Storm FM
Storm FM
1 February 2026, 2:01 pm
Mgodi wa GGML uliopo mkoani Geita umeendelea kuwa chachu ya maendeleo nchini kupitia ushirikiano wake na serikali katika nyanja mbalimbali za kimaendeleo kupitia Afya, Elimu, Miundombinu nk Na: Ester Mabula Naibu Waziri wa madini Dkt. Steven Kiruswa amesema sekta ya…
27 January 2026, 5:10 pm
Baraza la madiwani la halmashauri ya Manispaa ya Geita leo Januari 27, 2026 limejadili na kupitisha rasimu ya bajeti kisasi cha shilingi bilioni 78,811,212,825.7 kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Na: Ester Mabula Bajeti hiyo ina ongezeko la 8.3% zaidi ya…
26 January 2026, 6:04 pm
Ugawaji wa hati za kimila ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuhakikisha wananchi wanakuwa na umiliki halali wa ardhi. Na Mrisho Sadick: Kuelekea siku 100 za uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,…
26 January 2026, 5:42 pm
Kutokana na mvua za El nino zilizonyesha siku za nyuma serikali imetumia zaidi ya shilingi bilioni 500 kukabiliana na athari za uharibifu huo katika maeneo mbalimbali nchini. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kata ya Iponya wilayani Mbogwe mkoani Geita wameishukuru…
26 January 2026, 1:15 pm
“Tunashukuru malezi na mafundisho aliyotupa baba yetu na tutayaendeleza kwa uzao wake ikiwa ni kuendelea kuheshimu watu wote katika Jamii” – Mtoto wa marehemu Na: Kale Chongela Historia ya kuishi duniani ya Mzee Jacob Chigabilo Katukula mkazi wa mtaa wa…
25 January 2026, 2:51 pm
Hadi sasa wanafunzi 480 pekee ndio walioripoti katika shule hizo tatu, huku idadi kubwa ya wanafunzi waliopangiwa kujiunga bado hawajafika. Na Mrisho Sadick: Jumla ya wanafunzi 261 kati ya 741 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza katika shule tatu za…
23 January 2026, 7:34 pm
“Ziara hii imekuwa ni bora sana kwetu na yenye tija kwani itatuwezesha kuelewa kwa upana shughuli zinazofanyika ndani ya mgodi” – Diwani Sagayika Na: Ester Mabula Kamati ya maendeleo ya kata ya Kalangalala, halmashauri ya manispaa ya Geita ikiongozwa na…
23 January 2026, 11:23 am
Shule ya msingi Ndalichako iliyopo katika kijiji na kata ya Bwanga, halmshauri ya wilaya ya Chato mkoani Geita ina jumla ya wa wanafunzi 1045 Na: Ester Mabula Mbunge wa Jimbo la Chato Kusini Mhe. Paschal Lutandula ametoa bati 200 ili…
21 January 2026, 4:11 pm
Siku ya kwanza ya uzinduzi wa zoezi hili imepandwa miti zaidi ya 10,000 katika taasisi za umma na binafsi pamoja na majumbani. Na Mrisho Sadick: Kata ya Nyankumbu, Manispaa ya Geita mkoani Geita, imezindua kampeni maalum ya upandaji wa miti…
20 January 2026, 12:50 pm
Jumla ya miradi 901 yenye thamani ya Tsh. bilioni 9.31 kwa mwaka 2024, na miradi 927 kwa mwaka 2025 yenye thamani ya Tsh. bilioni 11 ambapo jumla ya miradi 469 inamilikiwa na watanzania sawa na asilimia 51%. Na: Ester Mabula…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.