26 January 2021, 11:40 am

Ifahamu Nuru FM kwa ufupi

Nuru fm ni radio ya kijamii ambayo ilianza kurusha matangazo yake mwaka 2009 kupitia masafa ya 88.9 lengo lake ni kufikia wananchi wote wa mkoa wa iringa na kutengeneza vipindi bora na iwe radio inayosikiliza kero za wananchi mpaka sasa…

On air
Play internet radio

Recent posts

28 December 2025, 8:09 pm

Wadau kukarabati miundombinu ya shule ya Lusinga

“Ubora wa miundombinu ya madarasa utasaidia wanafunzi wajifunze katika mazingira bora” Na Adelphina Kutika Uchakavu wa majengo ya Shule ya Msingi Lusinga Katika Halmashauri ya wilaya ya kilolo mkoani Iringa umeendelea kuwa changamoto kubwa kwa mazingira ya ujifunzaji na ufaulu…

21 December 2025, 12:46 pm

COP 30 yaleta fursa kwa mashirika

“COP 30 imekuwa na manufaa kwa wakulima kwani wanalima kisasa” Na Joyce Buganda Siku chache baada ya wakulima kuwa na uelewa kuhusu mkutano wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabia nchi COP 3O mashirika mengi yameanza kutoa miradi ya…

18 December 2025, 12:16 pm

Vijana Iringa wahimizwa kilimo cha parachichi

Kilimo cha parachichi kimetajwa kuwa mkombozi kwa kuimarisha kipato cha vijana. Na Adelphina Kutika Serikali ya Mkoa wa Iringa imewahimiza vijana kuchangamkia fursa za kilimo cha parachichi kama njia ya kujipatia ajira, kipato na kuboresha maisha yao. Akizungumza wakati wa…

17 December 2025, 8:20 pm

Wanawake kupewa elimu ya usalama mtandaoni

Serikali, asasi za kiraia na wadau wa teknolojia wametakiwa pia kushirikiana katika kuweka mifumo madhubuti ya kulinda watumiaji wa mitandao. Na Godfrey Mengele Jamii imehimizwa kuwapa elimu wanawake na wasichana kuhusu matumizi salama ya mitandao, ikiwemo kulinda taarifa binafsi, kutumia…

17 December 2025, 2:37 pm

RC Kheri asisitiza bima ya afya kwa wote

Bima ya afya imetajwa kuwa msaada kwa wananchi kupata huduma bora za afya. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya zote mkoani hapa kuhakikisha kuwa vituo vyote vya afya vinafungwa na…

12 December 2025, 12:06 pm

Kundo: Wakandarasi wazawa wapewe kipaumbele

“Utekelezaji wa majukumu yenu unapaswa kuzingatia mkataba ili kutatua kero ya maji kwa wananchi” Na Hafidh Ally Wandarasi wazawa (wa ndani ya Nchi), wametakiwa kutanguliza uzalendo wanapotekeleza Ujenzi wa miradi ya Maji wanayopewa na Serikali  ili kutatua kero ya maji…

12 December 2025, 12:05 pm

Milioni 407.9 yatolewa kwa vikundi 71 iringa

“Fedha hizi zitumike kwenye kuleta maendeleo ambayo mmeyaandikia kwenye miradi yenu” Na Hafidh Ally Jumla ya vikundi 71 vinavyoundwa na wananchi wanaojishughulisha na kilimo, ufugaji na viwanda vidogo katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa wamepata mikopo ya Asilimia 10 yenye…

8 December 2025, 9:00 pm

Wanacama wajengewa uwezo wa kilimo bora

“Kilimo hicho kitasaidia kuandaa mashamba bora kutokana na hali ya hewa kwa wakati huo” Na Adelphina Kutika Wasichana wanaofadhiliwa na Shirika la Camfed (WANACAMA) wanaojihusisha na kilimo biashara mkoani Iringa wamejengewa uwezo wa kulima kilimo kutokana na mabadiliko ya tabia…

8 December 2025, 8:49 pm

Iringa kuadhimisha miaka 20 ya mahakama

Kauli mbiu ya Mahakama ya Tanzania Kanda ya Iringa inasema siku zote ni uadilifu  ueledi na uwajibikaji. Na Joyce Buganda Ikiwa tupo katika wiki ya maadhimisho ya miaka 20 ya mahakama Kuu Tanzania kanda ya Iringa, Wananchi Mkoani Hapa wametakiwa…

5 December 2025, 11:45 am

COP 30 yaongeza uwajibikaji kwa wakulima

Mwongozo wa uwazi utasaidia kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi katika Jamii na kukuza uwajibikaji kwa wakulima. Na Joyce Buganda Mkutano wa COP 30 umefanikiwa kuweka muongozo wa wazi katika masuala ya fedha na kuongeza uwajibikaji wa mataifa yalioendelea katika kutekeleza…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.