Recent posts
12 July 2026, 7:08 am
GGML kuendeleza mapambano ya VVU kupitia Kili challenge 2026
GGML Kili Challenge ilianzishwa mwaka 2001 na Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa lengo la kuchangisha fedha za kusaidia mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI nchini Tanzania. Na: Ester Mabula Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) umeendelea kushirikiana na Serikali…
10 July 2026, 7:10 pm
Kituo cha mafuta chateketea kwa moto Geita
Muonekano wa Kituo cha mafuta Lake Energies kilivyo teketea kwa moto. Picha na Kale Chongela Chanzo cha moto huo kilitokana na gari aina ya Center lenye namba za usajili T799 BEB, ambalo lilikuwa limeingia katika kituo hicho kujaza mafuta. Na…
9 July 2026, 6:33 pm
Mradi wa chuo cha VETA Nyang’hwale tumaini jipya
Mradi huo unatarajiwa kukamilika hivi karibuni huku kukiwa na matumaini makubwa kwa wakazi wa wilaya hiyo juu ya mradi huo. Na Mrisho Sadick Kukamilika kwa mradi huo itakuwa fursa kwa wakazi wa wilaya hiyo Mradi wa Ujenzi wa Chuo cha…
6 July 2026, 7:59 pm
Katibu mwenezi CCM Mkoa wa Geita awataka wananchi kulinda amani
Kufuatia kusambaa kwa taarifa kwenye mitandao ya kijamii juu ya kufanyika kwa maandamano nchini CCM imeendelea kuwataka kupuuza taarifa hizo zenye lengo la kuvuruga amani. Na Mrisho Sadick: Katibu mwenezi wa CCM Mkoa wa Geita Andrew Mnunke amewataka wakazi wa…
6 July 2026, 3:52 pm
Mbogwe waiomba serikali kuanzisha vituo rasmi vya ununuzi wa mazao
Changamoto ya walanguzi wa mazao kwenda moja kwa moja mashambani imegeuka mwiba mchungu kwa wakulima wilayani Mbogwe huku wakidai kupata hasara nakuiomba serikali kuingilia kati. Na Mrisho Sadick: Wakulima wa Kata ya Ilolangulu Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita wameiomba Serikali…
3 July 2026, 1:04 pm
TAKUKURU Geita yakutana na wadau wa maendeleo Geita
“Uwepo wa warsha hii ni miongoni mwa mikakati ya TAKUKURU katika kuimarisha ushirikiano na watekelezaji pamoja na wasimamizi wa miradi ya maendeleo ili kuziba mianya ya Rushwa inayorudisha nyuma maendeleo” – James Ruge Na: Ester Mabula Mkuu wa TAKUKURU Mkoa…
2 July 2026, 6:48 pm
Wadaiwa sugu wa mapato ya serikali kusakwa Geita
Ili kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya ndani, halmashauri imeweka mkakati wa kuwatambua wadaiwa sugu na kufuatilia malipo yao kwa wakati, sambamba na kuongeza uwajibikaji kwa watendaji wanaosimamia vyanzo vya mapato. Na Mrisho Sadick: Serikali mkoani Geita imeziagiza halmashauri zote za…
2 July 2026, 11:21 am
GGML yang’ara tuzo 2 za Rais, ikitambuliwa mlipakodi bora wa jumla
Mamlaka ya mapato nchini Tanzania ilianzishwa rasmi Julai 01, 1996 ambapo imetimiza miaka 30 tangu kuanzishwa kwake kwa kufanya mambo mbalimbali kwenye jamii sambamba na kuwatambua walipa kodi wanaofanya vizuri. Na: Ester Mabula Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML)…
30 June 2026, 4:09 pm
GGML yafadhili mapambano ya malaria Manispaa ya Geita
Jumla ya shilingi milioni 200 imetolewa na Mgodi wa GGML kupitia CSR kwa mwaka 2025/2026 ili kufanikisha utekelezaji wa mpango huo kwa kuzingatia vipengele vya uraghibishi, mafunzo kwa wakufunzi, mafunzo kwa watekelezaji na gharama za uendeshaji. Na: Ester Mabula Halmashauri…
29 June 2026, 5:07 pm
GGML yashiriki Tuzo za Business SDG Awards 2026
Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeshiriki hafla ya utoaji wa Tuzo za Business SDG Awards 2026 kama mdhamini wa ngazi ya Dhahabu (Gold Sponsor), ikiungana na viongozi waandamizi wa Serikali na sekta binafsi. Na: Ester Mabula Hafla hiyo…