Keifo FM

Recent posts

18 March 2024, 13:12

Maandamano ya CHADEMA yanukia Kyela

Wanachama na makada wa CHADEMA wilaya ya Kyela wanajipanga kufanya maandamano makubwa ya amani kushinikiza serikali kuunda tume huru ya uchaguzi. Na James Mwakyembe Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wilayani Kyela kupitia katibu wake mwenezi Donald Mwaisango kimesema kinajipanga…

14 March 2024, 18:12

Luoga: Watanzania niokoeni saratani ya koo inaniua

Dastani Luoga mkazi wa kitongoji cha Roma hapa wilayani Kyela ameomba watanzania kumsaidia michango ya kifedha ili kufanikisha upasuaji wa saratani ya koo inayomsumbua sasa. Na Masoud Maulid Baada ya kushindwa kula wala kunywa chochote kwa   muda wa miezi minne,…

13 March 2024, 14:19

Mwaisango: Iwe mvua, jua tunaingia kwenye uchaguzi

Chama cha CHADEMA wilayani kyela kimeitaka serikali ya chama cha mapinduzi wilayani hapa kujiandaa kikamilifu katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa na ule mkuu wa mwaka 2025 kuwa ni lazima wakiondoshe madarakani. Na James Mwakyembe Chama cha Democrasia na…

11 March 2024, 17:30

Swebe: Wanawake jitokezeni kugombea serikali za mitaa

Mwenyekiti mpya CHADEMA wilaya ya Kyela Victoria Swebe amewataka wanawake wa chama hicho kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za uenyekiti wa serikali za mitaa katika uchaguzi ujao. Na James Mwakyembe Baada ya kuchaguliwa na kuwa mwenyekiti mpya mwanamke wa chama…

8 March 2024, 16:27

Kyela: Vijana 10 wa greengard wakabidhiwa sare Itunge

Vijana wa chama cha mapinduzi uvccm  kata ya itunge wilayani kyela wamekabidhiwa sale aina kombati kwa ajili ya mandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2024-2025. Na Emmanuel Jotham Vijana kumi (10) wa Green Gard walio kwenda mafunzo kupitia chama…

8 March 2024, 16:09

Nyani aingia ndani na kumjeruhi mtoto Kyela

Katika hali isiyokuwa ya kawaida nyani aina ya ngedere akiwa anakimbizwa kutoka sehemu nyingine kwenda sehemu nyingine gafla akikimbilia ndani na baadaye kumjeruhi mtoto. Na Masud Maulid nyani aliyekuwa anakimbizwa na watoto maeneo ya Majoka wialayni kyela  ameingia ndani ya…

7 March 2024, 15:51

Milioni mia nne kujenga kituo cha kupooza umeme kyela

picha,Mbunge Ally Mlagila akizungumza na wananchi Serikali yaaja na mbinu mbadala ya kukomesha tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara wilayani kyela, Na James Mwakyembe Baada ya kuwepo katikakati ya umeme iliyokithiri serikali imetenga shilingi milioni mia nne kwa…

3 March 2024, 22:57

Kyela: Wekeza Group yatoa vifaa vya shule Unyakyusa, Ntebela

Wakati wanawake wakijiaanda kusherehekea siku ya wananke duniani kikundi cha wekeza grupu kimetoa vifaaa vya shule na chakula kwa shule za msingi Mbangamojo na Ikombe ikiwa ni ishara ya maadhimisho ya siku ya wananwake hapa wilayani Kyela. Na Nsangatii Mwakipesile…

About Keifo Fm

Kyela education improvement foundation is a registered nonprofit
Organization with its main objectives to enhance quality education in the
Country .The organization was registered on august 24th 2006 with the
Registration number OONGO/1617. The organization main office is located along Kyela –
Tukuyu road at kalumbulu street, Kyela

GABRIEL KIPIJA is the founder chairman and managing director of KEIFO FM RADIO

SUMMARY OF OBJECTIVE FOR ESTABLISHMENT OF THE PROJECT. The following are the objectives of establishment of the KEIFO FM RADIO;- 

I. To improve rural community initiative through an improved, reliable and less in cot communication  system, providing access to educational programs, local and international news. 

II. The broadcast programs have been developed to include religion discussion and local and international  news , health education ,traditional events and various entertainment 

III. To act as a forum of community member to exchange development ideas, debate local and national  issues, which will provide access and exposure them to current affairs on social, agricultural, health etc. IV. To establish platform for reshaping the community towards good cultures 

VISION 

To be the leading education provider and news disseminator through radio waves 

MISSION 

To educate, encourage people to use radio facilities for sharing education, current affairs and  information dissemination