Micheweni FM

Recent posts

6 December 2021, 11:03 am

MWANASHERIA: Wazazi, Walimu, musiwe miongoni mwa wanaodhalilisha watoto

Na Mwiaba Kombo WAZAZI na walimu wameshauriwa kuwalinda watoto dhidi ya udhalilishaji na kuepuka kuwa miongoni mwa watendaji wa matendo hayo. Akizungumza na wanafunzi katika skuli ya Maandalizi Madungu Chake Chake, mwanasheria kutoka Kituo cha Huduma za Sheria (ZLSC) Pemba…

12 November 2021, 5:58 am

Waandishi acheni woga ibuweni habari za rushwa(Zaeca)

Na Mwiaba Kombo MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu wa Uchumi Zanzibar ‘ZAECA’ ACP, Ahmed Khamis Makarani, amewataka waandishi kuacha woga na kuandika habari za wala rushwa na watoaji, kwani hiyo ndio sehemu ya uwajibikaji. Amesema, uwajibikaji…

21 October 2021, 12:15 pm

Wadau wa vyama vya siasa watakiwa kutambua umuhimu wa daftari la kudumu

Na Said Abdalla: Mwenyekiti wa tume ya  uchaguzi Zanzibar Jaji mkuu mstaafu Hamid Mahmoud Hamid amesema  ni utamaduni uliojengwa na tume ya uchaguzi wa kukutana na wadau wake kila inapotokea jambo linalohusu uchaguzi. Ameyasema hayo kwenye mkutano wa wadau wa…

6 October 2021, 11:34 am

PEGAO yataja mwarubaini wanawake kushika hatamu

Na Zuhura Juma. WANANCHI wametakiwa kushirikiana pamoja katika kuwainua wanawake, ili kuhakikisha wanakuwa viongozi kuanzia ngazi ya jamii hadi Taifa. Akizungumza na wananchi wa shehia ya Tumbe Magharibi, Mkurugenzi wa Jumuiya ya PEGAO Pemba Hafidh Abdi Said amesema, wanawake wanao…

5 October 2021, 2:34 pm

TAMWA ZNZ yasaidia utatuzi wa uharibifu wa Mazao ya Wajasiriamali Pemba

CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Zanzibar- TAMWA-ZNZ leo octoba 05,2021 kimekabidhi Waya wa uzio kwaajili ya kuweka kwenye shamba la wajasiriamali linalomilikiwa na kikundi cha TUSIFE MOYO kilichopo Shehia ya Kangagani, Wilaya ya Wete mkoa wa Kaskazini Pemba…

1 October 2021, 9:17 am

Wakulima 50 Pemba wanufaika na vifaa kupitia mradi wa VIUNGO

Na Gaspary Charles JUMLA ya wakulima hamsini wa bustani za nyumbani Kisiwani Pemba katika kipindi cha mwaka wa kwanza wa utekelezaji mradi wa Viungo, Mboga na Matunda wamewezeshwa vifaa vya kilimo ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi huo unaolenga…

1 October 2021, 9:12 am

7000 watoroka Skuli Wilaya ya Micheweni

Na Ali Kombo PEMBA Zaidi ya Wanafunzi 7000 wilaya ya Micheweni hawaendi skuli na kuifanya wilaya hiyo ikawa inaongoza kwa wanafunzi walio watoro licha ya kuonekana ni ya mwanzo kitaifa kwa wanafunzi waliofaulu Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya…

Sample Page

This is an example page. It’s different from a blog post because it will stay in one place and will show up in your site navigation (in most themes). Most people start with an About page that introduces them to potential site visitors. It might say something like this:

Hi there! I’m a bike messenger by day, aspiring actor by night, and this is my website. I live in Los Angeles, have a great dog named Jack, and I like piña coladas. (And gettin’ caught in the rain.)

…or something like this:

The XYZ Doohickey Company was founded in 1971, and has been providing quality doohickeys to the public ever since. Located in Gotham City, XYZ employs over 2,000 people and does all kinds of awesome things for the Gotham community.

As a new WordPress user, you should go to your dashboard to delete this page and create new pages for your content. Have fun!