Recent posts
3 August 2026, 11:31
Waziri wa Kilimo aongoza marathon miaka 10 ya Tari
Maadhimisho ya Miaka 10 ya TARI yanatarajiwa kuendelea kwa shughuli mbalimbali zikiwemo maonesho ya teknolojia za kilimo, elimu kwa wananchi na utoaji wa huduma za ushauri wa kitaalamu kwa wadau wa sekta hiyo. Na mwandishi wetu. Waziri wa Kilimo Mhe.Daniel…
31 July 2026, 17:35
Wazazi watakiwa kuunga mkono mpango wa chakula shuleni
Baadhi ya wazazi wamesema uwepo wa chakula shuleni ni kuimarisha taaluma ya shule Kwa ujumla hivyo upo umuhimu wa Kila mzazi kushiriki, tofauti na hapo Sheria zichukuliwa Kwa wazazi wanao kaidi sanjali na kuendelea kuwa elimisha wananchi juu ya umuhimu…
31 July 2026, 17:22
Ukatili wa kijinsia unakwamishaje elimu ya mtoto wa kike?
Jamii na wadau mbalimbali ni muhimu kushirikiana katika kumlinda mtoto wa kike na kumpa mazingira salama ya kusoma, kukua na kutimiza ndoto zake, huku wakisisitiza kuwa juhudi hizo zinapaswa kupewa kipaumbele ili kuhakikisha mtoto wa kike anapata fursa sawa ya…
31 July 2026, 17:00
Teknolojia ya robots kukuza uchumi wa kidijitali
Wasichana wakipata elimu kuhusu matumizi ya teknolojia ya Robots katika kukuza uchumi Tanzania. Picha na Mtandao Mafunzo hayo ni matokeo ya dhamira ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kuwawezesha watumishi wa umma kumudu teknolojia zinazoibukia, akieleza kuwa…
30 July 2026, 17:40
Wanawake chanzo cha msongo wa mawazo kwa wanaume
Wanandoa kujenga utamaduni wa mawasiliano ya wazi, kuheshimiana na kutatua migogoro kwa njia ya mazungumzo, huku akisisitiza umuhimu wa kutafuta ushauri wa kitaalamu mapema ili kuzuia msongo wa mawazo na mfadhaiko usiathiri afya ya akili na ustawi wa familia. Na…
30 July 2026, 17:36
Uhaba wa walimu wasababisha wazazi kuchanga Shs1000 kila mwezi
Jitihada za kumpata mwalimu mkuu wa shule hiyo kueleza changamoto hiyo ya walimu na malalamiko ya wazazi haikuweza kufanikiwa. Na Victor Chigwada. Uhaba wa walimu katika shule ya msingi Majengo iliyopo kijiji cha Mguba wilayani Chamwino umepelekea kila mzazi kuchangia…
30 July 2026, 17:23
Serikali yachukua hatua mtoto aliyepotea Dar kurudishwa Mpwapwa
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na vyombo vya dola kuhakikisha watoto wote wanaopotea wanapatikana na kurudishwa kwa wazazi wao. Na Stephen Noel. Serikali imesema imechukua hatua ya kumtafuta mtoto wa Mpwapwa aliepotea jijini Dar es Salaam na sasa imeshaanza utaratibu wa…
30 July 2026, 17:06
TADB yaongeza kiwango utoaji wa mikopo sekta ya kilimo
Serikali inaendelea kushirikiana na taasisi za kifedha kuhakikisha sekta ya kilimo inapata mtaji wa kutosha ili kuongeza uzalishaji, kuimarisha usalama wa chakula na kuchochea ukuaji wa uchumi wa taifa. Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imesema imeongeza kwa kiwango…
29 July 2026, 17:05
Sekta za umma na binafsi zimetakiwa kushirikiana kuharakisha maendeleo
Mhe. Senyamule amesema usimamizi madhubuti wa miradi ya maendeleo, kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi pamoja na kuzingatia misingi ya utawala bora ni nguzo muhimu zitakazochochea maendeleo ya Mkoa wa Dodoma na kuchangia kufikiwa kwa malengo ya Dira ya Taifa ya…
29 July 2026, 15:56
Wananchi Handali wapongeza ukarabati matundu ya vyoo katika zahanati
Hapo awali mazingira ya vyoo katika kituo hicho cha afya hayakuwa mazuri na salama kwa afya za watumiaji. Na Victor Chigwada. Ukarabati na ujenzi wa matundu ya vyoo katika kituo Cha afya Handali umeleta ahueni kwa wananchi wanao fika kituoni…