On air
Play internet radio

Recent posts

19 July 2025, 9:35 am

Ajali yaua watatu Iringa

Uzembe wa Madereva na kutofuata alama za usalama barabarani imetajwa kuwa sababu za ajali barabarani. Na Hafidh Ally Watu watatu wamefariki Dunia na wengine sita kujeruhiwa kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyotokea katika Kijiji cha Imalutwa, Kata ya Lugalo, wilayani…

18 July 2025, 11:01 am

Wafanyabiashara wa Mashine tatu wapelekwa Mlandege

Zoezi hilo limefanyika katika soko la Machinga lililopo eneo la Mlandege, likihusisha Umoja wa wafanyabiashara , idara ya masoko, maendeleo ya jamii na ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa. Na Godfrey Mengele Serikali ya Manispaa ya Iringa kwa kushirikiana…

17 July 2025, 7:35 pm

Mafinga Mji yapongezwa kwa ukusanyaji mapato

Halmashauri hiyo imeonesha mfano katika ukusanyaji mapato huku ikitakiwa kuelekeza kasi hiyo katika usimamizi bora wa fedha zinazokusanywa. Na Hafidh Ally Serikali imeipongeza Halmashauri Ya Mji Mafinga kwa Kuvuka Lengo Ukusanyaji Wa Mapato kwa Asilimia 120 Mpaka Kufikia Tarehe 30…

16 July 2025, 11:21 am

Watoto 1,900 Iringa wakosa malezi bora

Mmomonyoko wa maadili kwa watoto umetajwa kuongezeka huku chanzo kikiwa ni wazazi. Na Adelphina Kutika Takribani watoto 1,900 mkoani Iringa wameripotiwa kukosa malezi na matunzo kutoka kwa wazazi wao, hali inayochangia kuongezeka kwa mmonyoko wa maadili katika jamii na kuathiri…

15 July 2025, 12:31 pm

Jesca awachangia milion 5 waathirika wa moto

“Fedha hizi zitawasaidia wafanyabiashara wa soko la Mashine tatu na kuanza upya biashara kutokana na madhara ya moto” Jesca Na Hafidh Ally Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini anayemaliza Muda wake Jesca Msambatavangu, ameanzisha Mfuko Maalum wa Msaada kwa ajili…

14 July 2025, 8:16 pm

RC Iringa akagua soko lililowaka moto

Soko Hilo lililokuwa mashuhuri katika eneo la Mashine tatu liliteketea kwa moto na kuwaacha wafanyabiashara kuwa katika hali ngumu. Na Ayoub Sanga Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Kheri James ameahidi kusimamia mipango iliyowekwa na kamati ya Maafa na majanga…

12 July 2025, 12:12 pm

Moto watekekeza soko la mashine tatu Iringa

Moto huo ulizuka majira ya saa 8 usiku ambapo mali mbalimbali za wafanyabiashara zikiteketea na kusababisha hasara. Na Ayoub Sanga Wafanyabiashara wa Soko la Mashine Tatu, lililoko katikati ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, wamejikuta katika majonzi makubwa baada ya…

9 July 2025, 6:27 pm

Wanawake wanashirikije kugombea nafasi za uongozi kisiasa?

Makala hii inaelezea ushiriki wa wanawake katika kutia nia kwenye Uchaguzi Mkuu wa Octoba 2025. Na Hafidh Ally na Dorice Olambo Wakati Kipenga cha uchukuaji fomu kikipulizwa kwa baadhi ya vyama kuanza mchakato wa kuwapata wagombea wa nafasi za uongozi…

9 July 2025, 1:43 pm

Serukamba aaga Iringa, asisitiza ushirikiano

 Watumishi na watendaji wote Mkoni Iringa wameaswa kuhakikisha wanafanya kazi kwa bidii kwa uadilifu na uzalendo. Na Ayoub Sanga Rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba amekabidhi Ofisi kwa Mkuu wa Mkoa mpya ambae ni Kheri James huku…

8 July 2025, 8:33 pm

Huduma za afya zaboreshwa Iringa

Katika mipango yake ya kuboresha huduma, Serikali kupitia Wizara ya Afya, ina utaratibu wa kutenga fedha kwa ajili ya kuboresha huduma za afya. Na Zaitun Mustapha na Rogasia Kipangula Uongozi wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa umesema kuwa serikali…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.