Recent posts
28 January 2026, 5:30 pm
EAMCEF kuwafadhili wakulima na wafugaji Iringa
Na Joyce Buganda Serikali mkoani Iringa imeanzisha Mfuko wa Uhifadhi wa Milima ya Tao la Mashariki EAMCEF unaolenga kufadhili wakulima na wafugaji katika jitihada za uhifadhi wa mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Hayo yamezungumzwa na Afisa mazingira mkoani…
28 January 2026, 1:14 pm
Ngajilo aibana serikali daraja la Isakalilo-Kitwiru
“Daraja hilo limekuwa muhimu kwa wananchi wa eneo hilo hivyo tunaomba Mradi utekelezwe kwa full package” Na Hafidh Ally Serikali imeahidi kuanza utekelezaji wa ujenzi wa Daraja la Isakalilo-Kitwiru lilopo kwenye barabara hiyo yenye urefu wa KM 3. Hayo yamezunguzmwa…
28 January 2026, 12:48 pm
Mwaipopo kumalizia nyumba ya jumuiya ya wazazi Mufindi
Nyumba hii itasaidia viongozi wa jumuiya hii kukaa sehemu salama na kutekeleza majukumu ya Chama. Na Fredrick siwale Mjumbe wa mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Mufindi Ndg. Dickison Mwipopo ameahidi kugharamia umaliziaji wa ujenzi wa nyumba ya…
26 January 2026, 11:39 am
Wananchi Kitasengwa walalamikia ubovu wa barabara
Ubovu wa miundombinu ya barabara katika eneo la Kitasengwa, Manispaa ya Iringa, imeendelea kuwa kero kubwa kwa wananchi Na Hafidh Ally Wananchi wa Kitasengwa Kata ya Isakalilo Manispaa ya Iringa wanakabiliwa na changamoto ya miundombinu ya barabara inayotajwa kuwa kero…
15 January 2026, 12:40 pm
Takukuru yawaonya madiwani wanaojipatia mikopo kiudanyanyifu
“Madiwani wanapaswa kuhakikisha wanasimamia ukusanyaji wa mapato na kudhibiti matumizi mabaya ya fedha ili kupeleka maendeleo kwa wananchi” Na Fredrick Siwale Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU yawaonya Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa wanaojipatia fedha…
15 January 2026, 12:25 pm
Kg 500 za mbegu zakabidhiwa Iringa
Bodi ya Copra imelenga kuhakikisha wakulima wanalima kisasa na kuvuna mavuno mengi. Na Hafidh Ally BODI ya Mazao ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imekabidhi KG 500 za mbegu bora za mbaazi kwa wakulima wadogo wa mkoa wa Iringa kama…
15 January 2026, 12:22 pm
Muyinga: Watoto wenye ulemavu wapelekwe shule
Kundi la watoto wenye ulemavu linapaswa kupata elimu kama watoto wengine. Na Joyce Buganda Wazazi na walezi wenye watoto wenye ulemavu mkoani Iringa wameshauriwa kuwapeleka watoto wao waliofikiwa umri wa kwenda shule Ili kupata haki ya msingi na kufikia ndoto…
15 January 2026, 11:08 am
RC Kheri ataka usimamizi bora wa miradi
“Mimi sipendi kuona miradi ya maendeleo inasimamiwa kwa kusuasua” RC Kheri Na Ayoub Sanga Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James ameagiza kuimarishwa kwa ufuatiliaji na usimamizi wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa mkoani Iringa ili kuhakikisha inakamilika kwa wakati,…
13 January 2026, 10:38 am
Suheil apongeza mazingira wezeshi kwa wawekezaji
“Mazingira ya uwekezaji yakiwa mazuri lazima wawekezaji waongeze uzalishaji wa bidhaa” Na Hafidh Ally Serikali ya imepongezwa kwa kufanya mageuzi makubwa na kuweka mazingira rafiki na wezeshi kwa wawekezaji jambo linalochochea ukuaji wa shughuli za uzalishaji, kuongeza ajira na kupanua…
10 January 2026, 4:31 pm
Ngajilo atoa siku 14 kutengenezwa kivuko cha Ngeleli
Ubovu wa kivuko hicho unawalazimu watoto na wakazi wengine kuvuka kwa tahadhari. Na Hafidh Ally Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini Mh. Fadhili Fabiani Ngajilo ametoa siku 14 kuanzia leo Jan 10 2026 kwa Mtendaji wa Kata kushirikiana na Ofisi…