Joy FM

Recent posts

15 April 2026, 09:58

Majiko banifu yaleta afueni kwa kaya 1404 Uvinza

Majiko banifu ni aina ya majiko yaliyoboreshwa ili kutumia nishati kidogo na katika jamii nyingi, hasa vijijini, watu hutegemea kuni na mkaa kama vyanzo vikuu vya nishati ya kupikia kutokana na changamoto za kiafya, kiuchumi na kimazingira, matumizi ya majiko…

15 April 2026, 09:37

Serikali yapokea mtambo wa kuchakata mazao ya uvuvi Kigoma

Mitambo ya kuchakata husaidia kubadilisha samaki na mazao mengine ya uvuvi kuwa bidhaa zenye thamani zaidi kama samaki waliokaushwa, waliogandishwa au waliowekwa kwenye makopo Na Mwandishi wetu Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imepokea mtambo wa kisasa wa kuzalisha…

14 April 2026, 13:14

Plastiki kuhifadhi chakula kusababisha saratani ya tumbo

Kuhifadhi chakula kwenye vyombo vya plastiki ni jambo la kawaida, lakini linaweza kuwa na madhara fulani kiafya na kwa ubora wa chakula hasa kama plastiki si salama au ikitumika vibaya. Na Emmanuel Kamangu Wanaotumia vyombo vya plastiki kuhifadhia vyakula vya…

14 April 2026, 13:00

Injini mbili zawasili kwa ajili ya ukarabati wa Mv. Liemba Kigoma

Ukarabati wa Mv. Liemba unaonekana kuwa chachu ya maendeleo ya kiuchumi, hususan kwa wakazi wa maeneo ya kandokando ya Ziwa Tanganyika ambao hutegemea kwa kiasi kikubwa usafiri wa majini kwa shughuli zao za kila siku Na Mwandishi wetu Mkuu wa…

14 April 2026, 12:41

Viongozi wa dini watakiwa kuhimiza uadilifu

Viongozi wa dini wana mchango mkubwa katika masuala ya ulinzi na usalama wa jamii kwani nafasi yao ina uzito kwa sababu wanaheshimiwa, wanaaminika, na wana uwezo wa kufikia watu wengi kwa urahisi. Na Hagai Ruyagila Viongozi wa dini katika Kata…

14 April 2026, 12:16

Kigoma yafanikiwa kudhibiti ugonjwa wa kipindupindu

Kudhibiti kipindupindu kunategemea sana usafi, maji salama, na matibabu ya haraka na kuchukua hatua mapema ili kuokoa maisha ya watu. Na Lucas Hoha Mkoa wa Kigoma umefanikiwa kudhibiti mlipuko mpya wa ugonjwa wa kipindupindu ambao umekuwa ukisababishwa na mambo mbalimbali…

13 April 2026, 16:46

Mwenyekiti wa mtaa adaiwa kuuza eneo la shule Kigoma

Viongozi wa serikali za mitaa wilayani Kigoma wametakiwa kuacha kuhusika katika migogoro ya ardhi kati ya Wananchi, viongozi na maeneo ya serikali. Na Sadick Kibwana Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Rashid Chuachua, amemsimamisha uongozi Mwenyekiti wa Mtaa wa Mgeo, Azizi…

13 April 2026, 15:16

World Vision yatoa mil 52.2 kwa watoto Kakonko

Shirika la World Vision kupitia mradi wa Kasanda limetoa zawadi kwa watoto wa Kata ya Mugunzu wilayani Kakonko mkoani Kigoma zenye thamani ya shilingi milioni 52.2 ambapo misaada iliyotolewa inalenga kuendelea kuwafanya watoto hao kuwa wenye tabasam katika masomo yao.…

13 April 2026, 08:41

Mtaro uliobomolewa na mvua waanza kukarabatiwa Kigoma

Mvua ni muhimu kwa maisha ya binadamu, lakini inapozidi kiwango au kunyesha kwa muda mrefu, inaweza kusababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu hasa katika maeneo mengi ya mijini na vijijini, mvua kubwa imekuwa chanzo kikuu cha changamoto za maendeleo na miundombinu.…

10 April 2026, 14:46

Wananchi waomba kuboreshewa soko Heru Juu Kasulu

Uboreshwaji wa soko lolote kunachochea ukuaji wa biashara ndogo na za kati, kuongeza ajira, pamoja na kuinua uchumi wa eneo husika. Na Hagai Ruyagila Wananchi wa Kata ya Heru Juu, Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma, wameiomba serikali kuboresha miundombinu…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.