Storm FM
Storm FM
6 May 2026, 1:03 pm
Kila Jumatano ya kwanza ya kila mwezi (EWURA) Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji nchini hutangaza bei mpya kikomo za mafuta zitakazotumika kwa mwezi husika. Na: Ester Mabula Watumiaji wa mafuta mkoani Geita wameendelea kulalamikia kupanda kwa…
6 May 2026, 12:26 pm
Afisa wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji akionyesha namna ambavyo jeshi hilo hufanya kazi ya uokoaji. Picha na Kale Chongela Jumla ya matukio 82 yameripotiwa katika kipindi cha miezi mitano ndani ya mkoa wa Geita ambapo kati ya matukio hayo,…
4 May 2026, 4:59 pm
“Mafanikio ya awamu ya kwanza yalifikia zaidi ya asilimia 100 na tunatarajia hata kwa awamu hii ya pili zoezi letu litakwenda kikamilifu ili watoto waweze kupata chanjo” – Mratibu wa elimu ya Afya kwa UMMA Geita Bi. Paskazia Madulu Na:…
1 May 2026, 7:42 pm
Katika mwaka wa fedha 2025/2026 Nyang’hwale imetenga zaidi ya shilingi milioni 396 kwa ajili ya mikopo hiyo, ambapo hadi sasa zaidi ya shilingi milioni 280 tayari zimeshatolewa, sawa na zaidi ya asilimia 70 ya utekelezaji. Na Mrisho Sadick: Serikali wilayani…
30 April 2026, 7:34 pm
Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa mkoa wa Geita imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kisheria kwa kufikisha mahakamani watuhumiwa wa makosa mbalimbali yanayofanyiwa uchunguzi. Na: Ester Mabula Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Geita imewafikisha…
28 April 2026, 7:07 pm
Jeshi la zimamoto na uokoaji mkoa wa Geita limetoa elimu kwa wanafunzi wa shule za msingi kuelekea siku ya wazima moto Duniani ambayo huadhimishwa kila Mei 04 ya kila mwaka kwa lengo la kuwakumbuka mashujaa waliopotea maisha katika shughuli za…
28 April 2026, 7:41 am
Serikali ya mtaa wa Mkoani imemkamata mwanamke aliyedaiwa kujisaidia katika diaba lililokuwa na pombe ya kienyeji kwa kile kilichoelezwa ni wivu wa kimapenzi katika eneo la Lukilini mtaa wa Mkoani kata ya kalangalala manispaa ya Geita. Na: Kale Chongela Ikumbukwe…
27 April 2026, 9:37 pm
Shule ya Msingi Fulwe iliyoanzishwa mwaka 1,956 imekuwa ikikabiliwa na changamoto ya uchakavu wa miundombinu ya majengo hali iliyokuwa ikiathiri mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi Na Mrisho Sadick – Geita Benki ya CRDB imeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kuchangia maendeleo…
24 April 2026, 4:25 pm
“Naamini ukarabati wa barabara hizo utaondoa usumbufu kwa wananchi wa kata ya Kalangalala na kuwasaidia kufanya shughuli za kiuchumi” – Diwani Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Kata ya Kalangalala imeingia mkataba wenye thamani ya shilingi milioni 15 na kampuni ya…
23 April 2026, 10:45 pm
Matumaini makubwa ya wananchi wa Geita kupitia Ripoti ya uchunguzi ni taifa kuimarisha mshikamano, amani, na imani ya wananchi kwa serikali yao. Na Mrisho Sadick: Baada ya Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29 kuwasilisha ripoti yake kwa Rais…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.