On air
Play internet radio

Recent posts

19 May 2026, 19:21

Bonanza la Mahuninga latatua changamoto za wananchi

Na Joyce Buganda Diwani wa Kata ya Mahuninga wilaya ya iringa Michael Vahaye ameandaa hafla kwa watumishi wa kata hiyo kwa kuandaa bonanza lilohusisha watumishi wa kata ya mahuninga Wilaya ya Iringa na wanafunzi yenye lengo la kutatua changamoto zilizopo…

19 May 2026, 09:17

Care Tanzania yaleta usawa katika Jamii Iringa

CARE Tanzania imesaidia kwa kiwango kikubwa kutoa elimu kwa wakazi wa vijiji vya Holo, Kibebe na Ulanda. Na Adelphina Kutika Shirika la CARE Tanzania limetoa mafunzo ya kusaidiana majukumu ya nyumbani kwa wananchi wa kata za Ulanda na Kibebe katika…

15 May 2026, 15:16

Sanga: Wanamasaka mtapata huduma bora

Kituo hicho kitasaidia wananchi hao kupata huduma bora za afya. Na Joyce Buganda Wananchi wa Kijiji cha Kaning’ombe kilichopo Kata ya Masaka Wilaya ya Iringa wameiomba serikali kuwajengea kituo cha afya sambamba na kuwatatulia changamoto ya maji. Wakizungumza katika mkutano…

15 May 2026, 15:08

Idydc Microcredit yawa mkombozi kwa wajasiriamali Ifunda

“Mkopo kutoka IDYDC umesaidia kusomesha watoto na kukuza Biashara” Na Hafidh Ally Wananchi wa Kijiji cha Ifunda Wilaya ya Iringa wameishukuru Taasisi ya Utoaji Mikopo ya IDYDC Microcredit kwa kuwapatia Mikopo iliyowasaidia kuanzisha biashara na kujikwamua kiuchumi. Wakizungumza na Nuru…

13 May 2026, 11:40

Mtatifikolo: Nipo tayari kuwatumikia Wanaismani

Na Hafidh Ally Wananchi wa Tarafa ya Pawaga Kata ya Itunundu Wilaya ya Iringa Vijijini wamejitokeza katika Uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Isimani kupitia Mgombea Ubunge kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM Emmanuela Mtatifikolo. Wananchi…

13 May 2026, 10:14

Mafinga Mji wavuka lengo la ukusanyaji mapato

Halmashauri hiyo imefanikiwa kukusanya zaidi ya shilingi Bilion 8.8 na kufanikiwa kuvuka lengo kwa asilimia 105 ya makusanyo ambayo walikadiria kukusanya shilingi Bilion 7.5. Na Fredrick Siwale Halmashauri ya Mji mafinga imefanikiwa kuvuka lengo la kukusanya mapato ya ndani kwa…

13 May 2026, 09:18

Kiswaga akabidhi Kompyuta na Saruji Shule ya Tosamaganga

Msaada huo wa saruji unatarajiwa kuboresha uwanja wa mpira wa kikapu, huku kompyuta hizo zikilenga kuongeza ufanisi katika matumizi ya TEHAMA. Na Hafidh Ally Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Mh.  Jackson Kiswaga amekabidhi mifuko 200 ya saruji pamoja na kompyuta…

12 May 2026, 09:09

RC kheri awatembelea majeruhi wa ajali Iringa

Ajali hiyo imehusisha basi la abiria la kampuni ya THE CLASSIC linalofanya safari kati ya Zimbabwe na Tanzania pamoja na lori la mizigo, ambapo magari hayo yaligongana uso kwa uso. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James,…

11 May 2026, 13:19

Bilioni 64 kujenga barabara ya ipogolo-Kilolo

Barabara zinazotengenezwa Wilaya ya Kilolo zinatarajia kukuza uchumi wa wananchi wa eneo hilo. Na Hafidh Ally Zaidi ya Bilioni 64 zimetumika kufanya Ujenzi wa barabara ya Ipogolo hadi Wilaya ya Kilolo inayotarajiwa kuwa chachu muhimu ya maendeleo kwa wananchi wa…

11 May 2026, 13:06

Jamii Iringa yaaswa kushiriki katika malezi

Na Joyce Buganda Jamii Mkoani iringa imetakiwa kuongeza ushirikiano katika malezi ya watoto ili kuhakikisha wanatimiza ndoto zao na kulindwa dhidi ya changamoto zinazowakabili. Wito huo umetolewa na Katibu wa Shughuli za Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika Manispaa…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.