On air
Play internet radio

Recent posts

29 July 2026, 09:50

Baraza la Wazee laipongeza Iringa kwa kudhibiti ukatili

Viongozi hao wametoa wito kwa wananchi kuendelea kushirikiana na vyombo husika kutoa taarifa mapema kuhusu vitendo vya ukatili. Na Hafidh Ally Baraza la Ushauri la Wazee Mkoa wa Iringa limesema mkoa huo unaendelea kushuhudia mafanikio katika mapambano dhidi ya ukatili…

28 July 2026, 10:28

Wananchi Mtwango kunufaika na jengo la mama na mtoto

Serikali inaendelea kuwekeza katika kuboresha miundombinu ya afya ili kusogeza huduma bora karibu na wananchi na kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma nchini. Na Hafidh Ally Zaidi ya wananchi 17,000 wanatarajiwa kunufaika na ujenzi wa jengo la huduma za mama…

28 July 2026, 09:52

RC Kheri awataka watumishi wapya kuzingatia maadili

Mhe. Kheri amewahimiza watumishi hao kuwa waadilifu katika matumizi ya rasilimali za umma, kuwajibika kwa matendo yao na kuendelea kujiimarisha kiuchumi kupitia matumizi sahihi ya kipato chao ili kujenga maisha yenye utulivu na kuongeza tija katika utendaji wao wa kazi.…

25 July 2026, 16:54

Wananchi Ugute wakosa huduma ya maji mwezi mzima

Wananchi hao wameiomba Serikali kusogeza karibu vituo vya kuchotea maji ili kuwaondolea adha ya kutembea umbali mrefu kufuata maji, jambo ambalo limekuwa likiwaathiri zaidi wanawake na watoto. Na Fredrick Siwale Wananchi wa Kijiji cha Ugute, Kata ya Isalavanu katika Jimbo…

25 July 2026, 16:45

PJT-MMMAM yataka baba kushiriki katika malezi ya Mtoto

Miongoni mwa mikakati iliyowekwa ni kuhakikisha baba anapata nafasi stahiki katika malezi ya watoto. Na Adelphina Kutika Wataalamu wanaotekeleza Programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (PJT-MMMAM) katika halmashauri zote tano za Mkoa wa…

23 July 2026, 10:30

Wananchi Ulanda waomba kukarabatiwa barabara

Wananchi wa Kata ya Ulanda wamesema kuwa barabara inayounganisha Kata ya Ulanda na maeneo jirani haijaimarishwa kwa kujengwa makaravati. Na Hafidh Ally Wananchi wa Kata ya Ulanda, Jimbo la Kalenga, Wilaya ya Iringa, wameiomba Serikali kuboresha miundombinu ya barabara za…

22 July 2026, 09:01

Ugute walalamika mwekezaji kupewa hekta 400 za ardhi kimyakimya

Wananchi wa Kijiji cha Ugute wametaka mchakato wa kupatikana kwa mwekezaji kuwekeza kijijini kwao usitishwe ili washirikishwe. Na Fredrick Siwale Wananchi wa Kijiji cha Ugute, Kata ya Isalavanu, Halmashauri ya Mji Mafinga, wamelalamikia uamuzi wa uongozi wa kijiji hicho wa…

21 July 2026, 10:22

Wananchi walalamikia kushuka kwa bei ya mazao

Wananchi wameeleza kuwa gharama za mbolea zimeendelea kupanda na kuwa mzigo mkubwa kwa wakulima huku wakilalamikia kuhuka kwa bei za mazao. Na Hafidh Ally Wananchi wa Kata ya Ulanda, Jimbo la Kalenga mkoani Iringa, wamelalamikia kushuka kwa bei za mazao…

21 July 2026, 08:50

RC Kheri aagiza ununuzi wa bidhaa za ndani

RC Khei amesena kuwa matumizi ya bidhaa za ndani yataongeza kipato cha wazalishaji, kuchochea uundaji wa ajira, kuimarisha biashara na kuongeza mzunguko wa fedha ndani ya Mkoa wa Iringa. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James,…

17 July 2026, 09:26

Maonesho ya Nanenane kufungua fursa Iringa

Maonesho hayo, yanayofanyika kwa mara ya kwanza kwa ngazi ya mkoa, yanatajwa kuwa hatua muhimu ya kusogeza huduma karibu na wakulima, wafugaji na wavuvi, badala ya kulazimika kusafiri umbali mrefu kuhudhuria maonesho ya kanda. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.