Recent posts
16 January 2026, 12:05
Kampeni ya kukijanisha Dodoma yawafikia wananchi Nala
Zoezi hilo ni sehemu ya kampeni kubwa ya serikali ya kuikijanisha Dodoma kwa kupanda miti. Na Lilian Leopold. Katika jitihada za kuufanya mkoa wa Dodoma kuwa wa kijani na kustawisha mazingira, zoezi la ugawaji wa miche ya matunda na kivuli…
15 January 2026, 15:13
Wanaume wajitokeze kuwapeleka wake zao kliniki
Hii ni kutokana na ushiriki wa wanaume kuwa hafifu katika masuala ya afya ya uzazi, hali inayosababisha wanawake wengi kuhudhuria kliniki peke yao bila msaada wa wenza wao, jambo linalopunguza uelewa wa pamoja kuhusu hatua muhimu za ujauzito, kujifungua na…
15 January 2026, 14:20
Wananchi waipongeza serikali ujio wa mradi wa maji Msanga
Wananchi hao wamefurahishwa na ujio wa mradi huo, huku wakiongeza kuwa mradi huo utawapunguzia umbali ambao walikuwa wakitembea kutafutamaji safi na salama. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji cha Msanga Wilayani Chamwino wameipongeza Serikali Kwa ujenzi wa mradi mkubwa wa…
15 January 2026, 12:35
Maagizo ya Mchengerwa kwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya
Amewataka viongozi katika sekta ya afya kuwa na uwezo wa kutatua changamoto za huduma bila kusubiri michakato mirefu. Na Mariam Kasawa Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, amemwagiza Katibu Mkuu wa Wizara yake, Dkt. Seif Shekalaghe, kufanya mapitio ya miongozo ya…
15 January 2026, 11:27
Gunners yaachana na Juma Ikaba
Ikaba ndiye kocha alianza kukinoa kikosi cha guuners kwanzia ligi ya mkoa kisha daraja la pili na kwa sasa alikuwa akikiongoza kikosi hichi katika ligi daraja la kwanza. Na Hamis Makila.Kikosi cha guuners kimefikia makubaliano ya pande zote mbili ya…
15 January 2026, 11:02
Muda wa uandikishaji uchaguzi Machinga waongezwa
Picha ni Meneja wa soko la wazi la Machinga Complex, CPA Johnstone Kahungu akizungumza na waandishi wa habari katika soko hilo. Picha na Lilian Leopold. Zoezi la uchaguzi wa viongozi wa soko la wazi la Machinga Complex linatarajia kufanyika Januari…
14 January 2026, 17:52
Tanzania, Korea kuimarisha huduma ya majitaka
Mazungumzo hayo yanaonesha dhamira ya Serikali ya Tanzania ya kuendelea kushirikiana na wadau wa kimataifa katika kufanikisha vipaumbele vya maendeleo ya taifa na kuhakikisha upatikanaji endelevu wa maji kwa ajili ya ustawi wa jamii na uchumi wa nchi. Na Mwandishi…
14 January 2026, 17:39
TAREWU kuwakutanisha washirika ukusanyaji mapato Dodoma
TAREWU imesisitiza kuwa mkutano huo ni sehemu ya mkakati wa chama katika kuimarisha mshikamano, elimu kwa jamii na mchango wa wafanyakazi wa ukusanyaji mapato katika maendeleo ya nchi. Na Anwary Shaban. Chama cha Wafanyakazi wa Kukusanya Mapato Tanzania (TAREWU) kimetoa…
14 January 2026, 15:10
Hospitali ya Rufaa Dodoma yapokea ugeni kutoka Malawi
Ujio wa ugeni huu unalenga kuimarisha ushirikiano wa kiafya kati ya Malawi na Tanzania, pamoja na kuchochea ubadilishanaji wa uzoefu miongoni mwa wataalamu wa afya. Na Mariam Kasawa. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Afya Januari…
14 January 2026, 14:50
‘Kushiriki shughuli za maendeleo ni wajibu kwa mwananchi’
Sheria ya Serikali za Mitaa Sura ya 287 ( Mamlaka za Serikali za Mitaa- Wilaya) na Sura ya 288 ( Mamlaka za Serikali Mitaa- Miji) zinatambua na kusisitiza wananchi katika kupanga na kutekeleza miradi ya maendeleo, kuhudhuria mikutano ya vijiji…