Joy FM
Joy FM
14 May 2026, 10:55
Halmashauri ya Mji wa Kasulu mkoani Kigoma imeanza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa shedi mpya kwa ajili ya wafanyabiashara wa mchele katika Soko la Sofya, mradi unaotarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi milioni 59. Biashara ni shughuli muhimu inayosaidia kukuza…
13 May 2026, 15:19
Mbunge wa jimbo la Kigoma Kusini Mhe. Nuru Issa Kashakari maarufu Kandahari amewataka wananchi wa jimbo hilo kutokata tamaa huku akiahidi kupambana hadi kupatikana kwa barabara ya lami kutoka Simbo kwenda Kalya kwani ujenzi wa miundombinu hiyo ni moja ya…
13 May 2026, 12:50
Baraza la watoto lina mchango mkubwa katika kuhakikisha watoto wanaishi katika mazingira salama, yenye upendo na heshima kwa haki zao Na Mwandishi wetu Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii kwa kushirikiana na World Vision, imefanya…
12 May 2026, 16:16
Mapato yanasaidia utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo ikiwemo ujenzi na uboreshaji wa miundombinu, utoaji wa huduma za kijamii, pamoja na kuongeza ufanisi wa huduma kwa wananchi. Na Hagai Ryagila Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma imefanikiwa kukusanya zaidi ya…
12 May 2026, 09:48
Makanisa yana umuhimu mkubwa wa kuanzisha miradi ya kuongeza kipato kwa sababu yanasaidia kuimarisha huduma za kiroho na maendeleo ya jamii kwa ujumla Na Hagai Ruyagila Katika jitihada za kusaidia kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira hapa nchini, Dayosisi ya…
11 May 2026, 13:18
Ufugaji wa samaki kwenye vizimba ni njia muhimu ya kuwawezesha vijana kiuchumi, kuongeza ajira, na kuchangia maendeleo ya jamii na taifa. Na Mwandishi wetu Baadhi ya wafugaji wa samaki Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wameiomba jamii Wilayani humo kuendelea kuthamini na…
11 May 2026, 08:45
Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi ameeleza kutoridhishwa na utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme katika Mto Malagarasi Wilaya ya Uvinza unaotekelezwa na kampuni ya DONGFANG Electric International Corporationo (DEC). Na Mwandishi wetu Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi, ameliagiza Shirika la…
8 May 2026, 16:54
Lishe ni jambo muhimu sana katika maisha ya watoto kwa sababu huchangia ukuaji na maendeleo yao ya mwili na akili na mtoto anayepata lishe bora hukua vizuri, huwa na afya njema, na hupata nguvu za kufanya shughuli mbalimbali za kila…
8 May 2026, 15:55
Viongozi wa Serikali za mitaa na viongozi wa dini wametakiwa kushirikiana na Polisi katika kuhamasisha ulinzi shirikishi ili kudhibiti uhalifu kwenye jamii Na Esperance Ramadhan Kamishna wa Polisi Jamii Nchini CP Alex Mkama ameitaka jamii kuendelea kushirikiana na Jeshi la…
8 May 2026, 14:31
Halmashauri ya Mji wa Kasulu mKoani Kigoma imeendelea kufanya vizuri katika usimamizi na utekelezaji wa miradi ya maendeleo chini uongozi wa Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Mwl. Vumilia Simbeye Na Mwandishi wetu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kasulu,…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.