
Recent posts

13 Agosti 2022, 7:44 mu
Jeshi la polisi Lindi lawadaka watu kumi kwa tuhuma za wizi na usafirishaji miha…
Jeshi la polisi mkoani Lindi linawashikilia watu kumi kwa tuhuma za wizi na usafirishaji mihadarati. Hayo yameelezwa na kamanda wa polisi wa mkoa (RPC) wa Lindi, Kamishna msaidizi wa polisi (ACP) Marco Chirya alipozungumza na waandishi wa habari katika ofisi…

13 Agosti 2022, 7:41 mu
Uwanja Wa Ndege Wa Nduli Kuwa Lango La Fursa Ya Utalii
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema upanuzi wa uwanja wa ndege wa Nduli mkoani Iringa utakapokamilika utaongeza fursa za kibiashara na kuifungua zaidi kanda ya Kusini kwenye sekta ya Utalii. Rais Samia Suluhu…

11 Agosti 2022, 7:41 mu
Waziri Mabula Awaonya Viongozi Wa Vijiji Na Vitongoji Ambao Ndio Vinara Wa Kucho…
WAZIRI wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na maendeleo ya makazi Angelina Mabula ametoa onyo kwa baadhi ya Viongozi wa ngazi za vijiji na vitongoji wanaokuwa chachu ya migogoro kwa kuuza ardhi zaidi ya mara moja ili kujinufaisha matumbo Yao Hali…

11 Agosti 2022, 7:35 mu
Ujenzi Bwawa la kufua umeme la Nyerere bado asilimia 33
Waziri wa Nishati, January Makamba amesema ujenzi wa Bwawa la kufua umeme la Mwalimu Nyerere umefikia asilimia 67 na kubaki asilimia 33 na kusema kazi iliyokuwa ikifanyika kwa miaka miwili na nusu, hivi sasa imefanyika ndani ya mwaka mmoja. Makamba…

11 Agosti 2022, 7:31 mu
Timu ya Simba SC yaomba radhi hadharani
Klabu ya Simba inaomba radhi kwa waumini wa dini ya Kikristo, viongozi wa madhehebu yote ya Kikristo, Serikali, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania na jamii kwa ujumla kwa usumbufu uliojitokeza kwenye tamasha letu la Simba Day Agosti 8 mwaka…

1 Agosti 2022, 9:31 mu
Vijiji 20 Ludewa kusahau makali mgao wa umeme
Waziri wa Nishati, January Makamba ametoa ufumbuzi wa changamoto ya muda mrefu ya mgawo wa umeme wa masaa 12 kwa vijiji 20 vilivyopo Wilaya ya Ludewa, ambavyo vimekuwa vikipata umeme kutoka kampuni moja inayoendesha mradi mdogo wa umeme wa maji…

1 Agosti 2022, 9:22 mu
DC aagiza NIDA kuwafuata watu
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi, Kanali Wilson Sakulo amewaagiza maofisa wote wanaohusika na idara ya kutoa vitambulisho vya taifa (NIDA), kuweka utaratibu wa kuwapelekea huduma karibu wananchi wa mipakani, ili kuwaondolea adha ya kusafi ri umbali mrefu. Kanali Sakulo, ametoa…

1 Agosti 2022, 9:11 mu
Wananchi Wazuia Msafara Wa Waziri Wa Maji, Walia Kero Ya Maji
WANANCHI wa Mto wa Mbu wilayani Monduli mkoani Arusha wamezimka kuuzuia msafara wa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso kulalamikia kukosa maji ya matumizi mbalimbali kwa muda mrefu. Kufuatia hali hiyo Waziri Aweso alilazimika kuchukua maamuzi magumu ya kutangaza kuzivunja Jumuiya…

26 Julai 2022, 4:18 um
Ujenzi wa Nyumba ya walemavu Lulanzi Wilaya ya Kilolo wafikia asilimia 80 kukami…
Zoezi la ujenzi wa nyumba ya Familia ya watu watatu wenye ulemavu katika kijiji cha lulanzi Kilichopo Kata ya Mtitu Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa Limefikia asilimia 80 ili kukamilika. Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa Chuo Cha RDO Kilolo Mwl.…

26 Julai 2022, 3:52 um
Rais Samia alia ajali Mtwara
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Brigedia Marco Gaguti kufuatia vifo vya watu 10 vilivyotokana na kajali ya basi la Shule. Awali hiyo ambaye imetokea Julai…