Radio Tadio

Kijamii

4 Mei 2026, 6:21 um

Rocky: Wanaume acheni kukimbia majukumu yenu

“Wanawake waombeeni waume zenu” Na Anna Mhina Wanaume wametakiwa kurejea katika maadili mema na  kushirikiana na wenza katika kujenga familia imara yenye upendo, uwajibikaji, na mawasiliano mazuri ili kuweza kutengeneza familia bora. Wito huo umetolewa na mchungaji kiongozi wa kanisa…

29 Aprili 2026, 16:25

Wahitimu ualimu waomba uboreshaji mitaala uendane na vifaa

Aidha wamedai kuwa endapo serikali ikizipatia shule vifaa hivyo vya kufundishia na kujifunzia kutaleta usawa wa Kielimu Kwa makundi yote. Na Steven Noel.Wahitimu wa Taalauma ya ualimu Katika chuo cha ualimu Mpwapwa wameiomba serikali kuwa uboreshaji wa mitaala uendane na…

17 Aprili 2026, 12:25 mu

Parokia mpya ya Mrara Jimbo Katoliki la Mbulu yazinduliwa

Mkuu wa wilaya ya Babati Mkoani Manyara Emanuela Kaganda amewaomba viongozi wa dini kuendelea  kuzuia mmomonyoko wa maadili katika jamii kwa mafundisho ya imani  pamoja na kuiombea nchi ya Tanzania ili amani na utulivu vizidi kutawala. Na George Augustino. Dc…

15 Disemba 2025, 15:11

Uhaba wa walimu chanzo cha wanafunzi kukata tamaa Igandu

Kitendo Cha mwalimu mmoja kujigawa katika madarasa mengi inakuwa ngumu kuhakikisha kama wanafunzi wanaelewa kile wanacho fundishwa. Na Victor Chigwada. Uhaba wa  walimu  katika shule ya msingi Igandu umepelekea baadhi ya wanafunzi wanao maliza darasa la saba shuleni hapo kujiunga…

18 Septemba 2025, 7:22 um

UWT kusaka kura milioni 16 za Dkt. Samia

Zaidi ya wanawake 700,000 wamejiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura Mkoani Geita hali ambayo inawapa matumaini UWT Na Mrisho Sadick: Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) imeweka mkakati wa kutafuta kura milioni 16 kwa ajili ya mgombea…

3 Febuari 2024, 4:31 um

Kyela:Samia Mgeni rasmi maridhiano day Mbeya

Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania dokta Samia Suluhu Hasan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika siku ya mamaridhiano day itkayofanyika machi 3 2024 mkoani Mbeya.Na Masoud Maulid Kuelekea siku ya maadhimisho ya Maridhiano day yatakayofanyika march 3.2024 kamati ya…

5 Septemba 2023, 1:00 um

Wanawake Micheweni walia kutelekezwa na waume zao.

Wanawake na watoto wamekuwa ni wahanga wakubwa kwenye suala zima la utelekezaji hivo ipo haja kuhakikisha kuwa tunashirikiana kwa kina kuhakikisha tunaondoa tatizo hilo ambalo linapigiwa kelele siku hadi siku katika jamii zetu Na Mwiaba Kombo

4 Septemba 2023, 10:25

Serikali yawakaribisha wawekezaji sekta ya Madini

Na Mwandishi wetu WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Kassim Majaliwa amekutana na ujumbe kutoka Korea Kusini uliojumuisha viongozi wa makampuni makubwa ya madini yanayohusika na mnyororo wa thamani wa uzalishaji betri za magari ya Posco Holdings, Posco…

4 Septemba 2023, 10:20

ASAS akubali kuwa Mlezi wa Machinga

Na Frank Leonard MFANYABIASHARA Salim Asas kutoka mkoani Iringa  amekubali kupewa hadhi ya umachinga katika tukio lilikowenda sambamba na kuitikia wito wa kuwa mlezi na mwanachama wa Shirikisho la Umoja wa Machinga Tanzania (SHIUMA). Katika tukio hilo lililofanyika katika soko la…