Recent posts
8 September 2026, 17:50
Kikosi kazi chapitisha mpango wa kukomesha biashara haramu ya binadamu
“Hakuna aliye juu ya sheria za nchi kila mtu yupo chini sheria na katiba ya nchi hivyo biashara haramu lazima zikomeshwe kwa namna yoyote ile katika jamii zetu na wahusika wachukuliwe hatua kali zaidi za kisheria “. Na ,Anita Balingilaki…
23 August 2026, 06:19
Magereza waacha tabasamu kwa watoto njiti
“Magereza siyo sehemu ya mateso kama ambavyo watu wengi wamekaririshwa na baadhi ya watu hapa ukija kama mfungwa siku unaachiwa unatoka na ujuzi ambao utakusaidia huko maana yake hii ni sehemu kurekebisha tabia na kupatiwa ujuzi”. Na Daniel Manyanga Katika…
21 August 2026, 20:45
Watoto wawili wa familia moja wafariki kwa kifusi, mmoja aokolewa
Mzazi ni mlinzi wa kwanza kwa watoto katika kuhakikisha yupo salama sasa haiwezekani mzazi hujuwi mwanao anashinda wapi na anacheza katika mazingira yapi”. Na,Daniel Manyanga Watoto wawili wa familia moja waliokuwa wakiishi katika mtaa wa mji wa zamani kata na wilaya…
21 August 2026, 14:26
Miaka 20 ya polisi jamii yaacha faraja kwa wagonjwa Maswa
“Wananchi wasituone kama maadui wao kama wanavyotafsiri watu wengine polisi na raia ni ndugu hakuna utofauti wowote hata polisi ni kazi tu lakini kuna siku atasitaafu kazi na kurudi kwenda kuishi na wananchi wa kawaida”. Na,Daniel Manyanga Katika kuadhimisha miaka…
19 August 2026, 22:36
Mtoto wa miaka 5 auawa kikatili Maswa, walidai mil 7 kumwachia
“Ndiyo kila nafsi itaonja mauti lakini kifo cha Samike kimezua simanzi katika kijiji cha Gulumwashi huku wananchi wakisubiri matokeo ya uchunguzi wa polisi na hatua za kisheria dhidi ya watuhumiwa waliokamatwa”. Na,Daniel Manyanga Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka…
19 August 2026, 06:08
DC Simalenga atangaza usafi wa mji, ataka kuundwa vikundi
“Tunahitaji kuuweka mji wetu katika mazingira ya usafi ili kulinda heshima tuliyopewa ya mji hivyo kila mtumishi wa umma na wananchi kwa ujumla tunao wajibu wa kuufanya mji wetu kuwa safi majira yote na hii itasaidia sana katika mapambano ya…
8 August 2026, 13:51
Wito umetolewa kwa makanisa kuhubiri upendo kwa wajane
“Tunahitaji kutiana moyo kwa mambo yote ili kuendelea kulitangaza neno la Mungu kwa mataifa yote bila kujali hali zetu za kimwili”. Na,Daniel Manyanga Wito umetolewa kwa kanisa la waadventista wasabato nchini kuwatambua wamama wajane(wamama majasiri) kwa kuwasaidia vitu mbalimbali ikiwa…
8 August 2026, 12:51
54 wabatizwa makambi ya mtaa wa Luguru Ginnery Itilima
“Matamanio yetu ni kuona watu wanabadili nia na kumgeukia Mungu maana mambo ya kidunia mara nyingi mwisho wake huwaga ni mbaya sasa ni muda mwafaka wa kuihubiri injili ya Bwana kwa watu wote”. Na Daniel Manyanga Watu 54 wamebatizwa katika…
30 July 2026, 17:15
Vijana wapatiwe elimu ya mikopo, DC Simalenga
“Tunahitaji kuona kundi la vijana wanajisimamia wao kiuchumi na siyo kuanza kulaumu serikali kwamba haitoi ajira wakati tayari serikali kupitia halmashauri kuna asilimia kumi ya mapato ya ndani inawasubiri wao ili kujikwamua kiuchumi kupitia vikundi”. Na Daniel Manyanga Mkuu wa…
27 July 2026, 13:47
DC Simalenga ataka kukamilika kwa sekondari kabla ya Januari 2027
“Kila mtu anahaki ya kupata huduma bora bila kujali itikadi zao ili kufikia malengo yake tumetengeneza miundombinu bora nchini kwa kila sekta”. Na,Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, Simon Simalenga amemwagiza mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya…
