Storm FM

Recent posts

1 September 2026, 2:02 pm

Mkakati wa kuongeza uzalishaji wa zao la nyanya Geita

Mahitaji ya nyanya yamekuwa makubwa wilayani Geita huku wakulima wakitakiwa kuongeza uzalishaji wa mazao ya mbogamboga hali ambayo itasaidia kuwawezesha wakulima kuongeza kipato na kukidhi mahitaji ya soko Na Mrisho Sadick: Wakulima wa mbogamboga wilayani Geita mkoani Geita wametakiwa kutumia…

1 September 2026, 1:40 pm

Madiwani Geita DC wacharuka ubovu wa barabara

Madiwani wameendelea kusisitiza kuwa hatua za haraka zinahitajika hususan kabla na wakati wa msimu wa mvua ili kuzuia barabara kukatika, kuathiri usafiri wa wananchi na kusababisha usumbufu katika shughuli za kijamii na kiuchumi. Na Mrisho Sadick: Madiwani wa Halmashauri ya…

27 August 2026, 12:10 pm

Mwenge wa uhuru wazindua Hospital ya Gakala Mbogwe

Kwa mujibu wa Gakala lengo la mradi huo ni kuwawezesha wananchi wa Mbogwe na wilaya jirani kupata huduma bora za afya, zikiwemo huduma za kibingwa, bila kulazimika kusafiri umbali mrefu. Na Mrisho Sadick: Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru…

26 August 2026, 11:00 am

Daraja la Buziba Ilangasika lakamilika

Daraja hilo lina midomo tisa (9) na lina urefu wa mita 40 kukamilika kwake kumekuwa na manufaa makubwa kwa wananchi wa maeneo hayo. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kata ya Lwamgasa wilayani Geita wameipongeza Serikali kwa kukamilisha ujenzi wa Daraja…

22 August 2026, 1:07 pm

Polisi Jamii Run Club kuimarisha mahusiano na jamii Geita

Polisi Jamii ilianzishwa Agosti 25, 2006 na IGP Mstaafu Said Mwema kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya Jeshi la Polisi na Jamii ambapo maadhimisho hayo yameenda sambamba na zoezi la uchangiaji wa damu wa hiari. Na: Ester Mabula Jeshi…

22 August 2026, 12:35 am

Madiwani waridhia kukamilisha uwanja wa Magogo kwa fedha za ndani

Ujenzi wa uwanja huo awali ulikuwa chini ya fedha za uwajibikaji wa Kampuni kwa jamii (CSR) zinazotolewa na kampuni ya GGML ambapo baraza la madiwani limeridhia fedha hizo zitumike kwenye miradi mingine ya maendeleo. Na: Ester Mabula Baraza la madiwani…

22 August 2026, 12:14 am

Mbunge Chacha atatua changamoto ya umeme na maji zahanati ya Mwatulole

Mbunge wa Jimbo la Geita mjini Mhandisi Chacha Wambura ameendelea kutatua changamoto za waananchi katika jimbo lake kwa kufanya ziara katika maeneo mbalimbali sambamba na kusikiliza kero za wananchi. Na: Ester Mabula Mbunge wa Jimbo la Geita mjini Mhandisi Chacha…

21 August 2026, 7:59 pm

Bodi ya GEUWASA yaridhishwa na mradi wa maji wa miji 28 Geita

Mradi unahusisha ujenzi wa mtambo wa kutibu maji wenye uwezo wa lita milioni 44 hadi 45 kwa siku, ujenzi wa mabomba ya kusafirisha maji kwa zaidi ya kilomita 50, pamoja na mtandao wa usambazaji maji wa takribani kilomita 30 ndani…

21 August 2026, 2:59 pm

Wananchi walalamikia kuondolewa kwenye makazi yao Geita

Baadhi ya Wakazi wanaolalamikia kuondolewa katika makazi yao.Picha na Edgar Rwenduru Wameishi katika eneo hilo kwa muda mrefu na wamewekeza katika makazi na shughuli mbalimbali za kiuchumi hivyo kuondolewa bila fidia wala kuelekezwa eneo la kwenda kutawaathiri wao na familia…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.