Recent posts
4 May 2026, 16:01
Wananchi Mpwapwa wachoshwa na ahadi hewa za barabara
Barabara hiyo imekuwa ikizungumziwa bungeni mara kwa mara lakini hakuna utekelezaji wowote ulio fanyika. Na Steven Noel. Wananchi wilayani Mpwapwa wasema wamechoshwa na Ahadi za serikali juu ya ukarabati wa barabara . Kufuatia swali la mbunge wa Jimbo la Mpwapwa…
4 May 2026, 15:52
Halmashauri ya Jiji Dodoma yafafanua sakata soko la Nchimbi
Halmashauri ya Jiji la Dodoma imetekeleza wajibu wake wa kuandaa eneo kwa kushirikiana na kamati, na kuweka miundombinu rafiki kwa ajili ya wafanyabiashara. Halmashauri ya Jiji la Dodoma imetoa ufafanuzi kuhusu sakata la wafanyabiashara wa soko la Rehema Nchimbi baada…
30 April 2026, 17:50
Dodoma kunufaika na kipimo cha akili unde kwa wajawazito
Ameongeza kuwa kwa mujibu wa muongozo, kila mwanamke mjamzito anapaswa kupata huduma hiyo ya utrasound kabla ya wiki 24 ya ujauzito, hivyo kwa uwepo wa huduma hiyo ya Utrasound watawezesha upatikanaji mzuri, na kwa wakati kama inavyoelekezwa kwenye miongozo. Na…
30 April 2026, 17:41
Dodoma kuanza awamu yapili ya msaada wa kisheria
Halmashauri ya Jiji la Dodoma, kituo kitakuwa Uwanja wa Mtekelezo, mkabala na Msikiti wa Gadaf ,Halmashauri ya Wilaya Chamwino vituo vitakuwa katika Ofisi ya Kijiji Buigiri, Kata ya Chinangali na Ofisi ya Kata Mlowa Barabarani ,Halmashauri ya Wilaya Kongwa vituo…
30 April 2026, 13:31
Watu wa karibu wanawezaje kumlinda mwanamke dhidi ya unyanyasaji wa kiuchumi
Wanawake na wasichana wanapaswa kulindwa, na jamii nzima inapaswa kushirikiana kuhakikisha vitendo vya ukatili vinadhibitiwa. Na Mariam Kasawa.Tatizo la ukatili wa kijinsia linatokana na sababu mbalimbali. Miongoni mwa sababu hizo ni desturi potofu na mitazamo ya kijamii inayodhani kuwa mwanamke…
29 April 2026, 17:18
Ukusanyaji pango la ardhi waridhisha Dodoma
Ili kuongeza kasi ya ukusanyaji, ofisi hiyo imeanza kuwafikia wadaiwa wakubwa 100 katika kila Halmashauri kupitia utoaji wa ankara na notisi, ambapo kundi hilo linachangia zaidi ya asilimia 89 ya deni lote mkoani. Na Bennard Filbert.Mkoa wa Dodoma unaendelea kuonyesha…
29 April 2026, 17:13
Chinangali II waiomba serikali kukamilisha urasimishaji ardhi
Aidha Ndalu ameongeza kuwa ni vyema Wizara ya ardhi kupitia kampuni iliyopewa dhamana kukamilisha zoezi hilo kwa maslahi ya wananchi. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Mahata Kijiji cha Chinangali II wameiomba Serikali kusimamia kwa karibu zoezi la urasimishaji wa ardhi…
29 April 2026, 16:46
Mashamba ya bangi yateketezwa kwa moto Kiteto
Hatua hiyo imechukuliwa ikiwa ni sehemu ya juhudi za kupambana na matumizi na usambazaji wa madawa ya kulevya aina ya bangi. Na Kitana Hamis.Mashamba makubwa ya bangi yaliyokuwa yakilimwa kwa siri katikati ya mashamba ya mahindi katika Kijiji cha Mbigiri,…
29 April 2026, 16:25
Wahitimu ualimu waomba uboreshaji mitaala uendane na vifaa
Aidha wamedai kuwa endapo serikali ikizipatia shule vifaa hivyo vya kufundishia na kujifunzia kutaleta usawa wa Kielimu Kwa makundi yote. Na Steven Noel.Wahitimu wa Taalauma ya ualimu Katika chuo cha ualimu Mpwapwa wameiomba serikali kuwa uboreshaji wa mitaala uendane na…
28 April 2026, 15:33
Vijana watakiwa kuchangamkia fursa kujiingizia kipato
Serikali imeendelea kuboresha mazingira ya kilimo kwa kuweka mindombinu ya kisasa hususani katika kilimo cha umwagililiaji. Na Victor Chigwada. Vijana wametakiwa kujikita kwenye fursa mbalimbali ili kujiingizia kipato na kuacha kisingizio cha kukosa ajira . Wakiongea na taswira ya habari…