Sibuka FM

Recent posts

13 December 2023, 1:37 pm

Kanisa kushiriki ujenzi wa makaravati Maswa

Zaidi ya  Sh.Mil,15 kutumika kufanya Ujenzi wa Karavati(3)kwenye baadhi ya mitaa  Wilayani Maswa Mkoani Simiyu. Na Alex Sayi Kanisa la Repentence Pentacost Mission Church of Tanzania (RPMT) limekabidhi karavati moja lenye gharama ya  zaidi ya Sh.Mil 5 kati ya madaraja…

11 December 2023, 6:56 pm

Maswa:Wanawake bado niwaathiria wa vitendo vya  ukatili wakijinsia.

Takwimu zimeonyesha kuwa bado kuna idadi kubwa ya wanawake wanaofanyiwa ukatili wa kijinsia Wilayani Maswa Mkoani Simiyu. Na Alex Sayi. Imebainishwa kuwa Wanawake Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wameendelea kuwa waathirika wa vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa mujibu wa Takwimu…

6 December 2023, 8:27 pm

Jaccafo yafanya maadhimisho ya watu wenye ulemavu Maswa

Jamii wilayani Maswa imeaswa kuwafichua watoto wenye ulemavu waliofungiwa majumbani ili waweze kuzifikia ndoto zao kielimu, kiuchumi  na kijamii. Na Alex Sayi Shiriki lisilo la kiserikali la Juniors and Child Care Foundation (JACCAFO) limefanya maadhimisho ya siku ya walemavu Duniani…

2 December 2023, 7:44 am

Kamati ya siasa Maswa yaridhishwa utekelezaji miradi ya maendeleo

Kamati  ya Siasa ya  chama  cha  Mapinduzi   (CCM) Wilaya  ya  Maswa  ikiongozwa  na  Mwenyekiti wa  Chama  hicho   Ndugu  Onesmo   Makota Imetembelea   na  Kukagua  Miradi  mbalimbali  ya  Maendeleo inayotekelezwa  katika  Jimbo  la  Maswa  Magharibi. Miradi  iliyotembelewa  na  kukaguliwa  na  Kamati  hiyo …

28 November 2023, 2:55 pm

Maswa: Wazazi waaswa kuwasomesha watoto elimu ya ufundi

Wazazi waaswa kuwasomesha Watoto wao Elimu ya Ufundi ili kukabiliana na obwe la ukosefu wa ajira uliopo Serikalini kwa hivi sasa. Na,Alex Sayi. Mbunge wa Jimbo la Maswa Magharibi Mashimba Ndaki amewaasa wazazi/walezi kuwasomesha watoto wao Elimu ya Ufundi ili…

19 November 2023, 5:37 pm

CCWT kuanza usajili wafugaji kwa njia ya kielektronik

Chama Cha Wafugaji Taifa (CCWT) ziarani nchi nzima kuhamasisha wafugaji kujisajili kwa njia ya kielektronik ili wafugaji hao wawe na chombo cha kuwaunganisha na kutatua matatizo yao. Na Alex Sayi. Chama Cha Wafugaji Taifa kimeendelea na ziara nchi nzima kwa…

19 November 2023, 4:58 pm

RUWASA yakabiliwa na uhaba wa vitendea kazi, wataalam

(RUWASA) ndani ya miaka miwili ya utawala wa awamu ya sita wa Rais Samia Suluhu imefanikiwa kutoa huduma ya maji vijijini kwa asilimia 74. Na Alex Sayi Wakala wa Maji Safi na Mazingira Vijijini wilayani Maswa mkoani Simiyu RUWASA umebainisha…

19 November 2023, 4:37 pm

Madiwani Maswa wakerwa na majibu ya TARURA

 TARURA wilayani Maswa mkoani Simiyu inayohudumia mtandao wa barabara wenye jumla ya Km 184.2 na iliyofikia 77% ya Barabara zinazopitika kwa nyakati zote za msimu sawa na km 837.39 imelalamikiwa kwakushindwa kupeleka   kwa wakati wakandarasi kwenye baadhi ya Barabara Wilayani…

16 November 2023, 8:38 pm

DC Maswa atekeleza agizo la Makonda, akabidhi ng’ombe 20

Na Nicholaus Machunda Mkuu  wa   wilaya  ya  Maswa  mkoani  Simiyu Mh.  Aswege  Kaminyoge   ametekeleza   agizo  lililotolewa   na   Katibu  wa  NEC  Itikadi,  Uenezi  na  Mafunzo Paul  Makonda  akiwa  katika ziara  yake  wilayani  Busega  la  kumkabidhi   Felister  Jayunga   mama  aliyeibiwa  ng’ombe   wake. Mwenyekiti …

