Storm FM

Recent posts

26 September 2023, 7:27 pm

BUCKREEF kuendelea kutunza mazingira kwa kupanda miti

Mgodi wa BUCKREEF umeendelea kupanua wigo katika kuzalisha miche ya miti ili kuhakikisha mazingira yanaendelea kutunzwa katika kupanda miti maeneo yanayozunguka mgodi. Na Kale Chongela- Geita Katika kuendelea kutatua changamoto ya uharibifu wa mazingiara ikiwemo ukataji miti kiholela, Mgodi Wa…

26 September 2023, 7:05 pm

Waziri Jafo aipongeza GGML kwa kuendelea kutunza mazingira

Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na meneja wa TFS miti 400 imepandwa katika viwanja vya EPZA Bombambili na Mhe. Jafo. Na Kale Chongela- Geita Waziri Wa Nchi ofisi ya makamu wa Rais, Muungano na Mazingiara Mhe. Selemani Jafo ameipongeza GGML…

25 September 2023, 10:53 am

Biteko awataka viongozi kuongeza weledi fedha za miradi

Baada ya kuzindua maonesho ya 6 ya kimataifa ya teknolojia ya madini katika viwanja vya EPZA mjini Geita Septemba 23, 2023, Waziri Biteko alifika hadi kwa wananchi wa Bukombe, mamlaka ya mji mdogo Ushirombo nyumbani kwao kwa ajili ya shukrani.…

24 September 2023, 2:08 pm

Serikali kukamilisha tafiti za madini nchini

Mpaka sasa utafiti wa kina wa jiofizikia kwa kutumia ndege umefanyika kwa asilimia 16. Na Zubeda Handrish- Geita Serikali kupitia Wizara ya Madini ipo katika mpango wa kukamilisha utafiti wa kina wa jiofizikia kwa kutumia ndege kupitia Taasisi ya Jiolojia…

23 September 2023, 1:44 pm

EWURA kutokomeza mafuta ya kupimwa kwa chupa vijijini

Changamoto ya wauza mafuta ya petroli na dizeli vijijini kuuza kwenye chuma imekuwa kubwa kiasi cha EWURA kulitafutia ufumbuzi. Na Zubeda Handrish- Geita Katika kuhakikisha wafanyabishara na wasafirishaji vijijini wanaondokana na mafuta ya kupima kwenye chupa (makopo), mamlaka ya usimamizi…

22 September 2023, 1:09 pm

BRELA yaendelea kutoa elimu ya urasimishaji kwenye maonesho Geita

BRELA wanaendelea kuwa msaada mkubwa katika kutoa elimu ya urasimishaji wa biashara kwani imekuwa changamoto kubwa kwa wafanyabiashara. Na Zubeda Handrish- Geita Elimu na uelewa mdogo kuhusu urasimishaji wa biashara imekuwa changamoto kubwa kwa wafanyabiashara hali iliyowasukuma wakala wa leseni…

21 September 2023, 5:33 pm

Washiriki 400 waanza maonesho katika viwanja vya EPZA Geita

Washiriki kutoka mataifa mbalimbali kama vile China, Rwanda, Burundi na mengineyo yameshiriki maonesho hayo ya 6 yaliyoanza rasmi mwaka 2018. Na Zubeda Handrish- Geita Mkuu wa Mkoa wa Geita Martin Shigela amesema kuwa maonesho ya dhahabu ambayo yameanza jana Septemba…

20 September 2023, 2:58 pm

Nyumba kuezuliwa serikali mkoani Geita yaingilia kati

Serikali Mkoani Geita imetoa tahadhari kwa watu wenye makazi duni kuhakikisha wanaboresha makazi yao ili kuepuka madhara kutokana na mvua zilizoanza kunyesha nakuleta madhara kwa baadhi ya wananchi. Na Mrisho Sadick: Siku chache baada ya Nyumba kadhaa kuezuliwa na mvua…

19 September 2023, 10:44 pm

Mgogoro wakulima na wafugaji waitesa Chikobe

Changamoto ya wakulima na wafugaji bado imeendelea kusumbua katika baadhi ya maeneo mkoani Geita. Na Said Sindo- Geita Wakulima wa kijiji cha Chikobe kata ya Nyachiluluma, wilayani na mkoani Geita wamesema wapo hatarini kukumbwa na njaa baada ya mashamba yao…

Kwanini utangaze nasi?

Storm FM Radio ni Kituo cha Matangazo kilichopo Mkoani Geita ambacho kinasikika maeneo yote ya Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa jirani kwa masafa ya 88.9.

Tunasikilizwa na makundi ya rika zote kwakuwa tumejipambanua kwa kuifikia jamii moja kwa moja kupitia Radio, Matamasha na mitandao ya kijamii ikiwemo Instagram,Twitter,Facebook na radiotadio.co.tz/stormfm.