Recent posts
30 September 2023, 9:03 pm
TMDA yaendelea kuelimisha wananchi matumizi sahihi ya dawa na vifaa tiba
Matumizi mabaya ya dawa na vifaa tiba bado imeonekana ni changamoto kwa baadhi ya maeneo kanda ya ziwa, hili limesababisha TMDA kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya matumizi sahihi ya dawa. Na Zubeda Handrish- Geita Meneja wa Mamlaka ya…
29 September 2023, 10:30 pm
Bodaboda Geita wagoma kuzika wakiwadai rambirambi viongozi wao
Suala la kupewa pesa pungufu unapotokea msiba wa bodaboda mwenzao katika chama cha bodaboda mkoa wa Geita, limewaibua bodaboda hao na kuamini viongozi wao wana kawaida ya kula rambirambi. Na Zubeda Handrish- Geita Waendesha boda boda mkoani Geita wamegoma kufanya…
29 September 2023, 9:15 pm
GGML yafanya makubwa maonesho ya 6 ya madini
Geita Gold Mine Limited umeendelea kuwa mgodi wa mfano katika masuala ya teknolojia ya madini na elimu kwa wananchi. Na Zubeda Handrish- Geita Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa kiasi cha Sh. milioni 150 kudhamini Maonyesho ya Sita…
29 September 2023, 12:34 pm
TBA yaupiga mwingi mradi wa majengo mkoa wa Geita
Na Zubeda Handrish- GeitaWakala wa majengo Tanzania (TBA) kupitia kwa Meneja wa TBA mkoa wa Geita Mhandisi Gladys Jefta Septemba 28,2023 amesema awamu ya kwanza (phase one) ya ujenzi wa majengo saba ya serikali katika Mkoa wa Geita imekamilika ambapo…
28 September 2023, 10:27 am
Kazi za sanaa zilivyomtoa kimaisha Allen
Kazi za sanaa zinapendwa zaidi na wageni kutoka mataifa mengine kuliko wazawa wa Tanzania, licha ya changamoto ya kutopata wageni wa mara kwa mara katika biashara yake Allen hakukata tamaa. Na Zubeda Handrish- Geita Kutana na Allen Furaha Mushi Mjasiriamali…
27 September 2023, 2:12 pm
TBA yawafikia wanageita kwa kutoa elimu katika maonesho ya 6
TBA imeendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya serikali kwa uaminifu na uadilifu huku Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongeza wigo katika sekta hiyo na kuiruhusu kufanya kazi na mashirika binafsi. Na Zubeda Handrish- Geita…
26 September 2023, 7:27 pm
BUCKREEF kuendelea kutunza mazingira kwa kupanda miti
Mgodi wa BUCKREEF umeendelea kupanua wigo katika kuzalisha miche ya miti ili kuhakikisha mazingira yanaendelea kutunzwa katika kupanda miti maeneo yanayozunguka mgodi. Na Kale Chongela- Geita Katika kuendelea kutatua changamoto ya uharibifu wa mazingiara ikiwemo ukataji miti kiholela, Mgodi Wa…
26 September 2023, 7:05 pm
Waziri Jafo aipongeza GGML kwa kuendelea kutunza mazingira
Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na meneja wa TFS miti 400 imepandwa katika viwanja vya EPZA Bombambili na Mhe. Jafo. Na Kale Chongela- Geita Waziri Wa Nchi ofisi ya makamu wa Rais, Muungano na Mazingiara Mhe. Selemani Jafo ameipongeza GGML…
25 September 2023, 10:53 am
Biteko awataka viongozi kuongeza weledi fedha za miradi
Baada ya kuzindua maonesho ya 6 ya kimataifa ya teknolojia ya madini katika viwanja vya EPZA mjini Geita Septemba 23, 2023, Waziri Biteko alifika hadi kwa wananchi wa Bukombe, mamlaka ya mji mdogo Ushirombo nyumbani kwao kwa ajili ya shukrani.…
25 September 2023, 8:42 am
Hospitali ya rufaa ya kanda Chato yarahisisha huduma kupitia maonesho ya 6 Geita
Ukaribu wa huduma ya afya kwa wananchi unarahisisha mwamko wa wananchi katika kuchunguza afya zao na kupatiwa matibabu kwa wakati, hilo limesababisha Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato kushiriki maonesho ya 6 ya kimataifa ya teknolojia ya madini. Na Zubeda…