Sibuka FM
Sibuka FM
16 February 2026, 13:14
“Kwani sheria zetu zipo kwa ajili ya kumuhukumu nani kama kuna watu hadi leo wanatumia vibaya mamlaka na utajiri wao kuwaumiza wananchi wengine ambao hata hawana wanalolijuwa juu ya utajiri wako .” Na,Daniel Manyanga Hali ya wasiwasi na hofu kubwa…
13 February 2026, 15:21
“Tunamatumaini makubwa kutoka kwenu ya kuleta chachu ya mabadiliko ya tabianchi jamii ifahamu madhara yake na namna ya kukabiliana na mabadiliko hayo”. Na,Anita Balingilaki Mabadiliko ya tabianchi ambayo yamekuwa chanzo kikubwa cha kusababisha mafuriko na ukame kwenye maeneo mbalimbali yanatajwa…
13 February 2026, 12:52
“Hatutakuwa na uvumilivu kwa watendaji wazembe ambao watakuwa sehemu ya kukwamisha ukusanyaji wa mapato ya halmashauri tunataka ufanisi zaidi katika kukusanya mapato ili kurahisisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi”. Na,Daniel Manyanga Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya…
5 February 2026, 20:18
“Maendeleo bila watu hayo siyo maendeleo katika kujenga nchi yetu lazima kwanza tuhakikishe usalama wa wananchi maana hawa ndiyo walipa kodi za maendeleo ya taifa ukiona nchi inauchumi imara nyuma yake kuna watu na siyo wanyama”. Na,Daniel Manyanga Mtoto mmoja…
3 February 2026, 09:09
Utawala wa sheria ndio nguzo muhimu katika kuleta Ustawi na Maendeleo kwa Nchi, hivyo Mahakama ina mchango mkubwa ” Enos Missana Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Mkoani Simiyu imeunda kamati maalumu kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero na Migogoro mbalimbali ili…
26 January 2026, 14:13
Mji wetu wa Maswa ni mkubwa unahitajika usafi wa mara kwa mara, unapoitoa treka site hasa kipindi hiki cha mvua tunaweza kusababisha mlipuko wa magonjwa yanayotokana na uchafu wa mazingira- “Caroline shayo Mwenyekiti wa Mamlaka ya Mji Mdogo Maswa” Wajumbe…
21 January 2026, 05:58
“Elimu ni urithi pekee kwa mwanadamu ambao huwezi kupokomywa na mtu yeyote lakini pia kwa dunia ya sasa usipokuwa na elimu walau kidogo ni ngumu sana kufanikiwa maana siku hizi kila kitu kinahitaji elimu hivyo tuwapeleke watoto wakapate elimu maana…
20 January 2026, 12:26
“Tuweni na tabia ya kupima afya zetu mara kwa mara ili kuweza kujuwa hali zetu katika kukabiliana na changamoto zozote za kiafya hali hii itasaidia sana kupunguza magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama kisukari,presha na mengine”. Na,Daniel Manyanga Asilimia 34 ya…
14 January 2026, 20:04
“Tunahitaji kumaliza au kupunguza majanga ya moto kuunguza nyumba elimu pekee tu haitoshi lazima sasa tuweke mashariti magumu kidogo lakini kwa manufaa ya badae tunaweza kujenga majengo bila ushauri wa jeshi la zimamoto na uokoaji ni muda sasa wa kubadilika…
12 January 2026, 15:36
“Haiwezekani kila kukicha wakandarasi wazama kuilalamikia serikali kutowapatia miradi na badala yake wanawapatia tu wageni swali tu dogo ni lini wakandarasi hao wameomba na hawakupata je vigezo wanatimiza na wanatekeleza kwa ubora bila ya kuwa chenga chenga.” Na,Daniel Manyanga Naibu…
12 January 2026, 13:45
“Ndiyo kusema wakandarasi wanaojenga barabara za lami hawajui ni aina gani ya magari yanayotakiwa kutumia hiyo miundombinu au ndiyo kusema wanatimiza wajibu tu maana haiwezekani kila baada ya muda mchache tunaanza kuweka viraka hata barabara haijamaliza hata mwaka mmoja hapa…
12 January 2026, 12:50
“Kufuga mifugo siyo kufungo tunataka kuwaona wafugaji waone faida ya kuitwa mfugaji lazima sasa tutoke huko tuanze kufuga kwa tija ili waweze kuendesha maisha yao mazuri na familia zao ikiwemo elimu nzuri kwa watoto wao ,makazi mazuri .” Na,Daniel Manyanga …
18 December 2025, 12:34
