Storm FM

Recent posts

24 October 2023, 8:19 pm

Mabasi mabovu 19 yapigwa stop kusafirisha abiria Geita

Kutokana na uwepo wa ajali nyingi mwisho wa mwaka zinazochangiwa na matumizi ya magari mabovu , watu kutozingatia sheria za usalama barabarani , Jeshi la Polisi limekuja na mwarobaini wa matukio hayo. Na Mrisho Sadick: Jeshi la Polisi Mkoani Geita…

19 October 2023, 11:46 am

TCRA: Ni kosa kutumia kitambulisho cha mtu mwingine

Bado kuna wimbi kubwa la wananchi ambao wanaendelea kutumia vitambulisho vya taifa vya watu wengine kusajili laini zao za simu jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi. Na Mrisho Sadick: Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imetoa onyo kwa watu…

19 October 2023, 11:09 am

Matokeo ya sensa ikawe chachu ya kuwaletea wananchi maendeleo

Kujulikana kwa idadi ya watu na makazi kupitia Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 ikawe chachu ya viongozi wa serikali kupanga mikakati ya maendeleo kwa wananchi wake. Na Mrisho Sadick: Mkuu wa Mkoa wa Geita Martine Shigela amewataka…

18 October 2023, 6:30 pm

Madereva waonywa kupakia dizeli, petroli kwenye usafiri wa umma

Changamoto ya baadhi ya wasafirishaji kuruhusu kupakia chupa zenye mafuta ya dizeli na petroli kwenye vyombo vyaio imekuwa kero kwa abiria mkoani Geita. Na Zubeda Handrish- Geita Baadhi ya abiria wanaotumia magari madogo ya abiria aina ya hiace yanayofanya safari…

17 October 2023, 10:25 am

Serikali ya wilaya Geita yaagizwa kuongeza kasi usambazaji wa mbolea

Serikali imetakiwa kuharakisha mchakato wa usambazaji wa Mbole kwa wakulima kwakuwa wakulima wengi hususani katika wilaya ya Geita hawajafikiwa na mbolea hizo. Na Mrisho Sadick Chama Cha Mpinduzi CCM wilaya ya Geita kimeiagiza serikali ya wilaya ya Geita kusambaza kwa…

15 October 2023, 6:59 am

Popo wavamia mtaa, wananchi wakumbwa na taharuki Geita

Changamoto ya popo katika baadhi ya maeneo Tanzania imeonekana kuwa ni sugu, hilo pia limetokea katika mtaa wa katikati ya mji wa Geita. Na Zubeda Handrish- Geita Wananchi wa mtaa wa Nyerere Road uliopo kata ya Kalangalala, halmshauri ya Mji…

14 October 2023, 12:05 pm

GGML yatimiza ahadi ya basi jipya kwa klabu ya Geita Gold FC

Changamoto ya usafiri baada ya klabu ya Geita Gold FC kupanda Ligi kuu ya NBC msimu wa 2021/22, umepelekea mdhamini mkuu wa klabu hiyo GGML kuahidi basi litakalowarahisishia kusafiri. Na Zubeda Handrish- Geita Mgodi wa dhahabu wa Geita Gold Mine…

13 October 2023, 1:03 pm

Mkoa wa Geita kupata Mahakama Kuu

Idadi ya watu milioni 2.9 katika Mkoa wa Geita imemsukuma Jaji Mkuu wa Tanzania kuanzia Mahakama kuu Mkoani Geita. Na Mrisho Sadick Geita: Jaji Mkuu wa Tanzania na Mwenyekiti wa tume ya utumishi wa Mahakama Profesa Ibrahimu Juma ameagiza kuanzishwa…

Kwanini utangaze nasi?

Storm FM Radio ni Kituo cha Matangazo kilichopo Mkoani Geita ambacho kinasikika maeneo yote ya Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa jirani kwa masafa ya 88.9.

Tunasikilizwa na makundi ya rika zote kwakuwa tumejipambanua kwa kuifikia jamii moja kwa moja kupitia Radio, Matamasha na mitandao ya kijamii ikiwemo Instagram,Twitter,Facebook na radiotadio.co.tz/stormfm.