Storm FM
Storm FM
19 August 2026, 2:12 pm
Picha ya muonekano wa mwalo katika eneo la Kumbayaga. Picha na Kale Chongela Uwepo wa vyoo ni muhimu katika kulinda usafi wa mazingira na afya za watu wanaojihusisha na shughuli za uchimbaji na uchenjuaji wa madini. Na: Kale Chongela Mkurugenzi…
18 August 2026, 6:56 pm
Awali walikuwa wakitoza kati ya shilingi 300 hadi 500 kwa abiria kwa safari za umbali mrefu, lakini kwa sasa wanatoza kati ya shilingi 500 hadi 1,000 kwa umbali wa wastani, jambo ambalo wanasema limeongeza kipato chao. Na Mrisho Sadick: Waendesha…
18 August 2026, 5:05 pm
Wananchi wametakiwa kuwa sehemu ya suluhisho kwa kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi pale wanapobaini vitendo vinavyohatarisha usalama barabarani. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Geita limewataka wananchi kutowafumbia macho watu wanaokiuka sheria za…
16 August 2026, 5:50 pm
Tahadhari hii ya mapema kukabiliana na El nino inachukuliwa mapema kutokana na mkoa wa Geita kuwa miongoni mwa mikoa ambayo inapata mvua nyingi Tanzania. Na Mrisho Sadick Serikali wilayani Nyang’hwale mkoani Geita imeanza kuchukua tahadhari dhidi ya mvua kubwa za…
16 August 2026, 5:09 pm
Manara ashangazwa na umati mkubwa wa mashabiki katika fainali ya misungwi Cup Kata ya Ludete mamlaka ya mji wa Katoro wilayani Geita. Na Mrisho Sadick: Msemaji wa Timu za Taifa Tanzania Haji Manara amezitaka mamlaka za Serikali mkoani Geita kujenga…
14 August 2026, 3:50 pm
Jumla ya watoto 300 wanatarajiwa kunufaika kupitia mpango huo wa matibabu ambapo Geita Gold Mining Limited (GGML) itafadhili jumla ya shilingi Bilioni 1.2 kwa muda wa miaka mitatu. Na: Ester Mabula Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) na Taasisi…
13 August 2026, 5:02 pm
Licha ya Jitihada za serikali kwa kushiriana na wadau na mashirika mbalimbali kupinga vitendo vya ukatili, bado baadhi ya watu wameendelea kufanya vitendo vya ukatili. Na: Kale Chongela Mtoto mchanga ameokotwa akiwa hai ambapo imedhaniwa kuwa ametupwa muda mfupi baada…
13 August 2026, 4:22 pm
Kata ya Shiloleli inapatikana katika halmshauri ya manispaa ya Geita ambapo inakadiriwa kuwa na jumla ya Ng’ombe 3647, Mbuzi 1420 na Kondoo zaidi ya 900. Na: Ester Mabula Wafugaji wa kata ya Shiloleli, halmashauri ya manispaa ya Geita, wameanza kunufaika…
13 August 2026, 1:58 pm
Serikali imeendelea kuboresha kituo cha Afya Iparamasa kwa kukarabati miundombinu mbalimbali ili kusaidia utoaji wa huduma za afya kwa wananachi. Na: Ester Mabula Kituo cha Afya Iparamasa kilichopo wilaya ya Chato mkoani Geita kimekabidhiwa gari la wagonjwa (Ambulance) lenye zaidi…
11 August 2026, 7:05 pm
Kikao hicho kimeweka mkakati wa kuhakikisha watoto wenye umri wa kwenda shule wanapata haki yao ya msingi ya elimu mkoa wa Geita Na Mrisho Sadick: Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Geita imewaonya baadhi ya wazazi…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.