Recent posts
23 March 2026, 17:27
Machimbo yageuka tishio kwa wananchi Zuzu
Ameeleza kuwa suala hilo tayari liliwasilishwa kwa Mkurugenzi wa Jiji ambapo uchimbaji ulisitishwa kwa muda, lakini baadaye ukaendelea tena. Na Mariam Kasawa. Diwani wa Kata ya Zuzu, Jenesta Project Malingo, amesema anaendelea kufuatilia malalamiko ya wananchi wa Mtaa wa Sokoine…
23 March 2026, 13:37
Tulindeje afya ya uzazi kwa vijana kukabiliana na ukatili wa kijinsia?
Ushirikishwaji wa Jamii Viongozi wa dini na mila kushirikishwa ili kupunguza vikwazo vya kiutamaduni vinavyowazuia vijana kupata huduma za uzazi. Na Mariam Kasawa.Ili kulinda afya ya uzazi kwa vijana na kupunguza ukatili wa kijinsia, hatua muhimu ni kutoa elimu ya…
20 March 2026, 17:12
Vijana Ndogowe washindwa kuanzisha vikundi mikopo ya asilimia 10
Muhawi ameongeza kuwa wengi wao wamekuwa na wasiwasi wa kutokuaminiana kwenye vikundi . Na Victor Chigwada. Mwitikio mdogo wa vijana katika kuanzisha vikundi katika kijiji cha Ndogowe wilayani Chamwino umepelekea vijana kushindwa kunufaika na mikopo ya asilimia kumi inayo tolewa…
20 March 2026, 16:45
Watatu wajeruhiwa kwa ajali ya gari Mpwapwa
Gari hiyo ambayo ilikuwa ikiendeshwa kwa mwendo kasi iliacha njia ghafla na kuvamia makazi ya watu. Na Steven Noel Watu watatu wamenusurika kufa katika ajali baada ya gari aina ya lori lenye usajili namba T676DFC lililobeba kokoto kuacha njia na…
20 March 2026, 16:23
Prof. Mohamed ahimiza wanafunzi kusoma kwa bidii
Alisema wanatarajia kuendelea kuinua kiwango cha taaluma na kuhakikisha wanafunzi wanapanda daraja mwaka hadi mwaka. Na Mariam Kasawa. Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Makutupora watakiwa kuwa na nidhamu na kusoma kwa bidii ili kufikia malengo yao ya kielimu na maisha…
19 March 2026, 16:53
Baadhi ya vijana Ndogowe watelekeza mashamba yao
Hayo yanajiri baada ya vijana wa mradi wa Jenga kesho iliyo bora (BBT)Kijiji Cha Ndogowe kuonekana kushindwa kuendelea na palizi katika mashamba Yao yaliyopo katika mpango huo . Na Victor Chigwada. Wanufaika wa mradi wa Jenga kesho iliyo bora BBT…
19 March 2026, 16:35
Washikiri zoezi la upandaji miti Shule ya Mzingi Mchemwa
Umuhimu wa kupanda miti na kutunza mazingira ya shule una faida nyingi kama vile kupata miti ya kivuli, kuchangia katika kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi na kukuza elimu ya uhifadhi wa mazingira kwa wanafunzi na jamii. Na Mariam Kasawa.…
19 March 2026, 16:24
Watendaji wa mitaa kuimarisha ufuatiliaji wa ujenzi na biashara
Ufuatiliaji wa biashara unalenga kuhakikisha kila mfanyabiashara anafanya shughuli zake kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu . Na Mariam Kasawa. Watendaji wa Mitaa na Kata kutoka Kanda Namba Mbili aktika Manisipaa ya Dodoma wamekumbushwa kuimarisha ufuatiliaji wa shughuli za ujenzi…
19 March 2026, 16:02
Tume ya utumishi kutumia wiki mbili kuamua rufaa za watumishi
Tume ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora itawalisha taarifa mbalimbali za utekelezaji wa majukumu ya tume, kujadili na kutolea maelekezo kwenye mkutano wake. Na Anwary Shaban. Tume ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imepanga kujadili malalamiko mbalimbali yaliyowasilishwa…
18 March 2026, 18:16
Wanawake KKKT Mpwapwa wawashika mkono wanawake wanaopitia changato
Wamesema lengo la kutoa msaada huo pia ni kuadhimisha siku ya wanawake duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka machi 8 hivyo wametumia maadhimisho hayo kutoa msaada huo. Na Steven Noel.Umoja wa wananawake wa kanisa la kiinjili la kirutheli Tanzania dayosisi ya…