On air
Play internet radio

Recent posts

19 June 2026, 08:16

Kenan awaita Chadema kwenye mdahalo

“Tujadiliane na tujenge nchi yetu kwa upendo, siyo kujenga nchi kwa kuibomoa,” Na Hafidh Ally Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Kenani Laban Kihongosi, amewataka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kukubali kufanya…

18 June 2026, 12:40

Mwenyekiti atuhumiwa kwa ubadhilifu wa fedha

Na Fredrick Siwale Wananchi wa Mtaa wa Mji Mwema mjini Mafinga wamemlalamikia aliyekuwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo kwa tuhuma za kuhujumu fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya ununuzi wa vyombo vya msiba. Mwenyekiti wa sasa wa Serikali ya…

18 June 2026, 12:15

SOS yataka ushirikiano mapambano ya ukatili

Shirika la Sos Children Villages limeendelea kutoa elimu ya ukatili wa kijinsia katika Jamii. Na Joyce Buganda Wazazi na Walezi mkoani Iringa wamekumbushwa kushirikiana katika kutokomeza matukio ya vitendo vya ukatili kwa watoto vilivyokithiri katika jamii. Akizungumza katika maadhimisho ya…

15 June 2026, 19:38

Mzize kufanya bonanza la washike mkono Iringa

Bonanza hilo linatarajiwa kufanyika Tarehe 12.07.2026 Mkoani Iringa kwenye uwanja wa Samora Na Hafidh Ally Mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize, ametangaza kufanya bonanza mkoani Iringa mara baada ya ligi kuisha kwa lengo la kurudisha shukrani kwa jamii na kuwafariji watu…

12 June 2026, 17:36

Heche awasili Iringa, kuhutibia wananchi kesho

Na Hafidh Ally Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Bara John Heche, amewasili mkoani Iringa leo 12 Juni 2026 kwa ajili ya kufanya ziara na kuhutubia wanachama na wakazi wa Iringa. Heche amewasili na kupokelewa na wanachama…

12 June 2026, 08:53

Polisi Iringa yawakamata watuhumiwa 215

Katika operesheni zinzaofanywa na Jeshi la Polisi walifanikiwa kukamata mali mbalimbali zinazodhaniwa kuwa za wizi Mkoani Iringa. Na Hafidh Ally Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limewakamata watuhumiwa 215 kwa makosa mbalimbali katika kipindi cha Mei 1 hadi Juni 9,…

10 June 2026, 08:58

Shemdoe aziagiza halmashauri kukuza vipaji vya michezo

“Ni vyema Halmashauri zikaweka mkakati wa kukuza na kutumia vipaji vitakavyopatika kupitia mashindano hayo kama fursa ya ajira“ Na Hafidh Ally Halmashauri zote Nchini zimetakiwa kuweka mkakati wa kuanzisha na kuendeleza shule maalumu za kukuza vipaji vya michezo na sanaa…

10 June 2026, 08:43

Kaya tatu Mufindi zapatiwa bima ya afya

Bima hizo zimetolewa ili kuunga mkono juhudi za serikali kuhakikisha jamii inapata huduma bora za afya. Na Fredrick Siwale Katika kuunga Mkono upatikanaji wa bima ya afya kwa wote, chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Mufindi kimekabidhi shilingi Sh. 450,000…

8 June 2026, 09:57

Mwigulu: “Wananchi Iringa wasiuziane ardhi kiholela”

Viongozi mliopo hapa waambieni wananchi hivi sasa masuala ya ardhi wasifanye kwa kuaminiana, wawe wanaandikishana kwa mikataba na tena katika ofisi za kijiji ili watambulike. Na Hafidh Ally Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwigulu Nchemba amewataka watumishi…

3 June 2026, 10:18

MUCE yakuza tafiti na ubunifu Iringa

Na Hafidh Ally Zaidi ya shilingi milioni 300 zimewekezwa na Chuo Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) katika kuendeleza mawazo bunifu na tafiti mbalimbali zenye lengo la kuzalishwa kibiashara na kutoa suluhisho kwa changamoto za kijamii na kiuchumi nchini. Hayo yameelezwa…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.