26 January 2021, 11:40 am

Ifahamu nuru fm kwa ufupi

Nuru fm ni radio ya kijamii ambayo ilianza kurusha matangazo yake mwaka 2009 kupitia masafa ya 93.5 lengo lake ni kufikia wananchi wote wa mkoa wa iringa na kutengeneza vipindi bora na iwe radio inayosikiliza kero za wananchi mpaka sasa…

On air
Play internet radio

Recent posts

28 March 2024, 9:45 pm

CAG abaini kitu mita za Tanesco

Ripoti ya CAG imebaini kuwa mita zaidi ya 100,000 kati ya mita 602,266 zilibadilishwa kabla ya kipindi cha uhai wa matumizi yake kuisha. Na Mwandishi wetu RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, kwa…

28 March 2024, 9:40 pm

TAKUKURU, CAG waibua madudu kwenye halmashauri

Ripoti ya CAF imebaini halmashauri 10 zililipa kiasi cha Sh Bilioni 2.9  kwa kazi zilizotekelezwa bila kuwepo nyaraka zinazoonesha ukubwa wa kazi. Na mwandishi wetu WAKATI ripoti ya Takukuru ikibainisha Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kughushi nyaraka za…

28 March 2024, 12:51 pm

Ng’ombe 547 wakamatwa  katika Hifadhi ya Taifa Ruaha

Wahifadhi katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha Mkoani Iringa wameeleza kukaniliana na changamoto kwa wanaochunga mifugo yao hifadhini. Na Mwandishi wetu Ng’ombe 547 wamekamatwa wakichungwa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Ruaha kinyume cha sheria, huku wachungaji wakikimbia na kuitelekeza…

26 March 2024, 4:41 pm

Mafinga mji kunufaika na mradi wa TACTIC

Mradi wa TACTIC utakuwa na lengo la kusaidia Kutekeleza Miradi ya maendeleo katika jamii. Na Sima Bingilek Halmashauri ya Mji Mafinga ni moja kati ya Halmashauri 18 nchini zitakazonufaika na Mradi wa TACTIC kwa Awamu ya Tatu. Timu ya Wataalamu…

26 March 2024, 10:02 am

CCM Iringa: Rais Samia ametoa uhuru wa kidemokrasia

Miaka mitatu ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan imeimarisha demokrasia kwa vyama vya siasa. Na mwandishi wetu Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Iringa kimesema Rais Dr Samia suluhu Hassan ametoa uhuru wa kufanya siasa kwa vyama vyote. Akizungumza…

25 March 2024, 10:19 am

Miaka mitatu ya Rais Samia yainufaisha hospitali ya Rufaa Iringa

Katika kipindi cha miaka 3 ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Iringa ilipokea shilingi billion 4.4 kwaajili ya kuboresha huduma za afya ndani ya hospitali hiyo. Na Hafidh Ally Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya…

24 March 2024, 10:46 am

SAOHILL wapanda miti zaidi ya 2000

Kuhifadhi vyanzo vya maji kunaendana sambamba na zoezi la upandaji wa miti katika maeneo yanayotunguka. Na Mwandishi wetu ZAIDI ya vyanzo 20 vya maji vimehifadhiwa katika shamba la miti la Sao Hill lililopo wilaya ya Mufindi mkoani Iringa ambavyo vimekuwa…

23 March 2024, 11:38 am

UWT Iringa watoa msaada Zahanati ya Kising’a

Licha zahanati Kising’a kutoa huduma za kitatibu bado Kuna changamoto ya upungufu wa vifaa tiba. Na Fabiola Bosco Umoja wa wanawake wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Iringa umekabidhi mablanketi 16 na vifaa vya usafi katika zahanati ya kising’a  yaliyotolewa…

23 March 2024, 10:56 am

Tembo wavamia mashamba Ruaha Mbuyuni

Uwepo wa tembo katika kijiji cha Mtandika umetajwa kuwa kero kwani wamewasababishia hasara ya kuharibu mazao yao. Na Adelphina Kutika. WAKAZI wa Kijiji cha Mtandika kata ya Ruaha Mbuyuni wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa wameiomba serikali kuwaondoa Tembo wanaovamia mashamba…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.