Recent posts
14 July 2023, 9:14 am
Mpango uboreshaji matumizi ya ardhi, milki kuondoa migogoro ya ardhi Masw…
Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi na Mpango wa Matumizi bora ya Ardhi Wilayani Maswa, Mkoani Simiyu Utaenda kuondoa Changamoto ya Migogoro ya Ardhi kwa Wananchi Na Nicholaus Machunda Imeelezwa kuwa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi na Mpango wa …
13 July 2023, 4:02 pm
Waziri Ummy:Â Sitarajii kusikia wananchi wanalalamikia dawa
Serikali mkoani Simiyu kuendelea kuboresha utoaji wa huduma za afya ili kupunguza malalamiko ya wananchi na wagonjwa mkoani hapa. Na Alex Sayi Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa hatarajii kuona wananchi na wagonjwa wakilalamikia uhaba wa dawa  kwa…
11 July 2023, 8:08 pm
Maswa:Mwanri atolea ufafanuzi kuporomoka kwa bei ya zao la Pamba Nchini.
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu imeweza kuvuka lengo la uzalishaji wa zao la Pamba kwa msimu wa mwaka 2022/2023 kwa kuzalisha kwa zaidi ya 106.35% ya uzalishaji uliotarajiwa. Na,Alex Sayi. Balozi wa zao la Pamba Nchini Agrey Mwanri…
10 July 2023, 3:22 pm
Sibuka Fm: Kongole TADIO, Vikes kwa elimu ya kutangaza kidijitali
Waandishi wa habari wa kituo cha Radio Sibuka Fm wamepatiwa mafunzo ya kuandaa na kutangaza habari za mtandao ili kuendana na kasi ya ushindani wa teknolojia, mafunzo yaliyofanyika katika ofisi za Sibuka Fm zilizopo mjini Maswa mkoani Simiyu. Na Nicholaus…
4 July 2023, 5:18 pm
Waandishi Redio Jamii wapigwa msasa ushindani habari za mtandaoni
Na,Alex Sayi Waandishi wa habari na wahahiri wa Redio Jamii mikoa ya Kanda ya Ziwa wameshauriwa kuendana na mabadiliko ya uandaaji wa habari zenye ushindani kwenye mitandao ya kijamii. Paschal Malulu mshiriki wa mafunzo toka Kahama Shinyanga amezungumzia umuhimu wa…
4 July 2023, 3:00 pm
Mwezi wa Afya na Lishe
Wazazi wameaswa kuwapeleka watoto wote kupata dawa za minyoo na matone ili kuwakinga na magonjwa yanayotokana na upungufu wa lishe. Afisa lishe amesema hayo wakati akitoa elimu kwa Jamii katika mwezi wa Afya na lishe zoezi linalofanyika mara mbili kwa…
4 July 2023, 11:37 am
Mawakala wa usafirishaji  waitaka halmashauri kuboresha stendi Maswa
Na Nicholaus Machunda Mwenyekiti wa Umoja wa Mawakala wa Usafirishaji mjini hapa ameutaka uongozi wa halmashauri wilayani Maswa mkoani Simiyu kuhakikisha wanaboresha miundombinu maeneo ya stendi mpya. Suala la usafi ni wajibu wa kila mtu Baadhi ya wafanyabiashara wanaofanya biashara…
1 July 2023, 3:54 pm
Maswa: Ng’ombe 126, kondoo 68 sadaka ya kuchinja Eid Al Hajj
Kwenye picha ni Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu(BAKWATA) wilayani Maswa, Maulid Mlete mwenye kanzu akimkabidhi Bi.Salima Kimazi sadaka ya nyama ya ng’ombe wakati wa utoaji wa sadaka ya kuchinja katika kusherekea sikukuu ya Eid Al Hajj Na Mwandishi, Daniel…
28 June 2023, 7:01 pm
Maswa: Wajane waaswa kuchangamkia fursa 10% mikopo ya halmashauri
Kwenye picha ni mkuu wa wilaya ya Maswa Mhe. Aswege Kaminyoge aliyesimama akizungumza na baadhi ya akina mama wajane walioshiriki maadhimisho ya wajane wilayani hapo kwenye ukumbi wa mikutano Na Mwandishi,Alex.F.Sayi WANAWAKEÂ Wajane wilayani Maswa mkoani Simiyu wameaswa kuchangamkia fursa za…
24 June 2023, 6:24 pm
Simiyu: Watu 37 mikononi mwa jeshi la polisi kwa makosa mbalimbali
Kwenye picha ni Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Simiyu ACP,Edith.M.Swebe akizungumza na Waandishi wa habari mkoani hapo Na mwandishi,Daniel Manyanga Jeshi la Polisi mkoa wa Simiyu limewatia mbaroni Watu (Watuhumiwa) 37 kwa makosa mbalimbali yakiwemo ya Ulawiti,Wizi ,Uvunjaji…
22 June 2023, 7:13 pm
