9 April 2026, 18:36

Ifahamu Nuru FM kwa ufupi

Nuru fm ni radio ya kijamii ambayo ilianza kurusha matangazo yake mwaka 2009 kupitia masafa ya 88.9 lengo lake ni kufikia wananchi wote wa mkoa wa Iringa na kutengeneza vipindi bora na iwe radio inayosikiliza kero za wananchi. Mpaka sasa…

On air
Play internet radio

Recent posts

29 May 2026, 10:36

Wanahabari Iringa wapewa elimu ya matumizi ya Maziwa

Maziwa ni chakula muhimu na kamili kwa watu wa rika zote kutokana na kuwa na makundi yote ya virutubishi muhimu kwa mwili wa binadamu. Na Hafidh Ally WAANDISHI wa habari mkoani Iringa wamepatiwa elimu kuhusu matumizi ya maziwa bora na…

29 May 2026, 09:23

Mikopo ya IDYDC yafungua Fursa za ajira Iringa

Wananchi mkoani Iringa wameendelea kunufaika na mikopo inayotolewa na Shirika lisilo la Kiserikali la IDYDC, hali iliyosaidia kuinua uchumi wa familia nyingi kupitia uanzishaji na upanuzi wa biashara mbalimbali. Na Hafidh Ally Hatua ya Shirika lisilo la Kiserikali la IDYDC…

29 May 2026, 09:07

Mafinga Mji wapongeza ujenzi wa barabara

Na Hafidh Ally Wananchi Halmashauri ya Mji Mafinga wameipongeza serikali kwa kufanya ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilomita 1.3 unaotekelezwa na Serikali kwa gharama ya shilingi milioni 700 ambao umeleta manufaa makubwa kwa jamii. Wakizungumza mara baada ya Barabara…

28 May 2026, 13:15

Wanafunzi waonywa matumizi ya bangi kali

Elimu ya rika balehe iliyotolewa itasaidia kupunguza tatizo la matumizi ya sigala kali na bangi kwa wasichana wanaosoma katika shule ya Mlamke. Na Adelphina Kutika Wasichana wa Shule ya Sekondari Mlamke mkoani Iringa wametakiwa kuacha matumizi ya bangi, sigara kali…

28 May 2026, 08:55

Mwang’onda: “Tuilinde amani ya nchi”

Na Fredrick Siwale Wananchi Halmashauri ya Mji Mafinga Mkoani Iringa wametakiwa wametakiwa kulinda amani iliyopo Nchini kwani ndio msingi wa kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo. Akizungumza katika mkesha wa Mwenge uliofanyika Uwanja wa Shule ya Msingi Mkombwe Halmashauri ya Mji…

24 May 2026, 09:53

Mufindi wajiandaa kuupokea Mwenge

Mwenge huo utatembelea kata zote za Wilaya ya Mufindi DC na Halmahauri ya Mji Mafinga kukagua utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo. Na Fredrick Siwale Wilaya ya Mufindi inatarajiwa kuupokea mwenge wa Uhuru tarehe 26/6/2026 ukitokea Mkoani Njombe kwa ajili ya…

22 May 2026, 12:07

Makala: Changamoto ya wanaume kupigwa na wake zao

Makala hii inaelezea Matukio ya Ukatili dhidi ya wanaume jambo linalohatarisha ustawi wa familia. Na Hafidh Ally na Joyce Buganda Nuru FM imekuandalia makala hii maalum Kuangazia changamoto za ukatili wanazokutana nazo wanaume ikiwemo vipigo kutoka kwa wake zao na…

22 May 2026, 09:09

Chuo cha Rucu chawaandaa wahitimu kujiajiri

Tukio la Business Day limeonesha dhamira ya Chuo Kikuu Katoliki cha Ruaha (Rucu) ya kutoa elimu inayozalisha wahitimu wenye ushindani, ubunifu, maadili, na uwezo wa kufanya shughuli za kibiashara. Na Hafidh Ally Wanafunzi wa Chuo Kikuu Katoliki cha Ruaha (Rucu)…

21 May 2026, 08:44

Bukumbi acharuka kampuni za Ulinzi zisizolipa wafanyakazi

Jeshi la Polisi limebaini kuwa kampuni nyingi zinaendesha shughuli zake kinyume cha sheria. Na Ayoub Sanga Jeshi la Polisi mkoani Iringa limetangaza kiama kwa kampuni za ulinzi ambazo zimekuwa zikikiuka sheria na kanuni za vibali vya ulinzi, hali inayodaiwa kusababisha…

21 May 2026, 08:38

Iringa kufanya wiki ya utafiti na ubunifu

Wananchi Mkoani Iringa wanatarajia Kunufaika Na Maarifa Na Teknolojia Mpya kupitia maonesho hayo. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amewataka wananchi  kutumia fursa ya Wiki ya Utafiti, Ubunifu na Huduma kwa Jamii kujifunza na kunufaika na…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.