Storm FM
Storm FM
19 June 2026, 8:04 pm
Kampuni ya GGML imekuwa mdhamini wa mafunzo ya polisi jamii mkoani Geita tangu mwaka 2016 ikiwa ni sehemu ya mchango wake katika kuimarisha usalama na maendeleo katika ya jamii zinazouzunguka mgodi. Na: Ester Mabula Vijana 1056 kutoka katika mitaa 7…
19 June 2026, 2:26 pm
Katika kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama vijijini serikali imeendelea kuchukua hatua za haraka kutekeleza miradi itakayokwenda kuondoa changamoto hiyo. Na Mrisho Sadick: Wananchi zaidi ya 12,000 wa Kata za Ilolangulu na Ngemo wilayani Mbogwe mkoani…
19 June 2026, 2:06 pm
Jeshi la polisi Geita latoa tamko kutokana na madai ya baadhi ya wananchi kulalamika kuwa ukihitaji huduma za kipolisi kama usipokuwa na pesa utapata changamoto sana kushughulikiwa tatizo lako. Na Mrisho Sadick: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Kamishna Msaidizi…
17 June 2026, 6:08 pm
TAKUKURU mkoa wa Geita imeendelea kufatilia na kuchulua hatua juu ya makosa mbambali ya Rushwa kwa kuwafikisha mahakamani watuhumiwa mbalimbali wa makosa hayo., Na: Ester Mabula Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Said Lipunjanje kwa niaba ya Mkuu wa TAKUKURU…
16 June 2026, 10:19 am
Barabara hiyo yenye urefu wa kilomita 63 inajengwa kwa zaidi ya Shilingi bilioni 113 na kuwa kichocheo kikubwa cha uchumi kwa wananchi hususani wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu. Na Mrisho Sadick: Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM…
15 June 2026, 12:12 am
Sera ya afya nchini wanawake wajawazito, watoto wenye umri chini ya miaka mitano pamoja na wazee wanapaswa kupata huduma za matibabu bure Na Mrisho Sadick: Wakazi wa vijiji vya Bugelenga na Msangila wilayani Bukombe mkoani Geita wamelalamikia kutozwa fedha wanapohitaji…
12 June 2026, 4:34 pm
TAKUKURU mkoa wa Geita imeendelea kuzuia mianya ya Rushwa kwa kuchukua hatua mbalimbali kwwenye makosa mbalimbali kwa kuwafikisha watuhumiwa mahakamani. Na: Ester Mabula Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita imefanya uchunguzi wa upotevu wa fedha…
11 June 2026, 4:02 pm
Washiriki wa mafunzo hayo ni kutoka mikoa ya Geita , Dar es salaam, Mwanza , Ruvuma, Dodoma , Njombe , Mbeya na mikoa mingine ya Tanzania wamechangamkia fursa hiyo. Na Mrisho Sadick: Mjumbe wa Kamati tendaji ya Shirikisho la Mpira…
8 June 2026, 11:15 am
Jeshi la Polisi limeeleza kuwa uchunguzi wa tukio hilo unaendelea huku likiwataka wananchi kuendelea kushirikiana na vyombo vya dola katika kutoa taarifa zitakazosaidia kukamilisha uchunguzi na kuhakikisha haki inatendeka. Na Mrisho Sadick: Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM Taifa ambae…
7 June 2026, 4:05 pm
“Kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu kwa hatua hii naimani kabisa Tuzo hii itaongeza motisha kwangu katika kazi yangu” – Ester Mabula Na: Mrisho Sadick Mwandishi wa habari na mtangazaji wa kituo cha Redio cha Storm FM kilichopo mkoani Geita Bi. Ester…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.