19 November 2024, 8:33 pm

Binti aliyevunjika uti wa mgongo Inyala awashukuru

Nguvu ya umma imeendelea kurejesha tabasamu kwa Annastazia aliekata tamaa ya maisha nakutamani afe baada ya kuvunjika uti wa mgogo wakati akichuma maembe juu ya mti Na Mrisho Sadick: Annastazia Jackobo mkazi wa kijiji cha Inyala Kata ya Nyamigota wilayani…

On air
Play internet radio

Recent posts

6 February 2025, 4:00 pm

Achapwa viboko kwa tuhuma za kuiba kuni Msalala road

“Wezi wametuchosha tutaendelea kuwatandika viboko ili waache kutuibia mali zetu” – Mwananchi Na: Amon Mwakalobo – Geita Mwananume mmoja mwenye umri wa miaka 36 aliyejitambulisha kwa jina moja la  Omary mkazi wa mtaa wa Mission halmashuri ya manispaa ya Geita…

4 February 2025, 12:42 pm

Waandaa sare wakati mtoto hajafaulu Geita

Wazazi waambulia patupu baada ya kufanya maandalizi ya shule kwa watoto wao ili hali hawajachaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza. Na Mrisho Sadick: Serikali ya mtaa wa Nyamakale Kata ya Nyankumbu Manispaa ya Geita Mkoani Geita imeahidi kushirikiana na wazazi…

4 February 2025, 12:32 pm

Migogoro ya ndoa ni kikwazo kwa wakazi wa Kaseme

Februari 03, 2025 imehitimishwa wiki ya sheria nchini ambapo sambamba na hilo pia msaada wa kisheria wa Mama Samia Legal Aid umekamilika katika mkoa wa Geita. Na: Kale Chongela – Geita Migogoro  ya ndoa katika kijiji cha kaseme, halmashauri ya…

4 February 2025, 11:44 am

Kifua kikuu tishio kwa wachimbaji Geita

Licha ya serikali kutoa huduma ya uchunguzi na matibabu ya kifua kikuu bure lakini bado kuna mwitikio mdogo wa wananchi kujitokeza kupatiwa huduma hiyo. Na Mrisho Sadick: Serikali Mkoani Geita imewataka wamiliki wa migodi midogo ya uchimbaji wa madini ya…

4 February 2025, 9:47 am

Wezi waiba na kuchinja ng’ombe wawili Nyankumbu

Matukio ya mifugo aina ya ng’ombe kuibiwa na kuchinjwa nyakati za usiku yameendelea kuacha maswali kwa wananchi katika mitaa mbalimbali ya manispaa ya Geita. Na: Edga Rwenduru – Geita Wakazi wa mtaa wa Elimu kata ya Nyankumbu halmashauri ya manispaa…

3 February 2025, 5:12 pm

TEHAMA yaongeza kasi uendeshaji shughuli za Mahakama Geita

Kilele cha wiki ya sheria nchini hufanyika kwa kujumuisha shughuli mbalimbali zinazohusiana na masuala ya sheria ili kuelimisha wananchi na kuhamasisha matumizi bora ya sheria katika jamii. Na: Ester Mabula – Geita Jaji mfawidhi wa mahakama kuu kanda ya Geita…

1 February 2025, 1:26 pm

Serikali za mtaa zaongoza malalamiko ya rushwa Geita

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa mkoani Geita kwa mwezi Oktoba hadi Disemba mwaka 2024 imepokea jumla malalamiko 43, makosa ya rushwa yakiwa ni 32 na yasiyohusu rushwa yakiwa 11. Na: Daniel Magwina – Geita Mkuu wa TAKUKURU mkoa…

31 January 2025, 11:56 am

Nyangh’wale yapendekeza bajeti ya bilioni 4.3

Madiwani waishauri halmashauri ya Nyangh’wale kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato kwa kubuni vyanzo vipya ambavyo haviwaumizi wananchi. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita imeendelea kufanya vizuri kwenye ukusanyaji wa mapato kwa miaka mitano mfululizo hali…

31 January 2025, 11:23 am

Ufaulu mzuri wamkosha DC Kingalame atoa ng’ombe

Shule hiyo ya Bukwimba imeweka rekodi ya kuwa shule ya kwanza katika wilaya hiyo kufaulisha zaidi nakundoa sifuri. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita Grace Kingalame ameahidi kutoa zawadi ya Ng’ombe katika shule ya sekondari Bukwimba…

31 January 2025, 11:01 am

Ubora wa miradi waikosha CCM Nyangh’wale

Miradi ya maendeleo inayotekelezwa wilayani Nyangh’wale Mkoani Geita imewaibua CCM kutokana na utekelezaji wake kufuata taratibu zote za ujenzi. Na Mrisho Sadick: Kamati ya siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita imetembelea nakukagua miradi ya Afya…

Kwanini utangaze nasi?

Storm FM Radio ni Kituo cha Matangazo kilichopo Mkoani Geita ambacho kinasikika maeneo yote ya Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa jirani kwa masafa ya 88.9.

Tunasikilizwa na makundi ya rika zote kwakuwa tumejipambanua kwa kuifikia jamii moja kwa moja kupitia Radio, Matamasha na mitandao ya kijamii ikiwemo Instagram,Twitter,Facebook na radiotadio.co.tz/stormfm.