26 January 2021, 11:40 am

Ifahamu nuru fm kwa ufupi

Nuru fm ni radio ya kijamii ambayo ilianza kurusha matangazo yake mwaka 2009 kupitia masafa ya 93.5 lengo lake ni kufikia wananchi wote wa mkoa wa iringa na kutengeneza vipindi bora na iwe radio inayosikiliza kero za wananchi mpaka sasa…

On air
Play internet radio

Recent posts

20 March 2025, 12:27 pm

Walimu Mufindi watakiwa kujiepusha na mikopo kausha damu

Na Fredrick Siwale Chama cha Walimu C.W.T Wilaya ya Mufindi Wametakiwa kujiepusha na mikopo umiza na kausha damu,ili kuondoa vitendo vya udhalilishaji wanavyokutana navyo mitaani kutoka kwa Wakopeshaji. Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa Dkt.Linda Salekwa…

19 March 2025, 12:36 pm

Iringa yaanza kutoa elimu ya kudhibiti ugonjwa wa Mpox

Na Adelphina Kutika Mkoa wa Iringa umeanzisha kampeni ya kutoa elimu kwa umma ili kudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa Mpox, ambao umekuwa tishio kwa afya za wananchi. Akizungumza katika hafla ya kutoa elimu hiyo, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Iringa,…

19 March 2025, 11:34 am

Wanahabari Iringa wakumbushwa kuandika habari za malezi ya watoto

Na Joyce Buganda Waandishi wa habari mkoani Iringa wamekumbushwa kuandika ipasavyo habari zinahusu watoto ili kuchochea malezi chanya kwenye jamii. Akizungunza kwenye mdahalo wa program jumuishi ya malezi,makuzi na mandeleo ya mtoto PJT  MMMAM Mwenyekiti wa Club ya Waandishi wa…

19 March 2025, 11:24 am

Dkt. Samia aunga Mkono juhudi za wanawake Iringa kwa kukabidhi bajaji

Na Joyce Buganda Baraza la Wanawake wa Kiislamu Tanzania, Wilaya ya Iringa wamekabidhiwa Bajaji yenye Thamani ya Shilingi Milioni 10.5 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kuunga Mkono Juhudi za Wanawake wa Kiislamu Wilayani humo kukuza uchumi.…

17 March 2025, 11:30 am

Wajasiriamali wanawake waagizwa kutumia fursa za kiuchumi

Na Adelphina Kutika Wajasiliamali Wanawake Mkoani Iringa wamehimizwa kutumia fursa zilizopo kuwekeza katika maeneo yao ili kuongeza upatikanaji wa masoko na huduma za kibiashara ili kukuza uchumi na kuzalisha vyanzo vingi vya ajira hapa nchini. Agizo hilo limetolewa na Mkuu…

14 March 2025, 12:11 pm

Polisi Iringa yawatunuku vyeti wakaguzi na askari

Na Adelphina Kutika Jeshi la polisi mkoa wa Iringa  limewapongeza  wakaguzi  na askari  waliofanya vizuri   mwaka 2024  ili kuongeza chachu  kwa wengine kufanya kazi kwa nidhamu na weledi Akizumgumza katika hafla hiyo ya kukabidhi vyeti hivyo  kamanda wa polisi mkoa…

11 March 2025, 8:50 pm

Wananchi Kidamali walia na kero ya barabara

Na Joyce Buganda Wananchi wa kijiji cha Kidamali kilichopo kata ya Nzihi Halmashauri ya wilaya ya Iringa Mkoani Iringa wamelalamikia kero ya miundombinu ya barabara hasa kwenye kipindi hiki cha mvua za masika kuleta madhara ikiwamo kushindwa kusafirisha mazao kuletakatika…

11 March 2025, 12:17 pm

Vijana Iringa wajengewa uwezo wa kilimo na usindikaji

Na Joyce Buganda Vijana mkoani Iringa wametakiwa kutumia mbinu za kisasa za kilimo na usindikaji ikiwemo kutumia virutubisho Ili kiboresha wa mazao na bidhaa wanazozizalisha. Mafunzo hayo yametolewa kwa siku mbili mjini Iringa kwa kushirikiana na viongozi wa Serikali, Shirika…

7 March 2025, 6:36 pm

DC Kheri aiagiza TAWA kudhibiti wanyamapori wanaovamia mazao ya wananchi

Na Godfrey Mengele Mkuu wa Wilaya ya Iringa Kheri James ameitaka Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania – TAWA pamoja na hifadhi ya wanyamapori Ruaha kuchukua hatua madhubuti ili kudhibiti wanyama wanaovamia na kuharibu mazao, mifugo na kusababisha madhara kwa binadamu…

6 March 2025, 12:47 pm

Urusi kuwekeza katika kilimo mkoani Iringa

Na Adelphina Kutika Balozi wa Urusi nchini Tanzania, Mhe. Andrey Avetisyan, ameonesha dhamira ya kuleta uwekezaji wa viwanda nchini Tanzania, hasa katika sekta ya kilimo, ili kuongeza fursa za ajira na kuchochea maendeleo ya kiuchumi. Balozi Avetisyan amesema hayo  akiwa…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.