Joy FM

Recent posts

13 March 2026, 12:58

Waaswa kutenda mema kipindi cha kwaresma Kasulu

Mchungaji Bhikolimana Abrahamu Bhitona Katika msimu huu wa mfungo wa Kwaresma, Waumini wa Dini ya Kikristo wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wameaswa kuendelea kutenda matendo mema ili kuenzi mateso na kifo cha Yesu Kristo pamoja na kuimarisha upendo na mshikamano katika…

13 March 2026, 08:29

Kibondo wahimizwa kutumia majiko sanifu

Majiko sanifu ni majiko yaliyoboreshwa ili kutumia nishati kama kuni au mkaa kwa ufanisi zaidi na katika jamii nyingi, hasa maeneo ya vijijini na mijini, majiko haya yamekuwa na umuhimu mkubwa kwa maisha ya wananchi kwani majiko sanifu huchangia katika…

12 March 2026, 17:00

RC Kigoma aongoza kikao kujadili uwekezaji, biashara na uchumi

Serikali ya Mkoa wa Kigoma imesema itaendelea kushirikiana na sekta binafsi katika kuhakikisha maendeleo ya Mkoa wa Kigoma yanafikia azma ya serikali ya dira ya maendeleo ya 2050 Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro, amesema Sekta binafsi ina…

12 March 2026, 15:02

KITIKI waongeza uzalishaji wa mazao Kasulu

Mkoa wa Kigoma umefanikiwa kupunguza kiwango cha upotevu wa mazao wakati na baada ya kuvuna kutoka asilimia 11% mwaka 2023 hadi kufikia asilimia 8%, ya sasa. Na Hagai Ruyagila Wakulima wa Kata ya Nyumbigwa katika Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani…

11 March 2026, 17:16

Wananchi waomba TBS kudhibiti bidhaa zisizo na ubora Kigoma

Udhibiti wa bidhaa szisizo na ubora husaidia kulinda afya na usalama wa wananchi na mara nyingi bidhaa hizo kama dawa, vipodozi na vyakula ambavyo hutengenezwa bila kufuata viwango vya ubora unaotakiwa. Na Lucas Hoaha Wananchi Mkoani Kigoma wameomba Shirika la…

11 March 2026, 15:23

Wananchi walia ubovu wa barabara Kalinzi- Matyazo Kigoma

Barabara ni miundombinu muhimu sana katika maisha ya binadamu na maendeleo ya taifa kwani huwezesha usafiri wa watu na usafirishaji wa bidhaa kutoka sehemu moja hadi nyingine, hata hivyo, wakati wa mvua nyingi barabara nyingi huharibika na kupata mashimo, matope…

11 March 2026, 12:53

Viongozi wa dini waaswa kuhubiri amani, upendo na mshikamano Kasulu

Mkuu wa Wilaya Kasulu Kanali Isaac Mwakisu amesema katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani na Kwaresma kwa wakristo viongozi wa dini hawana budi kuendelea kuwaunganisha waumini wao ili kuweza kuishi kwa upendo Na Hagai Ruyagila Viongozi…

10 March 2026, 16:37

Shirika la Posta lakabidhi madawati 100 shule ya msingi Kigondo Kasulu

Shirika la Posta Tanzania limesema litaendelea kuunga mkono juhudi za serikali katika kuboresha miundombinu ya elimu kwa lengo la kuinua taaluma kwa wanafunzi kwa kuhakikisha wanafunzi wanajifunza katika mazingira rafiki. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma…

10 March 2026, 14:43

Wazazi, walezi watakiwa kushirikiana kuwalinda watoto Kasulu

Biashara haramu ya binadamu ni moja ya matatizo makubwa ya kijamii yanayoikumba dunia ya leo kwa kusafirisha, kudanganya au kulazimisha watu kufanya kazi au vitendo fulani kwa manufaa ya watu wengine bila ridhaa yao. Na Mwandishi wetu Wazazi na walezi…

9 March 2026, 21:00

Wananchi Kasulu wanufaika na miche 120,000 ya kahawa bure

Wakazi wa Kijiji cha Bugaga na maeneo ya jirani katika Wilaya ya Kasulu wamejitokeza kwa wingi kupokea miche 120,000 ya kahawa aina ya Arabica iliyotolewa bure na Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu katika awamu ya pili ya ugawaji. Hatua hiyo…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.