
Recent posts

28 November 2023, 7:10 pm
Mtazamo hasi wapelekea wanawake kushindwa kununua kondom
Na Mwandishi wetu Mitazamo tofauti imekuwa ikijitokeza kwenye jamii zetu juu ya suala zima la mwanamke kununua kinga (kondomu) moja kati ya mitazamo hiyo ni kuona au kumchukulia mwanamke anayeenda kununua kinga kama moja kati ya wanawake ambao hawajatulia kwenye…

24 November 2023, 3:11 pm
Polisi Iringa wafanya mdahalo wa ulinzi na usalama kwa wanahabari
Na Adelphina Kutika Waandishi wa habari mkoani Iringa wametakiwa kuzingatia sheria za utoaji wa habari ili kuimarisha mahusiano mazuri baina ya vyombo vya habari na Jeshi la Polisi katika utekelezaji wa majukumu yao. Wito huo umetolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa…

22 November 2023, 10:40 am
Mbunge Semuguruka akabidhi matanki ya maji kwa watoto wenye uhitaji Bukoba
Na Mwandishi wetu. Mbunge Oliver Semuguruka afuta machozi ya watoto wenye mahitaji maalum shule ya msingi Mseto Mgeza, Bukoba Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Kagera, Mh Oliver Semuguruka ametoa msaada wa matanki mawili ya maji yenye ujazo wa lita…

22 November 2023, 9:22 am
Watumishi Mafinga Mji wapewa mafunzo ya mfumo wa kidijitali wa anuani za makazi
Na Hafidh Ally Wananchi Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa wametakiwa kuacha tabia ya Kuharibu vibao vyenye majina ya Barabara na Mitaa ili visaidie kutoa maelekezo kwa wageni wanaotembelea Wilaya hiyo. Kauli hiyo Imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt.Linda…

22 November 2023, 8:06 am
Ridhiwani aagiza watendaji waliojitolea Iringa kuajiriwa
Na Hafidh Ally Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amemwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kuwaajiri watendaji waliokuwa wakijitolea Katika nafasi zilizotangazwa hivi karibuni. Mh. Kikwete ameyasema hayo…

20 November 2023, 9:46 am
Shule ya msingi Njiapanda yanufaika na mradi wa ‘kizazi hodari’
Na Godfrey Mengele Shule ya msingi njiapanda iliyopo kata ya Mwangata Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Mkoani Iringa imenufaika na mradi wa kizazi Hodari unaotekelezwa na USAID kanda ya kusini wenye lengo la kuwasaidia Watoto yatima wanaoishi na maambukizi ya…

16 November 2023, 8:34 pm
Mfumo wa alama za vidole kwa WAVIU wazinduliwa hospitali ya rufaa Iringa
Na Godfrey Mengele. Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa imezindua mfumo wa uandikishaji kwa alama za vidole lengo likiwa kuimarisha huduma kwa watu Wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (WAVIU) ili kupata takwimu sahihi za wale wanaoishi na maambuzi hayo…

16 November 2023, 10:23 am
Watendaji wa Kata Mafinga Mji wakabidhiwa Pikipiki.
Na Mwandishi Wetu. Jumla ya pikipiki 7 zenye thamani ya shilingi 22,129,100/-zimekabidhiwa kwa watendaji wa Kata nne za pembezoni na wakusanya mapato Katika Halmashauri ya Mji Mafinga ili kuboresha utendaji kazi na ukusanyaji wa Mapato. Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi…

15 November 2023, 11:50 am
Mifugo 345 imekamatwa ndani ya Hifadhi ya Ruaha.
Na Mwandishi Wetu. Jumla ya Mifugo 345 Imekamatwa ikichungwa ndani ya hifadhi ya Taifa ya Ruaha kinyume cha sheria za uhifadhi. Hayo yamezungumzwa naGodwell Ole Meing’atakiKamishna Msaidizi Mwandamizi na Kamanda wa Hifadhi ya Taifa Ruaha na kuongeza kuwa huo ni…

14 November 2023, 4:12 pm
Mradi wa USAIDS Kizazi Hodari wawafikia watoto 9000 Iringa na Njombe.
Na Denis Nyali Jumla Ya Watoto 9000 Walioambukizwa Virusi Vya Ukimwi Wamefikiwa Na Mradi Wa USAIDS Kizazi Hodari Unaotelelezwa Kwa Mkoa Wa Iringa Na Njombe Na Kuwaunganisha Na Vikundi Mbalimbali Katika Kuwawezesha Kupata Kiuchumi. Akizungumza Na Nuru Fm Mkurugenzi Wa Mradi Huo Doroth…