Recent posts
18 March 2024, 12:58 pm
Iruwasa kutoa elimu maadhimisho ya wiki ya maji Iringa
Iringa ikiadhimisha wiki ya maji, Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira IRUWASA imepanga kuhakikisha huduma ya maji inawafikia wananchi wote. Na Hafidh Ally Ikiwa tupo katika wiki ya maji, Mamlaka ya maji na usafi wa mazingira IRUWASA Mkoa wa…
18 March 2024, 11:23 am
Maazimio 15 yawekwa kati ya wanahabari, polisi Iringa
Maazimio 15 yamefikiwa kuelekea kwenye chaguzi za serikali za mitaa ili kuongeza ushirikiano kati ya Polisi na Wanahabari. Na Mwandishi wetu. Jeshi la Polisi na waandishi wa habari mkoani Iringa wameweka maazimio 15 yatakayowaongoza kufanya kazi na kujenga uwezo wa…
16 March 2024, 10:58 am
Mkurugenzi Mafinga Mji akabidhiwa ofisi
Watumishi Mafinga Mji wametakiwa kushirikina na Mkurugenzi mpya wa Halmashauri hiyo hasa katika ukusanyaji wa mapato. Na Hafidh Ally Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Ndugu, Ayoub Kambi amemkabidhi rasmi Ofisi Mkurugenzi wa Mji Mafinga Bi, Fidelica Myovela Hafla…
16 March 2024, 10:50 am
Mil 57 za Regrow zawanufaisha wakulima wa Tungamalenga
Mradi wa REGROW katika Hifadhi ya Taifa Ruaha umevinufaisha vijiji zaidi ya 84 vinavyoizunguka hifadhi hiyo kwa kutoa zaidi shilingi milioni 820. Na Joyce Buganda Wakazi wa kijiji cha Tungamalenga kilichopo katika tarafa ya Idodi wilayani Iringa wameishukuru serikali kwa…
15 March 2024, 9:11 am
Maofisa ugani wafundwa mfumo wa CSDS
Mfumo wa kidigitali wa Crop Stock Dynamic System (CSDS) unalenga kuwatambua na kuwadhibiti wafanyabiashara wanaouza mazao yaliyoharibika na kupoteza sifa ya kupelekwa sokoni. Na Frank Leonard MAOFISA ugani zaidi ya 100 wa mikoa ya Iringa, Ruvuma, Rukwa na Katavi wanapata…
14 March 2024, 11:35 am
Regrow kuwanufaisha wakulima Madibira
Mradi wa umwagiliaji Kata ya Madibira unawawezesha wakulima kulima mpunga kwa uhakika wa kupata mavuno wanayotarajia. Na Joyce Buganda Wakulima wa Mpunga Kata ya Madibira wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya wameishukuru Serikali ya Rais wa Awamu ya Sita chini ya…
14 March 2024, 10:48 am
Soko kuu Iringa kufanya kazi mpaka saa nne usiku
Kitendo cha wafanyabiashara wa soko kuu la Iringa mjini kuruhusiwa kufanya biashara zao mpaka saa nne usiku kimeonekana kuwa msaada kwa wananchi wanaotaka huduma hizo. Na Azory Orema Licha ya soko kuu Manispaa ya Iringa kuruhusiwa kufanya biashara mpaka saa…
13 March 2024, 9:32 pm
Madereva daladala Iringa wagoma tena
Serikali inatakiwa kufanyia kazi malalamiko ya muda mrefu ya Madereva wa Daladala ambayo yamekuwa kero kwa watumiaji. Na Azory Orema Wananchi wanaotumia usafiri wa daladala Manispaa ya Iringa wamelalamikia ugumu wa usafiri wao baada ya daladala zinazopakia abiria kugoma kufanya…
12 March 2024, 5:34 pm
Andikeni habari zinazogusa jamii
Na Adelphina Kutika Waandishi wa habari mkoani Iringa wametakiwa kuachana na uandishi wa kawaida na badala yake wajikite kuandika habari za wananchi ili kuwaongezea heshima katika jamii. Agizo hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Iringa Press Club (IPC) Frank Leonard katika…
12 March 2024, 12:57 pm
Iringa: Twinsteps yaidhamini timu ya City Center
Udhamini walioupata timu ya City Center utasaidia vijana wao kutojihusisha na matumizi ya dawa za kulevya. Na Hafidh Ally Kampuni ya Twinsteps inayojihusisha na kazi ya kuuza na kununua magari ndani na nje ya Tanzania imejitolea kuidhamini timu ya mpira…