Recent posts
18 May 2023, 4:16 pm
Maswa: Zaidi ya wananchi laki mbili wamepata chanjo ya covid-19
Kwenye ni mkuu wa kitengo cha Usafi na Mazingira wilaya ya Maswa ,Budodi Walwa akimpatia chanjo ya Covid-19 mmoja wa wananchi wilayani hapo Na Alex.F.Sayi. Zaidi ya Wananchi laki mbili Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamepata chanjo ya Covid-19 kufuatia mpango…
18 May 2023, 7:08 am
Maswa: Elimu ya chanjo ya Uviko-19 bado inahitajika sana kwa jamii
Kwenye picha ni mmoja wa wananachi wa wilaya ya Maswa akionesha cheti chake baada ya kupata chanjo ya Covid-19 Na Alex.F.Sayi Wananchi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu, wamewashukuru wadau wa afya  Internews na Tadio katika mapambano ya ugonjwa wa Korona kwa kuwakumbusha…
6 May 2023, 8:32 am
Maswa:Â Ukosefu wa miundombinu bora katika Stund ya bus halmashauri ni chanzo.
Na Alex.F.Sayi UMOJA wa Mawakala wa Usafirishaji Stund Mpya iliyopo wilayani Maswa Mkoani Simiyu wameulalamikia uongozi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kwa ubovu wa miundombinu katika stund hiyo licha ya kutozwa ushuru kwa kila gari inayoingia hapo. Akizungumza na Sibuka…
28 April 2023, 7:33 am
DC Maswa awataka wananchi kupisha mradi wa umeme
Alex F. Sayi Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mhe. Aswege Kaminyoge amewataka wakazi Wilayani hapo wanaopitiwa na Mradi wa umeme toka Ibadakuli Mkoani Shinyanga hadi Bariadi Simiyu wenye msongo wa Kilovoti 220 kuachia maeneo yao kwaajili ya utekelezaji…
20 April 2023, 9:34 am
Dc Maswa Aswege  Kaminyoge atoa Maagizo Mazito kuhusu chanjo …
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mhe Aswege Kaminyoge ametoa Maagizo kwa Wafugaji Wote kupeleka Mifugo yao kwenda kuchanja Sehemu ambazo zimeandaliwa na kijiji husika ili kujikinga na Magonjwa hatari ya Mifugo. Sauti ya DC Maswa Aswege kaminyoge kuhusu …
19 April 2023, 5:33 pm
“Changamkieni Fulsa za Udhamini wa Mikopo kutoka PASS TRUST ili Mjik…
Wananchi Mkoani Simiyu wameaswa kuchangamkia Fulsa za Udhamini wa Mikopo ya hadi Asilimia 80% katika Miradi inayochochea Ukuaji wa Uchumi wa Kijani katika Sekta ya Kilimo, Mifugo na Mazao ya Misitu. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mh,…
15 April 2023, 8:10 pm
Father  Mashenene atoa Msaada wa Baiskeli za walemavu  S/Msingi …
Baba Paroko wa Parokia ya Malampaka Jimbo la Shinyanga Padre Renatus Mashenene ametoa msaada wa Baiskeli mbili za Walemavu kwa shule ya Msingi Malampaka iliyopo Wilayani Maswa Mkoani Simiyu ili kuunga mkono Jitihada za Serikali ya awamu ya sita ya …
13 April 2023, 4:44 pm
Maswa: Vikundi 82 kufikishwa mahakamani kwa kushindwa kurejesha mikopo.
NA,ALEX.F. SAYI Vikundi 82 vya Wanawake,Vijana na Walemavu vimeendelea kufikishwa Mahakamani na Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kwa kushindwa kurejesha zaidi ya Sh.Mil,129.9 walizokopeshwa na Halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha 2021/2022 Akizungumza na Sibuka Fm, Mwenyekiti wa halmashauri ya…
13 April 2023, 4:23 pm
Maswa:RUWASA Wananchi tumieni maji yanayotoka kwenye vyanzo vilivyoboreshwa.
