Storm FM

Recent posts

25 February 2026, 12:15 pm

Watumishi ajira mpya Manispaa ya Geita wapigwa msasa

“Naamini baada ya mafunzo haya mtaendelea kuwa na utendaji wenye tija na kuzingatia miiko ya utumishi wa UMMA kwa kujiepusha na vitendo vyenye kujenga taswira mbaya ya Serikali kwenye Jamii” -Mkurugenzi Yefred Myenzi Na: Ester Mabula Jumla ya watumishi 209…

24 February 2026, 9:33 pm

TFS yahimiza upandaji miti, 700 wafikiwa Chato

Hadi sasa jumla ya watu 700 wamefikiwa na huduma ya kupewa miche bure na TFS katika wilaya ya Chato mkoani Geita. Na: Ester Mabula Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (Tanzania Forest Services Agency – TFS) umeendelea kuhamasisha jamii kupanda…

23 February 2026, 9:20 am

GGML yaendeleza juhudi za uhifadhi endelevu

Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mchango wa shilingi milioni 50 kudhamini hafla ya Tanzania Water Service Excellence Awards  inayofanyika jijini Arusha tarehe 23 Februari 2026. Na: Ester Mabula Tuzo hizo ni sehemu ya mkutano wa kitaifa wa…

18 February 2026, 1:28 pm

Lwamgasa Farmers Amcos waendesha harambee ununuzi wa trekta

Chama cha ushirika kimekuwa na fursa mbalimbali ya kuwaunganisha wakulima katika kujadili na kufanya mambo ya kuleta tija kwenye kilimo. Na: Kale Chongela Chama cha ushirika cha Lwamgasa Farmers Amocos Limited kilichopo wilaya ya Geita mkoani Geita kimefanya harambe kwa  ajili…

18 February 2026, 12:56 pm

Walimu shule ya sekondari ya wavulana ya Geita wapongezwa

Jumla ya wanafunzi 65 waliohitimu kidato cha nne katika shule ya sekondari ya wavulana ya Geita walipata ufaulu wa daraja la kwanza (division one). Na: Ester Mabula Walimu wa shule ya sekondari ya wavulana ya Geita (GESECO) wamepewa tuzo kufuatia…

17 February 2026, 6:07 pm

Mbunge atimiza ahadi ya kununua mitambo ya barabara

Pichani ni Mbunge wa Jimbo la Chato kusini Mhe. Paschal Lutandula “Siwezi kuona wananchi wangu wa Chato kusini wanateseka na miundombinu mibovu ya barabara, na ndiyo maana nilisema ndani ya siku zangu 100 nitaleta mitambo na nimetimiza” – Mbunge Lutandula…

17 February 2026, 7:52 am

Mbunge awapongeza wananchi kwa kujitoa kutengeneza barabara

Mbunge jimbo la Geita mjini, mkoani Geita, Chacha Wambura amewapongeza wananchi kwa kujitoa kutengeneza miundombinu ya barabara huku akisema “katika kipindi cha uongozi wangu nitahakikisha barabara hii inatengenezwa kwa ubora zaidi ili kuondoa changamoto” Na: Ester Mabula Wananchi wa Kata…

16 February 2026, 11:44 pm

Diwani aingilia kati sakata la mwekezji mtaa wa Nyanza

Ni mwendelezo wa ziara za diwani wa kata ya Kalangalala kutembelea maeneo mbalimbali kwa lengo la kusikiliza kero za wananchi na kuweza kuzitatua. Na: Ester Mabula Wananchi wakazi wa mtaa wa Nyanza, kata ya Kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita…

15 February 2026, 11:38 am

Mbunge Geita mjini afanyia kazi kero ya barabara

“Nataka niseme kuanzia siku ya Jumanne, barabara zitaanza kufanyiwa matengenezo ili kero hii iweze kuondoka kwa wananchi wa eneo hili kwani serikali ya Rais Samia imetupa fedha kwaajili ya kukarabati miundombinu” – Mbunge Geita mjini, Chacha Wambura Na: Ester Mabula…

15 February 2026, 12:44 am

Diwani kata ya Ichwankima ahimiza umoja

“Maendeleo ya kata yetu yanahitaji umoja na ushirikiano na tuweke makundi pembeni, na mimi nawahakikishia nitakuwa kiongozi wa wote bila kumbagua mtu” – Diwani Kulwa Ludaho Na: Ester Mabula Diwani wa Kata ya Ichwankima wilayani Chato, mkoani Geita, Kulwa Elias…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.