Storm FM
Storm FM
4 June 2026, 1:28 pm
Madawati hayo yanatarajiwa kuanza kusambazwa mara moja katika shule za sekondari zilizoathirika zaidi na upungufu huo, hatua inayotarajiwa kuboresha mazingira ya ufundishaji. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa Wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita Grace Kingalame amekabidhi zaidi ya madawati 1,000 kwa…
3 June 2026, 1:38 pm
Ili kukabiliana na changamoto ya watoto wa kike kukumbana na matukio kama hayo wakazi wa kijiji hicho wameomba serikali ikamilishe ujenzi wa shule ya sekondari eneo hilo ambayo ipo katika hatua nzuri. Na: Mrisho Sadick Mwanafunzi wa shule ya sekondari…
1 June 2026, 5:35 pm
Tukio la kufukiwa wachimbaji hao limetokea May 28, 2026 majira ya saa Alasiri ambapo Jeshi la zimamoto na uokoaji wilaya ya Bukombe limeendelea na zoezi la uokoaji kwa kushirikiana na wachimbaji wadogo. Na: Edga Rwenduru Familia za wachimbaji watatu wa…
30 May 2026, 6:15 pm
GGML imeendeleza dhamira yake ya kuikumbuka na kurejesha kwa jamii kwa kugusa makundi mbalimbali kupitia ufadhili wa elimu pamoja na vifaa kwa wanafunzi wa kike mkoani Geita. Na: Ester Mabula Kampuni ya GGML (Geita Gold Minning Limited) imefadhili jumla ya…
29 May 2026, 5:30 pm
Je usawa wa kijinsia unaendelea kutekelezwa kwa kuweka mgawanyo sawa wa haki kwa wanawake na wanaume? Na: Ester Mabula Karibu kusikiliza kipindi maalumu cha Usawa wa kijinsia ambacho kinaangazia masuala mbalimbali ikiwa ni mlinganisho wa upataji wa haki sawa kwa…
23 May 2026, 4:35 pm
Tamasha la utamaduni na nyamachoma litakuwa likifanyika kila mwezi ili kuenzi mila na desturi sambamba na kutoa fursa kwa wajasiriamali kujiongezea kipato. Na: Ester Mabula Uongozi wa halmashauri ya manispaa ya Geita kwa kushirikiana nakampuni ya Geita Gold Minning Limited…
21 May 2026, 2:03 pm
“Tamasha hili sio tu litawakutanisha watu pamoja bali pia litaenzi mila na desturi zetu sambamba na kuongeza uchumi wa wananchi wa Geita” – Mkurugenzi Yefred Myenzi Na: Ester Mabula Kuelekea tamasha la Utamaduni na Nyamachoma litakalofanyika kwa muda wa siku…
17 May 2026, 4:07 pm
Jumla ya wanafunzi 55 walihitimu shuleni hapo ambapo wanafunzi 50 walifaulu na kujiunga na kidato cha kwanza na kupelekea kushika nafasi ya kwanza kwenye kata hiyo huku masomo yaliyofaulisha vizuri yakiwa ni Kiswahili, Sayansi, Uraia na maadili. Na: Ester Mabula…
16 May 2026, 4:00 pm
Hakika msemo wa wahenga usemao ukihitaji mali basi utaipata shambani umeendelea kujidhihirisha baada ya vijana kutoka Geita kutaraji kunufaika na kilimo. Na Mrisho Sadick: Mbunge wa Jimbo la Geita mjini Mhandisi Chacha Wambura amewawezesha Jumla ya vijana 23 kutoka Kata…
15 May 2026, 6:16 pm
“Mtu anafika msibani akiwa amelewa anaanza kuongea mambo ya Simba na Yanga hii haikubaliki si kwa kiongozi hata kwa mtu mwingine yoyote” – Katibu wa maafa Na: Kale Chongela Mjumbe wa serikali ya mtaa wa Moringe kata ya Buhalahala halmashauri…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.