On air
Play internet radio

Recent posts

1 May 2024, 3:43 pm

Taka ni kikwazo kwa baadhi ya maeneo mjini Geita

Licha ya jitihada mbalimbali zinazoendelea kufanywa na halmashauri ya mji wa Geita ili kukabiliana na uchafu wa mazingira, bado hali ni tete kwa baadhi ya maeneo. Na: Kale Chongela – Geita Baadhi ya wananchi kutoka mitaa ya Mpomvu, Mbabani, Nyantorotoro…

30 April 2024, 6:04 pm

Geita queens yavuna alama 1 ligi ya wanawake

Ikiwa ni mwendelezo wa Ligi kuu ya wanawake Tanzania bara, Geita queens yaonesha matumaini kwa kupata sare. Na: Juma Zacharia – Geita Kikosi cha Geita Gold Queens kutoka mkoani Geita kimeendelea kukosa ushindi katika mwendelezo wa ligi kuu wanawake Tanzania…

30 April 2024, 3:39 pm

Familia zinazoishi mazingira magumu zapatiwa msaada

Hali duni ya maisha inayopelekea kukosa mahitaji mbalimbali inatajwa kuwa chanzo cha baadhi ya watoto kushindwa kupata haki ya eleimu kutokana na wazazi kushindwa kumudu gharama na kupelekea ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira magumu. Na: Edga Rwenduru – Geita…

29 April 2024, 5:31 pm

Sakata la Mpanduji kujiua, wananchi wawakataa viongozi wa kijiji

Baada ya Storm Fm kuripoti taarifa ya mwanaume mmoja Mpanduji Mshigwa (46) mkazi wa kijiji cha Busaka kata ya Bwera halmashauri ya Chato kujiua kwa kile kilichodaiwa kuingia mgogoro na mwanaume aliyetambulika kwa jina moja la Halawa (mganga wa jadi)…

29 April 2024, 3:18 pm

Biteko atembelea banda la GGML maonesho ya OSHA

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri mkuu na waziri wa nishati Dkt. Dotto Biteko ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kufanikiwa kudhibiti matukio ya vifo na majeruhi katika shughuli za uchimbaji mgodini na kuwasisitiza waajiri wengine kuhakikisha wakati…

26 April 2024, 11:47 am

Shirika la Plan International lawafuta machozi wasichana

Mradi wa KAGIS (Keeping Adolescent girls in shool) ambao unaratibiwa na shirika la Plan international umeendelea kuacha alama kwenye sekta ya elimu mkoani Geita kwa kuendelea kupunguza changamoto zinazowakabili watoto wa kike kuendelea na masomo. Na Kale Chongela – Geita…

25 April 2024, 10:43 am

Geita Queens yazidi kudidimia ligi ya wanawake

Ligi kuu ya wanawake Tanzania bara inaendelea ambapo timu mbalimbali za Tanzania zinashiriki katika ligi hiyo Na Juma Zacharia – Geita Kikosi cha Geita gold queens cha mkoani Geita kimedondosha alama tatu katika mwendelezo wa ligi kuu ya wanawake Tanzania…

25 April 2024, 10:30 am

Mpanduji ajiua kwa kujichoma kisu kisa wivu wa mapenzi

Ingawa ni ngumu kuelewa sababu ya mtu kujaribu kujiua, watu wanaojaribu kujiua ndio wanajua ukweli wa jambo hilo, kwa mujibu wa Shirika la afya duniani  (WHO),zaidi ya watu 700,000 hufariki kwa kujiua kila mwaka. Na Ester Mabula – Geita Mpanduji…

25 April 2024, 10:04 am

Umoja wa madereva bajaji mji wa Katoro wakutana

Usafiri wa pikipiki zenye magurudumu matatu maarufu bajaji nchini umekuwa ukitegemewa na wananchi kwa kiasi kikubwa kwa baadhi ya maeneo nchini huku baadhi ya vijana wakijiajiri na kuweza kuendesha maisha yao. Na Evance Mlyakado – Geita Umoja wa waendesha bajaji…

24 April 2024, 4:18 pm

GGML,OSHA watoa mafunzo ya kukabili majanga ya moto kwa mama lishe

Majanga ya moto yamekuwa yakileta athari ikiwemo kusababisha umasikini kutokana na baadhi ya watu kushindwa kukabiliana nayo kwakuwa hawana elimu ya kupambana na majanga hayo. Na Mwandishi Wetu: Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Wakala wa…

Kwanini utangaze nasi?

Storm FM Radio ni Kituo cha Matangazo kilichopo Mkoani Geita ambacho kinasikika maeneo yote ya Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa jirani kwa masafa ya 88.9.

Tunasikilizwa na makundi ya rika zote kwakuwa tumejipambanua kwa kuifikia jamii moja kwa moja kupitia Radio, Matamasha na mitandao ya kijamii ikiwemo Instagram,Twitter,Facebook na radiotadio.co.tz/stormfm.