
Recent posts

5 February 2025, 12:08 pm
Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi yapaa ukusanyaji mapato
Na Fredrick Siwale Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka imeonyesha kupaa katika ukusanyaji wa mapato kutoka katika vyanzo vyake mbali mbali vya mapato na kukusanya milioni 170 kwa wiki. Awali akifunga Baraza hilo…

5 February 2025, 11:48 am
RC Serukamba aagiza kutendeka haki katika huduma za kimahakama
Na Joyce Buganda Wadau wa mahakama mkoani iringa wametakiwa kutenda haki wanapokuwa katika majukumu yao ikiwemo kujenga ukaribu kwa wananchi wakati wa wanapotoa huduma za kimahakama. Akizungumza wakati wa maadhimisho ya kilele cha siku ya sheria yaliofanyika katika viwanja ya…

4 February 2025, 9:33 am
Bilioni 11.7 kutengeneza barabara za Mafinga Mji
Na Hafidh Ally Halmashauri ya Mji Mafinga Mkoani Iringa imeomba kupatiwa Bilioni 11.7 kwa ajili ya matengenezo ya barabara korofi katika jamii. Hayo yamezungumzwa na Meneja wa Wakala wa barabara vijijini (TARURA) Wilaya ya Mufindi Mhandisi Richard Sanga wakatia akitoa…

1 February 2025, 9:47 am
Halmashauri ya Mafinga Mji yapitisha bajeti ya bil 31.5 mwaka 2025/2026
Na Hafidh Ally Halmshauri ya Mafinga Mji Mkoani Iringa imepitisha jumla ya shilingi Bilioni 31.5 katika Bajeti ya Mwaka wa fedha 2025/2026. Akiwasilisha rasimu ya Mpango wa Bajeti ya 2025/2026 katika Baraza Madiwani, Afisa Mipango Halmashauri ya Mji Mafinga, Peter…

30 January 2025, 1:43 pm
Shirika la GAIN Iringa latoa mbegu za maharage lishe shuleni
Na Joyce Buganda Shirika la Global Alliance for Improved Nutrition (GAIN) limegawa mbegu za maharage lishe katika shule za msingi na Sekondari Halmashauri ya Manispaa ya Iringa huku lengo ni kuhamasisha kilimo cha mazao lishe na kupambana na tatizo la…

30 January 2025, 10:00 am
CCM Iringa wataja sababu za kuunga mkono Rais Samia kugombea 2025
Na Hafidh Ally Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa kimesema kuwa sababu ya mkutano Mkuu wa CCM Taifa Kupendekeza Jina la Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee katika nafasi ya Urais kwenye Uchaguzi Mkuu ujao ni utekelezaji wa…

28 January 2025, 3:16 pm
Takukuru Iringa yabaini kasoro miradi ya maendeleo
Na Hafidh Ally Taasisi ya Kuzuia na Kupambana Rushwa Takukuru Mkoa wa Iringa imebaini kasoro katika mradi wa maji wenye thamani ya Bilioni 1.5 fedha za Mfuko wa Maji wa Taifa. Akizungumza na waandishi wa habari Mkuu wa Takukuru Mkoa…

23 January 2025, 11:50 am
Wadau wa mazingira na utalii kuja na mpango wa kutunza vivutio vya asili
Na Joyce Buganda Wadau wa Mazingira na utalii wametakiwa kuwa mabalozi kwa kutunza vivutio vya asili ili jamii inayowazunguka iige mfano kutoka kwao Akizungumza wakati akifungua warsha ya siku mbili iliofanyika katika ukumbi wa hotel ya Sunset Iringa mjini Mkuu…

23 January 2025, 11:26 am
Lissu atakiwa kuzisemea changamoto Cha wananchi
Na Cleef Mlelwa Wanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mjini Makambako wamemtaka Mwenyekiti wao Tundu Lissu kuhakikisha wanajenga ofisi zake na kuwa tumaini kwa wananchi kwa kuzisemea changamoto zinazoikabili jamii hasa katika sekta ya afya,elimu na kilimo. Wakizungumza…

20 January 2025, 12:13 pm
Tuna Finance Hub kutoka UoI kuwanufaisha vijana
Na Joyce Buganda Umoja wa Tuna Finance Hub kutoka Chuo Kikuu cha Iringa wamejidhatiti kuhakikisha vijana wa Iringa wanakombolewa kiakili na kifikra katika utafutaji na jinsi ya kupata maendeleo katika sekta mbalimbali. Akizungumza wakati wa kutoa elimu hiyo katika chuo…