Radio Tadio

Afya

25 January 2024, 11:47 am

Watoto miaka 5-14 hatarini kupata kichocho Rungwe-Kipindi

Na Lennox Mwamakula – Rungwe Jamii imeshauriwa kutoa ushirikiano pindi watoto wanapo takiwa kupatiwa chanjo ya mangojwa mbalimbali kwani itasaidia kuimarisha kinga kwa watoto Kauli hiyo imetolewa na mtaalamu wa kinga ambaye pia ni afisa afya Ndugu Leonard Shaba kwenye…

25 January 2024, 09:15

Serikali kuendelea kuboresha huduma za afya Kakonko

Makamu  Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa Rehema Sombi Omary, amesema serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, itaendeleza kazi ya kuboresha huduma za afya nchini kwa kutenga fedha na kuzishusha chini kuwafikia…

24 January 2024, 3:43 pm

KATAVI, Bidhaa za Vyakula Vilivyoisha Muda Husababisha Kuhara

“Madhara ni  kupelekea  mtumiaji kupata homa na hata kuharisha kutokana na  sumu iliyopo ndani ya Chakula”. Picha Na Mtandao Na Lilian Vicent-katavi Baadhi ya wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameeleza maoni yao Mseto juu ya namna wanazingatia muda  sahihi …

23 January 2024, 9:42 pm

DC Sengerema ageuka mbongo murundikano wa uchafu mjini

Pamoja na kuwepo kwa taarifa za ugonjwa wa kipindupindu Nchini Madampo mjini Sengerema yanaonekana kujaa uchafu hali inayoleta wasiwasi kwa wananchi wakihofia kukumbwa na mlipuko wa ugonjwa huo. Na;Emmanuel Twimanye. Wafanyabishara wa soko kuu mjini Sengerema wameilalamikia Halmshauri ya Wilaya…

23 January 2024, 12:59 pm

Wagonjwa hospitali ya Kibon’goto waridhika na huduma

Wagonjwa mbalimbali kutoka hospitali maalum ya taifa ya magonjwa ambukizi kibon’goto waridhishwa na huduma. Na Elizabeth Mafie Mkurugenzi mtendaji wa Hospitali maalumu ya Taifa ya magonjwa ambukizi Kibong’oto iliyopo wilayani Siha mkoani Kilimnjaro Dkt Leornad Subi  amesema hospitali hiyo itaendelea…

19 January 2024, 10:47 am

Millioni 201 zajenga kituo cha afya Kinyala

Na Mwandishi wetu Katika kuhakikisha sera ya afya ya kuwa na kituo cha afya kila kata halmashauri ya wilaya ya Rungwe imetekeleza kwa vitendo sera hiyo wa kujenga vituo vya afya katika kata mbalimbali ndani ya halmashauri yake. Kwa mujibu…

18 January 2024, 8:56 am

Yafahamu madhara ya ugonjwa wa kipindupindu

Yafahamu madhara ya ugonjwa wa Kipindupindu endapo mtu atabainika kuwa na ugonjwa huo. Na Yussuph Hassan.Tukiwa katika muendelezo wa kupata elimu juu ya ugonjwa wa kipindupindu na leo tunafahamu madhara ya ugonjwa huo endapo mtu akibainika kuwa na kipindupindu. Afisa…