Storm FM
Storm FM
15 June 2026, 12:12 am
Sera ya afya nchini wanawake wajawazito, watoto wenye umri chini ya miaka mitano pamoja na wazee wanapaswa kupata huduma za matibabu bure Na Mrisho Sadick: Wakazi wa vijiji vya Bugelenga na Msangila wilayani Bukombe mkoani Geita wamelalamikia kutozwa fedha wanapohitaji…
12 June 2026, 4:34 pm
TAKUKURU mkoa wa Geita imeendelea kuzuia mianya ya Rushwa kwa kuchukua hatua mbalimbali kwwenye makosa mbalimbali kwa kuwafikisha watuhumiwa mahakamani. Na: Ester Mabula Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita imefanya uchunguzi wa upotevu wa fedha…
11 June 2026, 4:02 pm
Washiriki wa mafunzo hayo ni kutoka mikoa ya Geita , Dar es salaam, Mwanza , Ruvuma, Dodoma , Njombe , Mbeya na mikoa mingine ya Tanzania wamechangamkia fursa hiyo. Na Mrisho Sadick: Mjumbe wa Kamati tendaji ya Shirikisho la Mpira…
8 June 2026, 11:15 am
Jeshi la Polisi limeeleza kuwa uchunguzi wa tukio hilo unaendelea huku likiwataka wananchi kuendelea kushirikiana na vyombo vya dola katika kutoa taarifa zitakazosaidia kukamilisha uchunguzi na kuhakikisha haki inatendeka. Na Mrisho Sadick: Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM Taifa ambae…
7 June 2026, 4:05 pm
“Kwanza namshukuru Mwenyezi Mungu kwa hatua hii naimani kabisa Tuzo hii itaongeza motisha kwangu katika kazi yangu” – Ester Mabula Na: Mrisho Sadick Mwandishi wa habari na mtangazaji wa kituo cha Redio cha Storm FM kilichopo mkoani Geita Bi. Ester…
7 June 2026, 3:33 pm
Usiku wa June 06, 2026 zimetolewa tuzo za malkia wa dhahabu kwa kuthamini jitihada za wanawake katika sekta mbalimbali mkoani Geita. Na: Ester Mabula Mkurugenzi na mmiliki wa Kadama English Medium Primary School Bi. Leticia Pastory ametunukiwa tuzo ya mmiliki…
7 June 2026, 2:00 pm
Wadau wamefanikiwa kuchangia milioni 37 zitakazotumika kuboresha miundombinu ya shule, ikiwemo ujenzi wa uzio katika bweni la wasichana Na Mrisho Sadick: Serikali Mkoani Geita imewahimiza wazazi na walezi wenye watoto wenye ulemavu kuhakikisha wanawapeleka shule ili wapate haki yao ya…
6 June 2026, 9:23 pm
Ujenzi wa ofisi hiyo ni sehemu ya jitihada za kuimarisha shughuli za CCM ngazi ya kata na kuweka mazingira bora ya utekelezaji wa majukumu ya chama Na Mrisho Sadick: Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Nikolaus Kasendamila amewataka wanachama wa…
5 June 2026, 7:30 pm
Jumla ya wanafunzi 77 wa darasa la saba walifanya mtihani huo, ambapo wanafunzi 76 walipata wastani wa A na mwanafunzi mmoja pekee akipata wastani wa B. Na: Ester Mabula Shule ya Royal Family English Medium Primary School iliyopo mkoani Geita…
4 June 2026, 3:55 pm
Kukamilika kwa Kituo hicho cha Afya kunatarajiwa kuwaondolea changamoto wananchi kwenda katika Vijiji vya Kharumwa, Nyankurukuru na Kagunga kutafuta huduma za ngazi ya Kituo Cha Afya. Na Mrisho Sadick: Serikali imeendelea kuimarisha huduma za afya Wilayani Nyang’hwale mkoani Geita baada…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.