Recent posts
17 April 2026, 2:03 pm
DED Manispaa ya Geita ahimiza nidhamu, maadili kwa walimu
“Ni muhimu kujiweka katika mazingira yenye kuheshimika kwenye Jamii kwa kuzingatia nidhamu ambayo hiyo itasaidia hata kwenye kuongeza ufaulu wa wanafunzi” – DED Myenzi Na: Ester Mabula Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya manispaa ya Geita Ndg. Yefred Myenzi amewataka walimu…
17 April 2026, 1:56 am
Mahafali kidato cha 6 shule ya Shantamine yafana
“Kila Jambo hapa duniani kwa sasa linategemea elimu, hata mimi leo nisingekuwa diwani kama nisingeweka bidii kwenye masomo ili kutimiza ndoto zangu” – Mgeni rasmi Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Mahafali ya nne ya kidato cha sita yamefanyika Aprili 16,…
5 April 2026, 8:03 pm
Wananchi wajitolea kuziba maeneo korofi ya barabara
“Hii barabara imekuwa ikitupa usumbufu mkubwa sana kwahiyo imetulazimu kuweka mawe ili kuondoa usumbufu wakati wa kutumia” – Mwananchi Na: Kale Chongela Wananchi wa mtaa wa Nyantorotoro B, kata ya Nyankumbu, halmashauri ya Manispaa ya Geita, wameonesha mshikamano kwa kujitolea kushiriki…
3 April 2026, 6:20 pm
Kipindi: Ukatili wa kiuchumi ndani ya familia
Na: Ester Mabula Karibu kusikiliza kipindi maalum kinachoangazia masuala ya usawa wa kijinsia ambapo leo mada inaangazia usawa wa kiuchumi ndani ya familia. Swali kuu: Nini sababu ya baadhi ya wanaume kuuza mazao ya familia na kukimbia majukumu yao? Kipindi…
3 April 2026, 4:42 pm
Mbuzi mwenye jinsia 2 azua taharuki Nyantorotoro B
‘Huyu mbuzi nilipewa zawadi kule Kigoma na nilielezwa yuko vizuri tu kwani alizaa, lakini nashangaa nimefika Geita watoto wanasema hana sehemu ya kutoa haja” – Catherine Kachwere, mmiliki wa mbuzi Na: Ester Mabula Catherine Kachwere mkazi wa mtaa wa Nyantorotoro…
2 April 2026, 3:02 pm
Aliyejisaidia kwenye diaba la pombe asakwa
Katika hali ya kushangaza diaba lenye pombe ndani yake limekutwa likiwa na kinyesi ndani yake hali ambayo imeuzua taharuki kwa wananchi. Na: Kale Chongela Elizabeth Francisco, mkazi wa mtaa wa Mkoani kata ya Kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita ameiomba…
1 April 2026, 5:59 pm
Wakazi Ilungwe kuanza ujenzi wa shule ya msingi
“Ujenzi wa shule hii utasaidia watoto wetu kuepuka ajali na kuwasaidia kutembea umbali mfupi kwani maendeleo yoyote hapa duniani ni lazima yaanze na elimu” – Mwenyekiti wa mtaa Na: Ester Mabula Ikiwa ni takribani miezi miwili tangu wananchi washiriki zoezi…
1 April 2026, 5:48 pm
Bei mpya ya mafuta yaacha kilio kwa maafisa usafirishaji Geita
Kwa wilaya ya Geita ongezeko la bei ya mafuta ya petroli limepanda kwa shilingi 956 kutoka bei elekezi ya mwezi Marchi uliopita. Na: Ester Mabula Maafisa usafirishaji kutoka halmashauri ya manispaa ya Geita mkoani Geita wameeleza ugumu wa kutekeleza majukumu…
1 April 2026, 10:38 am
Hizi hapa bei mpya za mafuta kwa mkoa wa Geita
Kwa wilaya ya Geita bei ya Petroli kwa lita moja imeongeza kwa shilingi 956 kutoka bei ya mwezi uliopita. Na: Ester Mabula Taarifa iliyotolewa Jumatano ya Aprili 01, 2026 na Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji nchini…
28 March 2026, 1:12 pm
Shibalanga wafutwa machozi ujenzi wa Zahanati
Baada ya kuhangaika kwa muda mrefu kutafuta huduma za afya vijiji jirani hatimae wakazi wa Shibalanga wafutwa machozi. Na Mrisho Sadick – Geita Wakazi wa Kijiji cha Shibalanga wilayani Nyang’hwale mkoani Geita wameipongeza serikali kwa kuchukua hatua za haraka za…