Na,Alex.F.Sayi Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini Wilayani Maswa Mkoani Simiyu (RUWASA)imewaasa wakazi Wilayani hapa kutumia Maji kwenye vyanzo vilivyoboreshwa ili kuepuka magonjwa ya mlipuko. Akizungumza na Sibuka fm, Meneja wa RUWASA Wilayani Maswa Mhandisi Lucas Madaha amesema…
30 March 2023, 5:39 pm
Maswa: Wakazi wa mji wa Malampaka walalamikia mgao wa maji
Na Alex.F.Sayi Wakazi zaidi ya elfu ishirini na nne wa Mji wa Malampaka Wilayani Maswa Mkoani Simiyu,wanakabiliwa na adha ya mgao wa maji unaotokana na upungufu wa maji safi na salama mjini hapo. Akizungumza na Sibuka fm redio Diwani wa…
26 March 2023, 7:20 pm
Maswa: Waziri mkuu Mhe.Kassim Majaliwa awataka watumishi wa serikali kutumia sik…
Na Alex.F.Sayi Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Kassim Majaliwa amewataka watumishi wa Serikali ngazi ya Mkoa na Wilaya kutumia siku nne za kazi kuwahudumia wananchi hasa wa Vijijini na sio kukaa maofisini wakisubiria ziara za viongozi wa…
25 March 2023, 9:26 pm
Waziri Mkuu Majaliwa aonya Matumizi ya Fedha mbichi kwenye Halmashauri
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Kasimu Majaliwa amezionya Halmashauri zinazotumia Fedha za Makusanyo ya ndani kabla ya kuziweka kwenye Mifumo ya Kibenki. Mhe Majaliwa ametoa Onyo hilo leo mjini Bariadi wakati akiongea na baadhi ya Watumishi…
24 March 2023, 7:49 pm
SIMIYU:watu (71) hufariki kila siku kati ya vifo 25,800 kwa mwaka kwa ugonjwa w…
Na Alex.F.Sayi. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania Mhe.Kasimu Majaliwa Majaliwa amesema kuwa kwa siku wagonjwa (71)hufariki kwa Ugonjwa wa Kifua Kikuu kati ya vifo (25,800) vilivyogundulika  kwa mjibu wa Takwimu za mwaka 2022. Hayo ameyasema kwenye Maadhimisho ya siku…
24 March 2023, 8:04 am
Kati ya vifo (100) wilayani Maswa vifo (7) Â kati ya hivyo vinatokana na magonjw…
Na Alex .F.Sayi Imeelezwa kuwa kati ya vifo miamoja Wilayani Maswa Mkoani Simiyu ,vifo Saba kati ya hivyo vinatokana na Magonjwa yasiyokuwa ya kuambukiza ikiwa ni sawa na asilimia (6.7%) ya vifo vyote Wilayani hapa. Hayo yamesemwa na Afisa Lishe…
21 March 2023, 12:47 pm
Wanaoishi maisha duni hatarini kupata ugonjwa wa kifua kikuu
Imeelezwa kuwa Jamii inayoishi katika Makazi Duni ipo hatarini kuugua Ugonjwa wa Kifua kikuu kutokana na hali zao za Maisha na Mfumo wa Maisha wanayoishi.. Hayo yameelezwa na Mratibu wa Mapambano dhidi ya Kifua Kikuu kutoka Muungano wa Wadau wa…
14 March 2023, 5:20 pm
WAKAZI ZAIDI YA Â 120,000 WILAYANI MASWA MKOANI SIMIYU HAWAJACHANJA CHANJO YA CO…
Na Alex Faida Sayi. Halimashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu kupitia wataalamu wa Afya na waratibu wa chanjo Wilayani hapo imejipanga kuhakikisha inawafikia  wakazi zaidi ya   (120,000) ambao hawakuweza kuchanja chanjo ya  Covid 19,tangu zoezi hilo lilipoanza kutekelezwa Augost.21.2021,huku ikiwaasa…
4 March 2023, 10:18 am
Simiyu: DC Maswa apiga marufuku wanafunzi kufukuzwa shuleni
Na Alex Sayi Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ,Mhe.Aswege Kaminyoge ,amepiga marufuku tabia ya Wakuu wa shule wilayani hapo kuwafukuza wanafunzi kwa sababu  ya kutokukamilisha michango ya shule au kwa sababu zingine zile. Hayo ameyasema wakati akizungumza na…
17 February 2023, 1:48 pm
Simiyu: Askari aliyejeruhi mwanae afikishwa mahakamani
Askari wa jeshi la polisi mkoa wa Simiyu mwenye no H.4178 PC Abati Benedicto Nkalango miaka (27) aliyempiga mwanae mwenye miaka( 7) mwanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya Herbeth Gappa English Mediam na kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili…
17 February 2023, 12:01 pm
DC Itilima: Wizara tupeni Mamlaka ya Kusimamia Miradi.
Mkuu wa Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu Mhe. Faidha Salim ameishauri Wizara ya Kilimo Kuzipa Halmashauri Mamlaka za Kusimamia Miradi Ili kuondokana na kusuasua Kwa Miradi inayotekelezwa na Wakandarasi. Mh Faidha ametoa Ushauri huo akiwa Mgeni Rasmi katika Hafla ya…
15 February 2023, 3:08 pm
Wananchi Waaswa kula mlo wenye Makundi 5 ya Chakula.
Wananchi Wilayani Maswa wameaswa kula chakula chenye Makundi Matano ya chakula Bora ili Kuimarisha Afya. Hayo yamesemwa mapema hii leo na Afisa Lishe Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Ndugu Abel Gyunda Wakati akitoa Elimu ya Masuala ya Lishe…