Storm FM

Recent posts

5 April 2021, 6:35 pm

Ulinzi na usalama Geita umeimarika

Na Zubeda Handrish: Wakazi wa Mtaa wa Msufini mjini Geita wamezungumzia hali ya ulinzi na usalama wa raia na mali zao tangu aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kuingia madarakani. Wameyasema hayo walipozungumza…

5 April 2021, 6:24 pm

Wananchi Geita wajivunia barabara za mitaa

 Wananchi mjini Geita wameelezea namna walivyoguswa na kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na watakavyoendelea kumuenzi kwa yale aliyowaachia ikiwamo barabara za mitaa zilizojengwa katika kipindi chake. Baadhi ya wakazi wa mtaa…

5 April 2021, 5:27 pm

Mwenyekiti wa Mtaa anusurika kipigo kutoka kwa wananchi Geita

Mwenyekiti wa mtaa wa Tambukareli kata ya Kalangalala Wilayani Geita amenusurika kipigo kutoka kwa wananchi wa mtaa wa Bombambili kwa madai ya kutaka kusoma taarifa ambayo hawakuitaka isomwe mbele yao. Hatua hiyo ya wananchi imetokana na madai ya kiongozi huyo…

5 April 2021, 4:36 pm

Wazee Mjini Geita Waendelea kumuenzi Dkt John Pombe Magufuli

Baadhi ya wazee katika   Halmashauri ya mji wa Geita   wameomba viongozi mbalimbali kumuenzi Hayati Magufuli  kwa kuwapa kipaumbele kwa huduma mbalimbali za kijamii kama ilivyokuwa enzi za utawala wa  hayati Magufuli . Wazee hao wamesema kuwa  hayati Magufuli watamkumbuka kwa…

5 April 2021, 1:23 pm

Umoja wa wanawake wilaya ya Geita Kumuenzi JPM kwa kuchapa kazi

Jumuiya ya umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi wilaya ya Geita umesema wanawake watamuenzi Hayati  Dkt John Pombe Magufuli kwa kuchapa  kazi na kusimamia haki na kumuunga mkono Rais wa awamu ya sita  Samia Suluhu Hassan ili kutimiza maono ya mtangulizi wake.…

5 April 2021, 12:36 pm

Pikipiki yalipuka nakuwaka moto mjini Geita

Wakazi wa Mtaa wa Uwanja kata ya Nyankumbu mjini Geita wametakiwa kuwa na vifaa vidogo vya kuzimia moto wa awali  katika Makazi yao na Sehemu za biashara ili kukabiliana na majanga ya moto yanayoweza kujitokeza katika maeneo yao. Rai hiyo…

2 April 2021, 3:45 pm

Viongozi wa mamlaka ya mji wa katoro wilayani Geita wamuenzi JPM

Baadhi ya viongozi wa mamlaka ya mji mdogo wa Katoro wilayani na Mkoani Geita  wamesema katika kumuenzi Hayati  Dkt John Pombe Magufuli watahakikisha wanafanya kazi kwa uadilifu. Kauli hiyo imetolewa na Afisa mtendaji wa kata ya Katoro wilayani Geita Bw…

30 March 2021, 1:59 am

Barabara yapewa jina la JPM wilayani Mbogwe Mkoani Geita

Mbunge wa jimbo la mbogwe Nikodemas Maganga ameamua kuiita MAGUFULI ROAD barabara ya kilomita 3  inayotengenezwa kpitia fedha zilizotolewa na hayati Dkt John Pombe Magufuli kwa kutambua mchango wake katika wilaya hiyo. Mbunge Maganga Amesema kutokana na mchango mkubwa wa…

29 March 2021, 5:14 pm

Miundombinu ya usafiri Mkoani Geita yaboreshwa

Watumiaji wa vyombo vya moto mkoa wa   Geita   wamesema hayati Dkt John Pombe Magufuli, Rais wa awamu ya tano wa jamhuri ya muungano watanzanaia Watamuuenzi  kwa vitendo  kwakuwa alisimamia na kuboresha Miundombinu ya usafiri. Hayo yamesemwa na  Mwenyekiti wa umoja wa…

Kwanini utangaze nasi?

Storm FM Radio ni Kituo cha Matangazo kilichopo Mkoani Geita ambacho kinasikika maeneo yote ya Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa jirani kwa masafa ya 88.9.

Tunasikilizwa na makundi ya rika zote kwakuwa tumejipambanua kwa kuifikia jamii moja kwa moja kupitia Radio, Matamasha na mitandao ya kijamii ikiwemo Instagram,Twitter,Facebook na radiotadio.co.tz/stormfm.