9 April 2026, 18:36

Ifahamu Nuru FM kwa ufupi

Nuru fm ni radio ya kijamii ambayo ilianza kurusha matangazo yake mwaka 2009 kupitia masafa ya 88.9 lengo lake ni kufikia wananchi wote wa mkoa wa Iringa na kutengeneza vipindi bora na iwe radio inayosikiliza kero za wananchi. Mpaka sasa…

On air
Play internet radio

Recent posts

9 July 2026, 08:55

Kiswaga achangia Mbao Jengo la Mama na Mtoto Lumuli

Katika kusukuma mbele utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kutatua changamoto zinazowakabili, Mbunge Kiswaga ameendelea kutimiza ahadi zake katika jimbo la Kalenga. Na Hafidh Ally Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Jackson Kiswaga, amechangia mbao zenye thamani ya shilingi milioni 1.17…

4 July 2026, 09:40

Kiswaga atoa mabati 55 kukamilisha ujenzi wa darasa Mlandege

Mabati hayo ni nyongeza ya mchango alioutoa awali katika mradi huo baada ya tathmini kubaini kuwa yaliyokuwepo hayakutosha kukamilisha ujenzi wa darasa hilo. Na Hafidh Ally Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Mhe. Jackson Kiswaga, ameendelea kudhihirisha dhamira yake ya kuboresha…

3 July 2026, 09:11

Ndiwili kunufaika na ujenzi wa Zahanati

Na Hafidh Ally Wananchi wa Kijiji cha Ndiwili, Kata ya Magulilwa wilayani Iringa, wanatarajia kuondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya, kufuatia ujenzi wa zahanati ya kijiji hicho kufikia hatua nzuri ya utekelezaji. Akikagua maendeleo ya…

2 July 2026, 11:13

Milioni 402 zatolewa kwa vikundi 28 Iringa

Serikali imeendelea kusisitiza uwezeshaji wa wananchi kupitia mikopo ya asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri, hatua inayotarajiwa kuongeza ajira, kukuza biashara ndogo na kuimarisha uchumi wa kaya. Na Hafidh Ally Jumla ya vikundi 28 vya wanawake, vijana na…

1 July 2026, 09:59

Mufindi waagizwa kujibu hoja za CAG

“Msipojipanga kujibu hoja za CAG Baraza la Madiwani linapaswa kuvunjwa” Na Fredrick Siwale Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, ameizagiza Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi kujibu hoja za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) katika mwaka…

30 June 2026, 09:55

RC Kheri asisitiza nidhamu usimamizi wa mapato

Utaratibu wa Kupeleka fedha Benki utasaidia kuimarisha uwajibikaji na uwazi katika usimamizi wa mapato. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kuhakikisha mapato yote yanayokusanywa kupitia vyanzo mbalimbali yanapelekwa benki…

26 June 2026, 12:09

Wanafunzi waliofadhiliwa na Camfed watakiwa kung’ara masomoni

Wanafunzi hao wanapaswa kuitumia vyema fursa waliyoipata kwa kuongeza bidii na kujituma katika masomo yao ili kutimiza ndoto walizojiwekea na kuwa mfano bora kwa jamii. Na Adelphina Kutika Wasichana waliochaguliwa kujiunga na elimu ya Kidato cha Tano kwa mwaka wa…

24 June 2026, 09:49

TFS Mufindi yawanoa vijana kukabiliana na moto

Mafunzo hayo yatasaidia kupata vikosi maalumu vya kuzuia, kudhibiti na kuzima moto katika maeneo ya shamba na maeneo yanayolizunguka. Na Hafidh Ally Zaidi ya vijana 200 kutoka vijiji 61 vinavyozunguka Shamba la Miti la Taifa la Sao Hill, Wilaya ya…

24 June 2026, 09:27

Wajane Iringa waomba kuwezeshwa kiuchumi

Na Joyce Buganda Serikali Imeshauriwa kuongeza juhudi za kuwawezesha wajane na wagane kupata haki zao kwa wakati, hususan katika masuala ya mirathi na uwezeshaji wa kiuchumi baada ya kufiwa na wenza wao. Akizungumza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wajane…

23 June 2026, 16:31

Miundombinu bora yaongeza mahudhurio ya wanafunzi

Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI imesema kuwa uboreshaji wa miundombinu ya vyoo katika shule mbalimbali nchini umechangia kwa kiasi kikubwa kuboresha mazingira ya kujifunzia na kuongeza mahudhurio ya wanafunzi, hususan wasichana. Na Adelphina Kutika Kauli hiyo imetolewa na mgeni…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.