Nuru FM

Maazimio 15 yawekwa kati ya wanahabari, polisi Iringa

18 March 2024, 11:23 am

Mwenyekiti wa IPC Iringa Frank Leonard akiwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa ACP Allan Bukumbi kuonesha makubaliano yao. Picha na Mwandishi wetu.

Maazimio 15 yamefikiwa kuelekea kwenye chaguzi za serikali za mitaa ili kuongeza ushirikiano kati ya Polisi na Wanahabari.

Na Mwandishi wetu.

Jeshi la Polisi na waandishi wa habari mkoani Iringa wameweka maazimio 15 yatakayowaongoza kufanya kazi na kujenga uwezo wa kiusalama na kiulinzi kati ya waandishi wa habari na jeshi la polisi mkoa wa Iringa.

Hayo yamejiri baada ya kukamilika kwa midahalo minne ya ulinzi na usalama wa waandishi wa habari, ambayo imedhaminiwa naย ๐”๐ฆ๐จ๐ฃ๐šย ๐ฐ๐šย ๐Š๐ฅ๐š๐›๐ฎย ๐ณ๐šย ๐–๐š๐š๐ง๐๐ข๐ฌ๐ก๐ขย ๐ฐ๐šย ๐‡๐š๐›๐š๐ซ๐ขย ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐šย (๐”๐“๐๐‚)ย ๐ค๐ฎ๐ฉ๐ข๐ญ๐ข๐šย ๐’๐ก๐ข๐ซ๐ข๐ค๐šย ๐ฅ๐šย ๐Š๐ข๐ฆ๐š๐ญ๐š๐ข๐Ÿ๐šย ๐ฅ๐šย ๐Š๐ฎ๐ฌ๐š๐ข๐๐ข๐šย ๐•๐ฒ๐จm๐›๐จย ๐ฏ๐ฒ๐šย ๐‡๐š๐›๐š๐ซ๐ขย (๐ˆ๐Œ๐’) lenye lengo la kujenga uwezo wa kiusalama na kiulinzi kwa waandishi wa habari.

Akizungumza katika utiliwaji wa saini wa maazimio hayo,ย ๐Œ๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž๐ค๐ข๐ญ๐ขย ๐ฐ๐šย ๐–๐š๐š๐ง๐๐ข๐ฌ๐ก๐ขย ๐ฐ๐šย ๐‡๐š๐›๐š๐ซ๐ขย ๐Œ๐ค๐จ๐šย ๐ฐ๐šย ๐ˆ๐ซ๐ข๐ง๐ ๐šย ๐๐๐ฎ๐ ๐ฎย ๐…๐ซ๐š๐ง๐คย ๐‹๐ž๐จ๐ง๐š๐ซ๐ย amesema makubaliano hayo, yakizingatiwa kwa makundi yote mawili, yataleta ufanisi kwa makundi hayo akiwataka waandishi wa habari na jeshi la polisi kuzingatia misingi ya maadili na taaluma ya kazi zao, huku akiwakumbusha waandishi wa habari kwamba hakuna habari kubwa kama maisha yao.

๐Š๐ฐ๐šย ๐ฎ๐ฉ๐š๐ง๐๐žย ๐ฐ๐š๐ค๐ž,ย ๐Š๐š๐ฆ๐š๐ง๐๐šย ๐ฐ๐šย ๐๐จ๐ฅ๐ข๐ฌ๐ขย ๐Œ๐ค๐จ๐šย ๐ฐ๐šย ๐ˆ๐ซ๐ข๐ง๐ ๐šย ๐’๐€๐‚๐ย ๐€๐ฅ๐ฅ๐š๐งย ๐‹.ย ๐๐ฎ๐ค๐ฎ๐ฆ๐›๐ขย amesema makubaliano hayo ni muhimu hasa tunapoelekea kwenye chaguzi za serikali za mitaa huku akitoa rai kwa makundi yote mawili kuzingatia makubaliano hayo ili kufikia lengo la mashikiano hayo.

๐Š๐š๐ญ๐ข๐›๐ฎย ๐ฐ๐šย ๐–๐š๐š๐ง๐๐ข๐ฌ๐ก๐ขย ๐ฐ๐šย ๐‡๐š๐›๐š๐ซ๐ขย ๐Œ๐ค๐จ๐šย ๐ฐ๐šย ๐ˆ๐ซ๐ข๐ง๐ ๐šย ๐๐๐ฎ๐ ๐ฎย ๐‡๐š๐ค๐ข๐ฆ๐ฎย ๐Œ๐ฐ๐š๐Ÿ๐จ๐ง๐ ๐จย ๐š๐ฆ๐ž๐ฌ๐จ๐ฆ๐šย ๐ฆ๐š๐š๐ณ๐ข๐ฆ๐ข๐จย ๐ก๐š๐ฒ๐จย ๐Ÿ๐Ÿ“,baadhi yakiwa ni kuimarisha ushirikiano kwa makundi hayo, kufanya tathmini ya pamoja ya makubaliano hayo kila baada ya miezi mitatu, UTPC na wadau wengine kuendelea kutoa mafunzo ya ulinzi na usalama na waandishi wa habari kuzingatia usalama wao wanapochukua habariย ๐ก๐ฎ๐ค๐ฎย ๐ฏ๐ข๐จ๐ง๐ ๐จ๐ณ๐ขย ๐ฐ๐šย ๐๐ข๐ง๐ขย ๐ง๐šย ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ฌ๐ก๐ž๐ซ๐ข๐šย ๐ฐ๐š๐ค๐ข๐ฌ๐ก๐ฎ๐ก๐ฎ๐๐ข๐šย ๐ฆ๐š๐ค๐ฎ๐›๐š๐ฅ๐ข๐š๐ง๐จ.