
Recent posts

20 March 2025, 12:27 pm
Walimu Mufindi watakiwa kujiepusha na mikopo kausha damu
Na Fredrick Siwale Chama cha Walimu C.W.T Wilaya ya Mufindi Wametakiwa kujiepusha na mikopo umiza na kausha damu,ili kuondoa vitendo vya udhalilishaji wanavyokutana navyo mitaani kutoka kwa Wakopeshaji. Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa Dkt.Linda Salekwa…

19 March 2025, 12:36 pm
Iringa yaanza kutoa elimu ya kudhibiti ugonjwa wa Mpox
Na Adelphina Kutika Mkoa wa Iringa umeanzisha kampeni ya kutoa elimu kwa umma ili kudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa Mpox, ambao umekuwa tishio kwa afya za wananchi. Akizungumza katika hafla ya kutoa elimu hiyo, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Iringa,…

19 March 2025, 11:34 am
Wanahabari Iringa wakumbushwa kuandika habari za malezi ya watoto
Na Joyce Buganda Waandishi wa habari mkoani Iringa wamekumbushwa kuandika ipasavyo habari zinahusu watoto ili kuchochea malezi chanya kwenye jamii. Akizungunza kwenye mdahalo wa program jumuishi ya malezi,makuzi na mandeleo ya mtoto PJT MMMAM Mwenyekiti wa Club ya Waandishi wa…

19 March 2025, 11:24 am
Dkt. Samia aunga Mkono juhudi za wanawake Iringa kwa kukabidhi bajaji
Na Joyce Buganda Baraza la Wanawake wa Kiislamu Tanzania, Wilaya ya Iringa wamekabidhiwa Bajaji yenye Thamani ya Shilingi Milioni 10.5 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kuunga Mkono Juhudi za Wanawake wa Kiislamu Wilayani humo kukuza uchumi.…

17 March 2025, 11:30 am
Wajasiriamali wanawake waagizwa kutumia fursa za kiuchumi
Na Adelphina Kutika Wajasiliamali Wanawake Mkoani Iringa wamehimizwa kutumia fursa zilizopo kuwekeza katika maeneo yao ili kuongeza upatikanaji wa masoko na huduma za kibiashara ili kukuza uchumi na kuzalisha vyanzo vingi vya ajira hapa nchini. Agizo hilo limetolewa na Mkuu…

14 March 2025, 12:11 pm
Polisi Iringa yawatunuku vyeti wakaguzi na askari
Na Adelphina Kutika Jeshi la polisi mkoa wa Iringa limewapongeza wakaguzi na askari waliofanya vizuri mwaka 2024 ili kuongeza chachu kwa wengine kufanya kazi kwa nidhamu na weledi Akizumgumza katika hafla hiyo ya kukabidhi vyeti hivyo kamanda wa polisi mkoa…

11 March 2025, 8:50 pm
Wananchi Kidamali walia na kero ya barabara
Na Joyce Buganda Wananchi wa kijiji cha Kidamali kilichopo kata ya Nzihi Halmashauri ya wilaya ya Iringa Mkoani Iringa wamelalamikia kero ya miundombinu ya barabara hasa kwenye kipindi hiki cha mvua za masika kuleta madhara ikiwamo kushindwa kusafirisha mazao kuletakatika…

11 March 2025, 12:17 pm
Vijana Iringa wajengewa uwezo wa kilimo na usindikaji
Na Joyce Buganda Vijana mkoani Iringa wametakiwa kutumia mbinu za kisasa za kilimo na usindikaji ikiwemo kutumia virutubisho Ili kiboresha wa mazao na bidhaa wanazozizalisha. Mafunzo hayo yametolewa kwa siku mbili mjini Iringa kwa kushirikiana na viongozi wa Serikali, Shirika…

7 March 2025, 6:36 pm
DC Kheri aiagiza TAWA kudhibiti wanyamapori wanaovamia mazao ya wananchi
Na Godfrey Mengele Mkuu wa Wilaya ya Iringa Kheri James ameitaka Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania – TAWA pamoja na hifadhi ya wanyamapori Ruaha kuchukua hatua madhubuti ili kudhibiti wanyama wanaovamia na kuharibu mazao, mifugo na kusababisha madhara kwa binadamu…

6 March 2025, 12:47 pm
Urusi kuwekeza katika kilimo mkoani Iringa
Na Adelphina Kutika Balozi wa Urusi nchini Tanzania, Mhe. Andrey Avetisyan, ameonesha dhamira ya kuleta uwekezaji wa viwanda nchini Tanzania, hasa katika sekta ya kilimo, ili kuongeza fursa za ajira na kuchochea maendeleo ya kiuchumi. Balozi Avetisyan amesema hayo akiwa…