16 November 2023, 8:22 pm

DC Maswa aonya  wanaohujumu miundombinu ya maji

Na Nicholaus Machunda Mkuu  wa wilaya  ya  Maswa mkoani  Simiyu   Mh,  Aswege  Kaminyoge  ameonya wananchi  wanaohujumu miundombinu ya maji  yanayotoka  Ziwa Viktoria  kuja  kata  ya Sengwa  iliyopo wilayani   hapa  kupitia wilaya ya Kishapu. Mh  Kaminyoge  amesema  hayo  wakati Kamati  ya  Ulinzi  na  Usalama  ya wilaya ilipotembelea mradi  huo ambao  umekuwa ukihujumiwa  mara  kwa  mara …

13 November 2023, 4:58 pm

Kamati ya bunge yaridhishwa mradi hatimiliki Maswa

Mradi wa uboreshaji usalama wa milki za ardhi vijijini unaotekelezwa na halmashauri ya wilaya ya Maswa mkoani Simiyu unatarajia kutoa hatimiliki 100,000 kwa wananchi. Na Alex Sayi Kamati ya kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii imeridhika na utekelezaji wa…

13 November 2023, 9:24 am

Serengeti safari marathon kuunga mkono royal tour

Mamia ya watanzania wajitokeza kushiriki mbio za Serengeti Safari Marathon kuunga mkono juhudi za Rais Samia za Royal Tour. Na Alex Sayi Mkuu wa wilaya ya Bunda mkoani Mara Vicent Naano amesema kuwa mbio za Serengeti Marathon zinaendelea kuunga mkono…

1 November 2023, 11:52 am

18 wagundulika na kipindupindu Maswa,  mmoja afariki dunia

Na Nicholaus Machunda Watu  18 wamegundulika  na  ugonjwa  wa  kipindupindu wilayani  Maswa  mkoani  Simiyu  huku  mmoja akifariki dunia  kutokana  na  ugonjwa  huo. Hayo  yamesemwa  na  Mratibu  wa  Elimu  ya  Afya  kwa  Umma   Halmashauri  ya  Wilaya  ya  Maswa  Bi, Salma  Mahizi  wakati …

26 October 2023, 5:48 pm

Maswa:Kinamama waaswa kuchangamkia fursa za ufugaji wa samaki

Kinamama toka jamii za wafugaji wameaswa kujiunga na chama cha wafugaji ili waweze kujikwamua kiuchumi. Na Alex Sayi. Chama cha wafugaji Wilayani Maswa Mkoani Simiyu kimetoa wito kwa wanawake wanaoishi kwenye jamii za wafugaji kuchangamkia fursa za ufugaji wa Samaki…

8 October 2023, 9:24 am

CCWT, benki kuingia makubaliano ya kukopesha wakulima, wafugaji

Vijana wasomi nchini wametakiwa kubadili fikra za kuendelea kusubiri kuajiriwa serikalini na badala yake wachangamkie fursa za ajira  zaidi ya 500,000 zilizopo kwenye sekta ya kilimo na ufugaji. Na Alex Sayi Chama Cha Wafugaji Tanzania CCWT kimebainisha kuwa kinaendelea na…

6 October 2023, 7:30 am

Mwashegeshi wamkataa afisa mtendaji wa kijiji

Maafisa watendaji wa kata wilayani Maswa wametakiwa kuitisha vikao vya vitongoji, vijiji na kata vilivyopo kisheria ili kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Na Alex Sayi Maswa Simiyu Wananchi na wakazi wa kijiji cha Mwashegeshi kata ya Nguliguli wamemuomba mkuu…

18 August 2023, 10:05 am

Takukuru  Simiyu  yaokoa  milioni 500 za  mfanyabiashara

TAKUKURU mkoa wa Simiyu imeokoa mamilioni ya fedha za mfanyabiashara ambaye mali zake zingepigwa mnada kwa bei ya kutupwa. Na Nicholaus Machunda Taasisi  ya  Kuzuia  na  Kupambana  na  Rushwa nchini TAKUKURU mkoa  wa  Simiyu  imefanikiwa  kudhibiti  upotevu  wa  zaidi ya  Shilingi …

Sample Page

This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:

Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)

…or something like this:

The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.

As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!