Recent posts
19 April 2024, 11:49 am
Samwel na Godi mikononi mwa Dc Maswa kwa kukwepa kulipa kodi
Lazima tuwe wakali kwa wafanyabiashara ambao wamekuwa wanaihujumu Serikali yetu ya Tanzania kwa kukwepa kulipa kodi pale wanapouza na kununua bidhaa na kushindwa kutoa listi za mashine zenye thamani sawa na bidhaa husika. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya…
18 April 2024, 4:40 pm
Mpango wa chakula mashuleni kuongeza ufaulu wa wanafunzi Bariadi
Chakula mashuleni ni swala la muhimu sana katika kukuza maendeleo ya wanafunzi kwenye ufaulu wa mitihani yao kitaifa na hivyo itapunguza utoro kwa wanafunzi mashuleni. Na,Daniel Manyanga Wazazi na Walezi wa wanafunzi katika shule ya msingi Imalilo iliyopo halmashauri ya…
17 April 2024, 10:49 am
DC Maswa ataka ushirikishwaji wa sekta binafsi kuleta maendeleo
Sekta binafsi ni mdau muhimu sana wa maendeleo katika kuwaletea maendeleo wananchi wetu, nendeni mkashirikiane nao, sikilizeni changamoto zao na kuzitatua. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge amezitaka sekta binafsi na sekta za umma…
16 April 2024, 7:32 pm
Itilima wakosa huduma ya maji safi na salama kwa wiki tatu
Watembea umbali wa kilomita 3 kufuata huduma ya maji safi na salama kufuatia mota ya kusukuma maji kuungua kijijini hapo. Na. Daniel Manyanga Wananchi wa vijiji vya Mlimani na Zanzui vilivyopo wilayani Itilima mkoani Simiyu wakosa huduma ya maji safi…
16 April 2024, 10:04 am
Mfumo wa stakabadhi ghalani kuwanufaisha wakulima Simiyu
 Na Nicholaus Machunda Wakulima Mkoani Simiyu wapata mwarobaini wa bei ya mazao baada ya kilio cha muda mrefu cha kukosa soko la uhakika Wananchi Mkoani Simiyu Wameishukuru Serikali Kuruhusu kuuza Mazao yao ya Nafaka kupitia Mfumo wa Stakabadhi Ghalani …
10 April 2024, 6:00 pm
DC Maswa atangaza kiama kwa wakandarasi wazembe
Hatuwezi kuwa na wakandarasi wazembe namna hii ambao hawafanyi kazi kwa mujibu wa mkataba na hawajui ni adha gani ambayo wananchi wanaipata nishauri serikali imfute mkandarasi na kampuni yake hiyo katika orodha ya Wakandarasi hapa nchini. Na ,Daniel Manyanga Mkuu…
4 April 2024, 5:31 pm
Jamii ya wafugaji, wadzabe wanufaika na mafunzo ya sheria ya ardhi
Jamii ya wafugaji na Wahadzabe wamenufaika na mafunzo ya Sheria ya Ardhi kwa lengo la kuzisaidia jamii hizo kujua hatua za utatuzi wa migogoro kwenye maeneo yao. Na,Alex Sayi Shirika la DANMISSION kwa ushirikiano na kanisa la KKKT Jimbo la…
4 April 2024, 3:02 pm
DC Maswa Atoa Siku 14 Watendaji Kukabidhiana Ofisi
Na, Daniel Manyanga Watendaji wote waliotajwa kula fedha za maendeleo zitokanazo na michango ya Wananchi ndani ya siku kumi na Nne warudishwe Ili kuja kujibu tuhuma na kufanya makabidhiano Mbele ya Serikali ya Kijiji. Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge ametoa siku…
3 April 2024, 10:20 am
DC KAMINYOGE ; Wananchi Jitokezeni  kwenye Mikutano ya Hadhara
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mhe, Aswege Enock Kaminyoge amewataka Wananchi wilaya hapo kujitokeza kwa Wingi katika Mikutano ya Hadhara inayoitishwa na Viongozi wao wa Vijiji na kata ili kutoa kero zao na changamoto mbalimbali zinazowakabiri. Mh Kaminyoge …
28 March 2024, 10:19 am
LAAC yaipongeza Maswa kwa usimamizi mzuri wa miradi
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa – LAAC imeipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kwa Usimamizi Mzuri wa Fedha za Miradi ya Maendeleo zinazoletwa Wilayani hapo. Akitoa Pongezi hizo mara baada ya kutembelea Jengo la …
21 March 2024, 7:05 pm
TARURA kutumia zaidi bil. 4.1 ukarabati wa miundombinu Maswa
Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA)Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wanatarajia kuzifanyia marekebisho Barabara zenye mtandao wa Km,227.21 zilizoathiriwa na Mvua za msimu. Na. Alex Sayi Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini (TARURA) imeendelea na matengenezo ya barabara…
13 March 2024, 11:35 am
DC  Maswa aagiza viongozi, watendaji  kusikiliza kero za wananchi
Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu Mh Aswege Kaminyoge  ametoa maagizo  kwa watendaji na viongozi wengine kusikiliza kero za za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi na siyo kusubiri viongozi wa ngazi za juu kuja kusikiliza kero ambazo zingetatuliwa na viongozi …
13 March 2024, 10:44 am
Rais atoa zana za kilimo Maswa kuongeza uzalishaji wa pamba
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh Aswege Kaminyoge  amemshukuru  Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa zana za kilimo kwa wakulima wa kata ya Senani ili kumsaidia mkulima katika kuongeza tija katika zao la pamba. DC Kaminyoge ametoa shukrani hizo wakati wa kuzindua zana…
11 March 2024, 5:43 pm
Ongezeko la mamba mto Simiyu latishia maisha ya wananchi
Na,Alex Sayi-Simiyu Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania TAWA Kanda ya Ziwa, wabainisha kuwa  uwepo wa mtawanyiko wa Maji kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha kwa hivi sasa kumechangia ongezeko la Mamba mto Simiyu hivyo kuhatarisha maisha ya wananchi wanaoishi karibu na…
10 March 2024, 8:38 am
Red Cross: Mwanamke ni nguzo muhimu kwa taifa
Chama cha msalaba mwekundu mkoani Simiyu kimesherekea siku ya Wanawake duniani kwa kufanya usafi katika hospitali ya wilaya ya Maswa katika kutambua na kuthamini mchango wa Wanawake katika Nyanja mbalimbali za kimaendeleo nchini. Na,Paul Yohana Katika kuenzi na kuthamini mchango…
1 March 2024, 8:07 pm
96 wahitimu mafunzo ya udereva Maswa
Jumla ya maafisa usafirishaji 96 wamepatiwa  vyeti vya udereva na  leseni za uendeshaji vyombo vya moto ikiwemo pikipiki na magari madogo baada ya kufuzu mafunzo ya uendeshaji wa vyombo hivyo. Akikadhi vyeti  hivyo  na leseni , Mkuu wa Wilaya ya …
1 March 2024, 5:03 pm
Wanawake jamii ya kihadzabe Meatu waomba msaada wa Rais Samia
Jamii ya kihadzabe inayoishi pembezoni mwa pori la hifadhi Makao Wilayani Meatu Mkoani Simiyu yahofia kutoweka kutokana na mabadiliko ya tabia ya Nchi. Na,Alex Sayi Wanawake wa jamii ya kihadzabe wamuomba Rais Dkt,Samia kulinusuru kabila hilo ili lisiweze kutoweka kutokana…
28 February 2024, 11:15 am
DC Kaminyoge atoa ufafanuzi changamoto ya sukari wilayani Maswa
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mh, Aswege Kaminyoge ametoa ufafanuzi kuhusu Changamoto ya Kupanda kwa bei ya Sukari na kutoa maelekezo ya Serikali kuhusu upatikanaji wa Bidhaa hiyo. Kaminyoge amesema hayo wakati akizungumza na Wafanyabiashara wa Maswa na …
25 February 2024, 6:29 pm
Takukuru Simiyu yaokoa zaidi ya shilingi milioni 70
Na Nicholaus Machunda Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa mkoa wa Simiyu imefanikiwa kuokoa fedha  zaidi ya shilingi milioni sabini zilizotaka kufanyiwa ubadhirifu katika Chuo cha Maafisa Tabibu wilayani  Maswa. Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari, Naibu Mkuu wa Takukuru mkoani …
25 February 2024, 6:14 pm
CHADEMA Simiyu yajipanga kuingia kwa kishindo uchaguzi serikali za mita…
Chama cha Demokrasia na Maendeleo  Chadema Mkoa wa Simiyu kimesema kuwa kimejipanga kuingia kwa kishindo katika uchaguzi wa serikali za mitaa utaofanyika mwishoni mwa mwaka huu wa 2024. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoa wa Simiyu  Musa …