26 January 2021, 11:40 am

Ifahamu Nuru FM kwa ufupi

Nuru fm ni radio ya kijamii ambayo ilianza kurusha matangazo yake mwaka 2009 kupitia masafa ya 88.9 lengo lake ni kufikia wananchi wote wa mkoa wa iringa na kutengeneza vipindi bora na iwe radio inayosikiliza kero za wananchi mpaka sasa…

On air
Play internet radio

Recent posts

30 March 2026, 9:19 am

Yerusalemu waomba usafiri wa kupeleka watoto shule

Na Fredrick Siwale Uongozi wa Kituo cha Kulelea Watoto Yatima cha Upendo Yerusalemu kilichopo Halmashauri ya Mji Mafinga  umewaomba wadau wa maendeleo kuwasaidia chombo cha usafiri kwa ajili ya kuwapeleka shule watoto hao. Hayo yamezungumzwa na Mlezi wa kituo hicho…

29 March 2026, 4:07 pm

IDYDC kuwakopesha maji wananchi Mikong’wi

Changamoto wa upatikanaji wa huduma ya maji Katika Kijiji cha Mikong’wi imepelekea Uongozi wa kijiji hicho kuwakaribisha Shirika la IDYDC kuwapatia maji ya Mkopo. Na Hafidh Ally Wananchi wa Kijiji cha Mikong’wi Kilichopo Kata ya Kising’a Wilaya ya Iringa Vijijini…

27 March 2026, 6:29 pm

Makala: Ushiriki wa wazazi katika malezi

Makala hii inaelezea hatua ambazo wazazi na walezi wanapaswa kuzichukua katika malezi ili kupunguza matukio ya ukatili dhidi ya watoto. Na Hafidh Ally na Joyce Buganda Wakati matukio ya Ukatili wa Kijinsia yakiendelea kuripotiwa katika maeneo mbalimbali Hapa nchini Nuru…

27 March 2026, 7:58 am

RC Kheri ataka mapinduzi ya kifikra kwa wanafunzi

Wakuu wa Shule wameagizwa kusimamia malezi bora kwa wanafunzi ili kuwainua kifikra. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amewataka wakuu wa shule za sekondari kuwa mstari wa mbele katika kuleta mabadiliko ya kifikra kwa wanafunzi,…

26 March 2026, 10:11 am

Wezi wa pikipiki 115 wakamatwa Iringa

Baadhi ya watuhumiwa walikiri kuhusika na wizi wa pikipiki zaidi ya 50 kila mmoja na kubainika kuwa walikuwa wakitengeneza kadi bandia. Na Hafidh Ally Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limefanikiwa kuvunja mtandao mkubwa wa wizi wa pikipiki uliokuwa ukifanya…

26 March 2026, 9:02 am

Iringa yazindua kampeni ya upandaji miti

Kila nyumba ndani ya Halmashauri inakuwa na mti kwani upandaji wa miti ni kitu bora katika maisha ya binadamu. Na Hafidh Ally Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imezindua Kampeni ya upandaji miti iliyopewa jina la “Mti Wangu Nyumba Yangu” ili…

25 March 2026, 10:16 am

Urasimishaji ardhi kupunguza migogoro ya ardhi Iringa

Mpango huu unalenga kuhakikisha kila kipande cha ardhi nchini kinapimwa ili kumwezesha mmiliki kuwa na haki mbalimbali zinazoambatana umiliki wa ardhi. Na Telesia Chalamila Wananchi wilaya ya Iringa wametakiwa kurasimisha umiliki wa ardhi zao ili kupunguza migogoro ya ardhi na…

24 March 2026, 9:12 am

DC Sitta aagiza barabara ya Kitasengwa kutengenezwa

Barabara hiyo ilihabirika kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Iringa. Na Hafidh Ally Mkuu wa Wilaya ya Iringa Benjamin Sitta amewataka maafisa wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kushughulikia changamoto ya uharibifu wa miundombinu ya barabara katika…

23 March 2026, 12:00 pm

TGNP yawanoa wanahabari Iringa kuhusu ukatili

Wanahabari Mkoani Iringa wametakiwa kutumia mafunzo hayo vizuri katika kuripoti masuala ya jinsia na mabadiliko ya tabia ya Nchi. Na Telesia Chalamila Waandishi wa habari 20 kutoka vyombo mbalimbali mkoani Iringa wamepatiwa mafunzo maalum yanayozingatia masuala ya kijinsia na mabadiliko…

17 March 2026, 4:29 pm

TGNP- Vijana na wanawake shirikini katika maamuzi

Mafunzo hayo yamehusisha zaidi ya washiriki 24 kutoka maeneo mbalimbali yakilenga kuwajengea uwezo wanawake na Vijana ili waweze kushiriki kikamilifu katika uongozi katika ngazi mbalimbali za jamii na taasisi. Na Joyce Buganda Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) kupitia mradi wa…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.