27 July 2026, 13:13
23 kizimbani kwa kesi ya ugaidi Mwanza
“Tunahitaji nchi ya amani ili kila mtu aweze kufanya shughuli zake za maendeleo bila kuwa na hofu sasa wanapotokea watu au kikundi wanapanga njama ovu hakuna aliye juu ya sheria lazima sheria ichukuwe nafasi yake”. Na,Daniel Manyanga Watu 23 wamepandishwa…
15 July 2026, 06:32
Simiyu kukabiliana na biashara haramu ya binadamu
“Hakuna mtu aliye juu ya sheria ambaye anafikiria atasalimika na mkono wa serikali kutokana na biashara haramu ambazo anafanya tutahakikisha tunathibiti kwa nguvu zote ili kukomesha usafirishaji haramu wa binadamu”. Na, Anita Balingilaki Katika kuhakikisha kuna kuwepo uthibiti wa usafirishaji…
5 June 2026, 22:19
Wenyeviti wa vitongoji Maswa walia na TARURA ubovu wa barabara
Kila mmoja akitimiza wajibu wake katika kufanya kazi hautakuwa na migogoro yoyote, Lakini kwasababu tunafanya kazi kwa matakwa ya watu fulani ndio maana inafikia hatua ya mizozo kama hii ” Bi Caroline Shayo -Mwenyekiti wa mamlaka ya mji mdogo Maswa”…
22 May 2026, 18:02
Mwarobaini kwa wanaochezea mizani ya kupimia pamba wapatikana
Hatutawavumilia viongozi wote watakaofanya udanganyifu wa uchezea (kuchakachua) mizani kwa lengo la kuwaibia wakulima, Lakini pia hatutawavumilia wakulima wataoharibu pamba kwa kuweka Maji, mchanga au Mafuta ya kenge hatua kali za kisheria zitachukuliwa ikiwemo kufungwa Jela. “Ndinda Antony – Mkaguzi…
20 May 2026, 00:23
Viongozi wa Amcos  na  BBT wafundwa kuhusu usafi na Ubora wa Pamba
Kwasasa wilaya ya Meatu tumepiga marufuku uvunaji wa pamba kwa kutumia vikundi vya ngoma na muziki maana havizingatii kanuni bora za pamba hali inayosababisha uchafuzi wa pamba wakati wa uvunaji ” Thomas Shilabu afisa kilimo wilaya ya Meatu. Viongozi wa…
12 May 2026, 19:02
Huu hapa mkakati wa seriali katika kuinua zao la pamba
Lazima mkulima ashiwe mkono kama mtoto mdogo anavyoshikwa mkono wakati wa kuvukishwa barabarani, ndio maana serikali inamhudumia kuanzia pembejeo hadi kwenye masoko, tunatamani heshima ya pamba urudi. ” Agrey Mwanri -balozi wa pamba tanzania “ Imeelezwa kuwa Serikali ya awamu…
12 May 2026, 18:00
Serikali yatangaza bei elekezi ya pamba, wakulima watoa ya moyoni
Yamezungumzwa mengi na watangulizi wangu lakini naomba nikuongezee machache mgeni rasmi kuwa hapa Igunga kutajengwa kiwanda kiubwa cha kuchakata pamba kabla ya mwaka huu haujaisha maana tayari tumeshapata eneo “Renatus Luneja Mkurugenzi mkuu wa Bodi ya pamba Tanzania-TCB “ Serikali …
5 May 2026, 00:16
Chanjo ya polio kutolewa nyumba kwa nyumba Maswa
Zoezi hili ili lifanikiwe liwashirikishe hadi viongozi wa ngazi za chini kama vile wenyeviti wa vijiji na Vitongoji na mabalozi ili kuondoa upotoshaji unaojitokeza ” Mhe Anna Gidarya -Kaimu DC Maswa “ Zoezi la Utoaji wa Chanjo ya Polio awamu…
22 April 2026, 08:04
“Wachimbaji wadogo wa madini tumieni mifumo rasmi ya kifedha”
“Tumieni mifumo rasmi ya kifedha ili kuongeza thamani na kuweza kupata mikopo kwa urahisi kutokana na utunzaji wa kumbukumbu wa kifedha kwenye mifumo ya kidigitali na hii itatusaidia kujuwa kipato na matumizi katika shughuli zetu za uchimbaji wa madini”. Na,Daniel…
17 April 2026, 16:26
Simiyu kuandika historia ya umeme Mei 30
“Tunahitaji kuwa na umeme wa uhakika ambao hauwezi kuwa kikwazo hasa kwa wafanyabiara na wajasiriamali ambao shughuli zao zinahitaji nishati hiyo bila kukatika mara kwa mara ili waweze kujiongezea kipato zaidi”. Na Daniel Manyanga Wakazi wa mkoa wa Simiyu wameiomba…