Recent posts
13 February 2026, 10:12 am
Wananchi 7000 Iringa kupata bima za afya
Mpango huu umekuja ili kuhakikisha wananchi wapata huduma za afya bila vikwazo. Na Joyce Buganda Wananchi 7827 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Iringa yenye kata 28 wamashatambuliwa na wanatarajiwa kunufaika na mpango wa bima kwa wote kampeni ambayo inaendelea nchi…
11 February 2026, 9:51 am
Serikali yawekeza bilioni 59 kukuza utalii Ruaha
Mradi wa REGROW unalenga kuimarisha sekta ya utalii, kulinda rasilimali asilia na kukuza uchumi wa Mkoa wa Iringa. Na Hafidh Ally Mradi wa uboreshaji wa usimamizi wa maliasili na kukuza utalii Kusini mwa Tanzania (REGROW) wenye thamani ya Shilingi bilioni…
10 February 2026, 3:42 pm
Asas akemea makundi ndani ya CCM
“Makundi ndio sababu ya kushindwa kuleta maendeleo kwa jamii, Tuyavunje tuwe wamoja” Na Fredrick Siwale Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa wametakiwa kuvunja makundi waliyo kuwanayo wakati wa uchaguzi ili waweze kuwatumikia wananchi. Hayo yamezungumzwa na Mjumbe…
6 February 2026, 12:54 pm
Wapigwa faini kwa kutumia mbolea ya ruzuku viwandani
“Wananchi walilalamika kukosekana kwa mbolea ambayo imechukuliwa yote na wamiliki wa viwanda kinyume na taratibu” Na Fredrick Siwale Jumla ya Viwanda 7 vinavyochakata mazao ya Misitu Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa vimetozwa Faini ya shilingi Milion 15 kila moja kwa…
5 February 2026, 11:20 am
RC Kheri ahimiza bima ya afya kwa wote
Kujiunga na bima ni hatua ya kujilinda na gharama zisizotarajiwa za matibabu. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James amewataka viongozi wa ngazi za vijiji na vitongoji kuwahamasisha wananchi wa maeneo yao kujiunga na mpango wa…
5 February 2026, 10:20 am
Wanafunzi Iringa wapewa Unga wa lishe
Mpango wa lishe shuleni kupitia mkataba wa lishe ulioasisiwa mwaka 2022, unawataka wakuu wa mikoa na wilaya kuhakikisha watoto wanapata chakula chenye virutubisho vya kutosha. Na Hafidh Ally Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kupitia mapato yake ya ndani imefanikiwa kugawa…
3 February 2026, 9:55 am
Mahakama zatakiwa kusimamia misingi ya haki
“Jamii inayopambwa na misingi ya haki itakuwa mfano kwa wengine na kila mtu atataka kuwa sehemu yake” Na Hafidh Ally Mahakama Zimetajwa kuwa na nafasi ya kipekee katika kuhakikisha wananchi wananufaika na ustawi wa kweli hasa katika Utoaji wa haki…
3 February 2026, 9:36 am
Mkataba wa mil 900 kujenga machinjio Iringa
Kampuni ya GIPCO Construction Ltd yashinda tenda ya ujenzi wa machinjio ya kisasa mjini Iringa. Na Hafidh Ally Manispaa ya Iringa imesaini mkataba wa thamani ya zaidi ya shilingi milioni 900 na Kampuni ya Jipco kwa ajili ya ujenzi wa…
2 February 2026, 11:39 am
CCM Mufindi yahimiza uwajibikaji kwa miradi ya maendeleo
Na Fredrick Siwale Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Mufindi kimeanza kutoa elimu ya uwajibikaji kwa viongozi wake kuanzia ngazi ya Matawi ili kuleta maendeleo kwa jamii. Hayo yamezungumzwa na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa George Kavenuke,…
28 January 2026, 5:30 pm
EAMCEF kuwafadhili wakulima na wafugaji Iringa
Na Joyce Buganda Serikali mkoani Iringa imeanzisha Mfuko wa Uhifadhi wa Milima ya Tao la Mashariki EAMCEF unaolenga kufadhili wakulima na wafugaji katika jitihada za uhifadhi wa mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Hayo yamezungumzwa na Afisa mazingira mkoani…