Recent posts
17 February 2026, 15:27
Ving’awe waiomba serikali kutimiza ahadi ya kuwapatia maeneo
Kwa upande wake mtendaji wa Kijiji hicho Bi. Rehema Kihimba amesema wameanza kupanda miti kwenye eneo hilo ili kuzuia mmomonyoko . Na Steven Noel. Wananchi wa kata ya Vig’hawe mtaa wa majengo na hazina wameiomba serikali kutimiza ahadi ya kuwapatia…
16 February 2026, 16:31
Vijiji 80 vyapimwa kupunguza migogoro ya wakulima na wafugaji
Moja ya chanzo kikubwa cha migogoro hiyo ni baadhi ya wafugaji kuhama mara kwa mara wakitafuta malisho. Na Kitana Hamis. Waziri wa kilimo Daniel Chongolo amesema bado kuna changamoto ya migogoro kati ya wakulima na wafugaji katika Wilaya ya Handeni…
16 February 2026, 16:14
DMG yarejesha tabasamu kwa watoto yatima wa kituo cha Quadiria
Dodoma media group mwaka 2026 iliamua kurejesha tabasamu kwa watoto hao wa kituo cha Quadiria kwa kupeleka mahitaji mbalimbali huku wakifurahi na watoto hao pamoja na wadau kwa kupata chai ya pamoja. Na Mariam Kasawa. Dodoma media group kwa kushirikiana…
16 February 2026, 15:50
Kongamano la vijana lawanufaisha vijana Zuzu
Kupitia kongamano hilo, Kata ya Zuzu inatarajia kuona kizazi cha vijana chenye mwamko mpya wa uzalendo, uwajibikaji na uthubutu wa kutumia fursa zilizopo kujiletea maendeleo binafsi na ya taifa kwa ujumla. Na Anwary Shaban. Zaidi ya vijana 600 wa Kata…
13 February 2026, 17:23
Serikali kuja na mpango kabambe shoroba za kilimo, mifugo na uvuvi
kuongeza kipato cha wakulima, wafugaji na wavuvi, pamoja na kuvutia uwekezaji wa sekta binafsi kwa kuzingatia mabadiliko ya tabianchi na kuyaunganisha maeneo yenye uzalishaji mkubwa. Na Mariam Kasawa. Serikali kupitia Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi iko tayari kushiriki kikamilifu…
13 February 2026, 16:52
Chiona waiomba serikali shule shikizi
Mwenyekiti amesema wanajipanga kuanzisha mpango wa kuchangia ujenzi wa shule shikizi itakayo saidia kupunguza umbali kwa vitongoji viwili. Na Victor Chigwada. Wakazi wa kitongoji cha Mabwe Kijiji Cha Chiona Wilayani Chamwino wameiomba Serikali kuanzisha kwa ujenzi wa shule shikizi ili…
13 February 2026, 16:29
Halmashauri ya Mpwapwa kukusanya bil 52.8 mwaka 2026/2027
Aidha Katika makusanyo ya mapato Kwa Robo ya pili Kwa mkoa wa Dodoma halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imekuwa ya mwisho Katika ukusanyaji Kwa Katika wilaya nane za mkoa huo. Na Steven Noel. Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imepanga kukusanya…
12 February 2026, 16:37
Viongozi wa umma watakiwa kuonesha maadili mema
Vile vile afisa huyo ametoa rai kwa wananchi kutosita kutoa maoni pamoja na taarifa pindi wanapoona kuna viongozi wanakiuka misingi ya maadili ya umma na hatua za kisheria kuchukuliwa dhidi ya kiongozi au viongozi hao. Na Jerome John.Viongozi wa umma…
12 February 2026, 15:57
Jiji la Dodoma lafanya usajili na uhakiki wa bima ya afya kwa wasio jiweza
Zoezi hilo limeandaliwa na Mfuko wa Bima ya Afya kwa Wote kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Dodoma likiwa na lengo la kufikia makundi yote ya wazee, watoto na kaya zenye kipato cha chini. Na Mariam Kasawa. Serikali imeweka…
12 February 2026, 14:37
Kutembeza mifugo nyakati za usiku ni kosa kisheria
Wananchi wa Wilaya ya Ihumwa wanasema mifugo inapo pelekwa machinjioni nyakati za usiku huchanganywa na mifugo iliyo ibiwa. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kata ya Ihumwa wamelalamika mifugo inayopitishwa nyakati za usiku kwenda machinjioni wakidai kuwa huchanganywa kati ya mifugo…