

17 February 2023, 4:19 pm
Ujenzi wa mradi huo wa bwawa la Ilalasimba katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa uliofanyiwa upembuzi yakinifu tangu mwaka 2018 sasa watarajiwa kujengwa. Na Hawa Mohammed. Zaidi ya shilingi bilioni mbili (2) zimetengwa na Wizara ya maji kwa ajili ya…
17 February 2023, 3:24 pm
Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imeunga juhudi za serikali ya awamu ya sita za kupambana na Malaria kwa kutoa vyandarua katika shule za msingi kwa kila mtoto. Na Adeliphina Kutika. Zaidi ya wanafunzi 230,000 wa shule za msingi 556 za…
16 February 2023, 5:07 pm
Kufuatia wiki ya nenda kwa usalama ambayo imeanza kuadhimishwa kitaifa kuanzia Februari 6, 2023 ambapo Mkoani Iringa itazinduliwa mnamo Februari 18, 2023. Na Ansigary Kimendo. Jeshi la polisi kitengo cha Usalama barabarani Mkoani Iringa limejipanga kufanya ukaguzi wa vyombo vya…
9 February 2023, 4:57 pm
Hii ni baada ya oparesheni iliyofanywa na jeshi la polisi mkoani Iringa kuanzia Jan 29 hadi Feb 5 mwaka huu Na Hawa Mohammed. Mafuta hayo, mipira 21 ya kunyonyea mafuta kwenye Malori, mapipa nane na chujio sita . Jeshi la…
7 February 2023, 7:33 pm
Ni vyema Mfanyabiashara wa biashara za Mtandaoni ukawa na lugha nzuri kwa wateja wako ili kuongeza wigo wa wateja wapya. Na Ansigary Kimendo Vijana na wanawake wajasiriamali Manispaa ya Iringa wametakiwa kutohofia kutangaza biashara zao kupitia Mitandao ya Kijamii kwani…
7 February 2023, 11:25 am
Serikali ina Mpango gani wa kuweka Sheria kwa Wamiliki Wa Vyombo Vya Usafiri ili Kuwa Na Miundombinu Rafiki Kwa Watu Wenye Ulemavu. Na Hafidh Ally Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na uchukuzi imewataka Mamalaka ya Usafirishaji Ardhini LATRA na Mamlaka…
6 February 2023, 10:33 am
Tunaomba kuboreshwe kwa baadhi ya sheria za kodi hapa Nchini ambazo zinawabana wafanyabiashara. Na Joyce Buganda Serikali imeombwa kuendelea kuzingatia upya sheria za kodi ili kuimarisha uzalendo na ulipaji kodi wa hiari. Hayo yamezungumzwa na naibu katibu Mkuu wa Jumuiya…
4 February 2023, 2:04 pm
Sikiliza Taarifa ya habari zilizosomwa Katika Kituo cha Redio Nuru Fm iliyopo Mkoani Iringa
4 February 2023, 1:07 pm
Chakula kikiwepo shuleni kinasaidia kuondoa mazingira magumu kwa watoto na kupelekea wawe na utulivu wakati wa masomo na kukuza taaluma. Na Ashura Godwin Wazazi na Walezi mkoani iringa wametakiwa kuendelea kuchangia fedha kwa ajili ya chakula shuleni ili kuondoa mazingira…
4 February 2023, 10:35 am
Nendeni Mkawe mstari wa mbele kufanya kazi kwa manufaa ya wananchi wenu ili kumrahisishia kazi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na Joyce Buganda Mkuu wa Mkoa wa Iringa Halima Dendego amemuapisha Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Linda Selekwa …
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.