Joy FM

Binti wa miaka 15 abakwa na mjomba wake Kigoma

19 January 2024, 12:51

Binti  mmoja  mwenye umri wa miaka 15 ambaye ni mhitimu wa elimu ya msingi mwaka jana amekutana na madhira ya kubakwa na mjomba wake ambaye ni mdogo wa mama yake alipokwenda kumsalimia.

Na, Josephine Kiravu

Ni sauti ya taarifa inayohusu binti ambaye amefanyiwa ubakaji na mdogo wake na mama yake