26 January 2021, 11:40 am

Ifahamu nuru fm kwa ufupi

Nuru fm ni radio ya kijamii ambayo ilianza kurusha matangazo yake mwaka 2009 kupitia masafa ya 93.5 lengo lake ni kufikia wananchi wote wa mkoa wa iringa na kutengeneza vipindi bora na iwe radio inayosikiliza kero za wananchi mpaka sasa…

On air
Play internet radio

Recent posts

28 November 2023, 7:10 pm

Mtazamo hasi wapelekea wanawake kushindwa kununua kondom

Na Mwandishi wetu Mitazamo tofauti imekuwa ikijitokeza kwenye jamii zetu juu ya suala zima la mwanamke kununua kinga (kondomu) moja kati ya mitazamo hiyo ni kuona au kumchukulia mwanamke anayeenda kununua kinga kama moja kati ya wanawake ambao hawajatulia kwenye…

24 November 2023, 3:11 pm

Polisi Iringa wafanya mdahalo wa ulinzi na usalama kwa wanahabari

Na Adelphina Kutika Waandishi wa habari mkoani Iringa wametakiwa kuzingatia sheria za utoaji wa habari ili kuimarisha mahusiano mazuri baina ya vyombo vya habari na Jeshi la Polisi  katika utekelezaji wa majukumu yao. Wito huo umetolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa…

22 November 2023, 8:06 am

Ridhiwani aagiza watendaji waliojitolea Iringa kuajiriwa

Na Hafidh Ally Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amemwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kuwaajiri watendaji waliokuwa wakijitolea Katika nafasi zilizotangazwa hivi karibuni. Mh. Kikwete ameyasema hayo…

20 November 2023, 9:46 am

Shule ya msingi Njiapanda yanufaika na mradi wa ‘kizazi hodari’

Na Godfrey Mengele Shule ya msingi njiapanda iliyopo kata ya Mwangata Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Mkoani Iringa imenufaika na mradi wa kizazi Hodari unaotekelezwa na USAID kanda ya kusini wenye lengo la kuwasaidia Watoto yatima wanaoishi na maambukizi ya…

16 November 2023, 10:23 am

Watendaji wa Kata Mafinga Mji wakabidhiwa Pikipiki.

Na Mwandishi Wetu. Jumla ya pikipiki 7 zenye thamani ya shilingi 22,129,100/-zimekabidhiwa kwa watendaji wa Kata nne za pembezoni na wakusanya mapato Katika Halmashauri ya Mji Mafinga ili kuboresha utendaji kazi na ukusanyaji wa Mapato. Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi…

15 November 2023, 11:50 am

Mifugo 345 imekamatwa ndani ya Hifadhi ya Ruaha.

Na Mwandishi Wetu. Jumla ya Mifugo 345 Imekamatwa ikichungwa ndani ya hifadhi ya Taifa ya Ruaha kinyume cha sheria za uhifadhi. Hayo yamezungumzwa naGodwell Ole Meing’atakiKamishna Msaidizi Mwandamizi na Kamanda wa Hifadhi ya Taifa Ruaha na kuongeza kuwa huo ni…

14 November 2023, 4:12 pm

Mradi wa USAIDS Kizazi Hodari wawafikia watoto 9000 Iringa na Njombe.

Na Denis Nyali Jumla Ya Watoto 9000  Walioambukizwa Virusi Vya Ukimwi Wamefikiwa Na Mradi Wa USAIDS Kizazi Hodari Unaotelelezwa Kwa Mkoa Wa Iringa Na Njombe Na Kuwaunganisha Na Vikundi Mbalimbali Katika Kuwawezesha Kupata Kiuchumi. Akizungumza  Na Nuru Fm Mkurugenzi Wa Mradi Huo Doroth…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.