Storm FM
Storm FM
13 August 2026, 5:02 pm
Licha ya Jitihada za serikali kwa kushiriana na wadau na mashirika mbalimbali kupinga vitendo vya ukatili, bado baadhi ya watu wameendelea kufanya vitendo vya ukatili. Na: Kale Chongela Mtoto mchanga ameokotwa akiwa hai ambapo imedhaniwa kuwa ametupwa muda mfupi baada…
13 August 2026, 4:22 pm
Kata ya Shiloleli inapatikana katika halmshauri ya manispaa ya Geita ambapo inakadiriwa kuwa na jumla ya Ng’ombe 3647, Mbuzi 1420 na Kondoo zaidi ya 900. Na: Ester Mabula Wafugaji wa kata ya Shiloleli, halmashauri ya manispaa ya Geita, wameanza kunufaika…
13 August 2026, 1:58 pm
Serikali imeendelea kuboresha kituo cha Afya Iparamasa kwa kukarabati miundombinu mbalimbali ili kusaidia utoaji wa huduma za afya kwa wananachi. Na: Ester Mabula Kituo cha Afya Iparamasa kilichopo wilaya ya Chato mkoani Geita kimekabidhiwa gari la wagonjwa (Ambulance) lenye zaidi…
11 August 2026, 7:05 pm
Kikao hicho kimeweka mkakati wa kuhakikisha watoto wenye umri wa kwenda shule wanapata haki yao ya msingi ya elimu mkoa wa Geita Na Mrisho Sadick: Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Geita imewaonya baadhi ya wazazi…
10 August 2026, 12:33 pm
Inadaiwa kuwa baadhi ya watu wanatumia maboma hayo kuratibu na kupanga matukio ya uhalifu nakwamba ni hatari kwa usalama wa mali na maisha ya watu. Na Kale Chongela: Serikali ya Mtaa wa Mkoani Kata ya Kalangalala Manispaa ya Geita imewataka…
10 August 2026, 12:02 pm
Taa hizo zipo katika barabara zinazosimamiwa na wakala wa barabara Tanzania TANROADS na wakala wa barabara mjini na vijijini TARURA Na Mrisho Sadick: Wajumbe wa Kikao cha 17 cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Geita wameiomba Wakala wa Barabara Tanzania…
8 August 2026, 12:27 pm
Pampu hizo zimegawanywa katika halmashauri tano ambapo Bukombe imepata 16, Chato 41, Geita DC 50, Mbogwe 20 na Nyang’hwale 14. Na Mrisho Sadick: Serikali kupitia tume ya taifa ya umwagiliaji imekabidhi pampu 141 za umwagiliaji zenye thamani ya shilingi bilioni…
7 August 2026, 12:12 pm
Baadhi ya wakina mama waliohudhuria kwenye elimu ya onyonyeshaji kata ya Kasamwa. Picha na Kale Chongela Wakati wa Maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji kuna changamoto ya wanaume kutojitokeza kupata elimu juu ya utoaji wa lishe kwa watoto wao. Na: Kale…
7 August 2026, 11:42 am
Kipindi hiki maalum kinachoangazia masuala ya usawa wa kijinsia kinapewa nguvu na kwa Chama Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na Storm FM. Na: Ester Mabula Karibu kusikiliza kipindi kinachoangazia masuala mbalimbali yanayohusu usawa wa kijinsia kwa lengo…
3 August 2026, 1:15 pm
Tamasha hilo litafanyika ikiwa ni sehemu ya utambulisho wa Uwanja mpya wa kisasa wa Bukombe, ambao utatumika na Geita Gold FC katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2026/2027. Na Mrisho Sadick: Waandaaji wa Tamasha la Joto la…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.