Recent posts
16 April 2026, 15:57
Wanafunzi Mpwayungu waiomba serikali kuwajengea mabweni
Wanafunzi wa vijiji hivyo hulazimika kutembea kilomita 20 kila siku hadi kufika mahali sekondari hiyo ilipo. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa mazingira ya kupanga vyumba kwa wanafunzi wa sekondari Mpwayungu kutokana na umbali wa shule si salama kwao hasa kwa…
15 April 2026, 18:08
Kitendawili cha kisima cha Nyoka kwa wakazi Chang’ombe
Baada ya eneo hilo kutengwa kwaajili ya makazi ya watu eneo hilo la kisima cha nyoka lilifukiwa kwakati wa upitishaji wa barabara katika mtaa huo. Na Yussuph Hassan.Hadithi ya uwepo wa nyoka katika kisima hicho cha nyoka ambacho kinaelezwa katika…
15 April 2026, 17:53
Kiteto sekondari yatekeleza matumizi ya nishati safi
Kamati hiyo pia ilitoa rai kwa Halmashauri kuhakikisha teknolojia hiyo ya nishati safi inasambazwa katika shule nyingine zote wilayani humo ili kuongeza ufanisi na kulinda mazingira kwa kiwango kikubwa zaidi. Na Kitana Hamis Shule ya Sekondari Kiteto imeandika historia mpya…
15 April 2026, 17:40
Kadi za klinik kwa watoto na wajawazito ni bure
Taswira ya Habari imezingumza na Mwenyekiti wa Kijiji cha Muungano Bw. Matonya Mtukamsihi ambaye amekiri kusikia Malalamiko hayo kutoka Kwa wananchi. Na Victor Chigwada. Baadhi ya wanawake katika kijiji cha Muungano wilayani Chamwino wamelalamikia kuuziwa kadi wanapo wapeleka watoto kuanza…
15 April 2026, 17:30
Wazazi watakiwa kuthamini usawa kwenye elimu ya watoto
Licha ya changamoto mbalimbali lakini kumekuwa na muamko mkubwa ndani ya jamii wa kuwapeleka watoto wa kike shuleni pasipo kukatishwa masomo hususani maeneo ya vijijini. Na Victor Chigwada. Jamii imetakiwa kutambua umuhimu wa elimu Kwa watoto wa kike ili kukuza…
14 April 2026, 18:34
Tembo wakatisha vikao vya maendele ya kijiji Chinugulu
Inaelezwa kuwa vitongoji hivyo vilivyo karibu na pori hilo la akiba havifikiwi na viongozi wake mara kwa mara. Na Victor Chigwada. Viongozi wa Kijiji cha Chinugulu wilayani Chamwino wameeleza kushindwa kuvifikia baadhi ya vitongoji wanavyo viongoza kutokana na uwepo wa…
14 April 2026, 18:09
Unakabiliana vipi na uraibu wa tabia toka kwa vijana
Lakini tabia au hobi yoyote ambayo inachukua maisha yako na kuingilia utendaji wako wa kila siku inaweza kusababisha matatizo makubwa na afya yako ya akili, kijamii, na kimwili na katika hali fulani, fedha zako pia. Na Mariam Kasawa.Uraibu wa dawa…
13 April 2026, 17:16
Shule Shikizi Segu Chini kujengwa chumba kimoja cha darasa
Shule shikizi hiyo itasaidia watoto hasa wa madarasa ya chini wanaoishi maeneo ya mbali kupata elimu karibu, ambapo wanatembea umbali wa km 7 kufika Shule ya Msingi Nala kusoma na wengine kutembea umbali wa km 8 kufika Shule ya Msingi…
13 April 2026, 16:28
Migogoro ya ndoa chanzo watoto wa mitaani
Kwa mwaka 2026 Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni malezi na ulinzi wa mtoto ni WAJIBU wetu sote. Na Steven Noel Jamii imeshauriwa kuchukua hatua dhidi ongezeko la watoto wanaotumikishwa mitaani pamoja na ongezeko la watoto wa mitaani linalozidi kuongezeka…
13 April 2026, 11:46
Mikopo ya kausha damu yawatesa Ngh’ambaku
Mikopo umiza imekuwa ikisababisha athari nyingi kwa jamii ikiwemo familia zinazo jiingiza kwenye mikopo hiyo kukumbwa na madeni yasiyo kwisha. Na Victor Chigwada Wakazi wa Kata ya Ngh’ambaku Wilayani Chamwino wametakiwa kuachana na mikopo umiza maarufu kama kausha damu kwani…