
Recent posts

17 April 2025, 6:48 pm
TLS Kanda ya Iringa yapata viongozi wapya, Wakili Ambindwile atetea kiti chake
Na Hafidh Ally Wakili Moses Ambindwile amefanikiwa kutetea nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha wanasheria Tanganyika TLS Kanda ya Iringa kwa kupata Kura zote 45 katika uchaguzi uliofanyika leo Kwenye ukumbi wa siasa ni kilimo Manispaa ya Iringa. Katika Uchaguzi…

17 April 2025, 11:18 am
Vijana Iringa wahimizwa kusoma vitabu ili kuongeza maarifa
Na Zaitun Mustapha na Catherine Soko Vijana mkoani Iringa wameshauriwa kuwa na mwamko wa kusoma vitabu mbalimbali ili kuweza kukua kiakili, kongeza ufahamu na maarifa. Hayo yamezungumzwa na baadhi ya vijana Manispaa ya Iringa ambapo wameelezea ni kwa namna gani …

16 April 2025, 11:04 am
Bei ya mchele chanzo cha ubwabwa kuuzwa gharama kubwa Iringa
Na Geaz Mkata na Rogasia Kipangula Wafanyabiashara wa Mchele Manispaa ya Iringa wamesema kuwa Bei ya Mchele imepanda kuanzia shilingi 2000 mpaka shilingi 3200 kwa kilo moja. Wakizungumza na Nuru FM baadhi ya wafanyabiashara wa bidhaa hiyo wamesema kuwa bei…

16 April 2025, 9:51 am
Wanachuo wahimizwa kujifunza lugha ya Kichina
Na Joyce Buganda Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wametakiwa kujifunza lugha ya kichina kwani kupitia lugha hiyo wanaweza kupata fursa mbalimbali ikiwemo ufadhiri katika masomo yao. Akizungumza katika mashindano ya taranta za kichina ya wanafunzi wa vyuo vikuu duniani yaliofanyika …

15 April 2025, 11:50 am
SOS Tanzania kuwanufaisha kiuchumi vijana elfu 30 Iringa
Na Adelphina Kutika Katika juhudi za kuimarisha ustawi wa vijana na kuwawezesha kiuchumi na kiafya, Shirika la SOS Children’s Villages limezindua rasmi Mradi wa Uwezeshaji wa Vijana katika Hafua za Afya ya Uzazi na Uchumi Endelevu mkoani Iringa chini ya…

14 April 2025, 11:14 am
UVCCM Iringa vijijini yawataka vijana kutotumika uchaguzi mkuu ujao
Na Ayoub Sanga Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Iringa Vijijini, Elia Juma Kidavile, ametoa wito kwa vijana wa wilaya hiyo kutotumika vibaya kwa maslahi binafsi ya wanasiasa na badala yake kuwa mstari wa…

12 April 2025, 1:08 pm
Bodi ya maji bonde la Rufiji yajivunia miaka 4 ya Rais Samia
Na Adelphina Kutika Bodi ya Maji Bonde la Rufiji, imefanikiwa kujenga mabirika matano ya kunyweshea mifugo na vituo vya kuchota maji safi ya kunywa kupitia mradi wa REGROW, ikiwa ni hatua muhimu katika kuimarisha ulinzi na uhifadhi wa vyanzo vya…

11 April 2025, 3:20 pm
Comred Kawaida akagua miradi ya CCM Iringa
Na Joyce Buganda Mwenyekiti wa umoja wa vijana UVCCM Taifa komredi Mohamed Kawaida ameanza ziara ya siku mbili mkoani Iringa lengo likiwa ni kukagua Miradi ya chama pamoja na Kukiimarisha Chama kiwe kwenye umoja na mshikamano hasa katika kipindi Cha…

8 April 2025, 8:22 am
Bei ya viazi mviringo Iringa yapaa mwezi April
Na Editha Maximillan na Israel Nchimbi Wafanyabiashara wa zao la Viazi Mviringo katika Soko Kuu Manispaa ya Iringa wamesema kuwa bei ya zao hilo imepanda ikilinganishwa na ilivyokuwa katika mwezi wa Ramadhan. Wakizungumza na Nuru Fm baadhi ya Wafanyabiashara wa…

8 April 2025, 7:47 am
Wananchi Iringa wamkumbuka Hayati Karume kwa kuuenzi muungano
Na Zaitun Mustapha na Catherin Soko Katika kuadhimisha Kumbukizi ya Miaka 53 ya Kifo cha Hayati Abeid Aman Karume, Wananchi Manispaa ya Iringa wamesema ni vyema kuadhimisha siku hii kwa kuuendeleza Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Wakizungumza na Nuru FM…