Storm FM
Storm FM
2 April 2026, 3:02 pm
Katika hali ya kushangaza diaba lenye pombe ndani yake limekutwa likiwa na kinyesi ndani yake hali ambayo imeuzua taharuki kwa wananchi. Na: Kale Chongela Elizabeth Francisco, mkazi wa mtaa wa Mkoani kata ya Kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita ameiomba…
1 April 2026, 5:59 pm
“Ujenzi wa shule hii utasaidia watoto wetu kuepuka ajali na kuwasaidia kutembea umbali mfupi kwani maendeleo yoyote hapa duniani ni lazima yaanze na elimu” – Mwenyekiti wa mtaa Na: Ester Mabula Ikiwa ni takribani miezi miwili tangu wananchi washiriki zoezi…
1 April 2026, 5:48 pm
Kwa wilaya ya Geita ongezeko la bei ya mafuta ya petroli limepanda kwa shilingi 956 kutoka bei elekezi ya mwezi Marchi uliopita. Na: Ester Mabula Maafisa usafirishaji kutoka halmashauri ya manispaa ya Geita mkoani Geita wameeleza ugumu wa kutekeleza majukumu…
1 April 2026, 10:38 am
Kwa wilaya ya Geita bei ya Petroli kwa lita moja imeongeza kwa shilingi 956 kutoka bei ya mwezi uliopita. Na: Ester Mabula Taarifa iliyotolewa Jumatano ya Aprili 01, 2026 na Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji nchini…
28 March 2026, 1:12 pm
Baada ya kuhangaika kwa muda mrefu kutafuta huduma za afya vijiji jirani hatimae wakazi wa Shibalanga wafutwa machozi. Na Mrisho Sadick – Geita Wakazi wa Kijiji cha Shibalanga wilayani Nyang’hwale mkoani Geita wameipongeza serikali kwa kuchukua hatua za haraka za…
28 March 2026, 12:49 pm
Wakazi wa Kitongoji cha Elimu, Kijiji cha Kaboha wilayani Nyang’hwale mkoani Geita wameipongeza serikali kwa kufanikisha upatikanaji wa nishati ya umeme katika eneo hilo, hatua iliyosaidia kuondoa changamoto ya kusafiri umbali mrefu kwenda vijiji jirani kufuata huduma za kukoboa mpunga…
27 March 2026, 7:11 pm
Tanzania ina wagonjwa wapatao 6700 wa Himofilia ambapo mikakati mbalimbali imeendelea kuchukuliwa na serikali katika kurahisisha matibabu ya ugonjwa huo kwa urahisi. Na: Ester Mabula Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Geita imezindua rasmi mradi wa mpango jumuishi wa huduma…
14 March 2026, 10:30 pm
“Tangu serikali ya awamu ya sita iingie madarakani jumla ya miradi 45 yenye thamani ya shilingi Bilioni 14 imetekelezwa na TAKUKURU” – Mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU Crispin Chalamila Na: Ester Mabula Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na…
12 March 2026, 6:33 pm
Maadhimisho ya siku ya Afya na Lishe ya Kijijini (SALIKI) hufanyika katika ngazi ya jamii kwa lengo la kuwaleta wananchi karibu na huduma muhimu za afya na lishe ili kujenga jamii yenye afya bora. Na: Ester Mabula Maadhimisho ya siku…
6 March 2026, 11:06 pm
Kaulimbiu ya maadhimisho ya siku ya wanawake kwa mwaka huu ni “Haki na Usawa kwa wanawake na wasichana: Msingi wa maendeleo Jumuishi kufikia Dira ya 2050”. Na: Ester Mabula Wanawake 28 mkoani Geita wamepatiwa mitaji ya kuendeleza biashara zao na…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.