3 April 2026, 6:20 pm
Audio

Kipindi: Ukatili wa kiuchumi ndani ya familia

Na: Ester Mabula Karibu kusikiliza kipindi maalum kinachoangazia masuala ya usawa wa kijinsia ambapo leo mada inaangazia usawa wa kiuchumi ndani ya familia. Swali kuu: Nini sababu ya baadhi ya wanaume kuuza mazao ya familia na kukimbia majukumu yao? Kipindi…

On air
Play internet radio

Recent posts

22 June 2026, 4:24 pm

DC Geita ashiriki uzinduzi wa MMU ya ulipuzi wa miamba migodini

“Kwanza niwapongeze sana sana ESAP kwa uthubutu huu na hii inaendana sambamba na dhamira ya serikali ya awamu ya sita kuweka mazingira wezeshi kwa wazawa katika mnyororo wa thamani ya madini nchini” – DC Geita Hashim Komba Na: Ester Mabula…

20 June 2026, 6:55 pm

Academy ya mpira yazinduliwa kukuza vipaji Geita

Kituo cha Twist Elite Football Academy kitakuwa kikiendesha shughuli zake katika viwanja vya shule ya sekondari ya Waja boys iliyopo halmashauri ya manispaa ya Geita chini ya kocha Choki Abeid pamoja na makocha wengine wenye uzoefu wa kuibua vipaji vya…

20 June 2026, 5:31 pm

Mabasi yagongana na kuua mtu mmoja Geita

Jumla ya watu 9 wamejeruhiwa na wengine kunusurika huku mtu mmoja akifariki dunia kutokana na ajali hiyo ambayo ilitokea katika kata ya Nyamigota iliyopo wilaya ya Geita. Na: Ester Mabula Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 9 kujeruhiwa katika ajali…

19 June 2026, 2:26 pm

RC Geita akagua mradi wa maji wa bilioni 1 Mbogwe

Katika kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama vijijini serikali imeendelea kuchukua hatua za haraka kutekeleza miradi itakayokwenda kuondoa changamoto hiyo. Na Mrisho Sadick: Wananchi zaidi ya 12,000 wa Kata za Ilolangulu na Ngemo wilayani Mbogwe mkoani…

19 June 2026, 2:06 pm

RPC Geita asema Polisi kuingia bure kutoka bure

Jeshi la polisi Geita latoa tamko kutokana na madai ya baadhi ya wananchi kulalamika kuwa ukihitaji huduma za kipolisi kama usipokuwa na pesa utapata changamoto sana kushughulikiwa tatizo lako. Na Mrisho Sadick: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Kamishna Msaidizi…

17 June 2026, 6:08 pm

TAKUKURU Geita yafikisha watumishi wengine 9 kizimbani kwa Rushwa

TAKUKURU mkoa wa Geita imeendelea kufatilia na kuchulua hatua juu ya makosa mbambali ya Rushwa kwa kuwafikisha mahakamani watuhumiwa mbalimbali wa makosa hayo., Na: Ester Mabula Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Said Lipunjanje kwa niaba ya Mkuu wa TAKUKURU…

16 June 2026, 10:19 am

Ally Hapi atoa maagizo ya ujenzi wa barabara ya Geita Kahama

Barabara hiyo yenye urefu wa kilomita 63 inajengwa kwa zaidi ya Shilingi bilioni 113 na kuwa kichocheo kikubwa cha uchumi kwa wananchi hususani wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu. Na Mrisho Sadick: Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM…

15 June 2026, 12:12 am

RC Shigela apiga marufuku wajawazito kutozwa pesa Bukombe

Sera ya afya nchini wanawake wajawazito, watoto wenye umri chini ya miaka mitano pamoja na wazee wanapaswa kupata huduma za matibabu bure Na Mrisho Sadick: Wakazi wa vijiji vya Bugelenga na Msangila wilayani Bukombe mkoani Geita wamelalamikia kutozwa fedha wanapohitaji…

12 June 2026, 4:34 pm

Takukuru Geita yawafikisha kizimbani watumishi 7 kwa ubadhirifu wa fedha

TAKUKURU mkoa wa Geita imeendelea kuzuia mianya ya Rushwa kwa kuchukua hatua mbalimbali kwwenye makosa mbalimbali kwa kuwafikisha watuhumiwa mahakamani. Na: Ester Mabula Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita imefanya uchunguzi wa upotevu wa fedha…

STORM FM OVERVIEW

Welcome to the vibrant world of 88.9 Storm FM! Established in 2011 and broadcasting since June 2015, we are dedicated to redefining radio excellence in Tanzania.

Vision
To be the premier destination for cutting-edge entertainment, insightful news, and diverse music, uniting our community through the power of sound.

Mission
To deliver engaging and innovative content that informs, inspires, and entertains our listeners, fostering memorable experiences and positively impacting their lives.

OUR VALUES
At 88.9 Storm FM, we uphold the values of integrity, creativity, diversity, and excellence in all that we do. We are dedicated to fostering a culture of inclusivity, respect, and collaboration, valuing the unique contributions of each team member and our audience’s diverse perspectives.

ON-GROUND ACTIVATIONS
We strive to foster meaningful relationships, make a positive impact, and strengthen our bond with the community we serve.