Recent posts
13 February 2026, 17:23
Serikali kuja na mpango kabambe shoroba za kilimo, mifugo na uvuvi
kuongeza kipato cha wakulima, wafugaji na wavuvi, pamoja na kuvutia uwekezaji wa sekta binafsi kwa kuzingatia mabadiliko ya tabianchi na kuyaunganisha maeneo yenye uzalishaji mkubwa. Na Mariam Kasawa. Serikali kupitia Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi iko tayari kushiriki kikamilifu…
13 February 2026, 16:52
Chiona waiomba serikali shule shikizi
Mwenyekiti amesema wanajipanga kuanzisha mpango wa kuchangia ujenzi wa shule shikizi itakayo saidia kupunguza umbali kwa vitongoji viwili. Na Victor Chigwada. Wakazi wa kitongoji cha Mabwe Kijiji Cha Chiona Wilayani Chamwino wameiomba Serikali kuanzisha kwa ujenzi wa shule shikizi ili…
13 February 2026, 16:29
Halmashauri ya Mpwapwa kukusanya bil 52.8 mwaka 2026/2027
Aidha Katika makusanyo ya mapato Kwa Robo ya pili Kwa mkoa wa Dodoma halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imekuwa ya mwisho Katika ukusanyaji Kwa Katika wilaya nane za mkoa huo. Na Steven Noel. Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imepanga kukusanya…
12 February 2026, 16:37
Viongozi wa umma watakiwa kuonesha maadili mema
Vile vile afisa huyo ametoa rai kwa wananchi kutosita kutoa maoni pamoja na taarifa pindi wanapoona kuna viongozi wanakiuka misingi ya maadili ya umma na hatua za kisheria kuchukuliwa dhidi ya kiongozi au viongozi hao. Na Jerome John.Viongozi wa umma…
12 February 2026, 15:57
Jiji la Dodoma lafanya usajili na uhakiki wa bima ya afya kwa wasio jiweza
Zoezi hilo limeandaliwa na Mfuko wa Bima ya Afya kwa Wote kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Dodoma likiwa na lengo la kufikia makundi yote ya wazee, watoto na kaya zenye kipato cha chini. Na Mariam Kasawa. Serikali imeweka…
12 February 2026, 14:37
Kutembeza mifugo nyakati za usiku ni kosa kisheria
Wananchi wa Wilaya ya Ihumwa wanasema mifugo inapo pelekwa machinjioni nyakati za usiku huchanganywa na mifugo iliyo ibiwa. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kata ya Ihumwa wamelalamika mifugo inayopitishwa nyakati za usiku kwenda machinjioni wakidai kuwa huchanganywa kati ya mifugo…
11 February 2026, 15:50
Mfumo wa kilimo bando kurahisisha huduma kwa wakulima
Kupitia mfumo huo wa kidijitali, wafanyabiashara na wakulima wataweza kutunza kumbukumbu zao za biashara kwa urahisi, kupanua wigo wa masoko, na kuongeza ajira kwa vijana na wanawake kupitia mnyororo mzima wa thamani wa kilimo. Na Anwary Shaban Takribani asilimia 65…
11 February 2026, 12:40
Wakazi Chiona waiomba serikali kuwajengea zahanati
Chilewa ameongeza kuwa hata hivyo upo mpango wa ujenzi wa zahanati mpya ambayo ilianzishwa na wananchi hivyo wanasubiri ujenzi ambao utaondoa kilio Cha wananchi hao. Na Mariam Kasawa. Wananchi wa kijiji cha Chiona Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kutatua kero…
11 February 2026, 12:13
COP 30: Kilimo funika, tumaini jipya kwa wakulima wa maeneo kame
Kadri dunia inavyoelekea COP 30, simulizi za wakulima wa Kongwa na kijiji cha Chololo zinaendelea kuonyesha kuwa suluhisho la mabadiliko ya tabianchi lipo mashambani. Kinachohitajika sasa ni uwekezaji katika teknolojia rafiki kwa wakulima, ili mbinu hizi endelevu ziweze kutumika kwa…
10 February 2026, 17:05
ITU yaitaja Tanzania kuwa kinara usalama mtandaoni
Maadhimisho ya Siku ya Usalama Mtandaoni yanaendelea kutumika kama jukwaa muhimu la kuelimisha jamii juu ya matumizi salama ya teknolojia ya habari, huku Tanzania ikiendelea kuimarisha nafasi yake katika usimamizi wa usalama wa mtandao kikanda na kimataifa. Na Anwary Shaban.Tanzania…