Dodoma FM

Recent posts

13 February 2026, 17:23

Serikali kuja na mpango kabambe shoroba za kilimo, mifugo na uvuvi

kuongeza kipato cha wakulima, wafugaji na wavuvi, pamoja na kuvutia uwekezaji wa sekta binafsi kwa kuzingatia mabadiliko ya tabianchi na kuyaunganisha maeneo yenye uzalishaji mkubwa. Na Mariam Kasawa. Serikali kupitia Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi iko tayari kushiriki kikamilifu…

13 February 2026, 16:52

Chiona waiomba serikali shule shikizi

Mwenyekiti amesema wanajipanga kuanzisha mpango wa kuchangia ujenzi wa shule shikizi itakayo saidia kupunguza umbali kwa vitongoji viwili. Na Victor Chigwada. Wakazi wa kitongoji cha Mabwe Kijiji Cha Chiona Wilayani Chamwino wameiomba Serikali kuanzisha kwa ujenzi wa shule shikizi ili…

13 February 2026, 16:29

Halmashauri ya Mpwapwa kukusanya bil 52.8 mwaka 2026/2027

Aidha Katika makusanyo ya mapato Kwa Robo ya pili Kwa mkoa wa Dodoma halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imekuwa ya mwisho  Katika ukusanyaji Kwa Katika wilaya nane za mkoa huo. Na Steven Noel. Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imepanga kukusanya…

12 February 2026, 16:37

Viongozi wa umma watakiwa kuonesha maadili mema

Vile vile afisa huyo ametoa rai kwa wananchi kutosita kutoa maoni pamoja na taarifa pindi wanapoona kuna viongozi wanakiuka misingi ya maadili ya umma na hatua za kisheria kuchukuliwa dhidi ya kiongozi au viongozi hao. Na Jerome John.Viongozi wa umma…

12 February 2026, 14:37

Kutembeza mifugo nyakati za usiku ni kosa kisheria

Wananchi wa Wilaya ya Ihumwa wanasema mifugo inapo pelekwa machinjioni nyakati za usiku huchanganywa na mifugo iliyo ibiwa. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kata ya Ihumwa wamelalamika mifugo inayopitishwa nyakati za usiku kwenda machinjioni wakidai kuwa huchanganywa kati ya mifugo…

11 February 2026, 15:50

Mfumo wa kilimo bando kurahisisha huduma kwa wakulima

Kupitia mfumo huo wa kidijitali, wafanyabiashara na wakulima wataweza kutunza kumbukumbu zao za biashara kwa urahisi, kupanua wigo wa masoko, na kuongeza ajira kwa vijana na wanawake kupitia mnyororo mzima wa thamani wa kilimo. Na Anwary Shaban Takribani asilimia 65…

11 February 2026, 12:40

Wakazi Chiona waiomba serikali kuwajengea zahanati

Chilewa ameongeza kuwa hata hivyo upo mpango wa ujenzi wa zahanati mpya ambayo ilianzishwa na wananchi hivyo wanasubiri ujenzi ambao utaondoa kilio Cha wananchi hao. Na Mariam Kasawa. Wananchi wa kijiji cha Chiona Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kutatua kero…

11 February 2026, 12:13

COP 30: Kilimo funika, tumaini jipya kwa wakulima wa maeneo kame

‎‎Kadri dunia inavyoelekea COP 30, simulizi za wakulima wa Kongwa na kijiji cha Chololo zinaendelea kuonyesha kuwa suluhisho la mabadiliko ya tabianchi lipo mashambani. Kinachohitajika sasa ni uwekezaji katika teknolojia rafiki kwa wakulima, ili mbinu hizi endelevu ziweze kutumika kwa…

10 February 2026, 17:05

ITU yaitaja Tanzania kuwa kinara usalama mtandaoni

Maadhimisho ya Siku ya Usalama Mtandaoni yanaendelea kutumika kama jukwaa muhimu la kuelimisha jamii juu ya matumizi salama ya teknolojia ya habari, huku Tanzania ikiendelea kuimarisha nafasi yake katika usimamizi wa usalama wa mtandao kikanda na kimataifa. Na Anwary Shaban.Tanzania…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger