwa kulipa bili za maji za kila mwezi hali inayo kwamisha uendeshaji wa huduma hiyo. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji Cha…