Storm FM

Recent posts

8 June 2026, 11:15 am

Sagayika alaani tukio la mwanafunzi kubakwa Chato

Jeshi la Polisi limeeleza kuwa uchunguzi wa tukio hilo unaendelea huku likiwataka wananchi kuendelea kushirikiana na vyombo vya dola katika kutoa taarifa zitakazosaidia kukamilisha uchunguzi na kuhakikisha haki inatendeka. Na Mrisho Sadick: Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM Taifa ambae…

7 June 2026, 3:33 pm

Mmiliki shule ya Kadama ashinda tuzo CEO bora Geita

Usiku wa June 06, 2026 zimetolewa tuzo za malkia wa dhahabu kwa kuthamini jitihada za wanawake katika sekta mbalimbali mkoani Geita. Na: Ester Mabula Mkurugenzi na mmiliki wa Kadama English Medium Primary School Bi. Leticia Pastory ametunukiwa tuzo ya mmiliki…

7 June 2026, 2:00 pm

Nyang’hwale yatoa kipaumbele kwa elimu maalum

Wadau wamefanikiwa kuchangia milioni 37 zitakazotumika kuboresha miundombinu ya shule, ikiwemo ujenzi wa uzio katika bweni la wasichana Na Mrisho Sadick: Serikali Mkoani Geita imewahimiza wazazi na walezi wenye watoto wenye ulemavu kuhakikisha wanawapeleka shule ili wapate haki yao ya…

6 June 2026, 9:23 pm

CCM Geita yapiga marufuku siasa za makundi

Ujenzi wa ofisi hiyo ni sehemu ya jitihada za kuimarisha shughuli za CCM ngazi ya kata na kuweka mazingira bora ya utekelezaji wa majukumu ya chama Na Mrisho Sadick: Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita Nikolaus Kasendamila amewataka wanachama wa…

5 June 2026, 7:30 pm

Royal Family yang’ara matokeo ya mock manispaa ya Geita

Jumla ya wanafunzi 77 wa darasa la saba walifanya mtihani huo, ambapo wanafunzi 76 walipata wastani wa A na mwanafunzi mmoja pekee akipata wastani wa B. Na: Ester Mabula Shule ya Royal Family English Medium Primary School iliyopo mkoani Geita…

4 June 2026, 3:55 pm

Ujenzi wa kituo cha afya Busolwa uko hatua nzuri

Kukamilika kwa Kituo hicho cha Afya kunatarajiwa kuwaondolea changamoto wananchi kwenda katika Vijiji vya Kharumwa, Nyankurukuru na Kagunga kutafuta huduma za ngazi ya Kituo Cha Afya. Na Mrisho Sadick: Serikali imeendelea kuimarisha huduma za afya Wilayani Nyang’hwale mkoani Geita baada…

4 June 2026, 1:28 pm

DC Kingalame akabidhi madawati zaidi ya 1,000 Nyangh’wale

Madawati hayo yanatarajiwa kuanza kusambazwa mara moja katika shule za sekondari zilizoathirika zaidi na upungufu huo, hatua inayotarajiwa kuboresha mazingira ya ufundishaji. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa Wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita Grace Kingalame amekabidhi zaidi ya madawati 1,000 kwa…

30 May 2026, 6:15 pm

GGML yafadhili pedi 5,000 kwa wanafunzi mkoani Geita

GGML imeendeleza dhamira yake ya kuikumbuka na kurejesha kwa jamii kwa kugusa makundi mbalimbali kupitia ufadhili wa elimu pamoja na vifaa kwa wanafunzi wa kike mkoani Geita. Na: Ester Mabula Kampuni ya GGML (Geita Gold Minning Limited) imefadhili jumla ya…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.