Recent posts
16 April 2026, 08:09
Ahukumiwa kwa madai ya kuibiwa nyeti Iringa
Uchunguzi wa kitabibu ulithibitisha kuwa taarifa hizo hazikuwa za kweli na watuhumiwa hao wamefikishwa mahakamani. Na Hafidh Ally Jeshi la Polisi mkoani Iringa, limemkamata Ramadhani Mussa (53), dereva na mkazi wa Dar es Salaam, kwa kosa la kutoa taarifa za…
15 April 2026, 09:21
RC kheri ahimiza ukusanyaji mapato Iringa
“Haiwezekani viongozi hao kujikita katika matumizi ya fedha pekee bila kuwa na mikakati madhubuti ya ukusanyaji wa mapato” Na Ayoub Sanga Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amewaagiza wenyeviti wa halmashauri za wilaya kufanya tathmini ya kina ya hali…
14 April 2026, 19:57
Kaya 18 zanufaika na maji ya mkopo
Shirika la IDYDC limefanikiwa kuwapatia maji ya mkopo wananchi wa Mgera ambao walikuwa wakitembea umbali mrefu kufuata huduma ya maji mabondeni. Na Hafidh Ally Jumla ya kaya 18 za kijiji cha Mgera kilichopo kata ya Kiwele Wilaya ya Iringa zimenufaika…
14 April 2026, 08:44
Wananchi Mangawe walalamikia ubovu wa barabara
Ubovu wa barabara unapelekea wananchi wa kijiji cha Mangawe kupata tabu ya usafiri katika kipindi cha mvua. Na Hafidh Ally Wananchi wa Kijiji cha Mangawe Kilichopo Kata ya Nyang’oro Wilaya ya Iringa wameiomba serikali kufanya ukarabati wa miundombinu ya barabara…
13 April 2026, 09:27
RC Kheri aagiza utekelezaji mpango wa chakula shuleni
Viongozi wa Serikali za Vijiji wametakiwa kuwashirikisha wananchi wao kujadili kuhusu umuhimu wa Mpango wa chakula shuleni. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mh. Kheri James, amewaagiza Viongozi wa Serikali za vijiji kuweka agenda ya kusimamia mpango wa…
10 April 2026, 09:09
Wananchi Ng’uruhe wajengewa machinjio ya kisasa
Machinjio hiyo imetajwa kuwa msaada katika kuzingiatia afya za wananchi wa Kijiji hicho. Na Joyce Buganda Wananchi wa kijiji cha ng’uruhe Kilichopo wilaya ya kilolo wameshukuru shirika la African Exchange Development kwa kujengewa machinjio ya kisasa itayorahisisha shughuli za uchinjaji…
10 April 2026, 08:43
Wafanyabiashara Soko la Mashujaa waomba Mikopo
Na Fredrick Siwale Wafanyabiashara wa Soko la Mashujaa Halmashauri ya Mji Mafinga wameiomba serikali kuwapatia Mikopo ili waweze kukuza mitaji yao. Akizungumza na Nuru FM Mwenyekiti wa Soko la Mashujaa Bw. Devick Kihindo amesema kuwa wajasiriamali wengi wanatamani kupata mikopo…
9 April 2026, 18:36
Ifahamu Nuru FM kwa ufupi
Nuru fm ni radio ya kijamii ambayo ilianza kurusha matangazo yake mwaka 2009 kupitia masafa ya 88.9 lengo lake ni kufikia wananchi wote wa mkoa wa Iringa na kutengeneza vipindi bora na iwe radio inayosikiliza kero za wananchi. Mpaka sasa…
9 April 2026, 09:03
Aombwa kutatua changamoto ya maji na barabara
Changamoto ya Maji na Barabara imetajwa kukwamisha shughuli za kimaendeleo kwa wananchi wa jimbo la Mafinga. Na Fredrick Siwale Wananchi wa Jimbo la Mafinga Mjini Mkoani Iringa wameiomba serikali kutatua changamoto ya Maji na Ubovu wa miundombinu ya barabara. Wakizungumza…
8 April 2026, 09:40
Mbunge Villa akabidhi meza 90 kwa wajasiriamali
Meza hizo zimekabidhiwa ikiwa ni hatua ya kuwafanya wajasiriamali wafanye kazi zao katika mazingira rafiki. Na Fredrick Siwale Mbunge wa Jimbo la Mafinga Mjini Mh. Dickson Lutevele Villa ametimiza ahadi yake kwa kukabidhi meza 90 kwa wajasiriamali wa Soko la…