Storm FM
Storm FM
28 April 2026, 7:07 pm
Jeshi la zimamoto na uokoaji mkoa wa Geita limetoa elimu kwa wanafunzi wa shule za msingi kuelekea siku ya wazima moto Duniani ambayo huadhimishwa kila Mei 04 ya kila mwaka kwa lengo la kuwakumbuka mashujaa waliopotea maisha katika shughuli za…
28 April 2026, 7:41 am
Serikali ya mtaa wa Mkoani imemkamata mwanamke aliyedaiwa kujisaidia katika diaba lililokuwa na pombe ya kienyeji kwa kile kilichoelezwa ni wivu wa kimapenzi katika eneo la Lukilini mtaa wa Mkoani kata ya kalangalala manispaa ya Geita. Na: Kale Chongela Ikumbukwe…
27 April 2026, 9:37 pm
Shule ya Msingi Fulwe iliyoanzishwa mwaka 1,956 imekuwa ikikabiliwa na changamoto ya uchakavu wa miundombinu ya majengo hali iliyokuwa ikiathiri mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi Na Mrisho Sadick – Geita Benki ya CRDB imeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kuchangia maendeleo…
24 April 2026, 4:25 pm
“Naamini ukarabati wa barabara hizo utaondoa usumbufu kwa wananchi wa kata ya Kalangalala na kuwasaidia kufanya shughuli za kiuchumi” – Diwani Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Kata ya Kalangalala imeingia mkataba wenye thamani ya shilingi milioni 15 na kampuni ya…
23 April 2026, 10:45 pm
Matumaini makubwa ya wananchi wa Geita kupitia Ripoti ya uchunguzi ni taifa kuimarisha mshikamano, amani, na imani ya wananchi kwa serikali yao. Na Mrisho Sadick: Baada ya Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29 kuwasilisha ripoti yake kwa Rais…
17 April 2026, 2:03 pm
“Ni muhimu kujiweka katika mazingira yenye kuheshimika kwenye Jamii kwa kuzingatia nidhamu ambayo hiyo itasaidia hata kwenye kuongeza ufaulu wa wanafunzi” – DED Myenzi Na: Ester Mabula Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya manispaa ya Geita Ndg. Yefred Myenzi amewataka walimu…
17 April 2026, 1:56 am
“Kila Jambo hapa duniani kwa sasa linategemea elimu, hata mimi leo nisingekuwa diwani kama nisingeweka bidii kwenye masomo ili kutimiza ndoto zangu” – Mgeni rasmi Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Mahafali ya nne ya kidato cha sita yamefanyika Aprili 16,…
5 April 2026, 8:03 pm
“Hii barabara imekuwa ikitupa usumbufu mkubwa sana kwahiyo imetulazimu kuweka mawe ili kuondoa usumbufu wakati wa kutumia” – Mwananchi Na: Kale Chongela Wananchi wa mtaa wa Nyantorotoro B, kata ya Nyankumbu, halmashauri ya Manispaa ya Geita, wameonesha mshikamano kwa kujitolea kushiriki…
3 April 2026, 6:20 pm
Na: Ester Mabula Karibu kusikiliza kipindi maalum kinachoangazia masuala ya usawa wa kijinsia ambapo leo mada inaangazia usawa wa kiuchumi ndani ya familia. Swali kuu: Nini sababu ya baadhi ya wanaume kuuza mazao ya familia na kukimbia majukumu yao? Kipindi…
3 April 2026, 4:42 pm
‘Huyu mbuzi nilipewa zawadi kule Kigoma na nilielezwa yuko vizuri tu kwani alizaa, lakini nashangaa nimefika Geita watoto wanasema hana sehemu ya kutoa haja” – Catherine Kachwere, mmiliki wa mbuzi Na: Ester Mabula Catherine Kachwere mkazi wa mtaa wa Nyantorotoro…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.