Joy FM

Recent posts

14 May 2026, 10:55

Milioni 59 kujenga shedi ya wafanyabiashara Kasulu

Halmashauri ya Mji wa Kasulu mkoani Kigoma imeanza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa shedi mpya kwa ajili ya wafanyabiashara wa mchele katika Soko la Sofya, mradi unaotarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi milioni 59. Biashara ni shughuli muhimu inayosaidia kukuza…

13 May 2026, 15:19

Kandahari kupigania barabara ya lami Simbo–Kalya Uvinza

Mbunge wa jimbo la Kigoma Kusini Mhe. Nuru Issa Kashakari maarufu Kandahari amewataka wananchi wa jimbo hilo kutokata tamaa huku akiahidi  kupambana hadi kupatikana kwa barabara ya lami kutoka Simbo kwenda Kalya kwani ujenzi wa miundombinu hiyo ni moja ya…

13 May 2026, 12:50

Baraza la watoto Buhigwe lajadili mapambano dhidi ya ukatili

Baraza la watoto lina mchango mkubwa katika kuhakikisha watoto wanaishi katika mazingira salama, yenye upendo na heshima kwa haki zao Na Mwandishi wetu Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe kupitia Idara ya Maendeleo ya Jamii kwa kushirikiana na World Vision, imefanya…

12 May 2026, 16:16

Bil. 3.2 zakusanywa mwaka fedha 2025/2026 Kasulu

Mapato yanasaidia utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo ikiwemo ujenzi na uboreshaji wa miundombinu, utoaji wa huduma za kijamii, pamoja na kuongeza ufanisi wa huduma kwa wananchi. Na Hagai Ryagila Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma imefanikiwa kukusanya zaidi ya…

12 May 2026, 09:48

Kanisa lanunua magari kuimarisha uchumi wa kanisa Kasulu

Makanisa yana umuhimu mkubwa wa kuanzisha miradi ya kuongeza kipato kwa sababu yanasaidia kuimarisha huduma za kiroho na maendeleo ya jamii kwa ujumla Na Hagai Ruyagila Katika jitihada za kusaidia kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira hapa nchini, Dayosisi ya…

11 May 2026, 13:18

UNDP, SIDO zawainua wafugaji samaki Kibondo

Ufugaji wa samaki kwenye vizimba ni njia muhimu ya kuwawezesha vijana kiuchumi, kuongeza ajira, na kuchangia maendeleo ya jamii na taifa. Na Mwandishi wetu Baadhi ya wafugaji wa samaki Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wameiomba jamii Wilayani humo kuendelea kuthamini na…

11 May 2026, 08:45

Waziri Ndejembi achukizwa mradi wa umeme kukwama Kigoma

Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi ameeleza kutoridhishwa na utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme katika Mto Malagarasi Wilaya ya Uvinza unaotekelezwa na kampuni ya DONGFANG Electric International Corporationo (DEC). Na Mwandishi wetu Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi, ameliagiza Shirika la…

8 May 2026, 15:55

CP Mkama asisitiza ushirikiano wa Polisi na jamii Kigoma

Viongozi wa Serikali za mitaa na viongozi wa dini wametakiwa kushirikiana na Polisi katika kuhamasisha ulinzi shirikishi ili kudhibiti uhalifu kwenye jamii Na Esperance Ramadhan Kamishna wa Polisi Jamii Nchini CP Alex Mkama ameitaka jamii kuendelea kushirikiana na Jeshi la…

8 May 2026, 14:31

Mwenyekiti CCM apongeza DED utekelezaji wa miradi Kasulu

Halmashauri ya Mji wa Kasulu mKoani Kigoma imeendelea kufanya vizuri katika usimamizi na utekelezaji wa miradi ya maendeleo chini uongozi wa Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Mwl. Vumilia Simbeye Na Mwandishi wetu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kasulu,…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.