Offline
Play internet radio

Recent posts

21 June 2025, 5:36 pm

Nyumba ya milioni 73 yateketea kwa moto Maswa

“Tuendelee kuwakumba wenye uhutaji katika kurudisha faraja kutokana na familia hizo kupitia kwenye changamoto kwa kipindi hicho na hii ni ibada kubwa sana kwa Mungu wetu kwa kutoa sadaka kwa wenye changamoto mbalimbali”. Na, Daniel Manyanga  Jamii wilayani Maswa mkoani…

19 June 2025, 4:54 pm

Shule bora Bariadi yaongeza ufaulu wa wanafunzi

“Elimu ni urithi pekee ambao mtu hawezi kuporwa na mtu yeyote hivyo tuwekeze elimu kwa watoto wetu bila kujali kuna ajira au hakuna ajira maana huu ni ujuzi wake ambao utakuja kumsaidia katika maisha ya hapa duniani”. Na, Daniel Manyanga …

18 June 2025, 9:43 pm

Eguity Bank kupiga jeki ununuzi zao la pamba Maswa

Hamasa ya ulimaji wa zao la Pamba wilayani Maswa mkoani Simiyu huenda ukaongezeka kufuatia ongezeko la uwekezaji wa viwanda vya kuchakata na kuchambua mali ghafi ya zao la Pamba mkoani hapa. Na,Alex Sayi           Bank ya Eguity imejitanabahisha kufanya mapinduzi…

18 June 2025, 2:43 pm

Bifu la Mpina na Bashe, Rais Samia apigilia msumari

Maombi hayo kuyaleta mbele ya Rais ni kujitafutia umaarufu na kudhibitisha mbunge hakulifanyia haki jimbo lake ” Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa wilayani Meatu-Simiyu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia suluhu Hassani ameonyesha kukerwa na…

17 June 2025, 5:34 pm

Kiwanda cha Bio-sustain kuzalisha ajira zaidi ya 800 Wilayani Meatu

Maelekezo ya Mh Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha Wizara inatengeneza Mazingira mazuri ya Uwekezaji na ufanyaji Biashara Imeelezwa  kuwa  zaidi  ya  ajira  350   za moja kwa moja  kwa  wazawa  na zingine  800  zisizo za  moja  kwa  moja  zitazalishwa  kutoka  kiwanda …

17 June 2025, 8:34 am

Dkt.Samia arejesha kicheko kwa wakulima wa pamba

“Tunapandisha zao moja baada ya jingine niseme tu kuwa zao la pamba ni wapo ya mkakati uliyopo katika kuleta uhalisia wa gharama anazotumia mkulima ili uchumi wa mtu mmoja mmoja na mkoa wa Simiyu uweze kukua na kuongeza hali ya…

16 June 2025, 2:40 pm

Watoto waomba sheria kali itungwe kwa mzazi anayefanya ukatili Maswa

“Tuwalinde ,tuwapende ,tuwatimizie mahitaji ya msingi watoto wetu hii ni njia pekee ya kukomesha ukatili kwa watoto hivyo kumaliza changamoto ya watoto mitaani ambao baadae hujeuga na kuwa wezi,vibaka na chokoraa tukifanya hivyo kila mzazi au mlezi kwa nafasi yake…

14 June 2025, 12:00 pm

Makala kuhusu Huduma za Afya

Huduma za Afya zilivyoboreshwa katika Zahanati ya Bulima iliyopo Wilaya ya Kishapu Mkoa wa Shinyanga baada ya Wananchi Kuibua changamoto za Uhaba wa Watumishi, Masuala ya wagonjwa kuombwa Rushwa na Lugha chafu zilizokuwa zinatolewa na Watoa Huduma kwa Wagonjwa. Baadae…

14 June 2025, 10:09 am

Bodaboda Maswa wakiri kutozijua sheria za barabarani

Imebainishwa kuwa ongezeko la ajali za barabarani wilayani Maswa mkoani Simiyu,umetajwa kusababishwa na waendesha bodaboda wasiojua sheria za usalama barabarani hali iliyomlazimu mkuu wa Wilaya hiyo kukutana na bodaboda hao. Na Alex Sayi Baadhi ya waendesha bodaboda wilayani Maswa mkoani…

13 June 2025, 5:06 pm

DC Maswa atangaza kiama kwa wakopeshaji wasiokuwa na kibali cha BoT

“Hatuwezi kuwavumilia watu au taasisi ya mikopo inayowakandamiza wakopaji kwa kuwatoza riba kubwa ya marejesho na kwa muda mfupi sana ambapo ni kinyume cha sheria na taratibu za mikopo kulingana na vibali vya benki kuu ya Tanzania BOT hivyo lazima…

