Dodoma FM
Dodoma FM
6 February 2026, 12:48
Hatua ya Shirika la Posta Tanzania kuanza kutumia wataalam wa lugha ya alama inatajwa kuwa mfano wa kuigwa kwa tasisi zingine za umma katika kuhakikisha haki ya kupata huduma inazingatia kila mwananchi bila ubaguzi. Na Anwary Shaban. Shirika la Posta Tanzania…
6 February 2026, 11:54
Hayo yamebainishwa na Meneje wa uwanja huo Hussein Muhando wakati akizungumzia ujio wa viti hivyo. Na Hamis MakilaJumla ya viti 5,500 kutoka katika uwanja wa Benjamin Mkapa vinatarajiwa kufungwa katika uwanja wa Jamhuri Dodoma mwanzoni mwa mwezi wa March mwaka…
6 February 2026, 11:29
Ada ya usajili katika mashindano hayo ikiwa ni shilingi 35,000/= ambapo mwisho wa usajili katika mashindano hayo ni tarehe 15. Na Hamis Makila.Jumla ya Timu 16 zinatarajiwa kushiriki Michuano ya Ramdhani Cup katika viwanja vya @theafricandreamsarena , michuano itakayo anza…
5 February 2026, 17:06
Kwagilwa ametoa kauli hiyo bungeni Jijini Dodoma, akijibu maswali ya wabunge kuhusu utoaji wa mikopo hiyo. Na Mariam Kasawa. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Reuben Kwagilwa, amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri na…
5 February 2026, 16:47
Uzinduzi wa mradi wa nishati safi ya kupikia katika shule ya sekondari Bunge Wasichana Mkoani Dodoma umeenda sambamba na uzinduzi wa klabu ya kwanza ya masomo ya nishati safi ya kupikia kwa ajili ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya…
5 February 2026, 16:27
Uzinduzi wa mradi wa Tuinuke Pamoja unalenga kukuza uchumi wa wanavikundi mbalimbali ikiwemo makundi maalumu, huku serikali ikiahidi kuendelea kuwa mstari wa mbele katika kuwaunga mkono wananchi kupitia vikundi vilivyojisajili, ikiwemo vikundi 57 ambavyo tayari vimesajiliwa hadi sasa wilayani Kondoa.…
4 February 2026, 12:14
TARURA imetakiwa kuzingatia upangaji wa majeti ili kurahisisha wilaya hiyo kuboreshewa miundombinu kwa urahisi. Na Steven Noel.Baraza la madiwani Katika halmashauri ya Mpwapwa waitaka Wakala wa barabara vijijini TURURA wilayani humo kuzingatia upangaji wa bajeti zao kutokana na uhitaji wa…
4 February 2026, 11:36
Mala baada ya halmashauri hiyo Kutangaza dilisha la mkopo walipokea maombi ya zaidi ya bilioni Moja kitu kinakinacho ashiria kuwepo Kwa uhitaji mkubwa wa mkopo huo kwa jamii. Na Steven Noel.Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa mkoa wa Dodoma imekabithi jumla…
30 January 2026, 17:32
Airtel Tanzania inaendelea kuipa kipaumbele upanuzi wa mtandao kama sehemu ya dhamira yake ya kukuza ujumuishi wa kidijitali, kuhakikisha wananchi wote nchini wanapata huduma za simu na intaneti zenye uhakika, gharama nafuu, na ubora wa juu. Na Bennard Komba Kampuni…
30 January 2026, 17:19
Zoezi la upandaji miti katika chanzo cha maji cha Mbuyuni ni sehemu ya mkakati wa pamoja kati ya serikali na DUWASA wa kulinda mazingira nakuhakikisha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wakazi wa Wilaya ya Kongwa. Na Anwary Shaban.…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-