Storm FM
Storm FM
14 May 2026, 2:57 pm
Mlango wa chuma ulioibiwa na Bededictor.Picha na Kale Chongela Mkazi wa shilabela mwenyeji wa Mkoa wa Mwanza amekamatwa kwa tuhuma za wizi wa mlango wa chuma unaokadiliwa kuwa na Thamani ya Shilingi Laki mbili. Na: Kale Chongela Serikali ya mtaa…
14 May 2026, 11:54 am
“Fedha hizi zimedhibitiwa kwa kipindi cha miezi mitatu na mikakati ya TAKUKURU mkoa wa Geita ni kuendelea kuzuia vitendo vya Rushwa sambamba na mkutoa elimu kwa UMMA juu ya athari za vitendo hivyo” – James Ruge, Mkuu wa TAKUKURU Geita.…
12 May 2026, 4:10 pm
Changamoto hiyo ilibainika baada ya mnunuzi wa kiwanja hicho kuanza hatua za ujenzi wa nyumba ndipo familia ikaamua kuchukua hatua Na Kale Chongela: Mwanaume mmoja aitwaye Bundala Theonest mkazi wa Mtaa wa Mpomvu Kata ya Mtakuja Manispaa ya Geita amefikishwa…
10 May 2026, 5:11 pm
10 May 2026, 4:58 pm
Chanjo hiyo inatarajiwa kutolewa ndani ya mwezi Mei, 2026, ambapo zaidi ya mbwa 2,000 wanatarajiwa kuchanjwa katika kata zote 15 zilizopo ndani ya halmashauri ya wilaya hiyo. Na Mrisho Sadick: Halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita imepokea jumla ya…
10 May 2026, 4:07 pm
Watumishi wa umma wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi, kutunza nyaraka na mali za serikali pamoja na kuwajibika ipasavyo ili kulinda ajira zao. Na Mrisho Sadick: Mtumishi wa serikali katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe anayedaiwa kuweka rehani nyaraka za serikali…
8 May 2026, 7:04 pm
“Huu ni mwaka wa nne tangu huu mradi uanze na kila siku tumekuwa tukipewa ahadi tu kila kiongozi anayekuja anasema utakamilika, tunaomba mamlaka zitusaidie” – Mwananchi wa Nyanguku Na: Ester Mabula Wakazi wa kata ya Nyanguku iliyopo halmashauri ya manispaa…
7 May 2026, 6:45 pm
Halmashauri inatambua nguvu kubwa inayofanywa na wananchi kwa kujenga shule shikizi na kwa bajeti ijayo tutahakikisha tunakamilisha shule zote zilizoanzishwa kwa nguvu za wananchi – Mkurugenzi Myenzi Na: Ester Mabula Halmashauri ya manispaa ya Geita imejipanga kukamilisha shule shikizi zinazoanzishwa…
6 May 2026, 1:03 pm
Kila Jumatano ya kwanza ya kila mwezi (EWURA) Mamlaka ya udhibiti wa huduma za nishati na maji nchini hutangaza bei mpya kikomo za mafuta zitakazotumika kwa mwezi husika. Na: Ester Mabula Watumiaji wa mafuta mkoani Geita wameendelea kulalamikia kupanda kwa…
6 May 2026, 12:26 pm
Afisa wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji akionyesha namna ambavyo jeshi hilo hufanya kazi ya uokoaji. Picha na Kale Chongela Jumla ya matukio 82 yameripotiwa katika kipindi cha miezi mitano ndani ya mkoa wa Geita ambapo kati ya matukio hayo,…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.