Recent posts
7 May 2026, 16:57
Uharibifu wa mazingira unaopelekea athari kwenye vyanzo vya maji
Mabadiliko ya Tabianchi ni tatizo linaloikabili dunia katika karne ya ishirini na moja na kutokana na athari zake katika nyanja mbalimbali. Na Mariam Kasawa.Nchi yetu imejaliwa kuwa na vyanzo vya maji vya aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na mito, maziwa,…
7 May 2026, 16:32
Ihumwa watakiwa kuripoti matukio ya uhalifu
Aidha amesema watu wa eneo hilo wamekuwa na tabia ya kuto kufuatilia kesi za wizi kutokana na kudai watu wanaofanya matukio hayo ni watu wao wa karibu. Na Victor Chigwada. Wananchi wa mtaa wa Ihumwa A wametakiwa kutumia fursa ya…
7 May 2026, 16:22
Walimu wametakiwa kuzingatia kanuni na taratibu za adhabu shuleni
Kwa sasa mkoa wa Dodoma upo vizuri kitaaluma ambapo mwaka uliopita ulishika nafasi ya pili. Na Anwary Shaban. Walimu wametakiwa kufuata kanuni na taratibu za utoaji adhabu shuleni ili kupunguza wimbi la utoro kwa wanafanzi. Hayo yamesemwa na waziri wa…
6 May 2026, 17:02
Walimu watakiwa kuongoza mapinduzi ya kidigitali Nchini
Amehitimisha kwa kusema kuwa matumizi sahihi ya teknolojia ya mawasiliano yanaweza kurahisisha maisha, kuokoa muda na kuongeza ufanisi katika shughuli mbalimbali za maendeleo. Na Anwary Shaban. Walimu nchini wametakiwa kuchukua jukumu kubwa katika kujenga kizazi chenye uelewa wa teknolojia na…
6 May 2026, 16:45
PSSSF yaboresha taarifa upatikanaji wa taarifa za mafao kupitia simu ya mkononi
Kwa sasa, wanachama wanaweza kutumia simu janja kuingia kwenye mfumo wa PSSSF (PSSSF Portal) kupitia google na kupata taarifa za michango yao kwa urahisi badala ya kufika ofisini, amewataka wananchi kuendelea kujisajili na kufurahia huduma za mfuko huo. Na Annwary…
6 May 2026, 16:35
Vijana washauriwa kujikita Katika kilimo Biashara na kuachana na mikeka
Tafiti zinaonyesha upotevu wa mazao baada ya kuvuna ni tatizo kubwa hasa katika nchi zinazoendelea ambapo Kwa mazao ya nafaka (kama mahindi, mpunga, ngano): hupotea takribani asilimia 10% hadi 20% wakati kwa mavuno na mazao ya mbogamboga upotevu unaweza kufikia…
5 May 2026, 16:40
Unamsaidiaje kijana mwenye tatizo la afya ya akili?
Hii inafanya uwekezaji katika huduma na programu za afya ya vijana kuwa si tu jambo la kimaadili bali pia ni jambo lenye maana kiuchumi. Kwa mujibu wa Ripoti mpya iliyotolewa na Shirika la Afya Duniani (WHO) uwekezaji wa haraka unahitajika ili kukabiliana…
5 May 2026, 16:15
Mpango kazi dhidi ya ukatili kwa wanawake, watoto 2026-2030
Aidha, Mkoa umeanzisha namba maalum ya kuripoti matukio ya ukatili, pamoja na kuweka kamera 106 za ulinzi (CCTV) katika barabara kuu za Jiji la Dodoma ili kuongeza ufuatiliaji na usalama wa jamii. Na Mariam Kasawa. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa…
5 May 2026, 15:56
Watakiwa kujitokeza kupata msaada wa kisheria
Amesisitiza wananchi kuwa wa kweli,wawazi na wenye uhakika na kile watakacho kwenda nacho kupata msaada wa kisheria . Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Iyumbu na Ihumwa wametakiwa kutumia vyema fursa ya msaada wa kisheria za Mama Samia kampeni…
5 May 2026, 15:32
Jiji la Dodoma kufunga kamera za ulinzi katikati ya jiji
Katika hatua ya mwisho ya ukaguzi huo, Kamati ya TAMISEMI ilitoa mapendekezo mbalimbali ya kuboresha utekelezaji wa mradi huo wa usalama wa kidijitali. Na Anwary Shaban. Katika muendelezo wa ziara ya kamati ya kudumu ya Bunge TAMISEMI, 2026 , imetembelea…