Offline
Play internet radio

Recent posts

19 July 2024, 5:29 pm

Madereva wazembe,vyombo vibovu hakuna atakae kuwa salama Simiyu

“Katika kuzuia na kupambana na madereva wazembe  wanaosababisha ajali zisizo za lazima zinazotokana na ubovu wa vyombo vya usafirishaji wanavyotumia jeshi la polisi mkoa wa Simiyu limekuja oparesheni la ukaguzi wa vyombo vya moto” Na,Daniel Manyanga Kamanda wa jeshi la…

19 July 2024, 2:27 pm

Shimo lakatisha maisha ya Anna, Martha Bariadi

“Usalama wa maisha ni jambo muhimu ili kutimiza malengo ya wananchi wetu nchi bila kuhakikisha usalama wa maeneo wanapotoka wananchi hatuwezi kufikia azma ya maendeleo ngazi ya jamii na taifa kwa ujumla” Na Daniel Manyanga Wanafunzi wawili waliotambulika kwa majina…

17 July 2024, 9:45 pm

Maswa:Wananchi wa Zanzui meno thelathini na mbili nje mradi wa maji safi

“Katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za kijamii serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya sita imeendelea kutekeleza adhima  ya kumtua Mama ndoo kichwani kwa vitendo” Na, Daniel Manyanga   Zaidi  ya billion 1.5 zinatarajiwa kutumika kupeleka huduma ya…

15 July 2024, 9:10 pm

TVS 150 kupeleka kicheko kwa wateja wa maji mjini Maswa

“Katika kurahisisha wananchi wanapata maji safi na salama wakati wote mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Maswa MAUWASA imepokea vifaa vya usafiri ili kuongeza ufanisi wa kiutendaji”   Na, Daniel Manyanga  Mamlaka ya maji safi na usafi wa…

11 July 2024, 4:49 pm

Nyongo amwaga maua kwa Dkt.Samia kwa utekelezaji miradi Maswa

“Ujenzi wa mabweni mashuleni watajwa kuwa mwarobaini wa kukabiliana na mimba mashuleni haswa kwa wanafunzi wa kike Ili waweze kutimiza malengo yao” Na, Daniel Manyanga  Naibu waziri  ofisi ya Rais mipango na uwekezaji ambaye pia ni mbunge wa jimbo la…

10 July 2024, 1:03 pm

Wananchi wilayani Meatu wachangia maji na ng’ombe

“Maji ni uhai kwa binadamu lakini wananchi wa wilaya ya Meatu wapo hatarini kupata magonjwa yatokanayo na kutumia maji  ya visima na mabwawa wao pamoja na mifugo ’’ Na,Daniel Manyanga Wakazi wa kata ya Mwandoya wilayani  Meatu, mkoani Simiyu wameiomba…

6 July 2024, 9:56 am

Tamasha la utalii, utamaduni Kanda ya Ziwa  lazinduliwa Simiyu

Kila kabila wana utamaduni wao, wasukuma wana utamaduni wao pia, ni vema kila kabila likaenzi utamaduni wake unasaidia katika Kulinda maadili na kukuza uchumi wa Taifa kupitia Utalii “Dunstan Kitandula ” Naibu waziri wa Maliasili na Utalii Tamasha  la Utali  na …

28 June 2024, 10:07 pm

MAUWASA yataja sababu za maji  kutokuwa angavu

Kutokana na wingi wa mvua zilizonyesha kwa mwaka huu imepelekea bwawa letu la New Sola kuwa na magugumaji mengi pamoja na shughuli za kibinadamu zinazofanyika zimesababisha maji kutokuwa angavu ” Kasimu Kado “ Mamlaka  ya  Maji  na  Usafi  wa  Mazingira …

28 June 2024, 10:43 am

Warina asali wateketeza madarasa manne kwa moto Bariadi

“Elimu ya kujikinga na majanga kwa jamii inahitajika sana ili kusaidia kupunguza matukio ya moto hasa kwenye taasisi za umma na binafsi matukio ambayo yanatokea kwenye jamii zetu lakini inakosekana elimu ya kuzuia hayo majanga.” Na, Daniel Manyanga  Watu wasiojulikana…

