Storm FM

Recent posts

4 May 2026, 4:59 pm

Chanjo ya polio kutolewa kwa awamu ya pili Geita

“Mafanikio ya awamu ya kwanza yalifikia zaidi ya asilimia 100 na tunatarajia hata kwa awamu hii ya pili zoezi letu litakwenda kikamilifu ili watoto waweze kupata chanjo” – Mratibu wa elimu ya Afya kwa UMMA Geita Bi. Paskazia Madulu Na:…

1 May 2026, 7:42 pm

Vikundi 21 vyakopeshwa milioni 162 Nyang’hwale

Katika mwaka wa fedha 2025/2026 Nyang’hwale imetenga zaidi ya shilingi milioni 396 kwa ajili ya mikopo hiyo, ambapo hadi sasa zaidi ya shilingi milioni 280 tayari zimeshatolewa, sawa na zaidi ya asilimia 70 ya utekelezaji. Na Mrisho Sadick: Serikali wilayani…

30 April 2026, 7:34 pm

Watumishi wa mahakama wafikishwa kizimbani Geita

Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa mkoa wa Geita imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kisheria kwa kufikisha mahakamani watuhumiwa wa makosa mbalimbali yanayofanyiwa uchunguzi. Na: Ester Mabula Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Geita imewafikisha…

28 April 2026, 7:07 pm

Jeshi la zimamoto Geita latoa elimu kwa wanafunzi

Jeshi la zimamoto na uokoaji mkoa wa Geita limetoa elimu kwa wanafunzi wa shule za msingi kuelekea siku ya wazima moto Duniani ambayo huadhimishwa kila Mei 04 ya kila mwaka kwa lengo la kuwakumbuka mashujaa waliopotea maisha katika shughuli za…

28 April 2026, 7:41 am

Wivu wa mapenzi wamponza, serikali ya mtaa yachukua hatua

Serikali ya mtaa wa Mkoani imemkamata mwanamke aliyedaiwa kujisaidia katika diaba lililokuwa na pombe ya kienyeji kwa kile kilichoelezwa ni wivu wa kimapenzi katika eneo la Lukilini  mtaa wa Mkoani kata ya kalangalala manispaa ya Geita. Na: Kale Chongela Ikumbukwe…

27 April 2026, 9:37 pm

CRDB yajenga madarasa ya milioni 50 shule kongwe ya Fulwe Geita

Shule ya Msingi Fulwe iliyoanzishwa mwaka 1,956 imekuwa ikikabiliwa na changamoto ya uchakavu wa miundombinu ya majengo hali iliyokuwa ikiathiri mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi Na Mrisho Sadick – Geita Benki ya CRDB imeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kuchangia maendeleo…

24 April 2026, 4:25 pm

Tsh. Mil 15 kukarabati barabara korofi Kalangalala

“Naamini ukarabati wa barabara hizo utaondoa usumbufu kwa wananchi wa kata ya Kalangalala na kuwasaidia kufanya shughuli za kiuchumi” – Diwani Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Kata ya Kalangalala imeingia mkataba wenye thamani ya shilingi milioni 15 na kampuni ya…

23 April 2026, 10:45 pm

Aliyechomewa gari Geita aipongeza ripoti ya tume ya uchunguzi

Matumaini makubwa ya wananchi wa Geita kupitia Ripoti ya uchunguzi ni taifa kuimarisha mshikamano, amani, na imani ya wananchi kwa serikali yao. Na Mrisho Sadick: Baada ya Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29 kuwasilisha ripoti yake kwa Rais…

17 April 2026, 2:03 pm

DED Manispaa ya Geita ahimiza nidhamu, maadili kwa walimu

“Ni muhimu kujiweka katika mazingira yenye kuheshimika kwenye Jamii kwa kuzingatia nidhamu ambayo hiyo itasaidia hata kwenye kuongeza ufaulu wa wanafunzi” – DED Myenzi Na: Ester Mabula Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya manispaa ya Geita Ndg. Yefred Myenzi amewataka walimu…

17 April 2026, 1:56 am

Mahafali kidato cha 6 shule ya Shantamine yafana

“Kila Jambo hapa duniani kwa sasa linategemea elimu, hata mimi leo nisingekuwa diwani kama nisingeweka bidii kwenye masomo ili kutimiza ndoto zangu” – Mgeni rasmi Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Mahafali ya nne ya kidato cha sita yamefanyika Aprili 16,…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.