Storm FM

Recent posts

17 January 2024, 11:18 am

Wanafunzi darasa la nne zaidi ya 1,000 wamefeli Nyang’hwale

Kutokana na matokeo mabaya ya darasa la nne na kidato cha pili mwaka jana wilaya ya Nyang’hwale imeanza mikakati ya mapema ili kuepukana na changamoto hiyo mwaka huu. Na Mrisho Sadick : Kufuatia anguko la kufeli wanafunzi wa darasa la…

15 January 2024, 5:01 pm

Watu 12 wathibitika kuwa na kipindupindu mmoja afariki dunia Geita

Mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu unaendelea kuenea mikoa ya Kanda ya Ziwa baada ya mikoa ya Mwanza na Kagera kukumbwa na ugonjwa huo sasa Geita nayo yatangaza. Na Mrisho Sadick – Geita Watu 12 wamethibitika kuwa na ugonjwa wa kipindupindu…

10 January 2024, 7:16 pm

Kampuni ya Blue Coast yakarabati madarasa saba

Wawekezaji wazawa waliyopo wilayani Geita wametakiwa kushirikiana na serikali kuondoa changamoto mbalimbali zilizopo kwenye sekta ya elimu kwenye maeneo waliyowekeza. Na Mrisho Sadick – Geita Wakazi wa Mtaa wa Nyamalembo Kata ya Mtakuja Halmashauri ya Mji wa Geita wameishukuru kampuni…

10 January 2024, 6:57 pm

Naibu waziri wa Habari atoa maagizo kwa wakandarasi nchini

Serikali ya awamu ya sita imejidhatiti katika kuimarisha mawasiliano nchini kwa kuongeza kasi ya ujenzi wa minara na vituo vya kuongeza nguvu ya mawasiliano. Na Mrisho Sadick – Chato Naibu Waziri wa Habari ,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandis Kundo…

4 January 2024, 11:12 am

Aonekana hai baada ya kufariki miaka 3 iliyopita Geita

Mwanamke Mugumba Misalaba aliyepatikana akiwa hai Fitina baada ya kufariki miaka 3 iliyopita. Picha na Amon Bebe Matukio ya baadhi ya watu kufariki dunia na kuonekana tena yameendelea kutokea katika maeneo tofauti, jambo ambalo linazua mizozo na kuhusishwa na imani…

3 January 2024, 10:27 am

Zaidi ya vijiji 5 maji ni changamoto Geita

Vijiji vitano vya kata ya Bukondo mkoani Geita havina huduma za maji huku zahanati ya Bukondo inayohudumia vijiji vitano katika kata hiyo ikiwa na watumishi wawili tu. Na Zubeda Handrish- Geita Wananchi wa kata ya Bukondo mkoani Geita wamemweleza changamoto…

2 January 2024, 8:41 am

Wafanyabiashara wa samaki walia na ushuru njiani, Geita

Kilio kimeendelea kwa wafanyabiashara wa samaki kutozwa tozo kubwa wanawapokuwa njiani wakati wanataka kuzifikisha samaki hizo sokoni na kuamua kutoa ya moyoni. Na Zubeda Handrish- Geita Wafanyabiashara wa samaki katika soko la jioni (Joshoni) Nyankumbu mjini Geita, wamezungumzia changamoto ya…

13 December 2023, 4:00 pm

Kinana azindua ofisi za kisasa za CCM Bukombe

Wilaya ya Bukombe imetekeleza Ilani ya chama cha mapinduzi CCM kwa kujenga ofisi za kisasa. Na Zubeda Handrish- Geita Makamu mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abrahman Kinana, amezindua ofisi ya kisasa ya chama hicho wilayani Bukombe mkoani…

8 December 2023, 1:50 pm

TRA yawakumbuka watu wenye uhitaji

Jamii imeombwa kuendelea kuwakumbuka watu wenye mahitaji maalumu kwakuwa bila kuungana kwa pamoja kuwasaidia wataendelea kuisha katika mazingira magumu. Na Mrisho Sadick – Geita Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Geita imetoa msaada wa Chakula na vitu mbalimbali kwa…

Kwanini utangaze nasi?

Storm FM Radio ni Kituo cha Matangazo kilichopo Mkoani Geita ambacho kinasikika maeneo yote ya Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa jirani kwa masafa ya 88.9.

Tunasikilizwa na makundi ya rika zote kwakuwa tumejipambanua kwa kuifikia jamii moja kwa moja kupitia Radio, Matamasha na mitandao ya kijamii ikiwemo Instagram,Twitter,Facebook na radiotadio.co.tz/stormfm.