26 June 2024, 9:38 am

RUWASA wilayani Maswa kutumia billion 3.7 kumtua mama ndoo kichwani

“Upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama katika maeneo ya vijijini utaongeza uchumi wa familia kutokana na kutumia muda mrefu kutafuta maji hivyo watajikita katika shughuli za kimaendeleo.” Na, Daniel Manyanga Wakala wa maji safi na usafi wa mazingira…

24 June 2024, 12:33 pm

RC Kihongosi aagiza kurejeshwa  fedha  za mikopo ya vikundi Maswa

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe, Kenan Kihongozi ameahidi kuunda tume ya kufuatilia urejeshaji wa mikopo ya 10% kwa vikundi vya wanawake, vijana na makundi maalum inayotolewa na halmashauri ili watanzania wengine waweze kukopa. Mkuu  wa  Mkoa  wa  Simiyu  Mhe  …

17 June 2024, 1:21 pm

Maswa: Serikali yaombwa kuwekeza kwenye elimu jumuishi kwa watoto,vijana

“Elimu jumuishi kwa watoto na vijana itasaidia sana kupunguza wimbi la watoto mitaani na utegemezi wa ajira kutoka serikalini hivyo tusiogope kuwekeza kwenye elimu jumuishi.” Na Daniel Manyanga Wadau wa maendeleo kwa watoto na vijana wilayani Maswa mkoani Simiyu wameomba…

12 June 2024, 4:20 pm

Mboje wa Singida atupwa jela miaka 30,faini ya laki tatu kwa kubaka Maswa

“Ukatili wa kijinsia umetajwa vyanzo vya matatizo ya kisakolojia kwa wahanga hivyo sheria ziwe na makali kwa mtuhumiwa hali ambayo itaweza kupunguza au kumaliza ukatili.” Na, Daniel Manyanga  Mahakama  ya wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemhukumu, Mboje Paul (28) mkazi…

10 June 2024, 5:47 pm

Watembea umbali wa kilomita 35 kufuata huduma za TRA mjini Maswa

“Tunaomba sana elimu ya mlipa kodi kwa wafanyabiashara itolewe kwa upana wake na mara kwa mara ili tuweze kulipa kodi kwa hiari hali itakayoweza kujenga urafiki na TRA.” Na, Daniel Manyanga Wafanyabiarasha wa Mji mdogo Malampaka wilayani Maswa mkoani Simiyu…

7 June 2024, 11:15 am

DC Simalenga awapa za uso wakulima makanjanja wa pamba

“Msimu ujao wa kilimo hatutaruhusu mkulima yeyote kuchukua mbegu na viatilifu bila kuonesha shamba lake alilolima ili kuondoa wakulima makanjanja katika zao hilo” Na, Daniel Manyanga Serikali wilayani Bariadi mkoani Simiyu imebaini uwepo wa ekari elfu arobaini hewa za zao…

4 June 2024, 5:43 pm

Maji ya sumu mgodini yatishia usalama wa mifugo, wananchi Busega

“Serikali bila watu hakuna utakachokifanya hivyo niseme serikali ni watu ndiyo ni kweli tunahitaji mapato kutokana na shughuli za uchimbaji wa madini lakini linapokuja suala la afya za wananchi hakuna umuhimu wa madini.” Na, Daniel Manyanga Mkuu wa Wilaya ya…

3 June 2024, 5:34 pm

Maswa:Ni matusi kuwaita watoto majina ya ujombani

“Migogoro ya ndoa na  mipalanganyiko yakimahusiano imeendelea kuwa na athari kwa malezi na makuzi ya mtoto nchini hali inayopelekea watoto wengi kukosa haki zao za msingi.” Na,Daniel Manyanga Wanawake na mabinti wametakiwa kuwaita watoto wao majina halisi ya baba zao…