Offline
Play internet radio

Recent posts

5 July 2024, 21:25

Mwakitalu: Tusherehekee sabasaba, tusiuze chakula

Mjumbe wa mkutano mkuu CCM taifa kutoka mkoa wa Mbeya Ramadhani Lufingo Mwakitalu amewaomba wanakyela kutouza chakula kwa fujo kuelekea siku ya sabasaba. Na James Mwakyembe Ikiwa zimesaria siku mbili kuelekea kilele cha siku ya sabasaba inayotarajiwa kufanyika jumapili ya…

1 July 2024, 18:15

Hersi Said, mashabiki kusherehekea ubingwa wa 30 Kyela

Rais wa klabu ya Yanga Injinia Hersi Said anatarajiwa kuungana na mashabiki wa timu hiyo hapa wilayani Kyela katika sherehe za kuipongeza timu hiyo kwa kutwaa ubingwa wa 30 msimu huu. Na James Mwakyembe Baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi…

1 July 2024, 18:03

Mwangasa: Nitaendelea kuabudu hapa nikiwa Kyela

Wakili msomi wa kujitegemea hapa nchini Tanzania Michael Mwangasa ameabudu katia kanisa la Jesus Desciples Tanzania na kuwapongeza waumini wa kanisa hilo kwa maombi waliyoyafanya wakati wote wa kesi ya Gerald Mwakitalu. Na James Mwakyembe Kwa mara ya kwanza tangu…

20 June 2024, 21:21

Wizara ya Ardhi yatinga Kyela na mkakati maluum

Wananchi wilayani watametakiwa kujitokeza kwa wingi katika zoezi la urasimishaji wa ardhi pamoja na kumiliki hati za umilikaji wa ardhi zoezi litakaloendeshwa na wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi baadae mwaka huu. Na James Mwakyembe Wizara ya ardhi…

19 June 2024, 15:44

Mwakitalu apasua Nyasa kuwafuata vijana kambini Ikombe

“Vijana jitokezeni kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa chama kiko tayari kuwaunga mkono”Ramadhan Mwakitalu. James Mwakyembe Wakati kambi ya umoja wa vijana ikiendelea kupamba moto huko Ikombe hapa wilayani kyela mjumbe wa mkutano mkuu CCM…

6 June 2024, 17:32

Kyela DC yang’ara ukusanyaji mapato

“Itakuwa haina maana kama mnaweza kukusanya fedha yote inayozidi harafu mkashindwa kutekeleza miradi ya maendeleo ya wananchi ili nao waone umuhimu wa kutoa ushuru” Na Masoud Maulid Mkuu wa mkoa wa mbeya Comred Juma Homera ameipongeza halmashauri ya wilaya ya…

4 June 2024, 17:11

Wengine 9 waikacha CHADEMA Kyela

Wimbi la wanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema kukihama chama hicho hapa wilayani kyela limeendelea kushika kasi baada ya wananchama wake wengine tisa kujinga Ccm. Na Aidan Mwasampeta Siku chache baada ya wanachama wa Demokrasia na Maendeleo kutimka…

3 June 2024, 16:14

Kyela:Miti 150,0000,kupandwa Kyela

Katika kukabiliana na janga la mafuriko ambalo limekuwa likiisumbua wilaya ya Kyela mara kwa mara serikali imekusudia kupanda miti milioni moja na laki tano. Na James Mwakyembe Siku chache baada ya mvua kubwa kuikumba wilaya ya Kyela serikali imekusudia kupanda…

31 May 2024, 18:25

Kyela:Harufu mbaya yatatiza afya za watu Butiama

Kutokana na hali ya mrundikano wa taka ulikithiri katika kizimba cha soko la jioni Kapwili wamelalamiki harufu mbaya inayosababishwa na kujaa kwa taka kizaimbani hapo. Na Nsangatii Mwakipesile Wananchi na wafanyabiashara katika soko la jioni la njia panda kapwili wameitaka…

28 May 2024, 15:58

Swebe: CCM acheni uoga CHADEMA tunawanyima usingizi

Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Kyela Victoria Swebe amekitaka Chama Cha Mapinduzi CCM kuacha uoga wa kiasiasa badala yake wajitokeze hadharani katika kuwahudumia wananchi. Na Masoud Maulid Saa chache baada ya Chama Cha Mapinduzi CCM Kyela kutangaza kuwapokea wanachama wapya…