Storm FM
Storm FM
1 September 2026, 2:02 pm
Mahitaji ya nyanya yamekuwa makubwa wilayani Geita huku wakulima wakitakiwa kuongeza uzalishaji wa mazao ya mbogamboga hali ambayo itasaidia kuwawezesha wakulima kuongeza kipato na kukidhi mahitaji ya soko Na Mrisho Sadick: Wakulima wa mbogamboga wilayani Geita mkoani Geita wametakiwa kutumia…
1 September 2026, 1:40 pm
Madiwani wameendelea kusisitiza kuwa hatua za haraka zinahitajika hususan kabla na wakati wa msimu wa mvua ili kuzuia barabara kukatika, kuathiri usafiri wa wananchi na kusababisha usumbufu katika shughuli za kijamii na kiuchumi. Na Mrisho Sadick: Madiwani wa Halmashauri ya…
28 August 2026, 11:38 pm
Uwekezaji kama wa Hoteli ya KER ni mfano wa namna rasilimali za mtu binafsi zinavyoweza kutumika kujenga uchumi wa mtu mmoja mmoja, jamii na taifa kwa ujumla. Na Mrisho Sadick: Mwenge wa Uhuru umekagua na kuzindua uwekezaji wa Hoteli ya…
27 August 2026, 12:10 pm
Kwa mujibu wa Gakala lengo la mradi huo ni kuwawezesha wananchi wa Mbogwe na wilaya jirani kupata huduma bora za afya, zikiwemo huduma za kibingwa, bila kulazimika kusafiri umbali mrefu. Na Mrisho Sadick: Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru…
26 August 2026, 11:00 am
Daraja hilo lina midomo tisa (9) na lina urefu wa mita 40 kukamilika kwake kumekuwa na manufaa makubwa kwa wananchi wa maeneo hayo. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kata ya Lwamgasa wilayani Geita wameipongeza Serikali kwa kukamilisha ujenzi wa Daraja…
22 August 2026, 1:07 pm
Polisi Jamii ilianzishwa Agosti 25, 2006 na IGP Mstaafu Said Mwema kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya Jeshi la Polisi na Jamii ambapo maadhimisho hayo yameenda sambamba na zoezi la uchangiaji wa damu wa hiari. Na: Ester Mabula Jeshi…
22 August 2026, 12:35 am
Ujenzi wa uwanja huo awali ulikuwa chini ya fedha za uwajibikaji wa Kampuni kwa jamii (CSR) zinazotolewa na kampuni ya GGML ambapo baraza la madiwani limeridhia fedha hizo zitumike kwenye miradi mingine ya maendeleo. Na: Ester Mabula Baraza la madiwani…
22 August 2026, 12:14 am
Mbunge wa Jimbo la Geita mjini Mhandisi Chacha Wambura ameendelea kutatua changamoto za waananchi katika jimbo lake kwa kufanya ziara katika maeneo mbalimbali sambamba na kusikiliza kero za wananchi. Na: Ester Mabula Mbunge wa Jimbo la Geita mjini Mhandisi Chacha…
21 August 2026, 7:59 pm
Mradi unahusisha ujenzi wa mtambo wa kutibu maji wenye uwezo wa lita milioni 44 hadi 45 kwa siku, ujenzi wa mabomba ya kusafirisha maji kwa zaidi ya kilomita 50, pamoja na mtandao wa usambazaji maji wa takribani kilomita 30 ndani…
21 August 2026, 2:59 pm
Baadhi ya Wakazi wanaolalamikia kuondolewa katika makazi yao.Picha na Edgar Rwenduru Wameishi katika eneo hilo kwa muda mrefu na wamewekeza katika makazi na shughuli mbalimbali za kiuchumi hivyo kuondolewa bila fidia wala kuelekezwa eneo la kwenda kutawaathiri wao na familia…
Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.
Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.
Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.
OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.
ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.