Recent posts
10 July 2026, 18:04
Wakazi Mwanakianga Kati walalamikia vifusi vilivyorundikana barabarani
Ameomba Serikali na wadau husika wachukulie hatua za haraka ili kuondoa usumbufu unaowakabili wananchi. Na Stephen Noel.Wananchi wa Kijiji cha Mwanakianga Wilayani ya Mpwapwa, Mkoa wa Dodoma wameilalamikia Serikali kushindwa kusambaza vifusi vilivyolundikwa kando ya barabara kwa zaidi ya miezi…
9 July 2026, 17:41
Watu wa karibu wanapambana vipi na vitendo vya ukeketaji?
Tafiti nyingi zilizofanywa katika miaka ya hivi karibuni zinaonesha hatua kubwa imepigwa kuwafungua wananchi juu ya mila potufu ingawa safari bado ni ndefu. Na Mariam Matundu. Serikali ya Tanzania imeanzisha mkakati wa kitaifa wa kutokomeza vitendo vya kikatili vya ukeketaji…
9 July 2026, 16:52
Serikali yachukua hatua kudhibiti Korongo la Shaban Robert Mpwapwa
Ufanisi wa udhibiti wa korongo hilo unategemea pia utunzaji wa mazingira katika maeneo ya milima. Na Stephen Noel. Wananchi wa Mitaa ya Majengo, Hazina na Vighawe Wilayani Mpwapwa, Mkoa wa Dodoma wameipongeza Serikali kwa kuanza hatua za kudhibiti korongo la…
9 July 2026, 16:37
Wachimbaji wa dhahabu Handali walalamika kukosa bei elekezi
Serikali kupitia Wizara ya Madini inaendelea kusogeza huduma karibu na wananchi Kwa kuanzisha masoko 44 na vituo vidogo 120 vya ununuzi wa dhahabu nchi nzima masoko haya yatatoa bei elekezi na yanalenga kuondoa udanganyifu Kwa wachimbaji . Na Victor Chigwada.…
9 July 2026, 16:16
Ushirikiano wa jamii, polisi wapunguza matukio ya uhalifu Chang’ombe
Kwa pamoja, Jeshi la Polisi na wananchi wanaendelea kuthibitisha kuwa ushirikiano ni silaha muhimu katika kupambana na uhalifu na kuhakikisha amani, usalama na maendeleo ya Mkoa wa Dodoma yanayo endelea kudumu. Na Anwary Shaban. Ushirikiano kati ya wananchi na Jeshi…
8 July 2026, 17:44
Wananchi Handali walalamika kucheleweshewa fidia
Jitihada za kumpata mhandisi wa maji Wilaya ya Chamwino kujibu malalamiko haya bado zinaendelea Na Victor Chigwada. Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Handali walio hama makazi yao na kupisha mradi wa maji wamelalamika kucheleweshewa malipo ya fidia zao. Wananchi…
8 July 2026, 17:33
Adha ya maji Mwanawota Mpwapwa hali yazidi kuwa tete
Kufuatia hali mbaya ya wananchi wa Kijiji cha Mwanawota ya shida ya maji, wameiomba serikali kuharakisha utekelezaji wa mradi wa maji ili kuwanusuru na magonjwa ya mlipuko yanayowakabili na migogoro inayoendelea. Na Stephen Noel. Wananchi wa Kijiji cha Mwanawota Kata…
8 July 2026, 16:03
Maafisa usafirishaji watakiwa kuzingatia sheria
Kwa mujibu wa takwimu za Serikali, hadi mwaka 2026 zaidi ya waendesha bodaboda na bajaji 209,632 walikuwa wamerasimishwa kupitia mifumo ya Serikali. Na Bennard Komba. Maafisa usafirishaji wa bodaboda na bajaji wametakiwa kuzingatia sheria, kanuni na miongozo ya nchi katika…
7 July 2026, 15:20
Tanzania yataka ushirikiano katika utawala wa akili unde
Alisisitiza kuwa kuziba pengo la kidijitali kutahitaji hatua za pamoja ili kuhakikisha manufaa ya Akili Unde yanagawanywa kwa usawa kati ya nchi zilizoendelea na zinazoendelea. Na Mariam Matundu. Tanzania imetoa wito wa kuimarishwa kwa ushirikiano wa kimataifa ili kuhakikisha maendeleo…
6 July 2026, 17:49
Mixx by Yas yaimarisha ushirikiano na vyama vya ushirika
Kampuni hiyo imeingia makubaliano na vyama vya ushirika kwani kampuni hii imekuwa mdau wa TCDC Kwa muda mrefu. Na Anwary Shaban. Kampuni ya Mixx by YAS Tanzania imeendelea kuimarisha ushirikiano na vyama vya ushirika nchini kwa kusaini hati ya makubaliano…