Recent posts
22 May 2026, 18:02
Mwarobaini kwa wanaochezea mizani ya kupimia pamba wapatikana
Hatutawavumilia viongozi wote watakaofanya udanganyifu wa uchezea (kuchakachua) mizani kwa lengo la kuwaibia wakulima, Lakini pia hatutawavumilia wakulima wataoharibu pamba kwa kuweka Maji, mchanga au Mafuta ya kenge hatua kali za kisheria zitachukuliwa ikiwemo kufungwa Jela. “Ndinda Antony – Mkaguzi…
20 May 2026, 00:23
Viongozi wa Amcos  na  BBT wafundwa kuhusu usafi na Ubora wa Pamba
Kwasasa wilaya ya Meatu tumepiga marufuku uvunaji wa pamba kwa kutumia vikundi vya ngoma na muziki maana havizingatii kanuni bora za pamba hali inayosababisha uchafuzi wa pamba wakati wa uvunaji ” Thomas Shilabu afisa kilimo wilaya ya Meatu. Viongozi wa…
12 May 2026, 19:02
Huu hapa mkakati wa seriali katika kuinua zao la pamba
Lazima mkulima ashiwe mkono kama mtoto mdogo anavyoshikwa mkono wakati wa kuvukishwa barabarani, ndio maana serikali inamhudumia kuanzia pembejeo hadi kwenye masoko, tunatamani heshima ya pamba urudi. ” Agrey Mwanri -balozi wa pamba tanzania “ Imeelezwa kuwa Serikali ya awamu…
12 May 2026, 18:00
Serikali yatangaza bei elekezi ya pamba, wakulima watoa ya moyoni
Yamezungumzwa mengi na watangulizi wangu lakini naomba nikuongezee machache mgeni rasmi kuwa hapa Igunga kutajengwa kiwanda kiubwa cha kuchakata pamba kabla ya mwaka huu haujaisha maana tayari tumeshapata eneo “Renatus Luneja Mkurugenzi mkuu wa Bodi ya pamba Tanzania-TCB “ Serikali …
5 May 2026, 00:16
Chanjo ya polio kutolewa nyumba kwa nyumba Maswa
Zoezi hili ili lifanikiwe liwashirikishe hadi viongozi wa ngazi za chini kama vile wenyeviti wa vijiji na Vitongoji na mabalozi ili kuondoa upotoshaji unaojitokeza ” Mhe Anna Gidarya -Kaimu DC Maswa “ Zoezi la Utoaji wa Chanjo ya Polio awamu…
22 April 2026, 08:04
“Wachimbaji wadogo wa madini tumieni mifumo rasmi ya kifedha”
“Tumieni mifumo rasmi ya kifedha ili kuongeza thamani na kuweza kupata mikopo kwa urahisi kutokana na utunzaji wa kumbukumbu wa kifedha kwenye mifumo ya kidigitali na hii itatusaidia kujuwa kipato na matumizi katika shughuli zetu za uchimbaji wa madini”. Na,Daniel…
17 April 2026, 16:26
Simiyu kuandika historia ya umeme Mei 30
“Tunahitaji kuwa na umeme wa uhakika ambao hauwezi kuwa kikwazo hasa kwa wafanyabiara na wajasiriamali ambao shughuli zao zinahitaji nishati hiyo bila kukatika mara kwa mara ili waweze kujiongezea kipato zaidi”. Na Daniel Manyanga Wakazi wa mkoa wa Simiyu wameiomba…
11 April 2026, 05:52
Wanaume Simiyu wafanyiwa ukatili wa kijinsia
Wakati taarifa kutoka dawati la jinsia na watoto zikieleza kuwa idadi kubwa ya watu wanaofanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia ni wanawake na watoto, lakini hali ni tofauti kwa baadhi ya wanaume wa mkoa wa Simiyu, wakieleza kuwa wamepitia ukatili kutoka kwa wake…
10 April 2026, 06:59
Pelekeni watoto shule wakasome, DC Simalenga
“Waswahili na wajuzi wa falsafa wanamisemo mizuri kuhusu elimu utasikia elimu ni bahari elimu ni ufunguo wa maisha, elimu haina mwisho, elimu ni dira hiyo yote misemo ni chachu ya kuleta ushindani na hamasa kwa wazazi na walezi kujuwa umuhimu…
18 March 2026, 16:43
TANROADS Simiyu waanza ujenzi wa barabara ya heavy weight
“Tunahitaji kuwa na miundombinu imara ya barabara ili kulinda usalama wa vyombo vya usafiri pamoja na watumiaji wake maana siku hizi kelele zimekuwa nyingi sana kutoka kwa watumiaji wa barabara juu ya ubovu wake na namna ambavyo unachangia kuhari vyombo…
17 March 2026, 13:22
RC Macha amaliza mgogoro wa fidia kwa wananchi
