Recent posts
29 April 2026, 11:34 am
Kyela: Mwakyambile anogesha Polisi Jamii Amani Cup 2026
Mkurugenzi wa kiwanda cha Covenant Edible Oil Babylon Mwakyambile amekonga mioyo wa wapenda michezo wilayani Kyela mkoani Mbeya baada ya kumwaga tuzo za mshindi wa nne, mfungaji bora, golikipa bora, refa bora, kibendera bora, kikundi bora cha ushangiliaji na timu…
23 April 2026, 8:20 pm
Kyela: Covenant Edible yawafikia wahanga mafuriko
“Tuko tayari kushirikiana na jamii kutokana na namna inavyotuunga mkono kwenye bidhaa zinazozalishwa na kiwanda chetu cha Covenant Edible Oil”. Na James Mwakyembe Baada ya mkuu wa wilaya ya Kyela Josephine Manase kuomba wadau kuchangia wahanga wa mafuriko yaliyoikumba wilaya…
12 March 2026, 1:05 pm
Wananchi waungana matengenezo barabara za mtaa
Wananchi wa ubalozi wa Msasani kitongoji cha Ipyana wilayani kyela wamehamasishana kulima barabara korofi kipindi hiki cha Mvua za masika na kupelekea kukosekana kwa mawasiliano kati ya ubalozi wao na balozi zingine. Na Masud Maulid Wananchi wa ubalozi wa msasani…
3 March 2026, 2:39 pm
Kyela: Daktari mbobevu wa mazingira apatikana
“Kwenye jambo hili huu ni mwarobaini wa uchafuzi wa mazingira, tutakomesha kabisa upatikanaji wa taka ngumu katika mji wetu wa Kyela”. Na James Mwakyembe Ili kukabiliana na kadhia ya uchafu wa mazingira ya mji wa Kyela mtambo wa kubana na…
17 February 2026, 4:56 pm
Kyela: Rupia ilivyomkosesha ubunge Ruhundwa
“Sitarajii kurudi tena kwenye siasa, maana siasa ni uongo na ukweli” Na James Mwakyembe Aliyekuwa mtia nia wa nafasi ya ubunge jimbo la Ngara mkoani Kagera Hilali Ruhundwa katika uchaguzi mkuu wa Tanzania uliofanyika Oktoba 29 mwaka jana, amezungumza kwa…
6 February 2026, 5:57 pm
Walimu Keifo walishwa keki na wahitimu
Katika tukio lisilo la kawaida wahitimu wa kujitegemea katika Shule ya Sekondari Keifo wameamua kununua keki na soda na kuwapelekea walimu kwa ajili ya kuwapongeza baada ya kuwawezesha kupata ufaulu mzuri katika masomo yao. Na Emmanuel Jotham Wahitimu wa kujitegema…
5 February 2026, 2:08 pm
Atupwa jela kwa ubakaji Kyela
Na Emmanuel Jotham Mahakama ya Wilaya ya Kyela imemuhukumu Mogela Odian Kipeta, (30) Mkazi wa Kasumulu, Wilaya ya Kyela Mkoa wa Mbeya kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la kujinufaisha kingono alilolitenda dhidi ya mtoto mwenye umri wa miaka…
10 September 2025, 4:03 pm
Mhandisi Kasekenya aanza kampeni za ubunge Ileje
“Ukichagua CCM umechagua afya bora,barabara nzuri,maji salama,elimu na umeme vijijini” Na James Mwakyembe Mamia ya wananchi wamejitokeza katika uzinduzi wa kamapeni za kumnadi mgombea wa ubunge kupitia chama cha Mapinduzi CCM jimbo la Ileje mkoani Songwe Mhandisi Godfrey Msongwe Kasekenya…
30 July 2025, 5:17 pm
Kyela:Tusegelile wawafikia walemavu Kyela Msingi
“tusiwafiche nyumbani watoto wenye ulemavu,wakifundishwa wanaweza kufanya kwa utimamu” Na James Mwakyembe Kikundi cha watu wa Rungwe waishio Kyela Tusegelile Group wametembelea na kutoa misaada ya kiutu kwa watoto wenye uhitaji maalumu katika shule ya msingi kyela, ili kuwafariji na…
20 June 2025, 5:19 pm
Mwakyambile awamwagia fedha UVCCM Kyela
Jumla ya shilingi milioni moja na laki tatu zimekabidhiwa kwa uongozi wa jumuiya ya vijana wilaya ya kyela kwa ajiri ya ujenzi wa nyumba ya katibu wa jumuiya hiyo. Na James Mwakyembe Siku moja baada ya mdau wa maendeleo na…