Recent posts
18 March 2026, 17:38
Wamiliki wa viwanja watakiwa kuendeleza viwanja vyao
Hata hivyo, Halmashauri ya Jiji la Dodoma imewataka wananchi na taasisi zote kuhakikisha wanafuata taratibu za mipango miji na kupata vibali stahiki kabla ya kuanza ujenzi, ili kuepusha hasara na migogoro ya kisheria. Na Anwary Shaban. Halmashauri ya Jiji la…
18 March 2026, 17:19
Wananchi Chanh’umba walalamika baadhi ya mabomba kutotoa maji
Mwenyekiti wa vitongoji hivyo Bw Amosi Lusiji amekiri zoezi la usambazaji miundombinu ya maji umekamilika Kwa asilimia kubwa katika vitongoji. Na Victor Chigwada. Wakazi wa vitongoji vya Arusha, Ilolo na kawawa Kijiji Cha Chanh’umba Wilayani Chamwino wameomba kufanyiwa ukarabati wa…
17 March 2026, 18:20
Mwekezaji Muungano ashindwa kutekeleza ahadi zake kwa wananchi
Wananchi wa kijiji cha Muungano wilayani Chamiwno wanasema Ndg.Baraka Baradiga wa GG Mining Company ambaye ndiyo mmiliki wa kampuni ya kusaga kokoto katika mgodi huo emeshindwa kutekelezaji ahadi zake. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kijiji Cha Muungano Wilaya ya Chamwino…
17 March 2026, 17:58
Teknolojia yatajwa kuongeza ajira kwa vijana
Kutokana na kukua kwa teknolojia nchini serikali imekuwa ikishauri vijana kuhakikisha wanatumia nafasi hiyo kujikwamua kiuchumi ikiwemo kujitangaza pamoja na kutengeneza maudhui yanayo endana na mila na tamaduni za kitanzania. Na Mwanahamis Badi. Ukuaji wa teknolojia umetajwa kutengeneza fursa mpya…
17 March 2026, 17:22
Ubovu wa miundombinu ya Barabara Miyuji Waathiri usafirishaji
Kuharibika kwa miundombinu ya Barabara katika kipindi hiki cha masika ni suala ambalo limekuwa likiripotiwa katika maeneo mbalimbali nchini ambapo serikali inaendelea na juhudi za kuboresha miundombinu ili kukabiliana na hali hiyo. Na Amina Juma. Ubovu wa miundombinu ya Barabara…
17 March 2026, 16:39
Kituo cha changamoto za kisheria huduma kwa mteja chazinduliwa
Kituo cha huduma kwa mteja kinatarajiwa kutatua changamoto za kisheria kwa wananchi kote nchini, huku kikiwapa fursa ya kuwasilisha malalamiko na kupata msaada wa haraka kupitia namba za simu za bure 026 216 0360 au 0800 004 004. Na Bennard…
16 March 2026, 18:11
Mvua yasomba mashamba kwa Mshango Mpwapwa
Amesema taarifa hiyo tayari imeandaliwa na itawasilishwa katika ofisi za ngazi ya wilaya kwa hatua zaidi. Na Stephen Noel, Mpwapwa Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini zimeendelea kusababisha madhara kwa wananchi, ikiwemo kusombwa kwa mashamba ya wakulima katika Kitongoji…
16 March 2026, 17:58
Ukarabati waendelea barabara ya Handeni–Kibrashi–Kibaya
Barabara hiyo ambayo inaunganisha Mkoa wa tanga na Manyara inaendelea kufanyiwa ukarabati. Na Kitana Hamis. MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha Wilayani Kiteto, Mkoani Manyara zimesababisha kukatika kwa mawasiliano ya barabara ya na kupelekea adha kubwa kwa watumiaji wa barabara hiyo. Wakiongea…
16 March 2026, 17:47
Vijiji 8 Mpwapwa kunufaika na mpango wa matumizi bora ya ardhi
VIJIJI vitakavyo nufaika na mpango huo ni Kijiji cha Mzase,Godegode,Mgoma Kisisi na Kitati.vijiji vingine Lukole, Kingiti na Kidenge . Na Steven Noel.Jumla ya vijiji nane vya halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa mkoa wa Dodoma vinatarajia kunufaika mpango wa matumizi bora…
16 March 2026, 17:19
Korongo lahatarisha usalama wa wananchi Kaloleni
Wananchi wameiomba serikali kuharakisha kuchukua hatua za kudumu ili kuhakikisha usalama wa watoto na wakazi wa Kaloleni. Na Kitana Hamis.Wananchi wa Kata ya Kaloleni wilayani Kiteto mkoani Manyara wamelalamikia uwepo wa korongo kubwa linalokatiza eneo lao, wakisema linahatarisha usalama wa…