Maswa: RC aagiza hoja zote za CAGÂ zifungwe
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Dkt Yahaya Nawanda ameuagiza uongozi wa wilaya ya Maswa kuhakikisha wanafunga hoja zote za Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali (CAG) zilizotolewa baada ya kufanya ukaguzi wa fedha kwa mwaka wa fedha 2021/2022. Dkt…
22 June 2023, 6:50 pm
Mfumo wa mlipakodi kidijitali kurahisisha upatikanaji namba mlipa kodi mkoani Si…
Na, Alex Sayi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Simiyu imesema kuwa tangu kuanzishwa kwa huduma ya mlango kwa mlipa kodi (Taxpayer Portal) imerahisisha upatikanaji wa namba ya mlipa kodi (TIN) kwa wananchi. Akizungumza na Sibuka Fm  Benjamini John Afisa Elimu…
22 June 2023, 2:15 pm
Maswa: Zaidi ya wananchi Mia Tatu wamepata chanjo ya covid-19 wilayani Maswa mko…
Kwenye picha  ni mkuu wa kitengo cha Usafi,Afya na Mazingira wilaya ya Maswa ,Budodi Walwa akimpatia chanjo ya Covid-19 mmoja wa wananchi wilayani hapo Na Alex.F.Sayi. Zaidi ya Wananchi Mia Tatu Wilayani Maswa Mkoani Simiyu  wamepata chanjo ya Covid-19 kufuatia mpango…
2 June 2023, 7:16 pm
Miradi mitatu iliyochunguzwa na Takukuru Simiyu yakutwa  na dosari
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa mkoa wa Simiyu  imebaini kuwa miradi 3 kati ya 14 yenye thamani ya zaidi ya bilioni 1 iliyofuatitiliwa  imebainika kuwa  na dosari katika utekelezaji  wake . Akitoa taarifa katika kipindi cha robo ya …
22 May 2023, 12:30 pm
Halmashauri Kuu CCM wilaya Maswa yaridhishwa utekelezaji ilani ya cham…
Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Maswa imeridhishwa na utekelezaji wa ilani ya CCM ya mwaka 2020-2025. Akitoa taarifa kwa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, mkuu wa wilaya ya Maswa Mhe, Aswege Kaminyoge amesema kuwa katika kutekeleza ilani ya …
18 May 2023, 4:16 pm
Maswa: Zaidi ya wananchi laki mbili wamepata chanjo ya covid-19
Kwenye ni mkuu wa kitengo cha Usafi na Mazingira wilaya ya Maswa ,Budodi Walwa akimpatia chanjo ya Covid-19 mmoja wa wananchi wilayani hapo Na Alex.F.Sayi. Zaidi ya Wananchi laki mbili Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamepata chanjo ya Covid-19 kufuatia mpango…
18 May 2023, 7:08 am
Maswa: Elimu ya chanjo ya Uviko-19 bado inahitajika sana kwa jamii
Kwenye picha ni mmoja wa wananachi wa wilaya ya Maswa akionesha cheti chake baada ya kupata chanjo ya Covid-19 Na Alex.F.Sayi Wananchi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu, wamewashukuru wadau wa afya  Internews na Tadio katika mapambano ya ugonjwa wa Korona kwa kuwakumbusha…
6 May 2023, 8:32 am
Maswa:Â Ukosefu wa miundombinu bora katika Stund ya bus halmashauri ni chanzo.
Na Alex.F.Sayi UMOJA wa Mawakala wa Usafirishaji Stund Mpya iliyopo wilayani Maswa Mkoani Simiyu wameulalamikia uongozi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kwa ubovu wa miundombinu katika stund hiyo licha ya kutozwa ushuru kwa kila gari inayoingia hapo. Akizungumza na Sibuka…
28 April 2023, 7:33 am
DC Maswa awataka wananchi kupisha mradi wa umeme
Alex F. Sayi Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mhe. Aswege Kaminyoge amewataka wakazi Wilayani hapo wanaopitiwa na Mradi wa umeme toka Ibadakuli Mkoani Shinyanga hadi Bariadi Simiyu wenye msongo wa Kilovoti 220 kuachia maeneo yao kwaajili ya utekelezaji…
20 April 2023, 9:34 am
Dc Maswa Aswege  Kaminyoge atoa Maagizo Mazito kuhusu chanjo …
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mhe Aswege Kaminyoge ametoa Maagizo kwa Wafugaji Wote kupeleka Mifugo yao kwenda kuchanja Sehemu ambazo zimeandaliwa na kijiji husika ili kujikinga na Magonjwa hatari ya Mifugo. Sauti ya DC Maswa Aswege kaminyoge kuhusu …