Dodoma FM

Recent posts

5 February 2026, 16:27

Agha Khan Foundation yazindua mradi wa tuinuke pamoja

Uzinduzi wa mradi wa Tuinuke Pamoja unalenga kukuza uchumi wa wanavikundi mbalimbali ikiwemo makundi maalumu, huku serikali ikiahidi kuendelea kuwa mstari wa mbele katika kuwaunga mkono wananchi kupitia vikundi vilivyojisajili, ikiwemo vikundi 57 ambavyo tayari vimesajiliwa hadi sasa wilayani Kondoa.…

4 February 2026, 12:14

Madiwani Mpwapwa waijia juu TARURA

TARURA imetakiwa kuzingatia upangaji wa majeti ili kurahisisha wilaya hiyo kuboreshewa miundombinu kwa urahisi. Na Steven Noel.Baraza la madiwani Katika halmashauri ya Mpwapwa waitaka Wakala wa barabara vijijini TURURA wilayani humo kuzingatia upangaji wa bajeti zao kutokana na uhitaji wa…

4 February 2026, 11:36

Mpwapwa wakabidhi mkopo wa mil. 228 kwa wanawake, vijana

Mala baada ya halmashauri hiyo Kutangaza dilisha la mkopo walipokea maombi ya zaidi ya bilioni Moja kitu kinakinacho ashiria kuwepo Kwa uhitaji mkubwa wa mkopo huo kwa jamii. Na Steven Noel.Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa mkoa wa Dodoma imekabithi jumla…

30 January 2026, 17:32

Airtel yazindua minara mitano mipya nchini

Airtel Tanzania inaendelea kuipa kipaumbele upanuzi wa mtandao kama sehemu ya dhamira yake ya kukuza ujumuishi wa kidijitali, kuhakikisha wananchi wote nchini wanapata huduma za simu na intaneti zenye uhakika, gharama nafuu, na ubora wa juu. Na Bennard Komba Kampuni…

30 January 2026, 17:19

Waliovamia chanzo cha maji Mbuyuni watakiwa kuondoka

Zoezi la upandaji miti katika chanzo cha maji cha Mbuyuni ni sehemu ya mkakati wa pamoja kati ya serikali na DUWASA wa kulinda mazingira nakuhakikisha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wakazi wa Wilaya ya Kongwa. Na Anwary Shaban.…

30 January 2026, 14:29

Wananchi Mnase waomba elimu zaidi ya nishati safi

Picha ni Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi akifungua  Baraza Kuu la 55 la Wafanyakazi wa TANESCO. Picha na Wizara ya Nishati. Serikali imeweka malengo ya kuhakikisha angalau 80 % ya kaya za Tanzania zinatumia nishati safi ya kupikia kufikia…

30 January 2026, 13:46

Wananchi Dodoma wahimizwa kuwekeza kibiashara

Picha ni Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Dodoma, Alhaj Jabir Shekimweri wakati akizungumza katika kikao cha Baraza la Biashara la Wilaya ya Dodoma. Picha na Dodoma City Tv. Katika kikao hicho, Shekimweri amelipongeza baraza hilo  kwa kazi…

29 January 2026, 14:18

Waziri Mkuu aonya kupandisha bei za vyakula

Dkt. Mwigulu amesema pia kuwa serikali kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) inaendelea kusambaza chakula katika maeneo yenye uhitaji ili kuhakikisha Watanzania wanapata chakula cha kutosha. Na Mariam Kasawa. Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewaagiza wafanyabiashara wa…

29 January 2026, 14:04

Elimu ya kilimo yaongeza tija kwa wakulima Dodoma

Sekta ya kilimo imeendelea kuwa muhimili muhimu wa kilimo, ambapo takribani 65% ya nguvu kazi ya nchi inategemea kilimo kwa ajira yao, ikimaanisha sekta hii inawasaidia watanzania wengi kupata kipato. Na Lilian Leopold. Elimu ya kilimo inayotolewa na wataalamu wa…

29 January 2026, 13:34

Serikali kusimamia viwango vya gharama za matibabu

Picha ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba , Bungeni jijini Dodoma. Picha na Wizara ya Afya. Waziri Mkuu amesisitiza kuwa serikali itaendelea kuboresha na kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote,…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger