Recent posts
13 May 2026, 16:51
Taka ngumu ni mali tumia rejea weka mji safi
Mkutano huu ukalete tija kwa maafisa mazingira wote kwa kutoa Elimu na kuelimisha Jamii kwa ujumla juu ya maswala ya Taka. Na Anwary Shaban. Wananchi wametakiwa kutambua kuwa Taka ngumu ni mali, hivyo wanaweza kuzitumia na kuzirejeleza ili kuweka mji…
13 May 2026, 16:12
Mgogoro wa miaka 20 wapata suluhu Kibaigwa
Aidha, Wakili Onyango amesema pande zote mbili zimesaini hati ya makubaliano kama uthibitisho wa kuhitimisha rasmi mgogoro huo. Na Mariam Kasawa. Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia (Awamu ya Pili) imefanikiwa kumaliza mgogoro wa ardhi uliodumu…
12 May 2026, 17:44
Wananchi walalamika kupanda kwa gharama za maisha
Kupanda kwa bei ya mafuta kumewaathiri kwa kiasi kikubwa kwani baadhi yao wamejikuta wakipokonywa pikipiki. Na Firdaus. Wananchi jijini Dodoma wamelalamikia kupanda kwa gharama za maisha hali inayopelekea biashara kukwama na maisha kuwa magumu. Taswira ya habari imetembelea mitaa ya…
12 May 2026, 16:59
Daraja jipya suluhisho kwa wakazi Nzali, Chilonwa
Naye, Meneja wa Wakala wa Barabara mkoa wa Dodoma mhandisi Zuhura Amani amesema kukamilika kwa daraja hilo kutamaliza changamoto ya mawasiliano ya muda mrefu katika barabara ya Chamwino- Dabalo Itiso -Chinene Km 70 ambayo inaunganisha barabara ya Morogoro na Arusha.…
12 May 2026, 16:36
Kausha damu chanzo cha migogoro ya ndoa Mpwapwa
Aidha ametoa wito Kwa Wananchi kuzingatia taratibu za kisheria Ili kupunguza migogoro au kuepuka kuingia Katika makosa ya jinai. Na Stephen Noel . Wananchi wa wilaya ya Mpwapwa wamejitokeza kupata msaada wa kisheria unaotolewa na timu ya mama Samia Legal…
11 May 2026, 17:19
Huduma za maji na umeme kusogezwa karibu na wananchi
Alieleza kuwa Serikali itakaa pamoja na sekta husika kupitia tathmini ya kina ili kufikia uamuzi utakaowezesha wananchi wa maeneo hayo kupata huduma ya umeme kwa urahisi zaidi, huku akisisitiza dhamira ya Serikali ya kuhakikisha maendeleo ya huduma za kijamii yanawafikia…
11 May 2026, 16:22
Uchakavu wa majengo ya zahanati Handali waleta hofu kwa wagonjwa
Kituo hicho kukabiliwa na uchakavu wa majengo yake sanjali na nyumba za watumishi wa afya. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Handali wilayani Chamwino wameiomba serikali kupitia wizara ya afya kukarabati kituo cha afya kijijini hapo kwani majengo yake ni chakavu…
8 May 2026, 17:27
Unakabiliana vipi na kupanda kwa gharama za maisha?
Utafiti wa Twaweza, ulifanyika katika mikoa ya Tanzania ikiwemo Dar es Salaam, katika maeneo ya mijini na vijijini na kuwahoji wananchi kuhusu nini mahitaji yao kwa serikali za mitaa na wananchi hao walilalamikia huduma za afya, upatikanaji wa maji safi,…
8 May 2026, 17:05
Makambi ya wanafunzi shuleni yaimarishwe
Amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumteua Wanu katika nafasi hiyo akisema anamfahamu vizuri na alijua kuwa ana uwezo wa kutekeleza majukumu hayo kwa ufanisi. Na Mariam Kasawa. Mbunge wa Jimbo la Kondoa, Mariam Ditopile Mzuzuri, amesema kuanzishwa kwa makambi…
8 May 2026, 12:01
Mradi wa Stendi mpya kuwanufaisha wakazi wa Chemba Dodoma
Hatua hiyo inaashiria mwanzo rasmi wa utekelezaji wa mradi huo muhimu kwa maendeleo ya wilaya hiyo. Na Kitana Hamis.Wakazi wa Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma wanatarajiwa kunufaika na huduma bora za usafiri kufuatia kusainiwa kwa mkataba wa ujenzi wa stendi…