Recent posts
19 August 2026, 10:53
Tanroad Iringa yaanza kuboresha Daraja la Ipogolo
Maboresho haya katika eneo la Ipogolo ni sehemu ya mradi mkubwa wa ujenzi wa Barabara ya Ipogolo – Kilolo. Na Hafidh Ally Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) mkoa wa Iringa tayari umeanza utekelezaji wa Maboresho katika Daraja la Ipogolo lililopo…
17 August 2026, 09:09
Wananchi Ihongole wachimba mtaro kwa ajili ya mradi wa maji
Na Fredrick Siwale Wananchi wa Mtaa wa Ihongole, Halmashauri ya Mji Mafinga, wamejitolea kuchimba mtaro na kupokea vifaa kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Maji unaosimamiwa na Shirika la People Development Forum (PDF), kwa lengo la kusambaza huduma ya…
11 August 2026, 18:16
Serikali yakabidhi magari kusaidia mradi wa TACTICS Iringa
Mradi huo unatekeleza miradi mikubwa mitatu yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 20, inayohusisha ujenzi wa soko, barabara pamoja na Jengo la Mhandisi, kwa lengo la kuboresha miundombinu na huduma za kijamii katika Manispaa ya Iringa. Na Hafidh Ally…
10 August 2026, 09:31
PDF yatekeleza mradi wa kisima cha maji Ihongole
Na Fredrick Siwale Shirika la People Development Forum (PDF), kwa kushirikiana na Serikali, limeanza kutekeleza mradi wa uchimbaji wa kisima cha maji katika Mtaa wa Ihongole, uliopo Kata ya Boma, Halmashauri ya Mji Mafinga. Akizungumza mara baada ya kuanza kwa…
8 August 2026, 10:15
Makala:Ukatili wa kiuchumi dhidi ya wanawake Iringa
Makala hii inaelezea aina nyingine ya ukatili wa kiuchumi dhidi ya wanawake jambo linalohatarisha wanawake kuwa tegemezi. Na Hafidh Ally na Joyce Buganda Nuru FM imekuandalia makala hii maalum Kuangazia changamoto za ukatili wa kiuchumi ambazo wanawake wanakutana nazo na…
7 August 2026, 10:15
Wananchi Kalenga walalamikia gharama kubwa za vibali vya ujenzi
Na Hafidh Ally Wananchi wa Kata ya Ulanda, Jimbo la Kalenga, wameilalamikia Halmashauri kwa kutoza gharama ya shilingi 50,000 kwa ajili ya kibali cha ujenzi, wakisema kiwango hicho ni kikubwa na kinawazuia kujenga nyumba za kisasa. Wakizungumza na Nuru FM,…
2 August 2026, 10:33
Ihongole kuweka historia ya kupata huduma ya maji kwa mara kwanza
Mradi huo Utaenda kuondoa changamoto ya Maji kwa wananchi wa Mtaa wa Ihongole. Na Fredrick Siwale Wananchi wa Mtaa wa Ihongole, Uliopo Kata ya Boma katika Halmashauri ya Mji Mafinga, wanatarajiwa kunufaika na huduma ya maji safi na salama baada…
29 July 2026, 09:50
Baraza la Wazee laipongeza Iringa kwa kudhibiti ukatili
Viongozi hao wametoa wito kwa wananchi kuendelea kushirikiana na vyombo husika kutoa taarifa mapema kuhusu vitendo vya ukatili. Na Hafidh Ally Baraza la Ushauri la Wazee Mkoa wa Iringa limesema mkoa huo unaendelea kushuhudia mafanikio katika mapambano dhidi ya ukatili…
28 July 2026, 10:28
Wananchi Mtwango kunufaika na jengo la mama na mtoto
Serikali inaendelea kuwekeza katika kuboresha miundombinu ya afya ili kusogeza huduma bora karibu na wananchi na kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma nchini. Na Hafidh Ally Zaidi ya wananchi 17,000 wanatarajiwa kunufaika na ujenzi wa jengo la huduma za mama…
28 July 2026, 09:52
RC Kheri awataka watumishi wapya kuzingatia maadili
Mhe. Kheri amewahimiza watumishi hao kuwa waadilifu katika matumizi ya rasilimali za umma, kuwajibika kwa matendo yao na kuendelea kujiimarisha kiuchumi kupitia matumizi sahihi ya kipato chao ili kujenga maisha yenye utulivu na kuongeza tija katika utendaji wao wa kazi.…