“Vijana vijana vijana nawaita mara tatu tafuteni mali zenu za halali kwa kutoa nguvu, akili, uwezo uliopewa na Mungu achaneni kuanza kutamani urithi angali wazazi wako bado wapo hai hapo ni kuliaibisha kundi la vijana taifa la leo na kesho…
15 December 2025, 22:22
Kwa sasa mpira ni ajira hivyo vijana mcheze kwa malengo kwa kujituma na nidhamu ili mfikie malengo yenu ya kucheza mbali zaidi, Lakini pia nikupongeze sana Mkurugenzi wa Hospitali ya Barikiwa kwa kutekeleza azma ya serikiali kuhusu Ushirikiano na sekta…
24 November 2025, 11:41
Mahitaji ya damu katika Hospitali ya wilaya yetu ni makubwa ukilinganisha na upatikanaji wake, hivyo natoa wito kwa jamii kujitokeza kuchangia damu ili kuokoa maisha ya watanzania wenzetu. ” Peter Shimba Mratibu wa damu salama hospitali ya wilaya ya Maswa…
23 November 2025, 15:07
Tunatoa mafunzo kwa wakulima na wafugaji tuliowachagua kutoka wilaya tofauti za mkoa wa simiyu tunawafundisha namna ya kutunza uoto wa asili na kupanda miti (ngitili ) kwa ajili ya malisho ya mifugo yao.. “Raymond Makanga- SCRP “ Serikali Mkoa wa …
21 November 2025, 20:51
Wataalamu wa kilimo sitaki kuwaona maofisini nataka niwakute mashambani mkiwasaidia wakulima kuzalisha kwa tija ili kuondokana na malalamiko ya kushuka kwa bei ya pamba angalau mkulima azalishe kilo elfu moja kwa ekari Moja ” DC Vicent Naano Anney ” Msimu…
21 November 2025, 12:45
“Amani ya nchi ndiyo msingi wa maendeleo katika taifa lolote lile amani ikikosekana hapo maendeleo hakuna maana hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kufanya shughuli za uchumi muda huo anawaza kukimbia machafuko mfano mzuri tu angalia miji kama Goma,Kivu ni miji…
19 November 2025, 11:00
“Kwa nini kila kukicha tunaimba uzalendo uzalendo kwa watumishi wa umma nini kimekosekana mpaka tunaanza kukumbushana kwani wao hawajui maana ya neno la uzalendo au wao wanalijuwa kulisoma tu lakini kwenye vitendo ni hakuna ukiona hivyo juwa kuna kitu hakipo…
18 November 2025, 12:25
“Uzuri wa jengo kipya la makao makuu ya halmashauri ya wilaya ya Maswa ukatoe utendaji mzuri kwa watumishi wa umma katika kuwahudumia wananchi ili kutoa tafsiri sahihi ya uzuri wa jengo na kuleta tabasamu kwa wakazi wa wilaya”. Na,Daniel Manyanga …
Establishment Â
Radio SIBUKA FM was incorporated as SIBUKA FM LIMITED in April 2004 and went on air on 5th July 2004 from its base station at Maswa, now SIMIYU Region (formerly Shinyanga, Tanzania). TV SIBUKA went on air on November 18th, 2010 through Star Times Media Multiplex.
The Objective
To feature public-demanding TV programs that captivate the minds of viewers of all ages, fulfilling the needs of society at large. TV programs ranging from news, commercials, soaps, drama series, family entertaining movies, bongo movies, Western movie hits, sports, knowledge, gospel, documentaries, talk shows, reality TV, and music including Western country music, which target all market segments.Â
Region Coverage(Sibuka Fm)
 Radio Sibuka FM hears  about  95 percent of the Simiyu region through the frequency of  97.0 MHz from the Maswa district  as well as neighboring areas of the Simiyu region while being listened to by more than Six hundred thousand people, according  to a study conducted in 2016 by Star Times Media  Multiplex
National Coverage (Sibuka Fm)
Radio SIBUKA FM coverage (approximately 75% of the mainland Tanzania territory) extends from its Maswa base station (97.0 Mhz) to ten (10) booster stations across the country. These include Shinyanga (104.9 Mhz), Bukoba ( 92.6 Mhz), Mwanza (95.5 Mhz), Dar es Salaam (94.5 Mhz), Kigoma ( 97.6 Mhz ), Mbeya ( 97.6 Mhz), Mtwara ( 96.2 Mhz), Dodoma (92.0 Mhz) and Arusha (104.6 Mhz ), and Geita (96.2 Mhz) and is listened to by more than 5 million people on the Tanzania Mainland, according to a study conducted in 2016 by Star Times Media Multiplex