26 January 2021, 11:40 am

Ifahamu Nuru FM kwa ufupi

Nuru fm ni radio ya kijamii ambayo ilianza kurusha matangazo yake mwaka 2009 kupitia masafa ya 88.9 lengo lake ni kufikia wananchi wote wa mkoa wa iringa na kutengeneza vipindi bora na iwe radio inayosikiliza kero za wananchi mpaka sasa…

On air
Play internet radio

Recent posts

17 April 2025, 11:18 am

Vijana Iringa wahimizwa kusoma vitabu ili kuongeza maarifa

Na Zaitun Mustapha na Catherine Soko Vijana  mkoani  Iringa wameshauriwa kuwa na mwamko wa kusoma vitabu mbalimbali ili  kuweza kukua kiakili, kongeza ufahamu na maarifa. Hayo yamezungumzwa na baadhi ya vijana Manispaa ya Iringa ambapo wameelezea ni kwa namna gani …

16 April 2025, 11:04 am

Bei ya mchele chanzo cha ubwabwa kuuzwa gharama kubwa Iringa

Na Geaz Mkata na Rogasia Kipangula Wafanyabiashara wa Mchele Manispaa ya Iringa wamesema kuwa Bei ya Mchele imepanda kuanzia shilingi 2000 mpaka shilingi 3200 kwa kilo moja. Wakizungumza na Nuru FM baadhi ya wafanyabiashara wa bidhaa hiyo wamesema kuwa bei…

16 April 2025, 9:51 am

Wanachuo wahimizwa kujifunza lugha ya Kichina

Na Joyce Buganda Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wametakiwa kujifunza lugha ya kichina kwani  kupitia lugha hiyo  wanaweza kupata fursa mbalimbali ikiwemo ufadhiri katika masomo   yao. Akizungumza katika mashindano ya taranta za kichina  ya wanafunzi wa vyuo vikuu  duniani  yaliofanyika …

15 April 2025, 11:50 am

SOS Tanzania kuwanufaisha kiuchumi vijana elfu 30 Iringa

Na Adelphina Kutika Katika juhudi za kuimarisha ustawi wa vijana na kuwawezesha kiuchumi na kiafya, Shirika la SOS Children’s Villages limezindua rasmi Mradi wa Uwezeshaji wa Vijana katika Hafua za Afya ya Uzazi na Uchumi Endelevu mkoani Iringa chini ya…

12 April 2025, 1:08 pm

Bodi ya maji bonde la Rufiji yajivunia miaka 4 ya Rais Samia

Na Adelphina Kutika Bodi ya Maji Bonde la Rufiji, imefanikiwa kujenga mabirika matano ya kunyweshea mifugo na vituo vya kuchota maji safi ya kunywa kupitia mradi wa REGROW, ikiwa ni hatua muhimu katika kuimarisha ulinzi na uhifadhi wa vyanzo vya…

11 April 2025, 3:20 pm

Comred Kawaida akagua miradi ya CCM Iringa

Na Joyce Buganda Mwenyekiti wa umoja wa vijana UVCCM Taifa komredi Mohamed Kawaida  ameanza ziara ya siku mbili mkoani Iringa lengo likiwa ni kukagua Miradi ya chama pamoja na Kukiimarisha Chama kiwe kwenye umoja na mshikamano hasa katika kipindi Cha…

8 April 2025, 8:22 am

Bei ya viazi mviringo Iringa yapaa mwezi April

Na Editha Maximillan na Israel Nchimbi Wafanyabiashara wa zao la Viazi Mviringo katika Soko Kuu Manispaa ya Iringa wamesema kuwa bei ya zao hilo imepanda ikilinganishwa na ilivyokuwa katika mwezi wa Ramadhan. Wakizungumza na Nuru Fm baadhi ya Wafanyabiashara wa…

8 April 2025, 7:47 am

Wananchi Iringa wamkumbuka Hayati Karume kwa kuuenzi muungano

Na Zaitun Mustapha na Catherin Soko Katika kuadhimisha Kumbukizi ya Miaka 53 ya Kifo cha Hayati Abeid Aman Karume, Wananchi Manispaa ya Iringa wamesema ni vyema kuadhimisha siku hii kwa kuuendeleza Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Wakizungumza na Nuru FM…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.