Storm FM
Storm FM
26 June 2026, 8:05 pm
Wilaya ya Nyang’hwale imeendelea Wilaya ya Nyang’hwale imeendelea kusisitiza umuhimu wa kutoa mikopo kwa vikundi vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu ili kuimarisha uchumi Na Mrisho Sadick: Mkuu wa wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita Grace Kingalame ameziagiza taasisi nunuzi …
26 June 2026, 6:17 pm
Leo Juni 26, 2026 TAKUKURU imewafikisha mahakamani watumishi wapatao 18 kutoka katika halmashauri tano za mkoa mkoa wa Geita kutoka na makosa ya ubadhirifu. Na: Ester Mabula Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Geita imewafikisha Mahakamani…
26 June 2026, 2:34 pm
Kampuni ya GGML imeendelea kuimarisha mahusiano na Jamii pamoja na serikali kwa kufadhili miradi mbalimbali ya CSR ambayo imetajwa kuendelea kuchagiza maendeleo ya mkoa wa Geita na Tanzania kwa ujuma. Na: Ester Mabula Kampuni ya Geita Gold Minning Limited (GGML)…
23 June 2026, 5:49 pm
Mimba za utotoni na wanafunzi hususani wa kike kutembea umbali mrefu kwenda katika shule ya sekondari Kamena zimewaibua wananchi wa Ndelema kujenga shule yao Na Mrisho Sadick: Hofu ya kuongezeka kwa mimba za utotoni miongoni mwa wanafunzi wa kike katika…
22 June 2026, 8:30 pm
Mkuu wa Mkoa wa Geita akiwa katika Halmashauri ya wilaya ya Geita ametembelea nakukagua miradi mbalimbali ikiwemo ya afya na elimu ambapo ameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi hiyo. Na Mrisho Sadick: Zaidi ya Shilingi milioni 259 zimetumika kwenye…
22 June 2026, 7:20 pm
Mazoezi ya mara kwa mara yana mchango mkubwa katika kupunguza hatari ya kupata magonjwa kama shinikizo la damu, kisukari, magonjwa ya moyo pamoja na unene uliopitiliza. Na Mrisho Sadick: Wananchi Mkoani Geita wamehimizwa kufanya mazoezi kuwa sehemu ya maisha yao…
22 June 2026, 5:41 pm
Serikali mkoani Geita imevalia njuga suala la kuboresha miundombinu baada ya Geita Gold kupanda ligi kuu soka ya NBC Tanzania bara. Na: Ester Mabula Halmashauri ya Manispaa ya Geita Mkoani Geita imepanga kutumia zaidi ya shilingi milioni 300 kwa ajili…
22 June 2026, 4:24 pm
“Kwanza niwapongeze sana sana ESAP kwa uthubutu huu na hii inaendana sambamba na dhamira ya serikali ya awamu ya sita kuweka mazingira wezeshi kwa wazawa katika mnyororo wa thamani ya madini nchini” – DC Geita Hashim Komba Na: Ester Mabula…
20 June 2026, 6:55 pm
Kituo cha Twist Elite Football Academy kitakuwa kikiendesha shughuli zake katika viwanja vya shule ya sekondari ya Waja boys iliyopo halmashauri ya manispaa ya Geita chini ya kocha Choki Abeid pamoja na makocha wengine wenye uzoefu wa kuibua vipaji vya…
20 June 2026, 5:31 pm
Jumla ya watu 9 wamejeruhiwa na wengine kunusurika huku mtu mmoja akifariki dunia kutokana na ajali hiyo ambayo ilitokea katika kata ya Nyamigota iliyopo wilaya ya Geita. Na: Ester Mabula Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 9 kujeruhiwa katika ajali…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.