Recent posts
22 May 2026, 18:05
Wazazi, walezi waongoza ukatili kwa watoto Dodoma
Kwa upande mwingine Afisa huyo amewashauri wazazi kuzingatia adhabu wanazotoa kwa watoto wao ili kuto leta madhara zaidi kwani kutoa adhabu zisizo faa kwa watoto ni kukiuka haki zao na kuvunja sheria. Na Jerome John. Imeelezwa kuwa wazazi na walezi…
22 May 2026, 17:53
Wananchi watakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya virusi vya ebola
Mtaalamu huyo wa afya ameitaka jamii kwa ujumla kuzingatia elimu inayotolewa na endapo mtu akibainika kutokana na dalili tajwa afikishwe kituo cha afya au hospitali iliyo karibu kwa uchunguzi zaidi. Na Jerome John. Wananchi mkoani Dodoma wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi…
21 May 2026, 17:54
Wajawazito watakiwa kuzingatia mlo kamili
Elimu inayotolewa kliniki ni muhimu kwa maendeleo ya mama mjamzito na mtoto. Na Victor Chigwada. Akina mama wajawazito wametakiwa kula vyakula vyenye virutubisho ili waweze kujifungua salama na kupata watoto wenye afya bora. Wito huo umetolewa na kaimu Afisa lishe…
21 May 2026, 17:44
Wakulima wa zabibu walia na changamoto ya soko la uhakika
Licha ya changamoto ya wanunuzi wa zabibu msimu wa mavuno pia wanaiomba serikali kuwapatia mbegu bora kwa bei nafuu ili waweze kuzalisha zabibu zenye ubora. Na Victor Chigwada. Wakulima wa zabibu katika Kata ya Handali wilayani Chamwino wameiomba Serikali kutatua…
21 May 2026, 17:30
𝗦heria ya elimu ni nyenzo ya utekelezaji wa mageuzi
Kikao hicho kimewakutanisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka sekta tofauti, huku serikali ikionesha dhamira ya kuendelea kufanya maboresho ya sera na sheria za elimu kwa maslahi ya wanafunzi, walimu na taifa kwa ujumla. Na Mwandishi wetu. Mageuzi ya elimu nchini…
20 May 2026, 18:06
Serikali yasisitiza umuhimu wa uimarishaji wa vipimo nchini
Kila Mwaka Mei 20 Wakala wa Vipimo hushirikiana na Mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha Siku ya Vipimo Duniani kwa lengo la kuimarisha matumizi ya vipimo sahihi katika sekta mbalimbali za uchumi pamoja na maisha ya kila siku ya wananchi. Na Mariam…
20 May 2026, 12:58
Serikali yaanzisha malipo ya awali kwa wakulima wanao uza kwa mfumo wa stakabadh…
Kupitia mauzo hayo, wakulima wamepata zaidi ya shilingi bilioni 82.9 tangu mwaka 2024 hadi sasa. Na Yussuph Hassan Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeanzisha utaratibu wa kuwepo malipo ya awali kwa ajili…
20 May 2026, 11:36
Serikali yatoa tahadhari kwa wanaotoa ushauri wa lishe mtandaoni
Hatua hizo zinalenga kulinda afya za wananchi dhidi ya upotoshaji wa taarifa zinazotolewa kupitia majukwaa ya kidijitali bila kuzingatia misingi ya kitaalam. Na Mwandishi wetu.Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi, amesema Serikali inatambua ongezeko la watu binafsi na baadhi…
20 May 2026, 11:12
Mama lishe 300 wapatiwa mafunzo ili kukua kiuchumi
Kwa Dodoma, wajasiriamali 300 watakaoshiriki programu hii watapatiwa kila mmoja jiko banifu kama sehemu ya jitihada za kuhamasisha matumizi ya nishati safi na salama ya kupikia. Na Mariam Kasawa.Jumla ya mama Lishe 300 wamepatiwa mafunzo ya “Rise mama lishe” yaliyoandaliwa…
19 May 2026, 17:47
Wananchi Dodoma watakiwa kutunza vyanzo vya maji
Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) ilianzishwa mwaka 2019 kupitia sheria ya maji namba 5 ya mwaka 2019. Na Elizabeth Tanzania. Wananchi mkoani Dodoma wamesistizwa kutunza vyanzo vya maji vilivyopo, kutokana na uchache wa vyanzo hivyo,…