Recent posts
30 June 2026, 09:55
RC Kheri asisitiza nidhamu usimamizi wa mapato
Utaratibu wa Kupeleka fedha Benki utasaidia kuimarisha uwajibikaji na uwazi katika usimamizi wa mapato. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kuhakikisha mapato yote yanayokusanywa kupitia vyanzo mbalimbali yanapelekwa benki…
26 June 2026, 12:09
Wanafunzi waliofadhiliwa na Camfed watakiwa kung’ara masomoni
Wanafunzi hao wanapaswa kuitumia vyema fursa waliyoipata kwa kuongeza bidii na kujituma katika masomo yao ili kutimiza ndoto walizojiwekea na kuwa mfano bora kwa jamii. Na Adelphina Kutika Wasichana waliochaguliwa kujiunga na elimu ya Kidato cha Tano kwa mwaka wa…
24 June 2026, 09:49
TFS Mufindi yawanoa vijana kukabiliana na moto
Mafunzo hayo yatasaidia kupata vikosi maalumu vya kuzuia, kudhibiti na kuzima moto katika maeneo ya shamba na maeneo yanayolizunguka. Na Hafidh Ally Zaidi ya vijana 200 kutoka vijiji 61 vinavyozunguka Shamba la Miti la Taifa la Sao Hill, Wilaya ya…
24 June 2026, 09:27
Wajane Iringa waomba kuwezeshwa kiuchumi
Na Joyce Buganda Serikali Imeshauriwa kuongeza juhudi za kuwawezesha wajane na wagane kupata haki zao kwa wakati, hususan katika masuala ya mirathi na uwezeshaji wa kiuchumi baada ya kufiwa na wenza wao. Akizungumza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wajane…
23 June 2026, 16:31
Miundombinu bora yaongeza mahudhurio ya wanafunzi
Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI imesema kuwa uboreshaji wa miundombinu ya vyoo katika shule mbalimbali nchini umechangia kwa kiasi kikubwa kuboresha mazingira ya kujifunzia na kuongeza mahudhurio ya wanafunzi, hususan wasichana. Na Adelphina Kutika Kauli hiyo imetolewa na mgeni…
23 June 2026, 15:29
TRA Iringa kutatua changamoto za kikodi
TRA itaendelea kutoa elimu Kwa Jamii ili waweze kujua umuhimu wa ulipaji kodi. Na Hafidh Ally Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Mkoa wa Iringa imeahidi kutatua changamoto wanazokutana nazo Wafanyabiashara katika utekelezaji wa majukumu ya kikodi ikiwemo kuimarisha mazingira ya…
19 June 2026, 08:16
Kenan awaita Chadema kwenye mdahalo
“Tujadiliane na tujenge nchi yetu kwa upendo, siyo kujenga nchi kwa kuibomoa,” Na Hafidh Ally Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Kenani Laban Kihongosi, amewataka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kukubali kufanya…
18 June 2026, 12:40
Mwenyekiti atuhumiwa kwa ubadhilifu wa fedha
Na Fredrick Siwale Wananchi wa Mtaa wa Mji Mwema mjini Mafinga wamemlalamikia aliyekuwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo kwa tuhuma za kuhujumu fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya ununuzi wa vyombo vya msiba. Mwenyekiti wa sasa wa Serikali ya…
18 June 2026, 12:15
SOS yataka ushirikiano mapambano ya ukatili
Shirika la Sos Children Villages limeendelea kutoa elimu ya ukatili wa kijinsia katika Jamii. Na Joyce Buganda Wazazi na Walezi mkoani Iringa wamekumbushwa kushirikiana katika kutokomeza matukio ya vitendo vya ukatili kwa watoto vilivyokithiri katika jamii. Akizungumza katika maadhimisho ya…
15 June 2026, 19:38
Mzize kufanya bonanza la washike mkono Iringa
Bonanza hilo linatarajiwa kufanyika Tarehe 12.07.2026 Mkoani Iringa kwenye uwanja wa Samora Na Hafidh Ally Mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize, ametangaza kufanya bonanza mkoani Iringa mara baada ya ligi kuisha kwa lengo la kurudisha shukrani kwa jamii na kuwafariji watu…