Recent posts
5 Aprili 2026, 20:03
Wananchi wajitolea kuziba maeneo korofi ya barabara
“Hii barabara imekuwa ikitupa usumbufu mkubwa sana kwahiyo imetulazimu kuweka mawe ili kuondoa usumbufu wakati wa kutumia” – Mwananchi Na: Kale Chongela Wananchi wa mtaa wa Nyantorotoro B, kata ya Nyankumbu, halmashauri ya Manispaa ya Geita, wameonesha mshikamano kwa kujitolea kushiriki…
3 Aprili 2026, 18:20
Kipindi: Ukatili wa kiuchumi ndani ya familia
Na: Ester Mabula Karibu kusikiliza kipindi maalum kinachoangazia masuala ya usawa wa kijinsia ambapo leo mada inaangazia usawa wa kiuchumi ndani ya familia. Swali kuu: Nini sababu ya baadhi ya wanaume kuuza mazao ya familia na kukimbia majukumu yao? Kipindi…
3 Aprili 2026, 16:42
Mbuzi mwenye jinsia 2 azua taharuki Nyantorotoro B
‘Huyu mbuzi nilipewa zawadi kule Kigoma na nilielezwa yuko vizuri tu kwani alizaa, lakini nashangaa nimefika Geita watoto wanasema hana sehemu ya kutoa haja” – Catherine Kachwere, mmiliki wa mbuzi Na: Ester Mabula Catherine Kachwere mkazi wa mtaa wa Nyantorotoro…
2 Aprili 2026, 15:02
Aliyejisaidia kwenye diaba la pombe asakwa
Katika hali ya kushangaza diaba lenye pombe ndani yake limekutwa likiwa na kinyesi ndani yake hali ambayo imeuzua taharuki kwa wananchi. Na: Kale Chongela Elizabeth Francisco, mkazi wa mtaa wa Mkoani kata ya Kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita ameiomba…
1 Aprili 2026, 17:59
Wakazi Ilungwe kuanza ujenzi wa shule ya msingi
“Ujenzi wa shule hii utasaidia watoto wetu kuepuka ajali na kuwasaidia kutembea umbali mfupi kwani maendeleo yoyote hapa duniani ni lazima yaanze na elimu” – Mwenyekiti wa mtaa Na: Ester Mabula Ikiwa ni takribani miezi miwili tangu wananchi washiriki zoezi…
1 Aprili 2026, 17:48
Bei mpya ya mafuta yaacha kilio kwa maafisa usafirishaji Geita
Kwa wilaya ya Geita ongezeko la bei ya mafuta ya petroli limepanda kwa shilingi 956 kutoka bei elekezi ya mwezi Marchi uliopita. Na: Ester Mabula Maafisa usafirishaji kutoka halmashauri ya manispaa ya Geita mkoani Geita wameeleza ugumu wa kutekeleza majukumu…
1 Aprili 2026, 10:38
Hizi hapa bei mpya za mafuta kwa mkoa wa Geita
Kwa wilaya ya Geita bei ya Petroli kwa lita moja imeongeza kwa shilingi 956 kutoka bei ya mwezi uliopita. Na: Ester Mabula Taarifa iliyotolewa Jumatano ya Aprili 01, 2026 na Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji nchini…
28 Machi 2026, 13:12
Shibalanga wafutwa machozi ujenzi wa Zahanati
Baada ya kuhangaika kwa muda mrefu kutafuta huduma za afya vijiji jirani hatimae wakazi wa Shibalanga wafutwa machozi. Na Mrisho Sadick – Geita Wakazi wa Kijiji cha Shibalanga wilayani Nyang’hwale mkoani Geita wameipongeza serikali kwa kuchukua hatua za haraka za…
28 Machi 2026, 12:49
Kasi ya usambazaji umeme Nyang’hwale yawakosha wananchi
Wakazi wa Kitongoji cha Elimu, Kijiji cha Kaboha wilayani Nyang’hwale mkoani Geita wameipongeza serikali kwa kufanikisha upatikanaji wa nishati ya umeme katika eneo hilo, hatua iliyosaidia kuondoa changamoto ya kusafiri umbali mrefu kwenda vijiji jirani kufuata huduma za kukoboa mpunga…
27 Machi 2026, 19:11
Himofilia kutibiwa hospitali ya Rufaa Geita
Tanzania ina wagonjwa wapatao 6700 wa Himofilia ambapo mikakati mbalimbali imeendelea kuchukuliwa na serikali katika kurahisisha matibabu ya ugonjwa huo kwa urahisi. Na: Ester Mabula Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Geita imezindua rasmi mradi wa mpango jumuishi wa huduma…