26 January 2021, 11:40 am

Ifahamu nuru fm kwa ufupi

Nuru fm ni radio ya kijamii ambayo ilianza kurusha matangazo yake mwaka 2009 kupitia masafa ya 93.5 lengo lake ni kufikia wananchi wote wa mkoa wa iringa na kutengeneza vipindi bora na iwe radio inayosikiliza kero za wananchi mpaka sasa…

On air
Play internet radio

Recent posts

22 July 2024, 12:03 pm

Wananchi Kinyanambo walalamikia bei kubwa ya nauli

Na Joyce Buganda Uongozi wa Halmashauri ya Mafinga Mji umewaomba Uongozi wa Bajaji katika Mji wa Mafinga kupunguza nauli ya bajaji ambayo imekuwa kero kwa wakazi wa eneo hilo. Hayo yamezungumzwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Mafinga, Mhe. Regnant …

19 July 2024, 9:51 am

Elimu, mitaji kikwazo kwa vijana Iringa kujikita katika kilimo

Vijana wanahitaji kuandaliwa vizuri ili waelewe wanalima nini, mtaji watapata wapi, watauza wapi mazao yao. Na Naida Athanasi na Michael Mundellah Ukosefu wa elimu ya kilimo bora na mitaji imetajwa kama sababu inayopelea vijana wengi Mkoani Iringa wasijiusishe na shughuli…

18 July 2024, 9:34 am

Kabati:Utamaduni wa kimagharibi chanzo cha ukatili

Ukatili dhidi ya wanawake na wasichana unasalia kuwa kitendo cha ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu duniani kote, ukiathiri zaidi ya wanawake na watoto milioni 1.3. Na Hafidh Ally Wazazi Mkoani Iringa wametakiwa kuachana na tamaduni za kimagharibi hasa mtoto…

16 July 2024, 11:47 am

DC Linda ahimiza mkakati wa kutokomeza ukatili na udumavu Mufindi

Kutokana na kuwepo kwa matukio ya ukatili, Wilaya ya Mufindi imeweka mkakati wa kukabiliana na changamoto hiyo ili kukuza ustawi katika wilaya hiyo. Na Joyce Buganda Serikali wilaya ya Mufindi imewataka wazazi na walezi Wilayani Humo kuhakikisha wanapambana na matukio…

12 July 2024, 9:39 am

Wapangaji Iringa watakiwa kujimbulisha kwa wenyeviti wa Mitaa

Na Joyce Buganda Wapangaji Manispaa ya Iringa wametakiwa kujitambulisha kwa wenyeviti wa Mitaa au wajumbe pindi wanapohama kutoka mtaa mmoja kwenda mwingine ili kudhibiti matukio ya uhalifu. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa mtaa wa Msichoke uliopo katika kata ya…

9 July 2024, 3:51 pm

Msigwa aahidi ushirikiano CCM

Na Adelphina Kutika Aliyekuwa Mwenyekiti wa Zamani wa CHADEMA Kanda ya Nyasa ,Ambaye sasa ni Mwanachama wa chama cha Mapinduzi (CCM)Mchungaji Peter Simon Msigwa ameahidi kuonesha ushirikiano katika chama hicho. Mchungaji Msigwa Ameyasema hayo wakati akisaini kitabu cha wageni katika…

9 July 2024, 10:19 am

PM Majaliwa awafuta kazi vigogo Iringa

Na Frank Leonard WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza kusimamishwa kazi mara moja Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, Emanuel Sigachuma na Ofisa Elimu Sekondari wa halmashauri hiyo Nelson Milanzi, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili na kufikishwa mahakamani. Wawili…

8 July 2024, 8:14 pm

Waziri Majaliwa aagiza kuondolewa madawati yasiyokidhi vigezo Iramba

Na Mwandishi wetu. WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameagiza kuondolewa kwa madawati yaliyopo katika shule ya sekondari ya Iramba Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa ambayo hayana eneo la kuhifadhi madaftari ya wanafunzi. Waziri Majaliwa ametoa agizo hilo mkoani Iringa wakati akizindua…

7 July 2024, 10:50 am

Mkazi wa Saadan akuta msalaba mlangoni kwake

Vitendo vya kutishiana maisha vimeshamiri katika kijiji cha Saadan mkoani Iringa baada ya kijana wa kijiji hicho kuamka asubuhi na kukuta msalaba wa mtu aliyefariki dunia toka mwaka 1997. Na Hafidh Ally na Azory Orema Mkazi wa kijiji cha Saadani…

4 July 2024, 11:16 am

Tozo ya majengo kupitia manunuzi ya Umeme kilio kwa wanairinga

Wananchi wamelalamika kuongezeka makato ya kodi ya majengo kuanzia Julai Mosi 2024. Na Michael Mundellah na Naida Atannas Wananchi Manispa ya Iringa wamelalamikia kuona ongezeko la tozo ya makato ya kodi ya majengo kuanzia Julai Mosi 2024 pindi wanaponunua umeme…