Recent posts
28 October 2025, 11:13 am
Nyan’ghwale iko shwari kuelekea uchaguzi kesho
Idadi ya wananchi waliojiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura ni wilayani Nyang’hwale 124,036 na kuwa jumla ya vituo 360. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, Grace Kingalame, amewahakikishia wananchi wa wilaya hiyo kuwa hali…
27 October 2025, 11:41 am
“Kura yako ni mustakabali wako miaka mitano ijayo” – Reuben
Oktoba 29, 2025 ni siku ambayo Taifa la Tanzania litafanya uchaguzi mkuu wa kuchagua wabunge, madiwani na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Na: Ester Mabula Mgombea udiwani (CCM) kata ya Kalangalala Reuben Sagayika amewahimiza wananchi wa kata ya…
25 October 2025, 8:28 pm
Wenye ulemavu Nyangh’wale wanufaika na mikopo 10%
Kupitia programu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi, Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale imefanikiwa kukopesha vikundi 114 kwa mwaka wa fedha 2024/2025, kwa jumla ya shilingi milioni 674.5 Na Mrisho Sadick: Watu wenye ulemavu wilayani Nyang’hwale mkoani Geita wameendelea kunufaika na mpango…
24 October 2025, 6:03 pm
Reuben Sagayika atembelea wananchi mbalimbali Kalangalala
Zimesalia siku 4 ili wananchi nchini waweze kushiriki haki ya msingi na ya kikatiba ya kupiga kura kuchagua madiwani, wabunge na Rais. Na: Ester Mabula Mgombea Udiwani wa kata ya Kalangalala kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Reuben Sagayika…
23 October 2025, 7:38 pm
Geita ulinzi umeimarishwa kuelekea uchaguzi
Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limeendelea kutoa wito kwa wananchi wote kuendelea kudumisha amani, umoja na mshikamano. Na Kale Chongela- Geita Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limewahakikishia wananchi kuwa maandalizi ya ulinzi na usalama yamekamilika kwa kiwango cha…
21 October 2025, 10:06 pm
CCM yatoa elimu ya kupiga kura kwa vitendo jimbo la Geita
Elimu hiyo inalenga kuongeza uelewa wa wananchi kuhusu mchakato wa upigaji kura, ili kuhakikisha kila kura inayopigwa inahesabiwa ipasavyo. Na Mrisho Sadick: Zikiwa zimesalia siku nane kuelekea Uchaguzi Mkuu Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Geita kimeendelea kutoa elimu kwa…
21 October 2025, 8:23 am
Mikutano 65 ya injili yaleta mabadiliko makubwa Geita
Lengo la huduma hiyo sasa ni kufika nje ya mkoa wa Geita ili kufikisha ujumbe wa Injili kwa Watanzania wengi zaidi. Na Kale Chongela – Geita Uwepo wa mikutano ya Injili katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Geita umeendelea kuleta…
20 October 2025, 6:05 pm
Jeshi la Polisi lasema Geita kapigeni kura hakuna wakuwagusa
Wakati zikiwa zimesalia siku nane kuelekea katika uchaguzi mkuu Oktoba 29,2025 jeshi la polisi Geita lawatoa hofu wananchi. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Polisi Mkoani Geita limewahakikishia Wananchi wa Mkoa huo usalama wa kutosha wakati na baada ya uchaguzi mkuu…
20 October 2025, 12:51 pm
Geita yapokea madaktari bingwa 42 wa Mama Samia
Hii ni awamu ya nne kupokea madakari bingwa wa mama samia nakwamba katika awamu zilizopita zaidi ya watu 10,000 walifikiwa na huduma hizo. Na Mrisho Sadick: Mkoa wa Geita umepokea madaktari Bingwa 42 kutoka kambi ya Mama Samia watakaotoa huduma…
20 October 2025, 11:50 am
Mradi wa maji miji 28 upo hatua za mwisho Geita
Mradi wa Maji wa Miji 28 Geita ni sehemu ya mpango wa kitaifa unaotekelezwa katika mikoa kadhaa ikiwemo Geita Na Mrisho Sadick: Serikali Mkoani Geita imemtaka mkandarasi anayetekeleza mradi wa maji wa miji 28 wa Bilioni 124 kuhakikisha anakamilisha mradi…