![](
https://radiotadio.co.tz/michewenifm/wp-content/uploads/sites/24/2021/09/back-1500x800.jpg )
![](https://radiotadio.co.tz/michewenifm/wp-content/uploads/sites/24/2023/08/official-lofo-150x150.png)
Micheweni FM
97.4 MHz
Micheweni - Kaskazini Pemba
+255 773 290 519 au +255 779 974 974
micheweniradio@gmail.com
97.4 MHz
Micheweni - Kaskazini Pemba
+255 773 290 519 au +255 779 974 974
micheweniradio@gmail.com
Mradi wa viungo ni mradi ambao umekuja kwa lengo la kumkomboa mwananchi kiuchumi kuondokana na hali ngumu ya maisha. Na Mwiaba Kombo Maafisa kilimo wameshauriwa kutoa taarifa kamili kuhusu udongo bora wenye kukidhi viwango kwa lengo la kuzalisha mazao bora…
21 May 2024, 10:12 am
Waandishi wa habari wanapaswa kuhakikisha kuwa habari zao zinawajibisha watendaji ili watekeleze majukumu yao kwa ufanisi na uadilifu ili kuleta matokeo chanya katika jamii. Na Mwiaba Kombo Waandishi wa habari kisiwani Pemba wametakiwa kuandika habari za michezo ambazo zitawafanya wanawake…
29 March 2024, 9:36 am
Skuli ya Minungwini ni baadhi ya skuli ambayo ipo katika wilaya ya Wete mkoa wa Kaskazini Pemba na ni miongoni mwa skuli ambazo zimejengwa kwa muda mrefu na miundombinu yake imechakaa. Na Zuhura Juma Wanafunzi 274 wa skuli ya msingi…
7 March 2024, 12:36 pm
IIT Madrasa ni chuo kikuu chenye kujitegemea kinachotoa kozi mbali mbali za Teknolojia ambapo ujio wake hapa hapa Zanzibar kitaweza kutangaza fursa nyingi na kuleta mabadiliko na mageuzi makubwa ya maendeleo kwa upande wa Zanzibar. Na Mwiaba Kombo WANAFUNZI kisiwani…
25 November 2023, 6:31 pm
Mamlaka ya Mapato Tanzania( TRA) ni shirika la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambalo lina wajibu wa kusimamia na kukusanya na kuhifadhi mapato yote kama ambavyo sheria zinasema na ni kwa niaba ya Serikali. Na Mwiaba Kombo Mkuu…
24 November 2023, 9:46 am
Choo ni moja kati ya jambo muhimu katika nyumba hivo ni muhimu kuhakiksha kila mwanajamii amechimba choo katika nyumba yake lakini licha ya umuhimu wake ni lazima kuhakiksha huchimbi choo hicho karibu na vianzio vya maji kwani vinaweza kusababisha madhara…
23 November 2023, 4:47 pm
Na Mwiaba Kombo Wadau wa afya kisiwani Pemba wametakiwa kufikisha taarifa sahihi Kwa jamii kuhusiana na maradhi ya mripuko kutokana na mvua ambazo zinazoendelea kunyesha. Ushauri huo umetolewa na Afisa mdhamin wizara ya Afya Pemba Khamis Bilali Ali wakati alipokuwa…
19 November 2023, 1:18 pm
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar kwa mujibu wa kifungu cha 4(1)(c)cha sheria ya kuanzisha afisi ya tume ya uchaguzi ya Zanzibar namba 1ya mwaka 2017 na sheria ya uchaguzi namba 4 ya mwaka mwaka 2018,imepewa jukumu la kuandaa ,kutayarisha ,kuhifadhi…
16 November 2023, 12:17 pm
Udhalilishaji wa kijinsia ni ukatili wowote unaofanywa na mtu kumfanyia mtu mwingine bila kujali umri maumbile kabila rangi dini au mitazamo tofauti ya kisiasa au mingine. Na Mwiaba Kombo Walimu na wanafunzi wa skuli ya msingi Wesha wilaya ya Chake chake…
3 November 2023, 7:48 pm
Udhalilishaji ni kumfanyia mtu kitendo chochote kile kitakachomuathiri utu wake na heshima yake na kikamuathiri kimwili na kisaikolojia. Na Mwiaba Kombo Waandishi wa habari kisiwani Pemba wametakiwa kutumia kalamu zao na kupaza sauti zao kwa lengo la ukuweza kwatetea waathirika…
27 October 2023, 9:02 am
Umoja wa wanawake Tanzania UWT taifa umeandaa utaratibu wakutembelea miradi mbali mbali ambayo inafanywa na Serikali ya Tanzania pamoja na ya Zanzibar lengo likiwa ni utekeleaji wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020-2025 ya CCM kwa wananchi juu ya kuwapelekea…