12 June 2025, 5:42 pm

Simbachawene hakuna rushwa kubwa wala ndogo wote wanamakosa

“Rushwa ni adui wa haki na maendeleo kahuna rushwa kubwa wala ndogo nendeni tukawahudumia wananchi walio na changamoto za kunyanyaswa na watu wanaotumia madaraka kwa kuwakandamiza watu ambao walitakiwa wapewe haki hakuna aliye mkubwa zaidi ya sheria na katiba ya…

10 June 2025, 10:24 am

MEK wapigwa msasa kuwatambua wenye mahitaji maalum Bariadi

“Hakuna sheria inayobagua watoto kutokana na mapungufu ya kimaumbile, binadamu wote kwa Mungu wetu sote tupo na haki hivyo ni wakati sasa kwa jamii kuachana na imani kuwachukulia watoto wenye mahitaji maalum kama vile ni mkosi, tuwapatie mahitaji yao kama…

5 June 2025, 8:59 pm

Askofu Sangu aomba ukarabati wa barabara ya Bariadi-Nkololo

“Hakuna maendeleo ya vitu kama watu wako hawana miundombinu rafiki ya barabara maana ndiyo njia Kuu ya wananchi kupiga hatua kimaendeleo maana wakipata shida ya kiafya watawahi kwenye matibabu lakini hata biashara itakuwa katika maeneo husika”. Na, Daniel Manyanga  Askofu…

4 June 2025, 8:25 pm

TAKUKURU yabaini milioni 26 kuliwa na viongozi wa AMCOS Simiyu

“Rushwa ni adui wa haki na maendeleo lazima kwa nguvu zote viongozi waipinge rushwa maana leo utaona kuna watu wachache wasiokuwa waadilifu wanatumia turufu ya uongozi wao kupora haki za watu kujilimbikizia mali ambazo ni wizi na kuwanyima watu ambao…

29 May 2025, 12:19 pm

UVCCM Bariadi yarudisha furaha kwa wagonjwa

‘‘Ni kweli bado jamii yetu inakabiliwa na changamoto mbalimbali zipo familia zenye uwezo wa kiuchumi lakini hizi ambazo hazina uwezo wa kimaisha tunawezaje kuzisaidia ili nazo ziweze kupata furaha hili ni jambo tunaweza kulifanya tu endapo watu wenye uwezo mkubwa…

28 May 2025, 7:51 pm

TAKUKURU Simiyu yaokoa bilion 6 kwenye sekta ya elimu

“Kumaliza rushwa hapa nchini ni changamoto kubwa sana maana hata watumishi umma waliokula kiapo cha uaminifu ndiyo wanakuwa watu na viongozi wa kwanza katika kutekeleza ubadhilifu wa mali za umma halafu hao hao ndiyo wanahimiza uzalendo haya ni maajabu kweli”.…

27 May 2025, 11:19 am

Sangamwalugesha yaomba kujengewa soko la kisasa

“Uchumi wetu unajengwa na wajasiliamali wadogo wadogo hivyo tuna kila sababu kwa mamlaka husika kuwatengenezea mazingira mazuri ya wao kufanya biashara ikiwemo miundombinu ya masoko pamoja na kuangalia tozo ambazo hazina afya kwa wafanyabiashara”. Na, Daniel Manyanga Kukosekana kwa soko…

24 May 2025, 8:25 pm

Wananchi wa Mwamashindike walia na ubovu wa barabara

“Sekta ya miundombinu ya barabara ni Moja kati ya ajenda muhimu Sana kwa ustawi wa jamii yetu maana ndiyo inayotumika kusafirishia mazao mbalimbali kutoka huko kijijini kuja sehemu za masoko lakini ikitaka kufungua uchumi wako lazima Kwanza ufungue barabara zako…

22 May 2025, 2:02 pm

Wananchi Maswa watoa kilio kwa DC  Anney

Migogoro mingi ya Wanandoa inasababishwa na kutokuandika Wosia inapotokea mume amefariki Dunia ndugu wa mwanaume wanakuja juu na kumdhurumu mali mjane aliyeachwa na marehemu wakati mali hizo wamezitafuta wawili hao. ” Dc Dkt Vicent Anney “ Wananchi  wa  kata  za …

Sibuka Media Profile

Establishment  

Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.

The Objective  

To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments. 

Region Coverage(Sibuka Fm)

 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex

National Coverage (Sibuka Fm) 

Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than  5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex