Recent posts
20 June 2026, 6:55 pm
Twist Elite Football Academy yazinduliwa rasmi ili kukuza vipaji Geita
Kituo hicho kitakuwa kikiendesha shughuli zake katika viwanja vya shule ya sekondari ya Waja boys iliyopo halmashauri ya manispaa ya Geita chini ya kocha Choki Abeid pamoja na makocha wengine wenye uzoefu wa kuibua vipaji vya watoto. Na: Ester Mabula…
20 June 2026, 5:31 pm
Mabasi yagongana na kuua mtu mmoja Nyamigota, Geita
Jumla ya watu 9 wamejeruhiwa na wengine kunusurika huku mtu mmoja akifariki dunia kutoka na ajali hiyo ambayo ilitokea katika kata ya Nyamigota iliyopo wilaya ya Geita. Na: Ester Mabula Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 9 kujeruhiwa katika ajali…
19 June 2026, 8:04 pm
Vijana 1,056 Geita wahitimu mafunzo ya polisi jamii yaliyofadhiliwa na GGML
Kampuni ya GGML imekuwa mdhamini wa mafunzo ya polisi jamii mkoani Geita tangu mwaka 2016 ikiwa ni sehemu ya mchango wake katika kuimarisha usalama na maendeleo katika ya jamii zinazouzunguka mgodi. Na: Ester Mabula Vijana 1056 kutoka katika mitaa 7…
19 June 2026, 2:26 pm
RC Geita akagua mradi wa maji wa bilioni 1 Mbogwe
Katika kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama vijijini serikali imeendelea kuchukua hatua za haraka kutekeleza miradi itakayokwenda kuondoa changamoto hiyo. Na Mrisho Sadick: Wananchi zaidi ya 12,000 wa Kata za Ilolangulu na Ngemo wilayani Mbogwe mkoani…
19 June 2026, 2:06 pm
RPC Geita asema Polisi kuingia bure kutoka bure
Jeshi la polisi Geita latoa tamko kutokana na madai ya baadhi ya wananchi kulalamika kuwa ukihitaji huduma za kipolisi kama usipokuwa na pesa utapata changamoto sana kushughulikiwa tatizo lako. Na Mrisho Sadick: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Kamishna Msaidizi…
17 June 2026, 6:08 pm
TAKUKURU Geita yafikisha watumishi wengine 9 kizimbani kwa Rushwa
TAKUKURU mkoa wa Geita imeendelea kufatilia na kuchulua hatua juu ya makosa mbambali ya Rushwa kwa kuwafikisha mahakamani watuhumiwa mbalimbali wa makosa hayo., Na: Ester Mabula Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Said Lipunjanje kwa niaba ya Mkuu wa TAKUKURU…
16 June 2026, 10:19 am
Ally Hapi atoa maagizo ya ujenzi wa barabara ya Geita Kahama
Barabara hiyo yenye urefu wa kilomita 63 inajengwa kwa zaidi ya Shilingi bilioni 113 na kuwa kichocheo kikubwa cha uchumi kwa wananchi hususani wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu. Na Mrisho Sadick: Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM…
15 June 2026, 12:12 am
RC Shigela apiga marufuku wajawazito kutozwa pesa Bukombe
Sera ya afya nchini wanawake wajawazito, watoto wenye umri chini ya miaka mitano pamoja na wazee wanapaswa kupata huduma za matibabu bure Na Mrisho Sadick: Wakazi wa vijiji vya Bugelenga na Msangila wilayani Bukombe mkoani Geita wamelalamikia kutozwa fedha wanapohitaji…
12 June 2026, 4:34 pm
Takukuru Geita yawafikisha kizimbani watumishi 7 kwa ubadhirifu wa fedha
TAKUKURU mkoa wa Geita imeendelea kuzuia mianya ya Rushwa kwa kuchukua hatua mbalimbali kwwenye makosa mbalimbali kwa kuwafikisha watuhumiwa mahakamani. Na: Ester Mabula Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita imefanya uchunguzi wa upotevu wa fedha…
11 June 2026, 4:02 pm
Makocha wa makipa watakiwa kujiepusha na vitendo vya ubashiri michezoni
Washiriki wa mafunzo hayo ni kutoka mikoa ya Geita , Dar es salaam, Mwanza , Ruvuma, Dodoma , Njombe , Mbeya na mikoa mingine ya Tanzania wamechangamkia fursa hiyo. Na Mrisho Sadick: Mjumbe wa Kamati tendaji ya Shirikisho la Mpira…