6 August 2024, 3:33 pm

Binti ajifungua na kutupa kichanga chooni Geita

Kituo cha redio cha Storm FM kilichopo mkoani Geita kinaendesha kampeni ya kupinga vitendo vya ukatili iitwayo INATOSHA PINGA UKATILI yenye lengo la kupaza sauti kwa jamii kuachana na vitendo vya ukatili. Na: Evance Mlyakado – Geita Katika hali isiyokuwa…

On air
Play internet radio

Recent posts

22 October 2024, 9:59 pm

Rais Samia atoa milioni 50 kwa wanawake Geita

Serikali imeendelea kuweka nguvu kwa wanawake wanaofanya shughuli katika migodi ya uchimbaji wa madini ya dhahabu ili kuwainua kiuchumi. Na Mrisho Sadick: Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani ametoa kiasi cha shilingi milioni 50 kwa…

22 October 2024, 5:38 pm

GGML yakabidhi pikipiki 50 kwa Jeshi la polisi Geita

GGML imeendelea kushirikiana na serikali katika kufadhili shughuli mbalimbali za maendeleo mkoani Geita ikiwa ni ajenda yao ya kunufaisha Jamii inayozunguka mgodi huo. Na: Ester Mabula – Geita Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imekabidhi pikipiki 50 kwa Jeshi…

20 October 2024, 8:20 pm

UVCCM Geita yaonya madai ya vijana kutishwa

Joto la uchaguzi wa serikali za mitaa limeendelea kupanda kila kukicha huku vijana wakianza kuona dalili za kukatishwa tamaa kuwania nafasi za uongozi. Na Mrisho Sadick: Umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Geita umekemea vikali madai…

20 October 2024, 8:09 pm

Watoto bado wanakabiliwa na changamoto Geita

Watoto hususani wa kike mkoani Geita bado wanakabiliwa na changamoto nyingi katika jamii ikiwemo kutoaminiwa,nakupewa nafasi ya kufanya maamuzi. Na Mrisho Sadick: Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na mashirika yasiyo ya kiserikali imedhamiria kuboresha na kulinda…

16 October 2024, 9:58 am

Dereva agonga taa ya barabarani na kutokomea kusikojulikana

Kufuatia maboresho ya miundombinu ya barabarani katika mji wa Geita, wananchi wameaswa kuwa makini wakati wa utumiaji wa miundombinu hiyo. Na: Kale Chongela – Geita Wakala wa barabara nchini TANROADS mkoa wa Geita umetoa angalizo kwa madereva wanaoharibu miuondombinu ya…

16 October 2024, 9:43 am

TANROADS yatatua kero ya barabara Nyantorotor A

Wakala wa barabara nchini Tanzania (TANROADS) wasaidia katika utatuzi wa barabara ya Nyantororo A ambayo ilikuwa changamoto kwa wakazi wa eneo hilo. Na: Kale Chongela – Geita Kufuatia uwepo wa changamoto ya baadhi ya madereva wa vyombo vya moto kutumia…

15 October 2024, 2:56 pm

Sekondari ya Lutozo kuondokana na changamoto ya maji

Shule ya sekondari Lutozo iliyopo kata ya Katoro halmashauri ya wilaya ya Geita imeondokana na changamoto ya ukosefu wa maji safi na salama baada ya wadau wa maendeleo kushirikiana na serikali kuchimba kisima. Na: Edga Rwenduru – Geita Wanafunzi wa…

14 October 2024, 11:54 am

GGML kuendelea kufadhili miradi kupitia CSR

Mkoa wa Geita umeendelea kujivua uwepo wa mgodi wa GGML kwa kuwa umekuwa chachu ya maendeleo kwa wananchi katika nyanja mbalimbali hususani katika sekta za elimu na afya. Na: Ester Mabula – Geita Mgodi wa GGML umeahidi kuendelea kushirikiana na…

14 October 2024, 10:49 am

Rais Samia atoa tuzo kwa GGML ushiriki bora wa maonesho Geita

Oktoba 13, 2024 yamehitimishwa rasmi maonesho ya 7 ya teknolojia na uwekezaji katika sekta ya madini ambayo yalikuwa yakiendelea katika viwanja vya EPZA mjini Geita tangu Oktoba 02, 2024. Na: Ester Mabula – Geita Rais wa Jamhuri ya muungano wa…

12 October 2024, 10:22 am

Ezy Auto Motors yakabidhi gari kwa mteja aliyeagiza mkoani Geita

Wakazi wa Geita hatimaye wamefikiwa na kurahisishiwa kuagiza magari kwa usalama na uhakika zaidi kwa mpango wa kuwekeza, mkopo au kulipa moja kwa moja. Na: Ester Mabula – Geita Katika hafla iliyojaa furaha, kampuni maarufu ya uuzaji magari nchini Ezy…