Recent posts
10 May 2026, 5:11 pm
Geita DC yakanusha afisa elimu kumshambulia, kumteka mwalimu mkuu
10 May 2026, 4:58 pm
Nyang’hwale kutoa chanjo ya kichaa cha Mbwa
Chanjo hiyo inatarajiwa kutolewa ndani ya mwezi Mei, 2026, ambapo zaidi ya mbwa 2,000 wanatarajiwa kuchanjwa katika kata zote 15 zilizopo ndani ya halmashauri ya wilaya hiyo. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imepokea jumla ya…
10 May 2026, 4:07 pm
Watumishi watakiwa kuzingatia maadili ya kazi
Watumishi wa umma wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi, kutunza nyaraka na mali za serikali pamoja na kuwajibika ipasavyo ili kulinda ajira zao. Na Mrisho Sadick: Mtumishi wa serikali katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe anayedaiwa kuweka rehani nyaraka za serikali…
8 May 2026, 7:04 pm
Wananchi, Diwani wataka mustakabali mradi wa maji Nyanguku
“Huu ni mwaka wa nne tangu huu mradi uanze na kila siku tumekuwa tukipewa ahadi tu kila kiongozi anayekuja anasema utakamilika, tunaomba mamlaka zitusaidie” – Mwananchi wa Nyanguku Na: Ester Mabula Wakazi wa kata ya Nyanguku iliyopo halmashauri ya manispaa…
7 May 2026, 6:45 pm
Manispaa ya Geita kukamilisha ujenzi wa shule shikizi
Halmashauri inatambua nguvu kubwa inayofanywa na wananchi kwa kujenga shule shikizi na kwa bajeti ijayo tutahakikisha tunakamilisha shule zote zilizoanzishwa kwa nguvu za wananchi – Mkurugenzi Myenzi Na: Ester Mabula Halmashauri ya manispaa ya Geita imejipanga kukamilisha shule shikizi zinazoanzishwa…
6 May 2026, 1:03 pm
Bei ya Petrol yazidi kupaa, watumiaji hali tete Geita
Kila Jumatano ya kwanza ya kila mwezi (EWURA) Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji nchini hutangaza bei mpya kikomo za mafuta zitakazotumika kwa mwezi husika. Na: Ester Mabula Watumiaji wa mafuta mkoani Geita wameendelea kulalamikia kupanda kwa…
6 May 2026, 12:26 pm
Watu 32 wafariki Geita kwa miezi mitano
Afisa wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji akionyesha namna ambavyo jeshi hilo hufanya kazi ya uokoaji. Picha na Kale Chongela Jumla ya matukio 82 yameripotiwa katika kipindi cha miezi mitano ndani ya mkoa wa Geita ambapo kati ya matukio hayo,…
4 May 2026, 4:59 pm
Chanjo ya polio kutolewa kwa awamu ya pili Geita
“Mafanikio ya awamu ya kwanza yalifikia zaidi ya asilimia 100 na tunatarajia hata kwa awamu hii ya pili zoezi letu litakwenda kikamilifu ili watoto waweze kupata chanjo” – Mratibu wa elimu ya Afya kwa UMMA Geita Bi. Paskazia Madulu Na:…
1 May 2026, 7:42 pm
Vikundi 21 vyakopeshwa milioni 162 Nyang’hwale
Katika mwaka wa fedha 2025/2026 Nyang’hwale imetenga zaidi ya shilingi milioni 396 kwa ajili ya mikopo hiyo, ambapo hadi sasa zaidi ya shilingi milioni 280 tayari zimeshatolewa, sawa na zaidi ya asilimia 70 ya utekelezaji. Na Mrisho Sadick: Serikali wilayani…
30 April 2026, 7:34 pm
Watumishi wa mahakama wafikishwa kizimbani Geita
Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa mkoa wa Geita imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kisheria kwa kufikisha mahakamani watuhumiwa wa makosa mbalimbali yanayofanyiwa uchunguzi. Na: Ester Mabula Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Geita imewafikisha…