“Ni kweli hakuna mtu asiyependa maendeleo ya nchi yake kila wananchi anatamani kuona miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa wingi bila changamoto zozote zile za kimaslahi kwa wale wanaopaswa kulipwa fidia zao kutokana na kupisha miradi hiyo katika maeneo hayo”. Na,Daniel…
17 March 2026, 06:19
RC Macha ataka elimu ya matumizi ya barabara
“Mkuu wa mkoa wa Simiyu Anamringi Macha ameagiza watu wote wanoharibu miundombinu ya barabara kwa namna mbalimbali ikiwemo kupitisha mifugo kwenye barabara za lami mkoani humo wapatiwe elimu juu ya matumizi ya barabara na baada ya kuelemishwa wale wote watakaoendelea kufanya shughuli zinazoharibu miundombinu…
16 March 2026, 07:13
DC Simalenga ahimiza wajawazito kuhudhuria kliniki
“Twendeni kliniki mara kwa mara kwenye vituo vyetu vya afya wakinamama wajawazito ili kujuwa hali zenu za mimba na namna ya kuwasaidia wakati wa kujifungua ili kupunguza changamoto zinazoweza kutokea wakati wa kujifungua.” Na Daniel Manyanga Mkuu wa Wilaya ya…
11 March 2026, 14:21
DC Anney atangaza msako kwa wadaiwa sugu wa mikopo ya 10%
“Hatuwezi kupoteza fedha za walipa kodi kwa watu wasiokuwa waaminifu wanaokuja kwa kuomba mikopo kwenye halmashauri zetu wanapewa ikifika wakati wa marejesho wanaingia mitini lazima tuwe na sheria kali katika kulinda kodi za wananchi kwa ajili ya maendeleo ya Taifa.”…
6 March 2026, 09:27
Wakulima wa pamba waomba sheria kali waliochezea mizani msimu mwaka jana Simiyu
“Tunatumia nguvu kazi kubwa sana hadi pamba kufika sokoni tukitarajia tutapata faida kutokana na kile ambacho tumekifanya kwa msimu mzima wa kilimo halafu panatokea mtu mmoja tu anaanza kutengeneza faida kutokana na jasho la watu wengine hii haipo sawa tunawavunja…
24 February 2026, 11:38
Kituo cha kupozea umeme suluhisho sahihi kwa wakazi wa Simiyu
“Tunahitaji kuwa na umeme wa uhakika ili kuvutia wawekezaji wakubwa kwenye viwanda maana hatuwezi kuwa na wawekezaji wakubwa wakati huo hatuna umeme wetu wa uhakika lazima sasa juhudi zifanyike kwa namna yoyote ile”. Na,Daniel Manyanga Wakazi wa mkoa wa Simiyu…
24 February 2026, 08:52
Wakulima wa pamba Mkoani Simiyu wahimizwa kufuata kanuni bora za kilimo ili ku…
Mimi nataka kuwa mkweli kama mpango wako wa kulima pamba ili upate kilo mia tatu (300) kwenye hekari moja afadhali nenda ukafanye kazi nyingine maana utakuwa unajitafutia umasikini ” RC Simiyu Anamringi Macha” Na Nicholaus Machunda Wakulima  wa zao la…
19 February 2026, 13:03
Jeshi la zimamoto na uokoaji lapata mtambo wa kisasa
“Kuna wilaya zingine hazina hata gari la zimamoto la kisasa kama hili lenye uwezo mkubwa wa kubeba tani tano lakini sisi tumepata lazima tukatunze sana huo mtambo ili uwasaidie wananchi panapotokea changamoto ya moto tuweze kuzima ili kuzuia madhara kwa…
18 February 2026, 10:41
Watatu wanusurika kufa moto kufuatia nyumba kuungua Bariadi
“Kuna majanga ambayo hanaweza kuzuilika kama tu tukiwa na utamaduni wa kuangalia mara kwa mara mfumo wa umeme wa majumbani ili kutatua changamoto za kuunguliwa kwa nyumba.” Na,Daniel Manyanga Watu watatu wa mtaa wa Kidinda wilayani Bariadi mkoani Simiyu wamenusurika…
17 February 2026, 15:45
Baraza la madiwani Maswa lapitisha bil. 51 mwaka 2026/27
“Tunahitaji kuona miradi inayotekelezwa iwaguse moja kwa moja wananchi katika kuleta maendeleo kwenye maeneo yao ili kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja kutokana na shughuli anayoifanya”. Na,Daniel Manyanga Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu…