Recent posts
18 October 2023, 11:19 am
PEGAO, TAMWA watoa neno kuhusu vyeti bandia
Tatizo la upatikanaji wa vitambulisho pamoja na vyeti bandi (feki) limekuwa ni tatizo sugu ambalo kwa sasa katika visiwa vya Zanzibar ni jambo la kawaida licha ya serikali pamoja na wadau wengine kupiga kelele siku hadi siku kuhusu kupatikana kwa…
13 October 2023, 2:55 pm
PACSO yawapiga msasa wadau juu ya kuilinda haki za bindamu
Binadamu yeyote duniani ana haki ya kupata kile ambacho anastahili kupata bila ya kuwepo na ubaguzi wowote haijalishi ni mlemavu au sio mlevu , bila kujali ukabila wake ,dini yake ama rangi yake Na Mwiaba Kombo Wadau wa haki za…
5 October 2023, 3:43 pm
ZATU yaiomba serikali kuwepo tume ya utumishi ya walimu Zanzibar
Elimu ni haki ya kila mtu hivyo kila mmoja kwa mujibu wa nafasi yake hana budi kuhakikisha anashirikiana kwa pamoja na wenzake ili watoto waweze kupata haki yao ya msingi ya elimu. Na Mwiaba Kombo. Wizara ya Elimu na Mafunzo…
2 October 2023, 1:08 pm
Mpambani Kojani wawapa tano polisi jamii
Kojani ni miongoni mwa kisiwa ambacho kinapatikana upande wa Mashariki mwa kisiwa cha Pemba mkoa wa Kaskazini Pemba wilaya ya Wete. Na Mwiaba Kombo Wananchi wa wilaya ndogo Kojani shehia ya Mpambani wilaya ya Wete mkoa wa Kaskazini Pemba, wameishukuru…
27 September 2023, 6:21 pm
Zanzibar kuwa kivutio cha kijani na utalii endelevu
Kilimo ni miongoni mwa uti wa mgongo wa taifa ambacho kinatuingizia kipato pamoja na chakula kwa mahitaji yetu ya kila siku hivo ni jukumu letu kuhakikisha tunaendeza kilimo ili kuweza kujikwamua na hali ya maisha. Na mwandishi wetu Rais wa…
23 September 2023, 4:21 pm
Waziri wa Elimu afanya ziara usiku skuli mbalimbali Pemba
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar imeandaa mpango maalum wa kuhakikisha kwamba wanafunzi ambao wako kwenye madarasa ya mitihani wanapata muda wa ziada wa kujisomea. Na Ali Kombo Ikiwa ni siku ya elimu bila ya malipo Zanzibar Waziri…
20 September 2023, 7:18 am
Wahitimu ualimu CCK Pemba watakiwa kujiendeleza
Chuo cha kiislam Pemba ni miongoni mwa chuo ambacho kipo kisiwani Pemba ambapo kinatoa fani ya ualimu kwa ngazi ya cheti na diploma Na Mwiaba Kombo WAZIRI wa nchi ofisi ya rais tawala za Mikoa ,Serikali za mitaa na Idara…
14 September 2023, 9:04 am
Changamoto za maisha isiwe chanzo cha utoro mashuleni
Wilaya ya Micheweni ni miongoni mwa wilaya ambazo zinaendelea kufanya vizuri katika mitihani yake ya taifa lakini bado kumekuwa na changamoto kwa baadhi ya wazazi na walezi kutowapa kipaombele watoto wao kuhudhiria skuli. Na Mwiaba Kombo Wanafunzi wa skuli za…
5 September 2023, 1:00 pm
Wanawake Micheweni walia kutelekezwa na waume zao.
Wanawake na watoto wamekuwa ni wahanga wakubwa kwenye suala zima la utelekezaji hivo ipo haja kuhakikisha kuwa tunashirikiana kwa kina kuhakikisha tunaondoa tatizo hilo ambalo linapigiwa kelele siku hadi siku katika jamii zetu Na Mwiaba Kombo
30 August 2023, 7:54 am
Wanahabari Pemba watakiwa kuandika habari za uchunguzi kuhusu GBV
Udhalilishaji ni vitendo ambavyo vinapigiwa kelele siku hadi siku katika maeneo mbalimbali nchini, hivyo ni vyema kuhakikisha tunashirikiana kwa pamoja kutokomeza suala hili ambalo limekuwa likirejesha nyuma maendeleo. Na Mwiaba Kombo Afisa mkuu wa mawasiliano na uchochemuzi kutoka Chama cha…