Dodoma FM

Recent posts

23 February 2026, 17:37

Wananchi walalamika kuvamiwa kwa eneo lao la kimila

Hata hivyo tayari wamekwisha peleka ombi Halmashauri Ili waweze Kufanya zoezi la utambuzi kabla ya kulipima upya eneo hilo na kulikabidhi kwa kijiji. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Mapinduzi A kata ya Ngh’ongh’ona wameiomba serikali kuingilia kati suala la watu…

23 February 2026, 17:08

Bandari kavu Dodoma suluhisho msongamano wa bandari Dar

Inatarajiwa kupokea zaidi ya kontena 1500, jambo litakalorahisisha biashara na kuongeza kasi ya usafirishaji wa bidhaa ndani na nje ya nchi. Na Mariam Kasawa. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amefanya ziara ya kukagua mradi wa Bandari Kavu…

23 February 2026, 15:47

Wananchi Bwawani waombwa kuwa watulivu sakata la bomoabomoa

Mwenyekiti wa mtaa wa Bwawani ameeleza hatua ambazo zinaendelea hadi sasa kuhusu ubomoaji huo. Na Farashuu Abdallah. Ikiwa miezi kadhaa imepita tangu  wananchi wa Mtaa wa Bwawani kata ya Mkonze jijini Dodoma kutoa malalamiko yao kuhusu uamuzi uliochukuliwa na ofisi…

20 February 2026, 17:58

Ulinzi waendelea kuimarishwa Mtumba na viunga vyake

Aidha ameongeza kuwa Hali hiyo inaweza kuchangia na kusahaulika Kwa majukumu ya kiulinzi na usalama na kupelekea kurejea Kwa matukio hayo. Na Victor Chigwada. Mkuu wa kituo Cha polisi Wilaya ya Mtumba kamanda OCD Issa Chau ameeleza  Hali ya ulinzi…

20 February 2026, 17:41

Shekimweri aagiza mradi wa Kiwanja cha Ndege Msalato kukamilika kwa wakati

Kiwanja hicho kinajengwa katika ‘Package 2’ ambapo ‘Package 1’ inatekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 165.627 bila VAT na ‘Package 2’ inatekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 194.403 bila VAT. Wakandarasi wanaotekeleza mradi wa ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha…

20 February 2026, 17:29

Wananchi Mpwapwa waiomba serikali kukamilisha ujenzi wa barabara

Wananchi hao wanadai kuwa ahadi ya kutekeleza ujenzi wa barabara hiyo zimekuwa hazitekelezeki. Na Stephen Noel Wananchi wilaya ya Mpwapwa mkoa wa Dodoma wameiomba serikali kukamikisha mpango wa ujenzi wa barabara ya Rami kutoka njia panda ya Kongwa Hadi Mpwapwa…

19 February 2026, 17:25

Wananchi Mjelo kunufaika na mradi mpya wa maji

Shirika la water mission tayari limeanza kusambaza mabomba ya maji katika vitongoji vya kijiji hicho. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kijiji cha Mjelo kata ya Handali Jijini Dodoma wamepata tumaini la kuondokana na adha ya maji baada ya shirika la…

19 February 2026, 16:54

Wakazi walalamikia ubovu wa barabara za mitaani

Mhe Ringo amewaonya wananchi ambao wanajenga uzio na kuziba mitaro ya maji kuwa hatua za kisheria zitachukuliwa kwani. Jerome John. Wananchi wa kata ya Miyuji halmashauri ya jiji la Dodoma wametakiwa kuwa wavumilivu katika kipindi hiki cha mvua baada ya…

19 February 2026, 16:24

Wakazi walia na uharibifu wa mazingira

Viongozi wa eneo hilo wamelalamikiwa kushindwa kuwachukulia hatua wahusika wa uharibifu wa mazingira hayo. Na Steven Noel. WAKAZI WA Kitongoji cha Mcheula Kijiji cha Idilo kata ya Mazae wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma wamelalamikia matokeo ya uharibifu wa mazingira  katika…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger