Offline
Play internet radio

Recent posts

19 April 2024, 20:35

152 wahitimu kitado cha sita,16 washindwa kutokana na utoro Kyela day

Mdau wa maendeleo na mkurugenzi wa kampuni ya Basai General Suplies Ltd Baraka Mwamengo ametoa jumla ya shilingi milioni moja na kuahidi kuwapatia mashine nyingine mpya ya kisasa kwaajiri ya kuchapia mitihani shuleni hapo ili kuondokana na kadhia hiyo. Na…

17 April 2024, 14:43

Waathirika wa mafuriko Kyela washikwa mkono na Babylon

Mkuu wa Wilaya ya Kyela Josephine Manase amemmwagia sifa mkurgenzi wa kiwanda cha mafuta ya kupikia cha Covenant Edible Oil oili Babylon Mwakyambile kwa kuwa wa kwanza kutoa misaada kwa wahanga wa mafuriko. Na Emmanuel Jotham Mkuu wa Wilaya ya…

4 April 2024, 13:17

Kyela:Mvua za ng’oa daraja wananchi wapiga mbizi kufuata huduma

Wananchi katika kata ya ngana hapa wilayani kyela wapo hatarini kuliwa na mamba kufuatia  daraja la mto mwega kubomoka na kulazimika kuvuka kwa kuogelea ndani ya mto huo unaosifika kuwa na mamba wengi kufuata huduma kijiji cha pili. Na Masoud…

27 March 2024, 13:01

Convenant Edible Oil Ltd yamwaga vifaa vya michezo Kajunjumele Kyela

Kampuni ya kuzarisha mafuta ya Kyela Cooking Oil Convenant Edible Oil Ltd chini mkurugenzi Babylon Mwakyambile wamekabidhi mipira nane kwa timu nane shiriki katika ligi ya chama cha Mapinduzi ccm kata ya Kajunjumele. Na Nsangatii Mwakipesile Mkurungenzi wa kampuni ya…

23 March 2024, 22:49

Kyela:Mitungi ya Kinanasi yafika msikiti wa tenende

Mbunge wa jimbo la Kyela amendelea kukabidhi majiko ya gesi na sukari kwa waumini wa dini ya kiislamu ambapo mara hii amekabidhi majiko hayo katika misikiti ya tenende na Ipinda. Na Masoud Maulid Waislamu wilaya ya kyela wamempongeza mbunge wa…

23 March 2024, 22:28

Kyela:Mwanjala atembelea Convenant Edible Oil

Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi kyela akiambatana na kamati yake ya siasa wilaya ya Kyela amekagua kiwanda kipya cha kuzarisha mafuta cha Convenant Edible Oil na kumwagia sifa lukuki mwekezaji wa kiwanda hicho. Na Nsangatii Mwakipesile Kamati ya siasa ya…

20 March 2024, 17:27

Kyela:Mwalimu atuhumiwa kubaka mwanafunzi darasa la saba

Mwalimu mmoja mkazi wa kata ya njisi hapa wilayani kyela anatuhumiwa kumbaka motto mwenye umri wa miaka 14 huku akimuahidi kumuoa na kumpa fedha za kulia shuleni. Na Nsangatii Mwakipesile Katika hali isiyo ya kawaida mtu mmoja aliye tambulika kwa…

20 March 2024, 13:09

Kyela:Kinanasi aungana na waislamu funga ya mwezi mtukufu

Wakati waumini wa dini ya kiislamu wliayani kyela wakiendelea na mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani mbunge wa jimbo la Kyela Ally Mlaghila Kinanasi ametoa sukari na mitungi ya gesi kwa kila msikiti wilayani kyela. Na Masoud Maulid Mbunge wa…

About Keifo Fm

Kyela education improvement foundation is a registered nonprofit
Organization with its main objectives to enhance quality education in the
Country .The organization was registered on august 24th 2006 with the
Registration number OONGO/1617. The organization main office is located along Kyela –
Tukuyu road at kalumbulu street, Kyela

GABRIEL KIPIJA is the founder chairman and managing director of KEIFO FM RADIO

SUMMARY OF OBJECTIVE FOR ESTABLISHMENT OF THE PROJECT. The following are the objectives of establishment of the KEIFO FM RADIO;- 

I. To improve rural community initiative through an improved, reliable and less in cot communication  system, providing access to educational programs, local and international news. 

II. The broadcast programs have been developed to include religion discussion and local and international  news , health education ,traditional events and various entertainment 

III. To act as a forum of community member to exchange development ideas, debate local and national  issues, which will provide access and exposure them to current affairs on social, agricultural, health etc. IV. To establish platform for reshaping the community towards good cultures 

VISION 

To be the leading education provider and news disseminator through radio waves 

MISSION 

To educate, encourage people to use radio facilities for sharing education, current affairs and  information dissemination